Watu zaidi ya 5 wakamatwa kwa kukojoa mitaani Nairobi
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Baadhi ya watu wenye tabia za kukojoa ovyoovyo mitaani na kutupa taka kiholela jijini Nairobi, walikutana na mkono mrefu wa sheria ijumaa usiku. Maafisa wa kaunti walifanya msako na kuwanasa watu zaidi ya watano waliowafumania wakichafua mazingira ya jiji.
You need free public toilets not arresting people while there are no public utilities...can you prove existence of public toilet...in proximity to where he was arrested.
Poor boy child is at risk.
Siku za moi hungethubutu
@@jum4771 Moi is back.
Sasa mkojo ni kitu ya kukamata mtu😂😂😂
yea we need discipline
@@patrickmuchiri7480 na kama mtu amefinywa na hana 10 bob ya kuingia loo
Try to think if all men wakikojoa ovyo ovyo kila sehemu ya town sikutanuka and it's not healthy
@@graceamadi1096 Umeongea ukweli.
Sindio
Yaani mkaamua kusema "vikojozi" 😂😂😂😂
Good job
Washikwe kabisa hawaoni haya
Eti vikojozi wa Nairobi 😂
So funny headline
Hizo tuvitu zao ata zinafaa punishment poa,zimetuangaisha sana
😂😂acha izo plz ua tunakazwa sana 😅😅
Wewe junia_254 nyege ndio inakusumbua. Enda ukapigwe miti vizuri utulie.
Tia adabu wote haha🤣🤣🤣
😂😂 aki ya mungu wanaume hawana bahati
Waweke machoo .tafuta suluhisho
Only the boy child. Hapana naona gender bias. Kweli nobody fights for the boy child.
Finally
After 60yrs saa ndie Serelika imeamuka?
True indeed😅😅😅
Aki wanaume huwa hawana heshima.coz wanaona tu wanawake wanapita anatoa firimbi yake bila aibu anaanza kukojoa.wamefanya vizuri.
Kuna watu hawawezi kazaa mkojoo
Asante lakin njooni kila mchini si town peke
Na serikali watanganeze wato sehemu choo ya hacha ndogo hasa wato boda boda
,😂, 😂😂 we're completely finished
😮😮😮 waaah Kuna choo za kanjo,mbona mtu afanye hivo
Juu izo Choo nibure?
@@chuipeshjj what do you mean, hata kama si bure bro look for 💰
Nitakuja kukojoa mnishike alaaa
Shida Ni kubwa Wente kukamatana hawana pa kukojoa pia 😅😅😅😅 lakini wanashika wakojooi wenzao.
Jee wakojoo wapo kama hakuna pahali halisi?
There are very few public toilets.
Na accra rd dio inanuka ile baya. Wanaume ukojoleye taya za ngali kaa ziko parked
By thaway wanaume wanatuma tao inuke vibaya sana
😂😂😂kenya
Imagine vile mtu anakojoa hapo barabarani peupe cos hataki kilipa 10bob kwa choo aky hawa watu washikwe kabisa wanachafua mazingira na hewa
Yani watu wanauliwa uko watoto wanachinjwa kama kuku mbona amuwashiki ama ni biashara yenu mshike watu wenye kukojoa
Wanaume round hii hamuna bahati 😂😂
😂😂😂😂😂shika yeye
10k kukojoa tu 😏,hii kuna tym ilishka mbya lkn ukienda kortini sema waliandika usikojoe hapa na iko karibu na roof ambapo hukuweza kufikia 😅😅😅
MBOYSHAUD
Bado tutakijoa utadu