Daah ... Dada mamgi kimambi kama nakuonaa yaan mmmh ... Leo nilkua nafuatilia ishu yote ila am too proud of RUBBY lets bang with world ... #sillo music for life
Wasafi na majizo wanakaugomvi,Baada ya majizo kutambulisha studio mpya,Ruby akaibuka kuwa majizo alimtaka,punde Ruby katoa ngoma ft mboso msanii wa wasafiii
Akikuomba mpe aridhike. Mlo kutwa mara moja ; visenti haba ila lazima nihakikishe nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo za mbosso. Hongerea sana @mbosso kwa kibarua kizito . Mziki mzuri kwelikweli.
Mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi 😢😢😢😢❤❤❤
Nipe na mm like... Nitakulike pia..... Usipo ni like siku like 😜😜😜😜
Zinakupa kula
@@salumkupenda1250 🤣🤣🤣🤣ndio
Next time Omba nyingi
Zina kusaidia nn kuma wewe
Nimekuja hapa kwasababu ya mbosso wanao mpenda Mbosso likes pls hapa twende nalo.
💪💪💪💪💃💃💃
💥💥💥💥
Hii imekaa poa sana Kenya 🇰🇪 mpo wapi Tanzania 🇹🇿 gonga like za Ruby ft mbosso ulidhike❤
🎉🎉🎉
Jaman sisi wa mwanzo mwanzo tupeni haki zetu... Maua yetu jaman....
Ruby kaua,,,,,,,,
Mbosso kaua pia,,,,,,,,,, hii imeenda, nasema hii imeenda
Hii sauti ya haitham Kim marehemu sio ruby huy
@@nasraali144 mmmh 🤔🤔
@@RamadanPaul iskilizie vizur ruby akiimba anajikamua sanaaa kwenye kiitikio ndo Katia sauti yake ruby
😢
🎉🎉🎉
Jamni tukubaliabe Ruby ako na sauti flani ❤wangapi tunakubaliane❤😅😅 uridhike moyo ❤
❤❤❤❤
Ruby back to the top like she never left.
Mbosso kapita kwenye hilo verse kichizi....jameni nipeeeni likes zangu
Kabisa yani💥💥💥mimi huwa nasemaga Ruby hata akae miaka 5 bila kuimba akisema anarudi akatoa wimbo mzuri tutamsikiliza tu💥💥💥💥💥
Nyimbo tamu sana weheeeeeee tafazali msinibanie👌😘🥰🥰🥰💐🔥🔥🔥🔥
Unaskia kabinti kanaimba " nikupe kisima uchimbe" maniner
Nyimbo nzuri bwana nzuri kupitiliza 🙌🙌🙌🙌HUNA BAYA😂❤❤❤
Baya lake nitakua kiko kupitia mume wa Lulu kaombwa rushwa ya ngono tangu enzi hizo mbona alikua haongei 😂
❤
Atariii sana
acha kabisa fayaa🎉🎉🎉
Wapi video jameni. Wimbo tamu! Baada ya kuskiza mara moja imenifurahisha 😊😊😊
Mkenya Wa Kwanza kucomment nipeni likes tafadhali
Moyo uridhike Baba wapi like za moyo uridhike Baba 🥰🙌
Nipeni like moja ya best song in 2024 rubby best female awards coming soon for this year
Wamekutana wote talented Ruby na Mbosso matokeo yake 🔥🔥🔥🔥
Haaaa mwenzio mwenzio natak nikiamshe kilio jmn ruby umeua dada
🥰keep it up good work y’both🔥🔥🥰🥰❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Dada ruby leo nashinda kukusikiliza wewe tu mwendo wa ngoma baada ya ngoma💥💥💥💥💥🙌🙌🙌hapo pa HUNA BAYA😂😂 Umetisha dada❤❤❤❤❤
Aya sasa mondi,chawa,mbosso wote wametoa magoma ila ibrah wa mmakonde alikaa mwaka sioo pw anachofanyiwa ata kma ni gang mbn mondi kawaluhusu
Baada ya kuona mtoto wa mama ki ki ki kimbooo😅😅😅
Now this is the queen of vocals. I love you Ruby. Here for you all the way from 🇰🇪
❤ruby kama ruby no one like you nakubali sana
Mbosso sauti💯🔥
❤❤❤❤yaani mahaba tele napenda aki ya nani❤❤
Mafundi wawili ndani ya track moja,, 🔥🔥🔥🙌💯
This is going straight to my “Melodic Africa” playlist
Sauti yako ndio inanimaliza, Ruby be blessed 🙌 ❤❤
Duh. Ruby + Mbosso eh 🎶🎶🔥🔥🔥👍🏼👍🏼♥️♥️♥️
Ruby number one nipe like zangu ❤
Rubby nakukubal mpk kiffo.... Cina wimbo wako nisioukubali dada anguh more success
The real queen 👸 of melodies 💯🥰 is back.... ladies and gentlemen....Ruby👸🥰
Leo nina raha jamani ni full music ,uwiiiiii💥💥💥💥💥💥
My Favorite Ruby Coming Back Like She Never Left✅
Mmh kawimbo katam sikaishi ham❤❤ nawe usikubali akapite my gonga hapo
Ruby ndy mwanadada mwenye voko Kal tz bisha we
emu ongezeni sauti ya radio kwq kunipa likes jaman😢
Saiv ni khan aka mbosso sio lile jina la kiwaki la maromboso enzi SU😁😁😁shikamoo pesa🏃
nyimbo kalisana ❤❤❤❤❤
Ruby wanguh tunamiss nyimbo zako tunaomba usikae kimya kipenz chetu
Waoooo songi tamu hatari ❤️❤️
But why,!! our girl is so talented 😍
Mbosso you're my sure bet ❤️
Unyamaaaa ni mwingi
Dada ulikuwa wapi nakupenda sna....❤
She's legendary. The goat. Mboso the goat. Watu wetu hawa.
wangapi wamekuja sababu ya MBOSSO? gonga like
Queen ni mmoja tuu wa bongo ambaye Ruby🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hakika iko pw
Ooh Ngoma kalii Saaaana aiseeee 🔝🎶🎼 good music 🎶🎵 only
Ruby sauti yako ni nzuri sana lakn sijui kwann haujawa famous sana
NaKubal Hili Goma Kwel Ruby Umekill Pamoja Na Muhindi Wa Kusini Salute Kwenu
Daah ... Dada mamgi kimambi kama nakuonaa yaan mmmh ... Leo nilkua nafuatilia ishu yote ila am too proud of RUBBY lets bang with world ... #sillo music for life
Umbuje umetisha hatareee
Wasafi na majizo wanakaugomvi,Baada ya majizo kutambulisha studio mpya,Ruby akaibuka kuwa majizo alimtaka,punde Ruby katoa ngoma ft mboso msanii wa wasafiii
Umeridhika kweli hii hatari
Wamekutana ma tajir wa saut yaan music ukawa mwaaah!!!!!
Bora hata ruby arudii coz Kuna vidada vilidhanii vitaweza lishinda vocal la ruby⚡⚡⚡
😂😂😂😂😂😂Ruby kiboko jamani💥💥💥💥💥💥
Fundi wangu bora wa muziki wa muda wote kuwahi kutokea nchini Tanzania ❤ go Ruby
❤❤❤ i love this song somuch ...wow yan mbosso ft Ruby hii kali tena sana..wapi liks bana
Ruby nice staff soo shocking that sikua nmesubscribe..mbosso is the reason I support wasafi✊
Ruby sijui anakwama wapi au mdomo ndio unao mkwamisha maana anavyoimba bongo hii kwa wanawake sijaona bado
Baada ya rubi kumtukana boss majizo nangoma inatoka
Akikuomba mpe aridhike. Mlo kutwa mara moja ; visenti haba ila lazima nihakikishe nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo za mbosso. Hongerea sana @mbosso kwa kibarua kizito . Mziki mzuri kwelikweli.
African voice 🔥🔥🔥 achana na maboss wanao taka uchi mwaya tutakupa support ivo ivo jitahidi kufanya promo tu 🥰🥰🥰
one ❤ from 🇰🇪🇰🇪
Ruby uko vizur Yani unajua ❤❤❤❤❤
Wimbo wangu pendwaa ❤❤❤❤❤❤❤❤
kali Sana pumbav ulikua kimya kisa nn wakat ngoma kali zipo
Ruby unajua mpaka unakera aisee sema nini endelea kutupa music mzur
Ni me zi di wa ....mai dodo wangu🤗🤗🤗🤗 weka like
Mwenye mziki wake karudi ❤🎉🎉
Wimbo mzuri alafu hata wala hauchoshi kuusikiliza 💥💥💥💥💥najisikia tu kucomment kila nikija RUclips ❤❤❤
Ruby kipenz nimekubali ngoma Kali
Umetishaass mwamba rubyyyyyyyy
Aisee Ruby unajua mpaka unakeraaa.... 🙌🙌 The only one Vocalist in Tz forever 🥰🥰
Wachimba visima mpoo🎉🎉🎉🎉❤
Ruby is onto the Next Level❤
Why umeweka picha kama yangu kwenye account yako 😂.navi force tujuane tafadhali
😂😂😂😂
Hakuna Diva wa kumfikia Ruby Bongo
Mi wa kwanza
Our own queen 🔥🔥
Waoooooooo❤❤❤❤❤❤❤ imenibamba warahi hii song❤❤❤❤❤❤
Ruby una pepo yako peke yako, hii sauti yako hata malaika wanafrah@iamrubyafrica ❤❤❤❤
Hii imeendaaaaaaaa❤🔥🔥🔥
I always love sauti ya ruby tena kashirikiana na my all time star mbosso massive love my ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashairi to another level 🇰🇪🇯🇵❤
😍😍😍😍moto zaidi ya pasi
haya ndio aliyo sema mange kuandika hit 🎵 song haujui
King mboso🎉 na bibie mideko hapo sasa hiiii imeenda
Nyie mbosso anaimba
kilungiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌
Wish that rubis part was a bit longer....so sweet much love from kenya..🇰🇪🇰🇪
Huyu Ruby ni msanii Mzuri sana
Ngoma kali sana mbosso amefanya kama anavyofanyaga
Let's go Tanzania 💯💯
Unabaya ruby jamani daaaah❤
🔥🔥🔥
Nimekuja kwa mboss sema ajawai kutuangusha🎉
Ruby has Natural voice that can console and boost up your vibes while in bed with your special one 🔥🔥🔥😜💯💯🫶
Lakini hana bahati sijui kwa nini
@@leokamil6284 Ndio binadamu tukivyo, sio watu Wote watakupenda wapo wataokuchukia nakutamani ufikwe na Matatizo Siku zote. Mimi Namkubali sana 🔥🔥🔥💯
@@leokamil6284 nami najiulza
Wakati wa mungu bado akifika ,mungu akimnyooshea mkono,atakuwa tyuu juuu
A collab we never expected😢❤❤
Mbosso Umeua Humu Kupitiliza...
Ruby ni msaniii mnoooma
Ruby anashinda wote ❤
Yani ya moto mboso kaua robi motoooooo
À santé kwakazi nzuri dada yangu myaka ine ahufanyi répétition lakini unafanya kazinzuri kama hiyi asante sana