OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июн 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 66

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Месяц назад +3

    asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Месяц назад +2

    Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Месяц назад +3

    Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee

  • @JAMESLAPUT-ye6kk
    @JAMESLAPUT-ye6kk Месяц назад +1

    Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 Месяц назад +3

    Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa

  • @mossesmepukori1826
    @mossesmepukori1826 Месяц назад +3

    Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara Месяц назад +2

    Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM

  • @user-te7ju3wk1x
    @user-te7ju3wk1x Месяц назад

    Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai

  • @ShalomNissitv
    @ShalomNissitv Месяц назад +2

    Si dhani kama huo ni ukweli.

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Месяц назад +2

    We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara Месяц назад +1

    Safi sana mkuu

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 Месяц назад +1

    Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад

    Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!

  • @ZakariaMnzava
    @ZakariaMnzava Месяц назад +2

    Mzee kama vile ananjaa ya madaraka

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Месяц назад

    Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад +1

    Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito

  • @olekitamwasmokotio9855
    @olekitamwasmokotio9855 Месяц назад +2

    Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu

    • @PartySekemi
      @PartySekemi Месяц назад

      Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 Месяц назад

    MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society

  • @user-sb3hh3gc3k
    @user-sb3hh3gc3k Месяц назад

    Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад

    Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад +1

    Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Месяц назад +1

    Wamasai msidanganywe mnadhalilika.
    Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm

  • @uraiatv8455
    @uraiatv8455 Месяц назад +1

    Shida ya Sendeka ni kujipendekeza

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Месяц назад +1

    Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako

  • @LaizerSangau
    @LaizerSangau Месяц назад

    Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Месяц назад +1

    Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Месяц назад

    Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Месяц назад

    Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Месяц назад

    Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Месяц назад

    Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Месяц назад

    Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf Месяц назад +1

    Akipita masai wote nima nyumbu

    • @MaikoSiria
      @MaikoSiria Месяц назад

      bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад

    Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani
    Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Месяц назад

    Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 Месяц назад

    Kalambishwa asali tayari huyo naye

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Месяц назад

    Msimtaje samia unatudhi Sana

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Месяц назад

    Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 Месяц назад

    Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako

  • @FredrickOlentimama-tj4ps
    @FredrickOlentimama-tj4ps Месяц назад

    Tutetee baba yangu

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 Месяц назад

    Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Месяц назад

    Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!

  • @Maasai-TV
    @Maasai-TV Месяц назад

    Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Месяц назад

    mnafki huy mzee😂😂😂😂

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu Месяц назад +1

    wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi

  • @ImaniLaizar
    @ImaniLaizar Месяц назад

    Sawa mwamba tetea wananchi wako

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад

    Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 Месяц назад

    Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi
    Samia hapati kira simanjiro

  • @user-ff1ti2bo4w
    @user-ff1ti2bo4w Месяц назад

    Niambie kura amuna

  • @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq
    @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq 25 дней назад

    0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Месяц назад

    tumba tupu😂😂😂....

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Месяц назад +1

    Huna lolote unaona wamasai ni wajinga

  • @williamwanga2126
    @williamwanga2126 Месяц назад

    Umenena

  • @LasaroSilasi
    @LasaroSilasi Месяц назад

    🙏🙏👏👏👏👏👏

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 Месяц назад

    Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo

  • @EzekielMetia
    @EzekielMetia 10 дней назад

    Uongo😂😂

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Месяц назад

    Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Месяц назад

    Sirahisi

  • @lenkitengtajeutajeu
    @lenkitengtajeutajeu Месяц назад

    Njeeretu ntae enkai

  • @yamatlemomo542
    @yamatlemomo542 Месяц назад

    Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa

  • @melubokusoro5668
    @melubokusoro5668 Месяц назад

    Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Месяц назад

    Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Месяц назад

    Wewe ni chawa kama machawa wengine
    Njaa tupu