OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA
HTML-код
- Опубликовано: 10 июн 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa
Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee
Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed
Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa
Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai
Si dhani kama huo ni ukweli.
We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.
Safi sana mkuu
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
Mzee kama vile ananjaa ya madaraka
Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.
Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito
Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu
Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako
MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society
Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?
Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi
Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake
Wamasai msidanganywe mnadhalilika.
Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm
Shida ya Sendeka ni kujipendekeza
Kiatu kimembana analaImisha
Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.
Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!
Akipita masai wote nima nyumbu
bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze
Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani
Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu
Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo
Kalambishwa asali tayari huyo naye
Msimtaje samia unatudhi Sana
Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi
Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako
Tutetee baba yangu
Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko
Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!
Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka
mnafki huy mzee😂😂😂😂
wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi
Pimbii we hauna.Maana kabisa
Sawa mwamba tetea wananchi wako
Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito
Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi
Samia hapati kira simanjiro
Niambie kura amuna
0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki
tumba tupu😂😂😂....
Huna lolote unaona wamasai ni wajinga
Umenena
🙏🙏👏👏👏👏👏
Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo
Uongo😂😂
Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa
Sirahisi
Njeeretu ntae enkai
Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa
Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali
Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo
Wewe ni chawa kama machawa wengine
Njaa tupu