MashaaAllah mapishii haya marehem bibi yangu alikua anayapenda sanaa"rahimAllah"akitolea kwa pilipili na samaki sana alikuwa anapendaa Tafii,..ahsante Allah akuhifazii uzidi kutujuzaa zaidi
Asante sana kwa mapichi tena naupenda huu mseto sana ila kila ni kipika una kuwa kama wali wa kawaida sijui kwa nini ila nitajaribu kwa mafunzo haya. Sasa anti mchele una kuwa kidogo kuliko choko au vipi
Ahsante mumie, Mme wangu mtu wa Pakistan basi Leo nilivo mu surprise nahili pishi Kwa mchuzi wa Kuku kafurai hadi basi, ALLAH akulipe kwa jitihada zako.
Asant sana mamy, natamani nijaribu kuandaa chakula icho lakini huku kwetu Burundi hiyo chooko hatuifaham wala sijawah iona, sijuw badala ya chooko unaweza ukatia Nini?
FOR ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE PLEASE FOLLOW THIS LINK ruclips.net/video/ri-gSdDX930/видео.html
Aroma of Zanzibar d
Aroma of Zanzibar napenda mapishi yako
Una famisha vizur
Naomb upish wa njegel au biz
Ubarikiwe sana
Mh so kwa utamu huo Kisha upate na papa wa nazi wazid kunog Asante sn kwa mapishi
Mkenya wa mombasa yeyote ataelewa utamu wa mseto mashaallah 🔥🔥
shukran.yummy.napenda sana mapishi yako.jazakallah kheir
Mashaallah nimekumbuka nyumbani tunapenda sn kula sn kipindi cha Ramadhani Ammy yangu anapenda sn!!
Maa Shaa Allah na Jazaki Allahu Khairaan Kathiraan kwa Pishi Muruwa.
MashaaAllah mapishii haya marehem bibi yangu alikua anayapenda sanaa"rahimAllah"akitolea kwa pilipili na samaki sana alikuwa anapendaa Tafii,..ahsante Allah akuhifazii uzidi kutujuzaa zaidi
Sikwautamu huwo Dada,nafatilia sana mapishi yako,nanikijaribu naweza unaelekeza vizuri
MashaAllah shukran sana Allah akujaze kila la kheri Amin
Shukran Amin kwetu sote
Nice mseto kwn unajua wp hata usijue kiswahili mseto ni mseto tu hauna jina jengine
wow Mashallah Shukran habibty kwa kukubali ombi letu,,,finally i get to cook mseto ... na uo mchuzi wa nazi mashaallah.... Allah ibarik
mashalaah!! mungu akupe hitaji lako na akupe umri mrefu😘😦💝💟thanks for cooking mseto i will trying
Shukran, amin kwetu sote
Dah asante sana dada aroma nilikua sijui kipika mseto
Asante sana kwa mapichi tena naupenda huu mseto sana ila kila ni kipika una kuwa kama wali wa kawaida sijui kwa nini ila nitajaribu kwa mafunzo haya. Sasa anti mchele una kuwa kidogo kuliko choko au vipi
Mohamed Hadidja Ahsante, Vipimo vyote nimeandika hapo chini ya tarehe kwenye description box
Ok
Shukran, may Allah bless you, sincerely
Yusriya Alkindi❤
Wa Aleikum Musalam Cuz, Amin ya Rabb
Asante Sana kwa mseto
Hapo sawa na mchuzi kando na chai
Ma shaa Allah dada unatuvunza mengi Allah akubariki
Masha Allah mungu akuzidishie uzidi kutuelimisha
Amin kwetu sote
Asante sana, naomba utuonyeshe mapishi ya kuku was Nazi
Inshallah nitajaribu
Asante sana!! You got me here.
Lovin' this.. bless you as always.. 🤗
Kumbe tupo wengi, thanks for your support
Aroma of Zanzibar Mapenzi Matamuu.. 😍😘🤗
Ahsante mumie, Mme wangu mtu wa Pakistan basi Leo nilivo mu surprise nahili pishi Kwa mchuzi wa Kuku kafurai hadi basi, ALLAH akulipe kwa jitihada zako.
Afwan, sijajua kama watu wa Pakistani wana kula aina hii au anapenda vyakula vya iana yoyote tu. Hongera sana kwa jitihada zako dear
Omgg I ain't had this in 15 years o.O lol sure does bring some memories
I can imagine, time ya jikoni sasa au itabidi tu freeze and fedex huko
Aroma of Zanzibar 😂😂😂😂 bora unifedex kwasababu jikoni siyo mchezo😂😂
Kwetu twauita mshombo au mseto tam sana..Pishi bora sana umenikumbusha nyumbani dada hongera kwa kazi yako nzuri
esther wairimo Ahsante sana
Shukra Allah akupe nguvu utufunze zaidi maana waume mara kesho atasema anatama manda mara bumbi ila kwa hizi cm zinatusaidia xana
Amin
Asant mamy, inshallah nitaijaribu
Nice
Asante sana kwa mapishi
daaah,mseto mtamu huo
Mashallah mimi hapo nakula mpk nalala hapo hapo sijui hata shiba yangu kwa chakula icho
Mie pia napenda sana
Mashaallah Thanks you
Wow..Wanikumbusha kwetu mambasani..shukran kwa ku upload hii video
Ahsante, karibu
Mimi hata ck zote nawez kula chakula icho na wala ckichok napenda ile test ya chooko
mashaallah shukran
Mashaallah swali lang ni hili kam utapika kwa kutumia mchele vikomb 2 na choko ziwe vikomb 2 ziw na uwiano saw au vip?
dada samahani sijafaham hilo swali - uwiano ndio nini
Aroma of Zanzibar uwiano yani ziwe sawa saw
Ndio ukiweka vipimo sawa utapata sawa mimi sipendi ukiwa mchele mwingi au chooko nyingi
Aroma of Zanzibar shukran kwa kunifahamisha M/mung akusidishie ujuz amin
The gifted hand. Mash Allah.
Alhamdulilah amin, na wifi utamfurahisha
Lugha nyengine wanaita pojo ila kiswalih mseto habbty
Mhhhh yummy
Umenikumbusha mbali wallahi al marhum bibi yetu tulikua tukienda kumtembelea anatuchinjia kuku na anatupikia mseto kwa mchuzi wa nazi.
Mashallah, M.Mungu amlaze mahali pema
Amin inshaAllah. Na awasamehe waislamu wote waliotangulia mbele ya haki
@@shabanmkumbo6867 kwahyo cc wakristo
nimeipenda sana
Aroman zanzibar umebitolesha chooko zang hapa ghalfa manake mimi nakua nachemsha halaf naweka katika friz nazichemsha kabisa nkatoa kidog kidog kurahisisha kazi
Sio mbaya kuweka ndani ya freezer
Aroma of Zanzibar ehee
Unajua mashallah
Masha allah shukran mpenzi yaani nnavyoupenda huo leo hii in sha allah nitaupika allah akulipe kheri duniani Na akhera mpenzi wangu
Shukran, Amin kwetu sote
Ammin yarab
Your the best as always,thanks hun.
You are so welcome, thank you dera
shukrani ddaty
Mashallah
Shukran sana nitajaribu inshaAllah
Mashallah shukrani
Recipe ya huyo kuku wa nazi dada ...nimemtamani😋😋😋
Subra kaka recipe itakuja soon
Mashallh
asalaam alekhum samahani naomba kuuliza he kama sehemu nilipo hapana Nazi?
Itabidi utumie maji tu hutokua na ladha ya nazi kwenye mseto
Was raised knowing mseto ni rice na beans pekee? Ama ni vyovyote vile?
I know mseto is just rice and green grams just like I have shown
Asant sana mamy, natamani nijaribu kuandaa chakula icho lakini huku kwetu Burundi hiyo chooko hatuifaham wala sijawah iona, sijuw badala ya chooko unaweza ukatia Nini?
Pole sana, kwa kweli mimi sijawahi kutumia kitu chengine ni chooko tu
Umy Aly Kaneza unaweza tumia beans
unaweza tumia maharagwe/beans
unaweza tumia beans/maharage
Dada samahani mimisijuwi chooks niambiye kwa kingereza dada
Zinaitwa green grams
Asante sana
Asante tuekee keki ya kuunguza sukari pls sis.
Cake ya kuunguza sukari ndio keki gani
Hello aunty fathiya...delicious food BT iyo samli inasaidia nn?
mamy chichi Shukran habibty, samli no kwa harufu , ladha Na hasa mseto usiwe mkavu sana
Asalam/ mseto hawaweki mafuta kwanza Au vipi na kama huna NAZI unaweza kupika bila Nazi?
Mimi situmii mafuta, maji unaweza kutumia lakini nazi inaleta ladha nzuri zaidi
Masha'Allah Masha'Allah
Shukurani
Shukran dada
napenda sauti
Ahsante
Shukran habibty
Waoooo
waaau
Je hakuna mseto wa maharage?
Kwa kiswahili sijawahi kuona lakini watu wa Mexico wanapika wali na maharage lakini hautiwi nazi
Anhaaaa, asante sana dada.
unatupa raha,ila mm biliani nalipenda ila mmh ina njia nyingi kupika.nakuonea doge sana
Biriani ni rahisi sana, kaanga vitunguu vyako siku kabla utaona urahisi wake
Yummy
Kiu
Tupikie BokoBoko
Inshallah litakuja soon
Dada samahani hivi samaki tuna anaitwaje Kwa kiswahili
Samahani siju jina la kiswahili
Aitwa tuna hivyo hivyo
Samaki tuna anaitwa jodari kwa kiswahili cha pwani ya Kenya!
Khadija zedi nikuulize? Nikhadija zedi baduweli WA dodoma? Samahani km nimekosea...
Merci infiniment
Nc
مشاءالله بارك الله فيك🥀🥀
👍😋😋😋😋😋😍😍😍
Mashaallah Allah akujaalie umri mrefu
Amin kwetu sote ya rabb
Mashallah
Waoooo
Mashaallah
Mashallah