MSETO - KISWAHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mahitaji
    Chakula cha watu 3-5
    Mchele kikombe 1
    Chooko kikombe 1
    Maji vikombe 3
    Tui la nazi jepesi kikombe 1
    Tui la nazi zito kikombe 1
    Chumvi kiasi

Комментарии • 136

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar  6 лет назад +2

    FOR ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE PLEASE FOLLOW THIS LINK ruclips.net/video/ri-gSdDX930/видео.html

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 4 года назад +2

    Mh so kwa utamu huo Kisha upate na papa wa nazi wazid kunog Asante sn kwa mapishi

  • @princessfathamy9787
    @princessfathamy9787 3 года назад +2

    Mkenya wa mombasa yeyote ataelewa utamu wa mseto mashaallah 🔥🔥

  • @rehemaabdallah1733
    @rehemaabdallah1733 6 лет назад +3

    shukran.yummy.napenda sana mapishi yako.jazakallah kheir

  • @hamidahamadi3609
    @hamidahamadi3609 6 лет назад

    Mashaallah nimekumbuka nyumbani tunapenda sn kula sn kipindi cha Ramadhani Ammy yangu anapenda sn!!

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 2 года назад

    Maa Shaa Allah na Jazaki Allahu Khairaan Kathiraan kwa Pishi Muruwa.

  • @halimamshami3279
    @halimamshami3279 5 лет назад

    MashaaAllah mapishii haya marehem bibi yangu alikua anayapenda sanaa"rahimAllah"akitolea kwa pilipili na samaki sana alikuwa anapendaa Tafii,..ahsante Allah akuhifazii uzidi kutujuzaa zaidi

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад

    Sikwautamu huwo Dada,nafatilia sana mapishi yako,nanikijaribu naweza unaelekeza vizuri

  • @رميساءناصر
    @رميساءناصر 6 лет назад +3

    MashaAllah shukran sana Allah akujaze kila la kheri Amin

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 6 лет назад

    Nice mseto kwn unajua wp hata usijue kiswahili mseto ni mseto tu hauna jina jengine

  • @Umz4yd
    @Umz4yd 6 лет назад

    wow Mashallah Shukran habibty kwa kukubali ombi letu,,,finally i get to cook mseto ... na uo mchuzi wa nazi mashaallah.... Allah ibarik

  • @elizabethmanase487
    @elizabethmanase487 6 лет назад +1

    mashalaah!! mungu akupe hitaji lako na akupe umri mrefu😘😦💝💟thanks for cooking mseto i will trying

  • @saudasalum7812
    @saudasalum7812 6 лет назад

    Dah asante sana dada aroma nilikua sijui kipika mseto

  • @mohamedhadidja7395
    @mohamedhadidja7395 6 лет назад

    Asante sana kwa mapichi tena naupenda huu mseto sana ila kila ni kipika una kuwa kama wali wa kawaida sijui kwa nini ila nitajaribu kwa mafunzo haya. Sasa anti mchele una kuwa kidogo kuliko choko au vipi

  • @ImNature-z8c
    @ImNature-z8c 11 дней назад

    Shukran, may Allah bless you, sincerely
    Yusriya Alkindi❤

  • @kadheeja3902
    @kadheeja3902 Год назад

    Asante Sana kwa mseto

  • @helamamohd7318
    @helamamohd7318 4 года назад

    Hapo sawa na mchuzi kando na chai

  • @fatumakadute7959
    @fatumakadute7959 5 лет назад

    Ma shaa Allah dada unatuvunza mengi Allah akubariki

  • @aminasjoekitchen7959
    @aminasjoekitchen7959 4 года назад

    Masha Allah mungu akuzidishie uzidi kutuelimisha

  • @zuhuramniwasa1063
    @zuhuramniwasa1063 5 лет назад

    Asante sana, naomba utuonyeshe mapishi ya kuku was Nazi

  • @tamimbadhufar9755
    @tamimbadhufar9755 6 лет назад +2

    Asante sana!! You got me here.
    Lovin' this.. bless you as always.. 🤗

  • @naeemagrace2425
    @naeemagrace2425 6 лет назад

    Ahsante mumie, Mme wangu mtu wa Pakistan basi Leo nilivo mu surprise nahili pishi Kwa mchuzi wa Kuku kafurai hadi basi, ALLAH akulipe kwa jitihada zako.

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      Afwan, sijajua kama watu wa Pakistani wana kula aina hii au anapenda vyakula vya iana yoyote tu. Hongera sana kwa jitihada zako dear

  • @KMVlogs
    @KMVlogs 6 лет назад +1

    Omgg I ain't had this in 15 years o.O lol sure does bring some memories

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      I can imagine, time ya jikoni sasa au itabidi tu freeze and fedex huko

    • @KMVlogs
      @KMVlogs 6 лет назад

      Aroma of Zanzibar 😂😂😂😂 bora unifedex kwasababu jikoni siyo mchezo😂😂

  • @estherwairimo4767
    @estherwairimo4767 6 лет назад

    Kwetu twauita mshombo au mseto tam sana..Pishi bora sana umenikumbusha nyumbani dada hongera kwa kazi yako nzuri

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Shukra Allah akupe nguvu utufunze zaidi maana waume mara kesho atasema anatama manda mara bumbi ila kwa hizi cm zinatusaidia xana

  • @umyalykaneza1382
    @umyalykaneza1382 5 лет назад

    Asant mamy, inshallah nitaijaribu

  • @sarafinezekiel3519
    @sarafinezekiel3519 5 лет назад +2

    Nice

  • @berinakima5536
    @berinakima5536 6 лет назад +1

    Asante sana kwa mapishi

  • @salmaadam708
    @salmaadam708 6 лет назад +1

    daaah,mseto mtamu huo

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany9373 6 лет назад

    Mashallah mimi hapo nakula mpk nalala hapo hapo sijui hata shiba yangu kwa chakula icho

  • @mariamyusuph2394
    @mariamyusuph2394 6 лет назад +1

    Mashaallah Thanks you

  • @estherwairimu2736
    @estherwairimu2736 6 лет назад

    Wow..Wanikumbusha kwetu mambasani..shukran kwa ku upload hii video

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany9373 6 лет назад +1

    Mimi hata ck zote nawez kula chakula icho na wala ckichok napenda ile test ya chooko

  • @harunamohamed3870
    @harunamohamed3870 6 лет назад +2

    mashaallah shukran

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 6 лет назад +2

    Mashaallah swali lang ni hili kam utapika kwa kutumia mchele vikomb 2 na choko ziwe vikomb 2 ziw na uwiano saw au vip?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      dada samahani sijafaham hilo swali - uwiano ndio nini

    • @rahmaa.naim.9391
      @rahmaa.naim.9391 6 лет назад +2

      Aroma of Zanzibar uwiano yani ziwe sawa saw

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +2

      Ndio ukiweka vipimo sawa utapata sawa mimi sipendi ukiwa mchele mwingi au chooko nyingi

    • @rahmaa.naim.9391
      @rahmaa.naim.9391 6 лет назад +2

      Aroma of Zanzibar shukran kwa kunifahamisha M/mung akusidishie ujuz amin

  • @farajikomesha1264
    @farajikomesha1264 5 лет назад

    The gifted hand. Mash Allah.

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 6 лет назад

    Lugha nyengine wanaita pojo ila kiswalih mseto habbty

  • @a.856
    @a.856 6 лет назад +1

    Mhhhh yummy

  • @shabanmkumbo6867
    @shabanmkumbo6867 6 лет назад

    Umenikumbusha mbali wallahi al marhum bibi yetu tulikua tukienda kumtembelea anatuchinjia kuku na anatupikia mseto kwa mchuzi wa nazi.

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Mashallah, M.Mungu amlaze mahali pema

    • @shabanmkumbo6867
      @shabanmkumbo6867 6 лет назад

      Amin inshaAllah. Na awasamehe waislamu wote waliotangulia mbele ya haki

    • @veronicajulius9878
      @veronicajulius9878 4 года назад

      @@shabanmkumbo6867 kwahyo cc wakristo

  • @josephinekinyaga4941
    @josephinekinyaga4941 6 лет назад

    nimeipenda sana

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany9373 6 лет назад

    Aroman zanzibar umebitolesha chooko zang hapa ghalfa manake mimi nakua nachemsha halaf naweka katika friz nazichemsha kabisa nkatoa kidog kidog kurahisisha kazi

  • @masoudkhan7755
    @masoudkhan7755 4 года назад

    Unajua mashallah

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 6 лет назад

    Masha allah shukran mpenzi yaani nnavyoupenda huo leo hii in sha allah nitaupika allah akulipe kheri duniani Na akhera mpenzi wangu

  • @christinabenedictjacob9077
    @christinabenedictjacob9077 4 года назад

    Your the best as always,thanks hun.

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад +1

    shukrani ddaty

  • @ashaathina9831
    @ashaathina9831 6 лет назад +1

    Mashallah

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 лет назад

    Shukran sana nitajaribu inshaAllah

  • @fatumajumbe8786
    @fatumajumbe8786 5 лет назад

    Mashallah shukrani

  • @TuvaBiator
    @TuvaBiator 6 лет назад

    Recipe ya huyo kuku wa nazi dada ...nimemtamani😋😋😋

  • @mohmedalabre8104
    @mohmedalabre8104 6 лет назад +1

    Mashallh

  • @jannahal_jannah6899
    @jannahal_jannah6899 6 лет назад

    asalaam alekhum samahani naomba kuuliza he kama sehemu nilipo hapana Nazi?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Itabidi utumie maji tu hutokua na ladha ya nazi kwenye mseto

  • @Techative_nerd
    @Techative_nerd 5 лет назад

    Was raised knowing mseto ni rice na beans pekee? Ama ni vyovyote vile?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 лет назад +2

      I know mseto is just rice and green grams just like I have shown

  • @umyalykaneza1382
    @umyalykaneza1382 5 лет назад

    Asant sana mamy, natamani nijaribu kuandaa chakula icho lakini huku kwetu Burundi hiyo chooko hatuifaham wala sijawah iona, sijuw badala ya chooko unaweza ukatia Nini?

  • @byaombewilondja2036
    @byaombewilondja2036 6 лет назад

    Dada samahani mimisijuwi chooks niambiye kwa kingereza dada

  • @a.856
    @a.856 6 лет назад

    Asante tuekee keki ya kuunguza sukari pls sis.

  • @mamychichi6752
    @mamychichi6752 6 лет назад

    Hello aunty fathiya...delicious food BT iyo samli inasaidia nn?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      mamy chichi Shukran habibty, samli no kwa harufu , ladha Na hasa mseto usiwe mkavu sana

  • @armstrong_007
    @armstrong_007 4 года назад

    Asalam/ mseto hawaweki mafuta kwanza Au vipi na kama huna NAZI unaweza kupika bila Nazi?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 года назад

      Mimi situmii mafuta, maji unaweza kutumia lakini nazi inaleta ladha nzuri zaidi

  • @taharayassin6528
    @taharayassin6528 6 лет назад

    Masha'Allah Masha'Allah

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 6 лет назад

    Shukurani

  • @saidasalimyahya6263
    @saidasalimyahya6263 6 лет назад +1

    Shukran dada

  • @hafsamuhamedi9020
    @hafsamuhamedi9020 6 лет назад

    napenda sauti

  • @fatumakadute4646
    @fatumakadute4646 6 лет назад

    Shukran habibty

  • @salehelmazrouy9089
    @salehelmazrouy9089 6 лет назад +1

    Waoooo

  • @bintihamisi6917
    @bintihamisi6917 6 лет назад +1

    waaau

  • @emmymsangi7779
    @emmymsangi7779 5 лет назад

    Je hakuna mseto wa maharage?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 лет назад

      Kwa kiswahili sijawahi kuona lakini watu wa Mexico wanapika wali na maharage lakini hautiwi nazi

    • @emmymsangi7779
      @emmymsangi7779 5 лет назад +1

      Anhaaaa, asante sana dada.

  • @angelanyauringo8882
    @angelanyauringo8882 6 лет назад

    unatupa raha,ila mm biliani nalipenda ila mmh ina njia nyingi kupika.nakuonea doge sana

  • @fatmamushin8180
    @fatmamushin8180 4 года назад

    Kiu

  • @ahmedabdulazizhassan4775
    @ahmedabdulazizhassan4775 6 лет назад

    Tupikie BokoBoko

  • @mamahamida6807
    @mamahamida6807 6 лет назад

    Dada samahani hivi samaki tuna anaitwaje Kwa kiswahili

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Samahani siju jina la kiswahili

    • @khadijazedi7016
      @khadijazedi7016 5 лет назад

      Aitwa tuna hivyo hivyo

    • @nuruali9608
      @nuruali9608 5 лет назад +1

      Samaki tuna anaitwa jodari kwa kiswahili cha pwani ya Kenya!

    • @nuruali9608
      @nuruali9608 5 лет назад

      Khadija zedi nikuulize? Nikhadija zedi baduweli WA dodoma? Samahani km nimekosea...

  • @sittienchamhoumadi2729
    @sittienchamhoumadi2729 6 лет назад

    Merci infiniment

  • @vivarashid6914
    @vivarashid6914 6 лет назад

    Nc

    • @nasrayahaya8698
      @nasrayahaya8698 6 лет назад

      مشاءالله بارك الله فيك🥀🥀

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 6 лет назад

    👍😋😋😋😋😋😍😍😍

  • @aishaahmad2010
    @aishaahmad2010 6 лет назад

    Mashaallah Allah akujaalie umri mrefu

  • @saidasalimyahya6263
    @saidasalimyahya6263 6 лет назад +1

    Mashallah

  • @salehelmazrouy9089
    @salehelmazrouy9089 6 лет назад +1

    Waoooo

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 3 года назад

    Mashaallah

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 4 года назад

    Mashallah