List Yangu ya wabunge ninao wakubali Mimi binafsi bila kujari chama chochote top ten : (1) freeman mbowe (2)zitto Zuberi kabwe (3)Peter msigwa (4)Livingston lusinde (5)Hussein bashed (6)Abdlallah ulega (7)Nape Nauye (8)Esther bulaya (9) waziri Wa katiba na sheria Palamagamba kabudi (10)Goodluck mlinga
@@babazizu1255 ipo mijitu inasema anaulizwa kingine anajibu kingine wakat wenye akili timamu wameona alivyofanya vya maana ni ivyo sasa hata wana habari wenyewe wanaogopa kumuuliza maswali mkulu sababu hafikiki japo yupo karibu tu
Mwenyez mungu akulinde na hao watu wasio julikana 2020 kura yangu Unayo tayar Tanzania ya sasa ni yawatu wasio julikana mauaji ya kutisha utekaji wa watu dah mungu inusuru Tanzania
Zuhura yunus hongera sana mama unaijua kaz yako una uliza swali ya msingi sana alafu namuona msomi ana potea kabisa kwenye point. Narudia tena ita chukua miaka 100 CCM kutawala coz wapinzani wake Bado hawajielewi nini wanacho kitafuta
Mungu humlinda mtu muovu ili mtu mwema anapo balikiwa abaki akijionea kwa macho, lysu si wa kwanza kuwa mgumu wa nafsi toka enzi mungu aliwafanya watu kama hawa wawepo ili Taifa litambue mtu wa Mungu kwa wakati wake, sasa ni zama za JPM, lysu tulizana kabisa, wazoee mitume wengine sio kwa mtume huyu mteule wa Taifa letu.
Napenda kazi zenu bbc..mko vzuri..Ila nina maoni kwenye picha zaidi.. Overshoulder na medium close up ni chaguzi chache sana kwa picha..kungekua na long shot..close up ya mtangazaji wakati anasikiliza na close up ya source pia wakat anasikiliza ingependeza zaidi..
Sisi raia tuko free na tunafanya kazi. Labda wanasiasa hawako free tena na propaganda zao. Ufree tulionao unatutosha ukizidi hapo basi ni uharibifu. Hata mwizi akiiba anataka awe free asikamatwe. Hata mtu akitukana au akapiga anataka awe free.
Upinge usipinge,mheshimiwa Lissu ana akili sana,anajua kuijenga hoja,maswali ya muandishi ya kimtego,ila mzee lissu anaakili kupambanua....kama unayetizama una akili timamu.....pambanua alivyosema fulani amefanya uzuri kwa kuwa mtu pekee anayetunza haki za binadamu,mtazamaji pambanua vizuri
Brother we njoo tu upumzike huku rais ni mmoja tu magu 2025 Hatuimbi wimbo mwengine... Ni heri ya alieanza na matokeo tunayaona kuliko mpya atakae anza na sifuri
Wapinzani hawana la kuwambia watanzania wamebaki kubwabwaja tu kwakua wasionekane wakiwa kimya pia lissu nadhani ndie mbunge asiejielewa kuliko wabunge ote ni mpuuzi tu hawezi kua mtu asieona maendeleo anayoyaleta JPM th president of TANZANIANS
Lazima niwe mkweli ili niwe huru siasa za tundu lisu nazichukia sana pale anaposema Tanzania Tususiwe,Tunyimwe misaada,Tuzomewe wewe ni msaliti wa nchi yetu mama Tanzania hautufai
Maswali mazuri sana ya Zuhura Yunus ila hujajibu hata moja... ungejibu vyema ungejiweka kwenye nafasi nzuri sana ya kuaminika ila sasa umepiga propaganda hadi mwandishi amebakia kukushangaa tu...
Kati ya watu ambao wanaiharibu jamii ni wasomi ambao fani zao huzigeuza kuwa mtaji. Watanzania hawahitaji hayi Lissu wanataka maendeleo kiuchumi, kumbuka freedom na economy ukivitumia vibaya utakuta haviendani. Nyumbani ukiwa na uhuru wa kila mtu afanye atakavyo utazalisha wezi, vibaka, changudua, wazembe, walalamikaji n.k Mataifa mengi yaliyoendelea yalitenganisha uhuru na uchumi. Hata marekani yenyewe HAKI ZA BINADAMU mdomoni kiutendaji hapana kitu. Wamarekani milioni 400 wanaamuliwa nani awe rais na watu 538 tu. Wanajua asilimia kubwa uhuru huharibu mind za watu na kuzalisha non profitable generation. Tundu lissu tunahitaji economic strategies kulinasua taifa letu sio hayo unayoyasema ambayo walioyaanzisha hawayaamini pia. Ufaransa kaweka ndani waandamanaji hajui haki za binadamu????
Wahenga walisema akili nyingi zinaondoa maalifa, Mheshimiwa Lisu ukipata nafasi nyingine yataje mengi uliosema Rais Magufuli ameyafanya na sio malalamiko
Kila rais anaepita nakumaliza mda wake akija mwengine mnasema bora aliyepita.uhuru waliulilia lybia nakusema ghadafi hafai lakin tazama Leo lybia Vita Kila Leo.hatukatai katiba Ila mkubali kile ninachofanywa
Tukae chini tujitafakali kama nchi naiona chuki zaidi baina ya viongozi na baina ya wana siasa faida za chuki ni maumivu au kutesana uone mfano Wa Tundulisu Mungu atusaidie Watanzania
lisu pole sana kwa kushambuliwa na risasi nanazidi kukuombea dua uzidi kuimarika naamini ipo siku utatutumikia watanzania wote ukiwa ndio rahisi mpenda haki na msema kweli
Avax5 kasome ilani ya chadema kwanza ndo uje ukomenti mkuu. Usifananishe ilani ya chama na katiba ya nchi. Miaka ya uongozi katika hivo vitu viwili ni tofauti.
Kuna Elimu ya maneno na Elimu ya Vitendo watu wengi tunashindwa kutofautisha wasomi tulionao wanatumia vichwa vywao na elimu zao katika vitendo au maneno..!! Wapo ambao wakiongea wanajua kupanga hoja na utapenda lakini vitendo zero na wapo ambao hawajui kuongea ila ukimpa atende kwa kutumia elimu yake utapenda..!! Tanzania Watanzania...!! Kila mtu anafalsafa yake katika maisha huwezi taka falsafa zako wewe wengine wazikubali hata uwe mwema kiasi gani watu watakupinga tu... ikiwa mitume ilipingwa Mwenyezi Mungu Mwenyewe watu wanampinga Vipi mimi nawewe...?
dada wewe ni mtangazaji
haswaaa! mungu akubariki
sana.
this man is too brilliant..saluti sana
List Yangu ya wabunge ninao wakubali Mimi binafsi bila kujari chama chochote top ten :
(1) freeman mbowe
(2)zitto Zuberi kabwe
(3)Peter msigwa
(4)Livingston lusinde
(5)Hussein bashed
(6)Abdlallah ulega
(7)Nape Nauye
(8)Esther bulaya
(9) waziri Wa katiba na sheria Palamagamba kabudi
(10)Goodluck mlinga
Wewe kivuruge unatumiwa sasa ni marehemu Rais wetu magufuli wewe kila kitu unamshutumu kila kitu afanyacho cha maendeleo ulikuwa unampiga vita s
Kweli kaka, hakika huwezi jua thamani ya kitu hadi ukikose, hatukujua thamani ya uhuru, sasa tunaijua barabara.
Asante Lissu
Tundu Lisu your a good example to other politicians in Tanzania actually I appreciate you.
asante da zuhura kwa interview nzuri..
Ccter anamuuliza maswali ya mantk Sana na lissu anajibu ipasavyo Ahsnte Sana Lissu
yale maswali magum sana ukiangalia zuhura kama anaegemea sana sehem moja iv ila lissu yuko very bright kujib na wala hapanik
@@babazizu1255 ipo mijitu inasema anaulizwa kingine anajibu kingine wakat wenye akili timamu wameona alivyofanya vya maana ni ivyo sasa hata wana habari wenyewe wanaogopa kumuuliza maswali mkulu sababu hafikiki japo yupo karibu tu
Mwenyez mungu akulinde na hao watu wasio julikana 2020 kura yangu Unayo tayar Tanzania ya sasa ni yawatu wasio julikana mauaji ya kutisha utekaji wa watu dah mungu inusuru Tanzania
Zuhura yunus hongera sana mama unaijua kaz yako una uliza swali ya msingi sana alafu namuona msomi ana potea kabisa kwenye point.
Narudia tena ita chukua miaka 100 CCM kutawala coz wapinzani wake Bado hawajielewi nini wanacho kitafuta
Fact!!!!
Akili zako zimekaa sehem ya hajakubwaa
@@salehkhamis343mavi kweli wewe
G
K
Wakwanza mwenyewe gonga likes kwa mzee Lissu kama unamkubali
Miraji Selemani
nchi,kafu
Welcome back home Tundu lissu
good very good lisu ukosawa ulicho kizungumza.
.
Mungu humlinda mtu muovu ili mtu mwema anapo balikiwa abaki akijionea kwa macho, lysu si wa kwanza kuwa mgumu wa nafsi toka enzi mungu aliwafanya watu kama hawa wawepo ili Taifa litambue mtu wa Mungu kwa wakati wake, sasa ni zama za JPM, lysu tulizana kabisa, wazoee mitume wengine sio kwa mtume huyu mteule wa Taifa letu.
Utasubiri sana, wapiga kura halali tunasongesha gurudumu na hatutumiwi na wamataifa.
Kwa kweli BBC uko good
Napenda kazi zenu bbc..mko vzuri..Ila nina maoni kwenye picha zaidi..
Overshoulder na medium close up ni chaguzi chache sana kwa picha..kungekua na long shot..close up ya mtangazaji wakati anasikiliza na close up ya source pia wakat anasikiliza ingependeza zaidi..
Kusema ukweli niliahidi kuto piga kula tena ila Lissu ndio mtu peke ambae naimani nae kwenye siasa
Kama mimi tu nliahid kutopga ten ila jamaa ntampgia
Sure
Eliasa Yasini . mpaka nmesisimuka. Umeongea.
Nakuunga mkono
Ww haunaakili kabisa unauchungu nanchi pekeyako?
Umeulizwa mazury aliyo yafanya mpk sasa unajibu pumba. Hata humuogopi mungu aisee. Pole saana
Huna Sera Ikungi imekuchoka wewe unaleta maneno...
Au tukupe maendeleo ya Ikungi??
Mungu akubark kk angu kwa ndoto zko
Utasubiri sana. Urais utausikia redioni
Magufuli is the best
ufai kuwa raisi bola mwenyekiti wa singida vijijini
Sisi raia tuko free na tunafanya kazi. Labda wanasiasa hawako free tena na propaganda zao. Ufree tulionao unatutosha ukizidi hapo basi ni uharibifu. Hata mwizi akiiba anataka awe free asikamatwe. Hata mtu akitukana au akapiga anataka awe free.
pole sana tund urais kagombe singida
labanni galuss pole sana
@@charleserasto9991 huko singida kumshinda kakimbia seuze Tz?
Upinge usipinge,mheshimiwa Lissu ana akili sana,anajua kuijenga hoja,maswali ya muandishi ya kimtego,ila mzee lissu anaakili kupambanua....kama unayetizama una akili timamu.....pambanua alivyosema fulani amefanya uzuri kwa kuwa mtu pekee anayetunza haki za binadamu,mtazamaji pambanua vizuri
Machas utajuwaje Lissu Ana akiri ukiwa wewe mwenyewe huna?
Fact
@@gracetitus9963 wewe una matatizo ya akili,karibu kwenye mti
MACHAS OFFICIAL SITE u are right
grace titus i like it grace titus
Brother we njoo tu upumzike huku rais ni mmoja tu magu 2025
Hatuimbi wimbo mwengine...
Ni heri ya alieanza na matokeo tunayaona kuliko mpya atakae anza na sifuri
Saf sana mh lisu karb tz ila kuwa makini
Wapinzani hawana la kuwambia watanzania wamebaki kubwabwaja tu kwakua wasionekane wakiwa kimya pia lissu nadhani ndie mbunge asiejielewa kuliko wabunge ote ni mpuuzi tu hawezi kua mtu asieona maendeleo anayoyaleta JPM th president of TANZANIANS
Hapa kazi tu
I respect this lawyer
Lazima niwe mkweli ili niwe huru siasa za tundu lisu nazichukia sana pale anaposema Tanzania Tususiwe,Tunyimwe misaada,Tuzomewe wewe ni msaliti wa nchi yetu mama Tanzania hautufai
Akili kubwa, wakili msomi, karibu sana Tanzania.
Lisu unaishi kwenye mioyo ya watanzani walio wengi
Magufuli mpaka 2025
Haswaaa
Lissu mjinga sana.ataka kila linalofanywa kuchunguza tukio lake lisemwe hadharani? Anatumiwa na wazungu huyu watanzania tuwe makini.
Rais wangu 2020,kama unamkubali lissu gonga like hapa
Hafidhi Athumani rais ni magufuli had 2025 na hapo atatawal mwingin ila sio lusu na ukawa. ccm mbele kwa mbele
@@amanistephano5208 2020 utakua umepotea kama utaweka ndio kwa ccm
Hafidhi wewe una kura moja tu. Good luck kama hiyo kura moja itampa urais.
Huyu jamaa hana spirit ya uongozi. Anaonekana amejaa chuki na visasi.
@@jenifakalinga6819 wala sio chuki na visasi anaongea ukweli mtupu jenifa
Maswali mazuri sana ya Zuhura Yunus ila hujajibu hata moja... ungejibu vyema ungejiweka kwenye nafasi nzuri sana ya kuaminika ila sasa umepiga propaganda hadi mwandishi amebakia kukushangaa tu...
Boniface Benny akili xenu mpaka ujikwae ndo ufikili kamaanisha nn koo ni vigum xana kwaakili ako kumwelewa
Wakati mwingine kumuelewa ndo inakuwa tabu
umetisha kamanda😂👍👍
Kati ya watu ambao wanaiharibu jamii ni wasomi ambao fani zao huzigeuza kuwa mtaji.
Watanzania hawahitaji hayi Lissu wanataka maendeleo kiuchumi, kumbuka freedom na economy ukivitumia vibaya utakuta haviendani. Nyumbani ukiwa na uhuru wa kila mtu afanye atakavyo utazalisha wezi, vibaka, changudua, wazembe, walalamikaji n.k
Mataifa mengi yaliyoendelea yalitenganisha uhuru na uchumi. Hata marekani yenyewe HAKI ZA BINADAMU mdomoni kiutendaji hapana kitu. Wamarekani milioni 400 wanaamuliwa nani awe rais na watu 538 tu. Wanajua asilimia kubwa uhuru huharibu mind za watu na kuzalisha non profitable generation. Tundu lissu tunahitaji economic strategies kulinasua taifa letu sio hayo unayoyasema ambayo walioyaanzisha hawayaamini pia. Ufaransa kaweka ndani waandamanaji hajui haki za binadamu????
Gervas Yemba safi sana nimekuelewa
Wahenga walisema akili nyingi zinaondoa maalifa, Mheshimiwa Lisu ukipata nafasi nyingine yataje mengi uliosema Rais Magufuli ameyafanya na sio malalamiko
MUHAJIRY AYUB daaaah kweli yan akili imezid maarifa yamekimbia
Yanayo fanyika siyo hisani mzee nikodi zetu
Kila rais anaepita nakumaliza mda wake akija mwengine mnasema bora aliyepita.uhuru waliulilia lybia nakusema ghadafi hafai lakin tazama Leo lybia Vita Kila Leo.hatukatai katiba Ila mkubali kile ninachofanywa
Emmanuel teshx a
Nguvu zakuzunguka ulaya unapata, lakini nguvu za kuja Tanzania Huna!!!??
nisahii ✌️✌️
Good sana Zuhura Yunusu wewe ni international journalist nakukubari sana mama
2020 president to be,thumbs up who Appreciate
naiona libya tz kwa mbaliiiiiii mungu tusaidie cc.
pipoooooz walioko humu jamani Lissu 2020👣
Lissu 2020
Power Lisu 2020
Huna jipya
daaah nakukubali sana 2020 lisu
hii bongo bahati mbaya
Unadeserve 2020 nitakupigia kura mzee
Welcome LISSU nwanaharakati wa Tz na Africa..MUNGU akusaidie my Future Presdent
Good
Asante Mungu kwa uhai wa Lisu
Kweli huyu alipata bora elimu😁😁😁 yaani anaongea pumba tupu
Njaatu inakusimbua wee pumzika ,hufai kuwa rais hunasifa hata robo.
Hamisi M Gama hafai kabisa
Huyu ni msomi na anafaa kuiongoza nchi
Mbona unazungumzia haki za binadam hasa nadhani unatetea ushoga
Jamaa anahic kama kakosewa kuzaliwa TANZANIA wapinzani tumewanywesha dawa yao sasa wamekua waropokaji CCM na DR JPM OYEEEE
boyaa tu uyooo kapagawaaaa
thank youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu master
Tundu lissu utashinda urais 2020 mungu yupo pamoja na wewe
Ndoto hizo
Mungu awe pamoja nawe amen
Nice video
Tundu lissu anacho kisema nichakweli kabisa mungu amjaalie tundu lissu
Tukae chini tujitafakali kama nchi naiona chuki zaidi baina ya viongozi na baina ya wana siasa faida za chuki ni maumivu au kutesana uone mfano Wa Tundulisu Mungu atusaidie Watanzania
🙏🙏🙏🔥🔥🔥👌👏
Mungu ni bariki
Dah huyu jamaa yuko smart sana kichwani
You are born to be a leader the next president tz 2020
Huyo jamaa ukimsikia majibu yake anaonekana ukimpa nchi anaweza kudhalau kila mtu.
lisu pole sana kwa kushambuliwa na risasi nanazidi kukuombea dua uzidi kuimarika naamini ipo siku utatutumikia watanzania wote ukiwa ndio rahisi mpenda haki na msema kweli
Siwezi kukupa kura yangu Magufuli anatosha
WALIKUWA pengine panya road
Dah kazi na uhuru %%%%
Lissu Umetikisa Mti ambao alikuwa nyoka juu yake, na amedondoka na kuchanika tumbo,
Pamoja sanaaaaa baba✌✌✌✌✌✌ 2020@unaingiaikulu 💪💪💪💪
Hahahaha rabda bafn ila syo ikulu niniyo ijua mm
@@chapteronlinetv5879 😂😂😂😂😂😂😂 kwanza aingie kufata nn labda
Aminia sana genius
Gombeea baba 2020 kura zipooo
hatari sana 2020 nampgia rais tu ndo namuelewa kazi ake
Penda sana Lissu Rudi Tanzania Muujiza unaoishi,
Mbona mmeshindwa kumdhibiti Mbowe? Mwenyekiti wa kudumu. Huo siyo utawala wa kifalme.
Avax5 ziza
Good
Avax5 kasome ilani ya chadema kwanza ndo uje ukomenti mkuu. Usifananishe ilani ya chama na katiba ya nchi. Miaka ya uongozi katika hivo vitu viwili ni tofauti.
Kuna Elimu ya maneno na Elimu ya Vitendo watu wengi tunashindwa kutofautisha wasomi tulionao wanatumia vichwa vywao na elimu zao katika vitendo au maneno..!! Wapo ambao wakiongea wanajua kupanga hoja na utapenda lakini vitendo zero na wapo ambao hawajui kuongea ila ukimpa atende kwa kutumia elimu yake utapenda..!! Tanzania Watanzania...!! Kila mtu anafalsafa yake katika maisha huwezi taka falsafa zako wewe wengine wazikubali hata uwe mwema kiasi gani watu watakupinga tu... ikiwa mitume ilipingwa Mwenyezi Mungu Mwenyewe watu wanampinga Vipi mimi nawewe...?
kura 2020 kwako ✌✌✌
Huyu jamaa akili yake sasa hivi sawa na chid Benz maana anaulizwa kingine anajibu kingine
@@petermakungu5400 😂😂😂😂😂😂 hata tungempa nchi angetuuza
umeshindwa kujibu maswali vizuri
Anaongea hajui kaulizwa nini
Yaani huyu jamaa hampendi Magufuli kwa sababu zake yaani hakuoona hata jambo zuri moja
Huyu jamaa sioni anatusaidia nn anaongeaga mambo yanayomuhusu mwenyewe
Kabisaaaa
Mbinafsi akumbuke hao wabelgiji wameifanyeje DRC na walimfanyaje Patrice Lumumba.
Umepata kula yangu 2020 mh. Tundu lisu
Sawa Kiongozi
gud kiongoz
2020--oyeee Lisu oyeeeeeh piople 🏁
your presdent of the republick of Tz love you lissu
the role mode of tanzanian
Na kweli Watanzania hutufai chizi lissu
Tunakusibir kwa ham kamanda Lissu
Bro,sioni kama unatosha,jipe muda Wa kutosha kujitathmini unachohitaji.
Godbless you Lissu ,ww ni MTU ulieteuliwa na Mungu
Huyu jamaaa hata Mimi hanizidi point pumba tu
Kwa kweli lissu maswali unayoiliza yanakusuta.
Wew uwezi kuongoz nchi hii gombea iraisi ubergiji wazungu wakuchague.ona jinsi maswali yalivyokuelemea ....umeshindwq kujibu .
asante kamanda lissu
Presido material
Tundulisu abaki huko asituchafuliee nchi na siasa zake chafuu anajizungumziaga yeye tuu
✌✌✌✌ full support
pole kaka Yangu
Safi sana