🔴LIVE: Mjadala wa Wazi Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania - Mbeya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 54

  • @Eulalia-zs5vd
    @Eulalia-zs5vd 2 месяца назад +1

    Shukrani kwa Vionngozi Kwa yote Wliyo yafanya pamoja na Taabu zote

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад +3

    Viongoz wot wa Tz mjifunze hapa jambo sio mnakaa tu kukodoa macho, haswa wale waliopachikwa sehemu ya kazi na ndugu zao walioko nafasi za juu

  • @user-zg1hd6no9v
    @user-zg1hd6no9v 2 месяца назад

    Hongereni sana.... Taifa letu linahitaji wanasheria waungane,,wanasiasa waungane,Tasisi za kiraia ziungane,,,Wakulima,wafanya biashara wafanyakazi waungane,,,,Ili tuwe na Lugha 1 katiba ya wananchi inayo simamiwa vizuri.... Bla kuungngana wafalme watatubruza sana....

  • @rastheunique
    @rastheunique 2 месяца назад

    Mjadala mzuri sana viongozi walafi wa madaraka hii inawakera ila kwetu sisi wananchi hii ni taa ya njia zetu zote!

  • @JohnNdabise
    @JohnNdabise 2 месяца назад +2

    Good Discusion

  • @samniza1763
    @samniza1763 2 месяца назад

    Very interesting debate.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад

    Jamani kaka asante sana kwa kutufundisha na kutuelewesha haya, maana watanzania tunajiuliza sana kwa kina ni kwanini samia hataki kupitisha katiba mpya?? Leo unatufungua macho kuwa anataka akae kwenye madaraka ambayo anaweza kufanya lolote atakalo na hakuna wa kumuambia chochote, inauma sana.

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 2 месяца назад

    Ahsantenteni kwa mjadala mzuri tunataka katiba mpya 🇸🇦

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 2 месяца назад

    Sarut sahihi

  • @YoelMagese
    @YoelMagese 2 месяца назад

    Mzee wa Mbeya nimekuelewa. Kweli watanganyika hatuna maana. Ni sawa kama tumeolewa.

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 2 месяца назад

    Hongera kwa wazo la mgombea binafsi

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 месяца назад

    Shida ya watanzania sisi ni waogo na ndio maaan inchi inauzwa na sisi tukiwa ndani yake. Ila huyu baba ana point sana. We need a new katiba

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 2 месяца назад

    Tuendelee kuihangaikia Katiba Mpya

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 2 месяца назад

    Pamoja na hayo yote pia tuangalie kusimamisha miimili ya taifa yaani Rais, Bunge, na Mahakama. Tunaomba Rais asiwe mwenyekiti wa chana Wala Spika wa Bunge asiwe mjumbe wa Baraza kuu la chama

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 2 месяца назад

    Katika nyaraka muhimu za kurejea wakati wa kuandaa Katiba Mpya ni pamoja na Katiba ya Tanganyika.Katiba ya Tanganyika,kwa taarifa zangu haikufutwa wakati wa kushirikiana na Zanzibar.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад +1

    Niko ujerumani na nawapata vizur, ukweli kabisa bila kumumunya maneno kwa Tanzania yetu tunahitaji katiba mpya tena haraka kuliko upesi , tumsihi tu samia aipitishe bila kuguna. Itatusaidia sisi wengi kuliko katiba iliopo inawafaidisha wachache na kujiona kama wao ni malaika kwenye nchi yetu ya TANZANIA. Samia aipende aikubali katiba mpya kama anavyopenda kusafiri.

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 2 месяца назад

    Hapana hilo la kuuwa Bora afungwe maisha,maana kuliko mkisema afungwe na kutoka,na kwamba mshara awe anapereka kwa yule mtu aliyefiwa,mauwaji yatakuwa menge,kwa Sababu atajitamba,na ataleta hasira kwenye jamii yetu.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 2 месяца назад

    Tanganyika,kwanza tukamilishe Katiba yetu.Pili,tutafakari kwa makini kama tunahitaji ushirikiano na Zanzibar,kwani Zanzibar tayari inayo Katiba yake.Wananchi wa Tanganyika ndiyo waamue jambo hili.Baada ya hapo ndiyo tutengeneze Katiba Mpya ya Muungano ambayo imepatikana kwa idhini ya Tanganyika na wananchi wa Zanzibar.

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 месяца назад

    Katiba ya nchi impe uhuru mwananchi haki na uhuru wakufanya ubunifu wa Kisayansi na Teknorojia katika katiba ya jamhuri ya muungano Watanzania.

  • @ezromndangalasi8164
    @ezromndangalasi8164 2 месяца назад

    Mimi binafsi naona kuendesha mijadala hii tupoteza muda Rais Samia nikuombe ruhusu latiba mpya iandikwe tu Mama hili haliepukiki

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 2 месяца назад

    Ulinzi na usalama wa kila raia, jeshi la wananchi na si jeshi la chama

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 2 месяца назад +1

    Tunaendelea na mijadala huku tunaendelea kupigwa mnada taratiiiibu.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад

    KATIBA MPYA NI LEO

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 месяца назад

    ASANTENI SANA WAZUNGUMZAJI....LAWAMA ZOTE ANABEBA RAIS WA WAKATI HUO MH. KIKWETE....HAKUWA 'MSAFI'....ALIKUWA 'MNAFIKI'.

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 2 месяца назад

    Kuna mambo yanatakiwa kubadilika kwenye katiba lakini tuache mifano ya mataifa ya nje. Marekani kuna mahakama za rufaa za majimbo na za kitaifa.

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 2 месяца назад

    Umesema kweli kuhusu mauwaji nimeshudia Kwa macho yangu Nishudia Mke anajaribu kumua memewe kwakumwitia mwizi.

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 2 месяца назад

    Hapana huwo mfumo ulipo kwenye katiba siyo rafiki kwa sisi wananchi ni rafiki Kwa viongozi,tubadirishe katiba yetu

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 2 месяца назад

    Mh. Sugu, zungumzia contents ya Katiba na mchakato wake

  • @user-bg8zz5vw5v
    @user-bg8zz5vw5v 2 месяца назад +1

    Tusunguke kufanya nn tunataka katiba ya warioba.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 месяца назад

    katiba imebeba mambo yanayohusu sheria,kwa hyo kama wanasheria wameshindwa kusimamia kwa weled hzo sheria wamebaki kufanunua mambo kwa matakwa au maslahi ya watu au kundi fulani ndio maana leo tumefika hapa ,sheria inabaki kulinda kundi la watu fulani ,usimamiz wa taratibu zilizowekwa na kuheshimiwa na kila mmoja wetu bila kuangalia mimi mtoto wa nan au natoka kitengo gan tutafika mbali ,zamani kulikuwa mtu akikosea katika jamii anaazibiwa hadharan na jamii husika na serikali vivyo hvyo ilikuwa ikiadhibu mtu bila upendeleo leo nan anasimamia hayo

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 2 месяца назад

    Kwa hivo tuna pingana na sheria ya Mungu?

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 2 месяца назад

    Wakili TV, wananchi wa kawaida watapata elimu hii?

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад

    Kaka unachanganya, yani watu wakakae tena kujadili upya katiba angali tayari ilishamalizika, sasa ukisema hivyo unamaanisha hiyo ya warioba sio kitu, iwekwe pembeni, na hiyo sio sawa, mhimizeni samia aipitishe na maisha ya watanzania yaendelee. Hatupaswi kurudi nyuma ki fikra.

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 2 месяца назад

    Fungueni statasi za watu mnaziminya, mnataka tuonekane km tuliyochangia ni wachache!!!

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 2 месяца назад

    Mbunge awe na ukomo wa kuwa mbunge. Mawaziri waajiliwe kutokana na sifa

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 месяца назад

    KATIBA MPYA NI LAZIMA....NGUVU YA UMMA ITAWAANGAMIZA WOTE WANAYOIPINGA NDANI YA CCM NA SERIKALI YAKE.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад

    Alafu eti utamkuta samia anaiambia dunia kuwa katiba ni kijitabu tu. Alikosea sana kusema hilo. Kama hajui angenyamaza tu kuliko aseme hivyo.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 2 месяца назад

    We mzee yaani ndiyo unajifagilia ili upate urasi nani akuchaguwe uwe Rais ni mama Samia Suluhu Hasani sasa hivi hatutaki Rais mwanaume ujuwe hivyo

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 2 месяца назад

    Kuna kingine raisi gani wakutoka tangnyika amebinafsisha vitu zanziba

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 2 месяца назад

    Tungekuwa nawazee wengi wenye busala nyingi kama nchi ingesonga wazee wengine nchi hii wameweka matumbo yao mbele tu

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700 2 месяца назад

    Mzee msekwa uko wapi,Malichela uko wapi,mmemuacha mzee warioba peke yake,Wasira mmmm

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад

    KATIBA MPYA IPATIKANE SASA KABLA YA UCHAGUZI WA 2025. NI MUHIMU SANAA KATIKA MAENDELEO YA NNCHI. NCHI YA TANZANIA NI KUBWA SANAA ,KWA MTU MMOJA KUIONGOZA PEKE YAKE. INABIDI VYAMA VIUNGANE KATIKA KUIONGOZA . MAWAZO YA WATU WAWILI SIYO SAWA NA WAZO LA MTU MMOJA.

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 2 месяца назад

    Yote tisa haya yote ni kazi ya akili za Chenge,Msekwa na Warioba. Walikuwa machawa....wa mwalimu JK N...

  • @aronlubango7934
    @aronlubango7934 2 месяца назад +1

    Mnatupotezea muda ninyi kaeni na hiyo katiba lkn mtajua baadaye kwa nn tunaomba

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 2 месяца назад

    Mkome tuna katiba

    • @vaxcraker99
      @vaxcraker99 2 месяца назад

      Wewe ndiyo ukome na mawazo yako na ubinafsi wa watawala wezi wachache, na wanaouza nchi ya Tanganyika.

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 2 месяца назад

      @@vaxcraker99 Kumbe wewe ni kilaza hata hujui maana ya katiba

    • @vaxcraker99
      @vaxcraker99 2 месяца назад

      @@faustinluambano2958 Ninaamini kunaweza kuwa na kutokuelewana. Katiba ni hati ngumu, na tafsiri zinaweza kutofautiana. Hebu tujadili hili kwa utulivu ili kuhakikisha sote tunaelewa mitazamo ya kila mmoja wetu. Taja manne na elezea jinsi unavyoyaelewa kwenye katiba ambayo sitayaelewa?

  • @melch3097
    @melch3097 2 месяца назад

    Guys can you stop this nonsense, kweli watu wazima, tunapoteza kujadili, kitu cha dakika mbili, kusema kweli hatutaendelea kwa mtindo huu,

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 2 месяца назад

    Kuna kingine raisi gani wakutoka tangnyika amebinafsisha vitu zanziba