AT: ATOBOA SIRI Ya DIAMOND NA ALIKIBA / WALITENGENEZWA /SHILOLE /KISIMA CHA KUINAMA /ZUCHU AMERITHI
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Exclusive na rafiki Wa karibu na #alikiba Anafunguka kinachoendelea kati ya #diamondplatnumz na Alikiba ,Huyu hapa #AT msikilize na Usikose hii interview.
I'm proud of you brother AT, GOD BLESS YOU MINGI, NAPENDA WATU KAMA WEWE KATIKA TASINIA YA MZIKI KAMA KIONGOZI MSIMAMIZI, MAANA UMEITENDEA HAKI INTERVIEW YAKO. MUCH RESPECT 💯🙏👌
Mashallah umenikuna haswaaaa katika wote walio ongea wewe babalao jamaniii umeongea point Sana mashallah mashallah mashallah 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Dah At.yuko vizuri nimemwerewa vizuri Sana katupa interview yakisasa pongezi kwake brother
ASANTE KWA KUTAZAMA USISSHAU KUSUBSCRIBE CHANNEL HII.🙏
Good interview... Jamaa clever Sana. Kaongea point back 2 back!
Bro ume bonga sana za wote umarufu ndo twapotea kiu binadamu sure congratulations bro✌️
Well said 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
IT,uko sawa kaka big up
Kaongea point sana hyu mwamba🔥🔥🔥🔥
Umeongea point wng..Mercy amefarik juzjuz lkn saut haijapazwa zaid ya Joyce kiria ndo alikua mstar wa mbele hatujaona kiongoz alieguswa na hilo na weng wanaangamia sana wanawake bila kusikika, sasa shilole ni sawa tu na sis wanawake wengne tusio na majna hatujulikani ,asante sana AT kwa kukumbuka wengne Allah akusmamie ktk mambo yk!.
Hongera sana umegusa moyo Wangu big point
Mercy ni Nani.....!???
Asante sana kwa busara zako najua watu wengi wanajifunza mengi.
Nakupenda we Kaka acha2
Jmn mm pia nampenda huyu kaka vby mno yaan nikimuon moyo wng fyuuuu unafurahiiii ningekuw na no yake nichat nae tu niwe nacheka kwa furah
Yani ki2 kumoyo 💕💚💜❤hanaga mambo ya kiki na akiongea unapenda 2 anavyo jielezea
Kweli.upo sahihi
Kweli.upo sahihi
Hii ndio inaitwa busara,big up Kaka umeongea ukamaliza👍
Hawa waliwakuwa wanamziki wazuri sana aki wamekosa full support,msikize anavyosema,very sad😭😭
Right on point. Big up bro
Daaah jamaaa yuko vizuri hatar iq hapa iko vizuri safi sana kaka
Umeongea jambo kubwa na zuli sana
AT nakukubali sana mzee baba 👊
100% true 👍🏽
Nimekuelewa kaka
.
Safi sana At ushauri mzuri
Uyu jamaaa genius sana
Point nzuri na ni fact kabisa.
Ila wacha kazi hii haikubaliani na amri za Muumbaji.
Well said brother
Umeongea vzr sana,hongera sana AT
Kweli kabisa point kaka wote wanafiki
True
Very true A T
Umeongea ukweli na unaeleweka vizuri sana
Umeongea kweli mashaalla una maarifa ndugu
Wacha nisambaze link hii nimeipenda Sana Sana Sana Sana wallah
Siyo wote wanahimba wana akili kama ya AT. Well said bro.
Umeaongea point mzanzibar mwenzangu wallah ukipata wenzako kama watano ttyu bas wasanii watajiongeza hata umalaya wataacha
Point sanaaaa
Ni kweli Shilole mwenyewe alikua anakiri kwamba alikua anampiga Nuhu Mziwanda
Mm nakupenda sana ndugu yangu ww huwa unasema kweli sanaa
Safi sana
AT umeongea point sana hii nchi kuna matabaka
That's good bro.
Umeongeya vizuri san A.t nakukubali San hadi msikiwako
Point 💯
Umeongea point kubwa sana
AT youre right shishi used to beat Nuhu no one said a thing she thought she would do the same to Uchebe .am not saying hitting ladies is ok but Tht woman needs to change her behaviors 😂😂 alitaka Kiki na sympathy
Uko vizur Sana ume eleweka mzee
🔥🔥🔥🔥
Mashallah 👋👋👋👋🙏🙏🙏🙏🙏
Big up. Roma nimemsikliza sana hata zile nyimbo zake,zimesimama kwenye vyama.ukiwa mwelevu anajua tu huyu ni mpinzani!!!!!
Safi sana
Kweli kabisa ndugu
Big up AT
Great mind
Umeongea point sana mzee baba
Sanaaa
Well say, well done
Kati ya intavue zote nilizo sikiza huyu jamaa ameongea ukweli mtupu na busara.
True.
Umesema ukweli 👏
At umeongea Point Sana
Yaan umeongea point hata yeye alimpiga nuh mziwanda kachemmka hakumbuki alichokifanya kasahau mkuki kwa nguruwe
Kweli kaka uyu shilole amuheshim.mumewe kwasababu anahela
@@عباسعباس-ش9ه4ت Kansas yaan
Shilole atakufa akiwa n malaya
AT, Baba lao huyu jamaa noma Kweli.
Kajibu vizuri sana kuhusu swala la vyama hapo
AT Juu
AT msema kweli daaaa😂😂😂 kasoma gazeti la udakuu huyo ROMA😂😂😂
Bro Nakubalisana ukweliwako
At balaa
Respect
Mashaallah
Kabisa
Fact
AT umeongea kihekima bro
Nampenda huyu kaka jamanii
AT legend
Kaka yetu tumekumbuka nyombo zako zilikuwa nzuri sana mbona haujatiwa nyimbo mpya
Safiii
Kweli baba
😂😂😂 Dah AT Yuko very smart Sana ..kwel uligundua watu hawapendani Et Wameleft Hata Nusu saa haijaisha wanakuuliza Tena "Unafeli Wapi" ..Na Ndomaan Wanaijeria Wasanii wao Wanafika mbali cz wana Aim Wengi watoke sio Wachache tu wale keki peke Yao.. Na kaul inasema " Uktaka Kufka mbali nenda na wenzako, Maana Nguvu inakuwa Kubwa sna na Utajkuta Mahali ulipotakiwa utumie Miaka 5 ufke utatumia Miaka michache au mda mchache Kufka mbali Maana Mnakuwa mna push Mlango watu Wengi Hivyo Utafunguka Na Wengi Watapita
Huyo ndio AT ayaaaa mzenji kwa manenoooo mtakeshaaaa🤣🤣🤣🤣
Katika wasanii ambayo wamejibu ili swali vizuri..ni huyu tu..kila msanii achague upande wake
Hata mimi nilishangaa na bado naendelea kushangaa sana eti Shilole kubigwa imekuwa gumzo kila kona utadhini yeye ndiyo wa kwanza kupigwa hii yote ni kumuonea Uchebe kisa sio star kama wao.
🤝👍
Kweli काका unayoyasema
Haya mambo ya mke namme yapo kilasiku ukifanyakosa lazima unyoshwe kupigwa ni suna bhana umeongeya point San At
Ametisha
Kwani uchebe kawakosea watanzania au kamkosea mkewake
Na mm nashanga aisee😁😁😁
AT UMEONGEA POINT BRO WATU HAWAYAONI HAYO WANAHEMKA TUUU KAMA KWELI WAMEUMIA BASI WAENDE KUMUULIZA UCHEBE KULIKONI ISIJE SHILOLE ALIKUA NA HAMU YA KUPIGWA KAMA HAMU ZINGIE
HUO NI MSAMIATI NDUGU ZANGU
Ni mkarimu ameongea vizur
sana
Shilole ni mtu asiejielewa shilole hajifaham nilikiwa nikimpenda sana lkn nilimchukia zamani sana shilole tangu alipotoa dharau kwa mzee wa Liquid kwnz huyu dada anajiona balaa lkn angejiona asingeringa alikuwa akimpiga sana Nuh
Sawa sawa
AT hakika umeongea mambo ya busara sana heshma tele kwako 🙏
Leo umeongea point
Umesema ukweli hajasema mtu yoyote. Kuhuc unyanyasaji Binaadam wote sio upigwe vita wa watu marufu
Kilichonileta hapa ni baada ya kuona jina la WCB na Diamond
Hakuna aliesahau wanajisahaulisha,hata huyo Shilole nae alikua anampiga Nuhu Mziwanda watu wote kimya’
Wallah ni kweli maneno yako viongoz wanatazama umarufu wale walopigwa mpaka kufa hakuna alopaza saut wala nn walikaa kimyaaa kweli kabisa umeongea kweli Tena kweli
Nimekuelewa mkali
AT...wewe ni MTU mzima ....wambie ukweli Kaka ...wanawake maskini wanaumiaa sanaaa
Nakkbaalii sana IT saruuutiiii Mkalimka
Nikwelii umeongea pwety
Point tupu an wanawake tuko wengi lkn hili jambo la shilole ndo limeonekana sana ila huku mtaan wengi tyuuu wanapigwa lkn hakuna kinachofanyika hapa kuna matabaka
Asnte kaka umeongea pont
Umeongea point tusifanye matabaka
kweli nenda tarime ndo utajua wanawake wanapingwa au shishi kanguswa tu ndo watu sasa wapaze sauti wanawake wananynyasika sana vijijini jamani kweli bro unafiki unatakiwa uishe jamani
Kama nakuelewa AT
Nimekuelewa at
Kweli kabisa!huyo Roma aelewe kuwa MUNGU anamuona !.
kizaZ Sana umrongea point
Pouti kaka
bangi mbaya sana
Yani AT umeongea kama watu 100....shilole no kama wanawake wengine isiwe yeye tu kila mahali...Kwani kaanza yeye kupigwa....wangapi wapigwa wala husiki mtu kukohoa