AT: ATOBOA SIRI Ya DIAMOND NA ALIKIBA / WALITENGENEZWA /SHILOLE /KISIMA CHA KUINAMA /ZUCHU AMERITHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Exclusive na rafiki Wa karibu na #alikiba Anafunguka kinachoendelea kati ya #diamondplatnumz na Alikiba ,Huyu hapa #AT msikilize na Usikose hii interview.

Комментарии • 179

  • @Weplanetitsolutions
    @Weplanetitsolutions 4 года назад +1

    I'm proud of you brother AT, GOD BLESS YOU MINGI, NAPENDA WATU KAMA WEWE KATIKA TASINIA YA MZIKI KAMA KIONGOZI MSIMAMIZI, MAANA UMEITENDEA HAKI INTERVIEW YAKO. MUCH RESPECT 💯🙏👌

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 4 года назад +13

    Mashallah umenikuna haswaaaa katika wote walio ongea wewe babalao jamaniii umeongea point Sana mashallah mashallah mashallah 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @simatvchannel
    @simatvchannel 4 года назад

    Dah At.yuko vizuri nimemwerewa vizuri Sana katupa interview yakisasa pongezi kwake brother

  • @Jicholauswazitv
    @Jicholauswazitv  4 года назад +5

    ASANTE KWA KUTAZAMA USISSHAU KUSUBSCRIBE CHANNEL HII.🙏

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 4 года назад +8

    Good interview... Jamaa clever Sana. Kaongea point back 2 back!

  • @salimmohammed111
    @salimmohammed111 4 года назад +5

    Bro ume bonga sana za wote umarufu ndo twapotea kiu binadamu sure congratulations bro✌️

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 года назад +1

    Well said 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @zaidizabron2294
    @zaidizabron2294 4 года назад +7

    IT,uko sawa kaka big up

  • @chicafourteen
    @chicafourteen 4 года назад +11

    Kaongea point sana hyu mwamba🔥🔥🔥🔥

  • @zamoyonimohamedimam1695
    @zamoyonimohamedimam1695 4 года назад +12

    Umeongea point wng..Mercy amefarik juzjuz lkn saut haijapazwa zaid ya Joyce kiria ndo alikua mstar wa mbele hatujaona kiongoz alieguswa na hilo na weng wanaangamia sana wanawake bila kusikika, sasa shilole ni sawa tu na sis wanawake wengne tusio na majna hatujulikani ,asante sana AT kwa kukumbuka wengne Allah akusmamie ktk mambo yk!.

  • @amimulashidy3669
    @amimulashidy3669 4 года назад +1

    Asante sana kwa busara zako najua watu wengi wanajifunza mengi.

  • @salmangassu1011
    @salmangassu1011 4 года назад +19

    Nakupenda we Kaka acha2

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 года назад

      Jmn mm pia nampenda huyu kaka vby mno yaan nikimuon moyo wng fyuuuu unafurahiiii ningekuw na no yake nichat nae tu niwe nacheka kwa furah

    • @salmangassu1011
      @salmangassu1011 4 года назад

      Yani ki2 kumoyo 💕💚💜❤hanaga mambo ya kiki na akiongea unapenda 2 anavyo jielezea

    • @raylaabdallahm9678
      @raylaabdallahm9678 4 года назад

      Kweli.upo sahihi

    • @raylaabdallahm9678
      @raylaabdallahm9678 4 года назад

      Kweli.upo sahihi

  • @lilloaisha5345
    @lilloaisha5345 4 года назад +1

    Hii ndio inaitwa busara,big up Kaka umeongea ukamaliza👍

  • @milliahachenya2749
    @milliahachenya2749 3 года назад

    Hawa waliwakuwa wanamziki wazuri sana aki wamekosa full support,msikize anavyosema,very sad😭😭

  • @lionking3015
    @lionking3015 4 года назад +5

    Right on point. Big up bro

  • @thegreatconceptc9
    @thegreatconceptc9 4 года назад +6

    Daaah jamaaa yuko vizuri hatar iq hapa iko vizuri safi sana kaka

  • @hassanjuma7934
    @hassanjuma7934 4 года назад

    AT nakukubali sana mzee baba 👊

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 4 года назад +12

    100% true 👍🏽

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 4 года назад +2

    Safi sana At ushauri mzuri

  • @dj26number2
    @dj26number2 4 года назад +2

    Uyu jamaaa genius sana

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 года назад

    Point nzuri na ni fact kabisa.
    Ila wacha kazi hii haikubaliani na amri za Muumbaji.

  • @karthala6676
    @karthala6676 4 года назад +1

    Well said brother

  • @omardaudi2928
    @omardaudi2928 4 года назад +5

    Umeongea vzr sana,hongera sana AT

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 4 года назад +1

    Kweli kabisa point kaka wote wanafiki

  • @ph.mahmoudjrsperrachee6922
    @ph.mahmoudjrsperrachee6922 4 года назад +1

    True

  • @سلامهكينيا-ث4س
    @سلامهكينيا-ث4س 4 года назад +4

    Very true A T

  • @susanejd7775
    @susanejd7775 4 года назад +7

    Umeongea ukweli na unaeleweka vizuri sana

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 4 года назад +9

    Umeongea kweli mashaalla una maarifa ndugu

  • @rimamrisho6047
    @rimamrisho6047 4 года назад +5

    Wacha nisambaze link hii nimeipenda Sana Sana Sana Sana wallah

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 4 года назад

    Siyo wote wanahimba wana akili kama ya AT. Well said bro.

  • @juxjemc5768
    @juxjemc5768 4 года назад

    Umeaongea point mzanzibar mwenzangu wallah ukipata wenzako kama watano ttyu bas wasanii watajiongeza hata umalaya wataacha

  • @kerjoyofficial9213
    @kerjoyofficial9213 4 года назад +4

    Point sanaaaa

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 4 года назад +8

    Ni kweli Shilole mwenyewe alikua anakiri kwamba alikua anampiga Nuhu Mziwanda

  • @suleymanially974
    @suleymanially974 4 года назад +3

    Mm nakupenda sana ndugu yangu ww huwa unasema kweli sanaa

  • @joemaabdarha9795
    @joemaabdarha9795 4 года назад

    AT umeongea point sana hii nchi kuna matabaka

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 года назад +4

    That's good bro.

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 года назад

    Umeongeya vizuri san A.t nakukubali San hadi msikiwako

  • @siwemasaid2619
    @siwemasaid2619 4 года назад +4

    Point 💯

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 4 года назад +6

    Umeongea point kubwa sana

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 4 года назад +3

    AT youre right shishi used to beat Nuhu no one said a thing she thought she would do the same to Uchebe .am not saying hitting ladies is ok but Tht woman needs to change her behaviors 😂😂 alitaka Kiki na sympathy

  • @masebochris3050
    @masebochris3050 4 года назад +6

    Uko vizur Sana ume eleweka mzee

  • @CarosKitchen
    @CarosKitchen 4 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @rahmarahma5076
    @rahmarahma5076 4 года назад

    Mashallah 👋👋👋👋🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 4 года назад

    Big up. Roma nimemsikliza sana hata zile nyimbo zake,zimesimama kwenye vyama.ukiwa mwelevu anajua tu huyu ni mpinzani!!!!!

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 4 года назад +3

    Safi sana

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 4 года назад

    Kweli kabisa ndugu

  • @kasiyoamissi9327
    @kasiyoamissi9327 4 года назад

    Big up AT

  • @selfplanet3880
    @selfplanet3880 4 года назад

    Great mind

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART 4 года назад +9

    Umeongea point sana mzee baba

  • @mohamedhamadi1056
    @mohamedhamadi1056 4 года назад

    True.

  • @teminajeuri347
    @teminajeuri347 4 года назад +4

    Umesema ukweli 👏

  • @shabaniramadhani4109
    @shabaniramadhani4109 4 года назад +1

    At umeongea Point Sana

  • @لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه

    Yaan umeongea point hata yeye alimpiga nuh mziwanda kachemmka hakumbuki alichokifanya kasahau mkuki kwa nguruwe

  • @jumaahmad4117
    @jumaahmad4117 4 года назад

    AT, Baba lao huyu jamaa noma Kweli.

  • @SamuelCharles-111
    @SamuelCharles-111 4 года назад

    Kajibu vizuri sana kuhusu swala la vyama hapo

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 4 года назад

    AT Juu

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +2

    AT msema kweli daaaa😂😂😂 kasoma gazeti la udakuu huyo ROMA😂😂😂

  • @dulla_paree_tz2431
    @dulla_paree_tz2431 4 года назад

    Bro Nakubalisana ukweliwako

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 4 года назад

    At balaa

  • @omarmohd1635
    @omarmohd1635 4 года назад +1

    Respect

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 4 года назад

    Mashaallah

  • @salmakiungo2538
    @salmakiungo2538 4 года назад

    Kabisa

  • @ayshenagib6462
    @ayshenagib6462 4 года назад +1

    Fact

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 4 года назад +1

    AT umeongea kihekima bro

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 года назад +1

    Nampenda huyu kaka jamanii

  • @EyazMusic
    @EyazMusic 4 года назад

    AT legend

  • @فاالشبيبي
    @فاالشبيبي 4 года назад +1

    Kaka yetu tumekumbuka nyombo zako zilikuwa nzuri sana mbona haujatiwa nyimbo mpya

  • @hadijandenga4025
    @hadijandenga4025 4 года назад +1

    Safiii

  • @mwajumakapalatu7040
    @mwajumakapalatu7040 4 года назад

    Kweli baba

  • @Swahili_Wisdom
    @Swahili_Wisdom 4 года назад

    😂😂😂 Dah AT Yuko very smart Sana ..kwel uligundua watu hawapendani Et Wameleft Hata Nusu saa haijaisha wanakuuliza Tena "Unafeli Wapi" ..Na Ndomaan Wanaijeria Wasanii wao Wanafika mbali cz wana Aim Wengi watoke sio Wachache tu wale keki peke Yao.. Na kaul inasema " Uktaka Kufka mbali nenda na wenzako, Maana Nguvu inakuwa Kubwa sna na Utajkuta Mahali ulipotakiwa utumie Miaka 5 ufke utatumia Miaka michache au mda mchache Kufka mbali Maana Mnakuwa mna push Mlango watu Wengi Hivyo Utafunguka Na Wengi Watapita

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +1

    Huyo ndio AT ayaaaa mzenji kwa manenoooo mtakeshaaaa🤣🤣🤣🤣

  • @francisaban3873
    @francisaban3873 4 года назад +4

    Katika wasanii ambayo wamejibu ili swali vizuri..ni huyu tu..kila msanii achague upande wake

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 4 года назад +1

    Hata mimi nilishangaa na bado naendelea kushangaa sana eti Shilole kubigwa imekuwa gumzo kila kona utadhini yeye ndiyo wa kwanza kupigwa hii yote ni kumuonea Uchebe kisa sio star kama wao.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +2

    🤝👍

  • @akrammahtabi935
    @akrammahtabi935 4 года назад

    Kweli काका unayoyasema

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 года назад

    Haya mambo ya mke namme yapo kilasiku ukifanyakosa lazima unyoshwe kupigwa ni suna bhana umeongeya point San At

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 4 года назад +2

    Ametisha

  • @mikidadihussein5152
    @mikidadihussein5152 4 года назад +12

    Kwani uchebe kawakosea watanzania au kamkosea mkewake

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 4 года назад

    AT UMEONGEA POINT BRO WATU HAWAYAONI HAYO WANAHEMKA TUUU KAMA KWELI WAMEUMIA BASI WAENDE KUMUULIZA UCHEBE KULIKONI ISIJE SHILOLE ALIKUA NA HAMU YA KUPIGWA KAMA HAMU ZINGIE
    HUO NI MSAMIATI NDUGU ZANGU

  • @mariamfaki1498
    @mariamfaki1498 4 года назад +13

    Ni mkarimu ameongea vizur
    sana

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official7980 4 года назад +2

    Shilole ni mtu asiejielewa shilole hajifaham nilikiwa nikimpenda sana lkn nilimchukia zamani sana shilole tangu alipotoa dharau kwa mzee wa Liquid kwnz huyu dada anajiona balaa lkn angejiona asingeringa alikuwa akimpiga sana Nuh

  • @b.truthful
    @b.truthful 4 года назад +1

    AT hakika umeongea mambo ya busara sana heshma tele kwako 🙏

  • @mohdchande3058
    @mohdchande3058 4 года назад

    Leo umeongea point

  • @khadijaissa768
    @khadijaissa768 4 года назад +4

    Umesema ukweli hajasema mtu yoyote. Kuhuc unyanyasaji Binaadam wote sio upigwe vita wa watu marufu

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 года назад +1

    Kilichonileta hapa ni baada ya kuona jina la WCB na Diamond

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 4 года назад +11

    Hakuna aliesahau wanajisahaulisha,hata huyo Shilole nae alikua anampiga Nuhu Mziwanda watu wote kimya’

  • @rimamrisho6047
    @rimamrisho6047 4 года назад

    Wallah ni kweli maneno yako viongoz wanatazama umarufu wale walopigwa mpaka kufa hakuna alopaza saut wala nn walikaa kimyaaa kweli kabisa umeongea kweli Tena kweli

  • @ditomwakei2288
    @ditomwakei2288 4 года назад +4

    Nimekuelewa mkali

  • @salimstambuli7270
    @salimstambuli7270 4 года назад

    AT...wewe ni MTU mzima ....wambie ukweli Kaka ...wanawake maskini wanaumiaa sanaaa

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 года назад

    Nakkbaalii sana IT saruuutiiii Mkalimka

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 4 года назад +1

    Nikwelii umeongea pwety

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 года назад

    Point tupu an wanawake tuko wengi lkn hili jambo la shilole ndo limeonekana sana ila huku mtaan wengi tyuuu wanapigwa lkn hakuna kinachofanyika hapa kuna matabaka

  • @salisali3738
    @salisali3738 4 года назад

    Asnte kaka umeongea pont

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 4 года назад +4

    Umeongea point tusifanye matabaka

  • @pendogotora1871
    @pendogotora1871 4 года назад +1

    kweli nenda tarime ndo utajua wanawake wanapingwa au shishi kanguswa tu ndo watu sasa wapaze sauti wanawake wananynyasika sana vijijini jamani kweli bro unafiki unatakiwa uishe jamani

  • @avitusdamian3232
    @avitusdamian3232 4 года назад

    Kama nakuelewa AT

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 года назад

    Nimekuelewa at

  • @brightluvanda2795
    @brightluvanda2795 4 года назад

    Kweli kabisa!huyo Roma aelewe kuwa MUNGU anamuona !.

  • @mikidadihussein5152
    @mikidadihussein5152 4 года назад +3

    kizaZ Sana umrongea point

  • @khanifajoy7473
    @khanifajoy7473 4 года назад

    Yani AT umeongea kama watu 100....shilole no kama wanawake wengine isiwe yeye tu kila mahali...Kwani kaanza yeye kupigwa....wangapi wapigwa wala husiki mtu kukohoa