AISEE! MAKONDA AMEKASIRIKA, AAGIZA MKURUGENZI ACHUKULIWE HATUA "INAUMA KUFOKEWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 29

  • @davidamos9048
    @davidamos9048 5 лет назад +2

    Thanks

  • @fridambwiliza190
    @fridambwiliza190 5 лет назад

    Mungu tuu akulinde ufanye kazi vizuri amina

  • @raymondhaule6947
    @raymondhaule6947 5 лет назад

    Mungu akupe nguvu kaka so wote wanapenda kuona unaendelea kukaa kwenye kiti chako cha RC namini mungu atasimama na wewe

  • @ابنعثمن
    @ابنعثمن 5 лет назад

    Natamani ungekuwa RC wa mkoa wangu,
    -PWANI

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 5 лет назад +3

    Ee kweli Leo makonda kaongea

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 5 лет назад +10

    Makonda usicheke na mtu kaka wanakuangusha sana wenzio! Watanzania mpaka uwe mkali ndio wakuelewe

  • @mussatabuji2380
    @mussatabuji2380 5 лет назад +1

    Mungu aendelee kukuongoza

  • @majaliwabwitonde7749
    @majaliwabwitonde7749 5 лет назад +1

    Huna uwezo wa kupunguza Idara, hazipangwi na mkuu wa mkoa.

  • @seifmwinshee3593
    @seifmwinshee3593 5 лет назад

    Pambana kaka bora hivo

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 5 лет назад +1

    Yaani ww mkuu wa mkoa mm nakukubali sana ila hao watendaji wako ovyo sana

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад

    Imebakia kusifia tu fanya kazi acha kutafuta maneno maneno

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 5 лет назад

    Kweli hii nchi ya madili

  • @ephrahimjoel6406
    @ephrahimjoel6406 4 месяца назад

    Ukiona anaye kupinga umemgusa

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 5 лет назад +3

    Saafiii- Makonda waambiee wanakuangusha Makusudi Mafsadi hao Fukuza kabisa Mkuu" kabla hawajakuharibia waharibu kwanza hatavitabu vinasema hivyo

  • @rali8825
    @rali8825 5 лет назад

    Now RC you are talking. Hii ndio sauti ya mamlaka.

  • @lisajackson5867
    @lisajackson5867 5 лет назад

    Mmh n ujitahd kweli man Navyo muon Magu Asij kutngua kama aliwez Mtoa Rafk yk kpenz Morogoro Mmh pamban kweli kaka Magu hatak mchezo

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 5 лет назад

    Rc angalia material pia yanatoka wapi mfano mchanga,kokoto na mawe ili kuweza kujuwa hizo gharama kwanini zinatofautiana sana

  • @twahilhoja8103
    @twahilhoja8103 5 лет назад

    Swala la taka ni kilio kweli kaka tusaidie

  • @karyori69
    @karyori69 5 лет назад +2

    huyu jamaa mropokaji, sasa mambo ya Saada Mkuya ya kuambiwa faragha unayaongeaje hadharani? huoni unamchonganisha JPM kuwa ni mtu wa kinyongo?

  • @fridambwiliza190
    @fridambwiliza190 5 лет назад

    Wasikuangushe watu hawana wema

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 5 лет назад

    Kuelekea uchaguzi ndio kwanza panakaba wewe Makonda wanyoshe maana wanataka wakuaribie

  • @ephrahimjoel6406
    @ephrahimjoel6406 4 месяца назад

    Mkuu mweshimiwa chapa kazi wewe ni jembe

  • @mohamedkhamisi8122
    @mohamedkhamisi8122 5 лет назад

    Mkuu chukua uwamuzi usiwape tahadhali maamuzi hayo nimepesi vitu vikifanyika vinaonekana kaka huwezi kwenda nasisi wote kwapamoja wengine hadi fimbo kaka pambana wengi tunaimani nawewe mkuu komaanao story zitakukost kaka mkuu wa nnchi ni mtu wakazi story hakuna.

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 5 лет назад

    Relaxiiiiiiiii usipanikiiii hahahaha

  • @wewwew9380
    @wewwew9380 5 лет назад

    Sawa kka mkubwa