Mkuu chukua uwamuzi usiwape tahadhali maamuzi hayo nimepesi vitu vikifanyika vinaonekana kaka huwezi kwenda nasisi wote kwapamoja wengine hadi fimbo kaka pambana wengi tunaimani nawewe mkuu komaanao story zitakukost kaka mkuu wa nnchi ni mtu wakazi story hakuna.
Thanks
Mungu tuu akulinde ufanye kazi vizuri amina
Mungu akupe nguvu kaka so wote wanapenda kuona unaendelea kukaa kwenye kiti chako cha RC namini mungu atasimama na wewe
Natamani ungekuwa RC wa mkoa wangu,
-PWANI
Ee kweli Leo makonda kaongea
Makonda usicheke na mtu kaka wanakuangusha sana wenzio! Watanzania mpaka uwe mkali ndio wakuelewe
Mungu aendelee kukuongoza
Huna uwezo wa kupunguza Idara, hazipangwi na mkuu wa mkoa.
Pambana kaka bora hivo
Yaani ww mkuu wa mkoa mm nakukubali sana ila hao watendaji wako ovyo sana
Imebakia kusifia tu fanya kazi acha kutafuta maneno maneno
Kweli hii nchi ya madili
Ukiona anaye kupinga umemgusa
Saafiii- Makonda waambiee wanakuangusha Makusudi Mafsadi hao Fukuza kabisa Mkuu" kabla hawajakuharibia waharibu kwanza hatavitabu vinasema hivyo
Now RC you are talking. Hii ndio sauti ya mamlaka.
Mmh n ujitahd kweli man Navyo muon Magu Asij kutngua kama aliwez Mtoa Rafk yk kpenz Morogoro Mmh pamban kweli kaka Magu hatak mchezo
Rc angalia material pia yanatoka wapi mfano mchanga,kokoto na mawe ili kuweza kujuwa hizo gharama kwanini zinatofautiana sana
Swala la taka ni kilio kweli kaka tusaidie
huyu jamaa mropokaji, sasa mambo ya Saada Mkuya ya kuambiwa faragha unayaongeaje hadharani? huoni unamchonganisha JPM kuwa ni mtu wa kinyongo?
tatizo ni shule na ufahamu ndugu
meme wa lea Chanika hela wanazo kazi hawataki kifanya
umeme wa lea hakuna chanika mwisho hakuna pesa wamepewaaa
Ng'wamba Bila
Wasikuangushe watu hawana wema
Kuelekea uchaguzi ndio kwanza panakaba wewe Makonda wanyoshe maana wanataka wakuaribie
Mkuu mweshimiwa chapa kazi wewe ni jembe
Mkuu chukua uwamuzi usiwape tahadhali maamuzi hayo nimepesi vitu vikifanyika vinaonekana kaka huwezi kwenda nasisi wote kwapamoja wengine hadi fimbo kaka pambana wengi tunaimani nawewe mkuu komaanao story zitakukost kaka mkuu wa nnchi ni mtu wakazi story hakuna.
Relaxiiiiiiiii usipanikiiii hahahaha
Sawa kka mkubwa