Ooooh..... Nawapenda sn nyie jamni! Mungu azidi kuwalinda na kumtunza wanenu na wote atakaowajalia! Big up kwa wasanii na wote mlioshiriki, Mungu awalinde nyie na watoto wenu, mzidi kushirikiana kwa Upendo.... I real proud of You!!!❤🙏
Happy birthday princess ❤Mungu akawe msada kwako kila hiitwapo leo, Mungu awape ushilikiano wazazi mmlee mtoto kwenye njia ya kumpendeza Mungu 💖❣️Kitim tim mwanao mashallah ❤ Mungu awalinde watoto wote duniani 🙏🙏
Kwanza Asante sana kwa kuanza kwa maombi Mwenyezi Mungu akawalinde na awatunze watoto wote katika matendo mema yanayo mpendeza 🥰🥰🙏
Piga kelele yake Nenga Kwa sala Kali🤝🤔😅😅
Nandy na billnass mungh awatunze pamoja na bint yenu mrembo mashallah na akue katika mising ya dini
Watoto wote wazuri jaman mashallah❤pili kitim kitim ndokwanza nmuone Leo mwanao pia kazuri mashallah
Kenaya anataka kumfanana she is Lola Kwa mbali wazuri Manshallah
Kilichopatikana kwa maombi,pia kilindwe kwa maombi in jesus name amin..
Ooooh..... Nawapenda sn nyie jamni! Mungu azidi kuwalinda na kumtunza wanenu na wote atakaowajalia! Big up kwa wasanii na wote mlioshiriki, Mungu awalinde nyie na watoto wenu, mzidi kushirikiana kwa Upendo.... I real proud of You!!!❤🙏
Happy birthday kinay baby girl I love you nandy hongela jamn mtot kakufanana ni me zennnn
Mashalaah vtoto vyote cute😂😂😂😂😂katoto ka pil kitimtim kazuri ka kahindi😂😂Ila lola kachangmka ka mamaake tunda.. Katoto ka nandy so cute😂❤❤❤❤❤
wahooo kazuri sana katoto nampenda sana nandy na billinass mungu akubaliki sana
Endeleeni hivyo hivyo Mungu kwanza nimekupenda buree baba mtoto kwa kusema na baba yako wa mbinguni.huyo ndio kila kitu ktk maisha yenu.nice family.
Happy birthday princess ❤Mungu akawe msada kwako kila hiitwapo leo, Mungu awape ushilikiano wazazi mmlee mtoto kwenye njia ya kumpendeza Mungu 💖❣️Kitim tim mwanao mashallah ❤ Mungu awalinde watoto wote duniani 🙏🙏
Happy birthday beloved daughter ♥️😘
Mashallah, nipo natabasam tu hapa, good day guys 😘👍
Mashallah Kwa mara ya kwanza nimemuona mtoto WA pili kitimtim hongera sna pili
Eeeh nilikuwa natafta hii comment n wakwake???😂😂😂😂😂
@@fatumakimaya3872ndyo ni wake na hajawahi mpost ndo kwanza leo kameonekana 😊
Happy birthday 🎉🎂 Naya bill. Bill junior
Asnt sana Kwa jambo mulilofanya mung awabakil happy birthday baby girl
Jaman mtoto huyu anapendwa ❤❤❤❤❤❤❤❤ had raha
Nengaa ananenepa jmn🥰
God bless
Happy birthday 🎉
Thank you
Happy birthday sweet bby
Happy birthday 🎈🎂 mtoto mzuri ❤❤
hongera kwao😊😊
Wow hongera sana watoto wazuri❤
Wahooooo wahoooo so nice jmni nawapenda mnoooo mnoooo
Congràtulation
Wawooo👌👌👌👌
❤🎉🎉ongera mung ampe maisha malefu
Happy birthday kenaya
Kitt cut kama mashaallah
Appibathday
Nawpenda❤❤❤🎉
❤❤❤❤❤ love you
Mashallha vitt vizuri pia Allha awakuze pili na yeye leo tumemuona kitt chake cha kizungu kizuri
Mozaa mrembo alafu kapo smart nmependa kalivo msubiri mwenzie
kitukizuri kweli ni watoto tu
Mi I love lola jmn
Nimeipenda sana
Asante,Mungu kwanza
safi sana Nandy umeanza kumlisha mama aliekupa mume. Congrats
Hongera kwa kukuza ila umekosea kutumia Umma mmoja watoto wote hao.
Jaman Mandy ana kengine kibendi au macho yng hayaon vzr
Kweli 😂🙌🏽
😂😂
sio alijifungua kwa op ndio maqn ana kitumbo
♥️❤️❤️
Ni kazurii nandy na nikazurii tenaaaaa❤🤗
Lola amayaweza😂😂😂😂
❤❤🎉🎉🎉🎉
Nzuri sana
Amen to the prayer
❤❤❤🎉🎉🎉
Ameen katoto kazuri kanaafya kapole hongereni kamefanana na Lola wa tunda 🎉
Happy birthday tinaaya
❤❤❤🎉🎂🎉🎊
Kumbe mtoto wa gladness kifaruku ni Chotara 😢.@pili kitimu timu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mabibi Kama mashangazi mpaka raha🥰
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Raha sn
Aaah aaah za nn bill
Nengaaa nand
Nandy kama ni mjamzito?vile❤
😂😂😂😂 we acha
Kwan kuna ubaya jaman c mke wa mtu
Happy new age kwakeee more everything baby gal ukuwe katika kimo ukimpendeza mungu na wanadamu
Tangu lini binadamu wakapendezwa na jambo
@@user-sv6zy3hc8o 😆😆😆😆😆
Nenga kanenepaa 😂😂😂
Ni furaha mtoto kujumuika n'a watoto wenzie amani ikae nanyi wote
ruclips.net/video/2nrBKw5EZjc/видео.html
fayma Na Jay
Munguawapemaisha marefu watoto
🎉🎉🎉 live long❤
Pili kitimutimu dahhh mtoto mzuri
Nkisema hii ndoa haitadum hawa had watazikana
Una mmt pic
wema kenda manunu au
Hogera sana dada. Nady
🎉mugu akulinde 🎉😢😢 kazuri sana kapole San ametuli 0:00
Mtoto wa glad kifaruku mzurii jmn na pili wa kitimtimu
Jamani kwani Glad na Pili ni watu wawili tofauti?
@@sikudhanimohammad7692😂😂😂😂😂😂😂 mi mwenyew nashangaa😂😂😂😂
@@sikudhanimohammad7692😂😂😂 ni mmoja
Asa we pili ndo gladys we unawaeka kama watu wawili khaa😂😂
Nengaa mtuupuu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😌💃👪💐💐💐💐💐💐💐💐💐🌹🌹🌹🌹
Hongera dada angu mtoto kakufanana
njo kuona mtoto wa pili
Hata namimi
Happy birthday Kenaya.
bongee la salaaa 😂😂😂😂😂😂😂
Gigy na maira wakwapi?
Pil jaman ana muharabu😅😅😅😅
Cku nyingine weka vijit au toospiki uma Kila mtoto shoga
Nilitaka kushangaa mgeweza wapi kumficha wakati mnataka nanyinyi mjulikane mmezaa
Ila wamejitahid hatarii
😆😆😆😆
Hill toto mumelipa jina baya jibwa
Kilakitu kikopoa hb
Nilizani kiliniki ya watoto wa mastaa
Heri njema ya kuzaliwa malkia
Watoto wazuri jamani ❤❤❤ hadi kawivu kananiingia ninavyo hitaji hawa malaika Mungu tu ndo anajuwa
Usione wivu omba mungu akujaalie wtt wema
Ww hujapata watoto au hujaolewa
Siyo wivu ya ubaya jamani mnaniogopesha s
Mungu Hana choyo atakupatia insha'Allah wakati tuu bado usijali
Mungu atakupa kwenye kheri na wewe ameen
😂😂😂😂
Katoto ka pili kiswaswadu kazuri jamani,
Kama kadhungu 🤭
Jipya silioni makukuu yote umetuonesha tukuxodowe
Wivu tu peleka umaskin wako
@@mrambadiana9678 🤣🤣🤣🤣
Yamekushindeni kumficha
Upuuzi tu hii habari nayo yakupoteza bando zetu millad angalia habar za uhakika tunakutegemea sio habari za kipuuzi kama hizi za udaku
Nani amekwabia uangalie kwani umeshikiwa kisu🙄🙄😂
Umelazimishwa
Hako katoto kanaitwa Nan jamani
Kenaya
Nyie tena mgemficha.tu kitoto chenyewe kinyofu kipelekeni moshi kikale mtori namaziwa yadero dezo hakina mwili
Wakwako.mwenye mwili Yuko wapi mbona una wivu wewe
@@giovannajohn3813 hahaha imekuigia dozi
@@giovannajohn3813 wangu sio wabiashara aanikwe mitandaoni tatizo ulimbukeni unakusumbueni kila kitu mitandaoni
@@giovannajohn3813 Nakama igekuwa kila mtu alete mwanawe humu kusigetosha
@@giovannajohn3813 kitoto kinyofu ndio maana mlikificha hilooo kula jiwe bidada
❤❤❤❤❤
Safi sana nandy kweli birthday niya watoto 🎉
❤❤❤❤
❤❤❤❤