Miili iliyotolewa mto Tana sasa imefika minne
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2024
- Idadi ya maiti zilizoopolewa mto tana baada ya ajali ya boti hapo jana zimefika nne, huku watu 15 wakiwa bado wanatafutwa. Haya yanajiri huku usafiri wa boti ukisitishwa kati ya kaunti za Tana River na Garissa.
Poleni from mombasa
poleni ndugu zetu
Oh God! Have mercy on us. Poleni sana
It is good people learn to swim!
Poleeenii poleeeniii my fellow kenyans 😢
Condolences to the entire family
😢😢😢ee mungu tuokoe sisi watu wako
Pole.
Ohh God remember mercy on us
Kenya is so disorganised .
Kwa sababu muliua oggora?? Ndio nikama wakati wanuhu waja watu watubu dhambi,
It means UDAku kapament is not prepared for this floods disaster 😢
Kwetu mvua hakunaa mbooonaaa
Qwani uko Kenya wapi
@@carenchepkurui126 coast hakuna kwale county
@@DzunyaSuleimani-tu1qh Nairobi imekuwa too much