Kwa kweli nikiangalia movie zenu huwa napata mafunzo mengi sana, kelvin God bless you my brother kwa hakika najifunza vitu vingi sana kupitia movie zenu
Congratulations 🎉🎉🎉🎉 💐💐💐💐💐💐 wembe pigania penzi lako usikubali Victoria akuache♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️I love you wembe ❤️❤️❤️ from 🇰🇪🌹🌹🌹 nawapenda nyote ♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Tama mbaya 😭😭
Polen janan kwa kumpoteza Salma,,,Klvn mapenzi hayakazimishwi mtu uolewa na anae mpenda kka ngu,,nawe pia pole jitaidi kutafuta mke mwengine na Mungu atakupa mke mwema In Sha Allah
Nawapend sana kelvin movie zenu zinamafunzo mzri san❤❤❤❤
Kelvin nawapenda sana tena sana izi Movie zenu zina mafunzo mengi uwasalimie wotee❤❤❤❤
Kwa kweli nikiangalia movie zenu huwa napata mafunzo mengi sana, kelvin God bless you my brother kwa hakika najifunza vitu vingi sana kupitia movie zenu
😢😢wasichana wapewe nafasi na waheshimiwe na maamuzi yao,ona sasa😢😢😢😢
Kazi zuri sana napenda sana movie zenu ❤❤❤❤
Nawapenda sana movie zenu ziko na mafunzo hongera sana ❤❤❤
Waaaaah yan machoz yanatoka bila kujua jmn😥😥😥😥😥
Congratulations 🎉🎉🎉🎉 💐💐💐💐💐💐 wembe pigania penzi lako usikubali Victoria akuache♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️I love you wembe ❤️❤️❤️ from 🇰🇪🌹🌹🌹 nawapenda nyote ♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Tama mbaya 😭😭
kazi zuri sana nawapenda kweli mtu unae mpenda ndo moyo umependa hata aje mtu mwingine tajir huwezi kwa kwali asante kwa mafunzo
Good work Guyz napenda sana movies zenyu❤❤❤🤗🤗
Leo nimejikuta to natokwa na 😢😢😢 wallah
Salma na wembe mwaniliza na mm yani mwaigiza uhalisia 😭😭😭😭😭nawapenda nyote team nzima mbarikiwe 🤲😢
Bwana kelvin hongera sanaaa unakipawaaa🎉
❤❤funzo kubwa sana nawapenda sana
Hongera sana Kelvin haki napenda sana movie zenu cz Zina mafunzo mazuri Sana katika maisha yetu
Duh ama kweli mapenzi ya uwa hongereni Sana kwa movie yenye mafunzo
Nimelia hapa nikimkumbuka mtu wangu 😢😢😢😢
Polen janan kwa kumpoteza Salma,,,Klvn mapenzi hayakazimishwi mtu uolewa na anae mpenda kka ngu,,nawe pia pole jitaidi kutafuta mke mwengine na Mungu atakupa mke mwema In Sha Allah
Nawapenda sana mvi zenu nzuri mno❤
Mafunzo mazuri sana kwa familia mungu awabarki sana
Inafundisha sana hongera kwenu from kenya
Mashallh mafunzo mazuri lakin wembe mmechukua maamuzi magumu😢😢 sijapenda😢😢😢
Mimi napenda sana movie zenu nawapenda sana
Nakukubali kelvin unawezaaaa kutengenezaa kaz nataman san ningepata nafsa yakushiliki atakaz moja
Ongeleen mpo vzr sana mnatuelisha kiukweli ❤❤❤❤❤
Hongera kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hogera sana kwakazi yenu zuri nazipenda sana move zenu nami nathamani niwe hivyo hak .
MashaaAllah Tabarakallah❤
Napenda sana movie zenu...kweli zinaelemisha
Hongeren sana Leo nimetoa machozi
Asanteni kwa mvi zenu nzuri
Nawapenda sana
Kazi nzuri san
Kelvin na kaka MTU mmekosea mtapishaji maongezi msika ayupo kuukweli skitakulamba
Wasichna wapewe hexhima yao na maamuzi yao aky inauma xna😭😭😭😭 nki watch hizi movie znu zinanpa mafundixho mazur xnaa
Jamani kuukweli mwanamke owa mwanamke anaekupenda cunaempenda wewe wanaume chunguzeni sana
Nawapenda sana kazi nzuri
I like your movie so much
Asanteni sana wapendwa
Jamaniii
Nice movie zenu nazipenda sana zina mafunzo mazuri sana
Thanks sana watu wangu mungu awazidishie kutuelimisha kevoo na group yako❤️
Kelvin uko juu
Ni Paradiso vraiment 😂Vicky miye siwezi fanyabu pumbafu iyi unafanya dadaaa
Nawapend san watu wang guys pamja❤❤❤
Tunashkr mnatuburudisha sana
Muvie za pendenza hizi na mafunzo mengi....nawapa kongore
hmmmmm hapo kwenye kwenda paradise hapo
i like your movie
Kazi nzuri❤
Mov imetulia nimependa jinsi mulivoongea kw hisia nice
Nimejikuta machozi yananitoka 😢😢
Natamani niwajue napenda story ya kuigiza kweli niwajoin
Asante hapa kashatiki
Ongern lakn wembe anazinguw Victoria alie na wembe!! ko mwanaum ni yup? 😢😢😢😢
Mashaallah KAZI safii
Duh nimelia I remembered my past from ,🇰🇪
Nimelia 😪❤❤
Haya ndio mapenziiii siyakujilazimsha hapa ni ana Kwa ana uso Kwa uso
Kevo nimependa sana movie zangu nimepat ktu
MashaAllah move zenu nzuri
Jamani 😢😢😢
Mafunzo mazuri sana
😢😢😢inauma
Napenda xan movie zenu
Nawapenda xana amakweli mnafundixhs
Kevin nakukubali maana ww nikijana shupafu
You always have a great reflection
Safi sana
❤❤❤
Hongeren kaz nzr
Nice movie
Most ladies upoteza good chances to wrong people 😢😢unaempenda kapenda mwingine love no balance walah
Mmmm 😢
Congratulation wa kkaka zangu napenda hisiya zenu
job poa
Wow
Movie zenu zinafundisha vizur sana
dah 😢😢😢
Inauma xana hiyo
Victoria uko sahihi mwanaume mzr niyule mulieanza chini
Utamuoa lini peleka barua wembe muongo hakupendi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Samani nimekosea.nilimanisha mwaum e amuoe mwanamke anaempenda siyule umpendae chunguzeni wanaume Sana nyie watu
Oooooh chapaaaa
Iyoooo 🙌
Asante kwa mafunzo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mmenichekesha hapa mlipo maliza kunwa sumu
Sasa mutu anaolewa naanae mpenda jamani malboayo enzi zama bibuza namabbabuza mpo kuokewa nacaguo njo vizuri
👏
Play boy part two plzzzzzzzz
Good morning
Nilikuwa nasubri new movie
Iyoooo sasa 🙌
@@Dontatv255 ndioo kaka shukran🙏
Namm pia
@@Dontatv255chukueni maua kwakaz safi 💐💐💐💐
Wembe kajichanganya mbona huku anaita Victoria nyumbani wanamwita salma
😢😢😢😢😢😢😢😢jmn
Mtoto wa chifu Alifia wp Wana Donta Kile Kichwa Bhana
Nimejifuza mapenzi hayalazimiswi na mtu apewe Haki Kwa anae mpenda
Kelvin siumendugwa ukweli jamani
Salima nakipenzi chako mmefanya vema hili mfutane machozi
Hii ina mafunzo sana
Wembe Namibia utafanya kama wewe