KAZI nzuri❤ lakini mbona mwachelewesha hiyo ya siku moja kabla ya ndoa yangu jamani nimengoja Hadi karibu kukataa tamaa jamani kaka Kevin vipi nangoja tafadhali from 🇰🇪🇰🇪 6:50
Kwa Nini da Vick umekuwa Na roho mbaya ivi sikutaki tena kbs nilikuwa nakupenda sana da Vick kwa ukarimu wako kumbe una roho mbaya sijapenda kWa kweli 😢😢😢
Ni rahisi sana jamani kuongea na bubu na kiziwi kwa sababu me ni mkalimani wa lugha za alama hiyo lugha raha sana donta mmenifurahisha sàna nitawatafutia mashabiki wengi wadau wa lugha ya alama bomba sana. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vicky we mwenyewe umevaa suruali ya kunambi ya kulalia tena eti unajifanya roho mbya chefuuu😢
😂😂😂😂
Watu mnamacho ya kufwatilia nguo😂😂😂
Ila watu mna mambo 😂😂😂
Hahaha
Dada vikotoria ungekuwa wew ungeweza
Hata na love kajaribu kbx
Leo nimekua WA kwanza kuwatch
❤
KAZI nzuri❤ lakini mbona mwachelewesha hiyo ya siku moja kabla ya ndoa yangu jamani nimengoja Hadi karibu kukataa tamaa jamani kaka Kevin vipi nangoja tafadhali from 🇰🇪🇰🇪 6:50
Ndo Nashangaa
Loveness safi sana ukigusa watu wenye mahitaji maalum umegusa jamíi kiujumla Mungu akubariki kwa kumjali kiziwi wetu Brown
Nzur mwisho
Jaman we viktoriy sikuiz umekuwa mukal siryapend vik wakweny dadawak nawasasaiv nitofaut san
Kweli kabadilika
Victoria master j apa sasa naomba sana mtoe sehemu ya pili,
Da victoria mbona unaloh ya unyama?sijapenda mi muha kutoka kigoma😢😢😢😮😮😮nitakurowa
Kumekuca 🤣 kwa Donta TV 🎉🎉🎉🎉🎉 he lovenesi unatatarika kama daga ziko kwenye mafuta😂😂😂
😂😂😂😂
Kunambi/brown unaweza sana bro keep it up ❤❤ from 🇰🇪
Kaz zuri wote washilika lakini mbona sister dayana hatumuoni jamani 😢
Victoria sikupendi mim unaroho km shetani ,binadamu hawi ivyoo,utakufa utaviacha,mpumbavu wew
Ivo mnavo mnanga sasa kama kweli jaman 😂😂😂
vick mbona roho mbaya hivo kunambi sialikua mumeo uyo jamaan❤
Jamani loveness. Ni mzuri nimempenda bure viki ulikuwa mzuri xax umekuwa na roho mbaya kevin nakuomba umwoe love mtoto mzuri sana mnaendana naye
😂😂😂😂nimecheka apo alipopigw brown sina mbavu 😂😂😂
Nimetoka mpaka machoz
Mpo kasi sana jaman
Official sadatte loway Seen it From USA
Mmh Loveness Heti Ameongea kibubu Daaah umejuw kunifuraish my 😁😁 Love you💋
Vick sikupendi unaroho mbaya sana waniuzi hilo jiroho lako mbaya sana
Loveness Mungu akubariki❤❤❤
Love kampenda bubu kiziwi subirien kinachofuata
Dada victoria hiyo roho ya shetani hata sii mwanadamu jamanii eeehh huna huruma jamani
Victoria wahehe hawako hivo, longage mwalamwala muyawe 😭
Jaman mbona sister dayana hatumuoni
Kazi nzuri, Kenya Watching
saf sana
Victoria hayo makope hayajakupendeza
Mimi nataka kuongea na wewe aaaahaaa😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉
Vick nakuchukia mpaka kiyama Kwa roho Yako mbaya
Daah dad vicy punguz roho mbay kuw na hurum Ata kdog bax 😂😂🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Vicki unafa zambi kbs mwanadam hapaswi kuwa kuwa ivo ata huruma😳😭😭😭😭
Vicky siku izi Una roho mbaya
Kazi nzuri sanaa kbs🎉🎉🎉
Leo wa qwanza.....achilieni likes zenu tafdhali.....wtchng from🇰🇪
Vick wa dada wa kazi na wa xax ni tofauti xana rudi ka awali huoondezei na roho mbaya
Kwa Nini da Vick umekuwa Na roho mbaya ivi sikutaki tena kbs nilikuwa nakupenda sana da Vick kwa ukarimu wako kumbe una roho mbaya sijapenda kWa kweli 😢😢😢
❤❤❤❤❤much love from saudi kazi njuri sana nawapenda sana
Kazi nzuri sana ❤❤❤
Huyo dada Vick ana roho mbaya kwel Tena sana daa unamfanyia Ivo binadamu kama weew
Robo mbaya vick umeinz lini haufanii kabisa
inaonekana huyo Vick ata kwenye maisha ya uhalisia anaroho mbaya sana
Huna habari kbx Vicky ni mtu mzuri sana kiroho❤❤
Vicky unashout!!!tulia
Vick Kwa nn unaroho mbaya kiasi hicho Sio sàwa ulivyofanya ata Kwa mungu
Kiziwi kazi poa sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Loveness hasira hasara,baadaye ukajuta
Wa pili naombeni like🤣
Kula chuma icho
Vick umekuwa na roho ambayo hustahili kuwa hivyo huendan dada
Like uzipeleke wapi wewe ,fanya yako ndugu
😂😂😂😂😂😂 walai wewe🤣🤣🤣🤣🤦
Kabisaaa imeongea point wanakera
We dada ww acha roho mbaya
Hahahahah kunàmbi umenkosha❤❤❤❤ love you
Wa 4 jamani😂😂😂😂
Victoria mbona hufanananiiii kuwa na tabia ya hivyo jamani me nimeanza kuchukia
Nampend kunambi man kila casti anaitendea haki🎉🎉🎉🎉🎉
Lavunes Iko vizili san nimekupenda sana
Dada vick punguza kuongea unachukua mda mrefu kuongeo mnoo kila move unaongea sanaa😂😂😂😂
Vizuri sana vicky kwa kuomba msamaha
KUNAMBI UNAJUWA CHEZA HIVYOHIVYO KAK. UUSIWE MUONGEAJI SAANA INAKUWA POA UNYAMA
Vicki Kama ingekuwa ni wewe lavu mdogo yako Angekuwa ivyo ungefanyaje? Jibu swali
😂😂😂😂😂vicky umenifurahisha sana
Wadhani ni mchezo kuongea na bubu
Ni rahisi sana jamani kuongea na bubu na kiziwi kwa sababu me ni mkalimani wa lugha za alama hiyo lugha raha sana donta mmenifurahisha sàna nitawatafutia mashabiki wengi wadau wa lugha ya alama bomba sana. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman muogope mungu
Acha roho mbaya vick
Nawaombeni kwa mungu amuzidishie
Leo wa 6 like kwangu❤
Ulimpa naniakuwekee 😏😏fyuuuu
Vicky nawe kichefuchefu 2
Yaani nyie mnao omba like mnakera like nikama upendo hauombwi acheni ushamba like like nyie ndio waigizaji fyuuuuuuu
Kaaa vick unaloho ngum
Victoria MUNGU anakuona 😢😢
Ila kuongea na bubu ni kazi jaman😂😂😂
Vicky weni shetani kweli
Kuna mijitu inatamani yenyewe ndio ingekua viziwi 😂
Kazi nzuri ila jaman wana donta dayana yupo wap nimemmic
Kbs nimefurah kbs🎉🎉🎉🎉❤❤
Get well soon kunambi😢
Kunambi nmependa iyo movie yaani lovenese akili ziko less
Viktoria roho chafu kama shetani
Jamani izo like ni za nn?
Good 👍 brown umeweza 🤣🤣🤣
Mmh vick una roho mbaya wewe
Ivyo vibao mbona kama vimemkolea
Vic hiyo suruale niyako kweli hiyo siniyahuyo bubu brown jamani ama naona mimi pekeyangu😂😂😂😂😂😂
Vicky napenda uigizaji wako
Eeh Vicki cjekuzoea hvo♥️
We vic mbona vibao vya ukweli🥵🥵🥵🥵
Yan hadi nimetokwa na machozi😢😢😢😢
Mhmhm saa Viky mbona hivyo
Mumenifurahisha sana❤❤❤❤
Mapenzi tu yamtu
Jmn namwonea huruma kunambi😭😭
Vicky siku hizi Kawa mnyama na series zake za ukatili
Hongera sana brown
Nice ❤❤
Kazi nzuri sana
Victoria acha roho mbaya
Victoria acha roho mbaya Kama ulivyo mbaya ila we ni nzuri dada Vick
Dada Victoria mbna umekua na roho kiasi hicho 😢
Kamuiga Tina siku hizi
Wapi like za donta TV sijaziona
Victoria unaloho mbaya
🤣🤣😂😂 ila da vicky
Ila vikuu anaroho mbaya yaani sio acti tu ndicho alivyo
Yani vick saiv umekua naroho mbay sjui hata umeitoa wp?
Kazi nzuri 🎉🎉🎉
Picha zuri sana from merekani