PENZI LA KIZIWI💞 Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 162

  • @BabyeSaumu
    @BabyeSaumu 3 месяца назад +14

    Vicky we mwenyewe umevaa suruali ya kunambi ya kulalia tena eti unajifanya roho mbya chefuuu😢

  • @user-qn6qx1gh8m
    @user-qn6qx1gh8m 3 месяца назад +9

    Dada vikotoria ungekuwa wew ungeweza

  • @IdahKerubo-oh6ix
    @IdahKerubo-oh6ix 3 месяца назад +6

    Leo nimekua WA kwanza kuwatch

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e 3 месяца назад +12

    KAZI nzuri❤ lakini mbona mwachelewesha hiyo ya siku moja kabla ya ndoa yangu jamani nimengoja Hadi karibu kukataa tamaa jamani kaka Kevin vipi nangoja tafadhali from 🇰🇪🇰🇪 6:50

  • @Jerusalem_Meshack
    @Jerusalem_Meshack 3 месяца назад +1

    Loveness safi sana ukigusa watu wenye mahitaji maalum umegusa jamíi kiujumla Mungu akubariki kwa kumjali kiziwi wetu Brown

  • @TwariqJamilu-jf4bd
    @TwariqJamilu-jf4bd 3 месяца назад +4

    Jaman we viktoriy sikuiz umekuwa mukal siryapend vik wakweny dadawak nawasasaiv nitofaut san

  • @Prisciealex
    @Prisciealex 3 месяца назад +2

    Victoria master j apa sasa naomba sana mtoe sehemu ya pili,

  • @irakozeegide5544
    @irakozeegide5544 3 месяца назад +1

    Da victoria mbona unaloh ya unyama?sijapenda mi muha kutoka kigoma😢😢😢😮😮😮nitakurowa

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +6

    Kumekuca 🤣 kwa Donta TV 🎉🎉🎉🎉🎉 he lovenesi unatatarika kama daga ziko kwenye mafuta😂😂😂

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 3 месяца назад +2

    Kunambi/brown unaweza sana bro keep it up ❤❤ from 🇰🇪

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 3 месяца назад +1

    Kaz zuri wote washilika lakini mbona sister dayana hatumuoni jamani 😢

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 3 месяца назад +1

    Victoria sikupendi mim unaroho km shetani ,binadamu hawi ivyoo,utakufa utaviacha,mpumbavu wew

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf Месяц назад

      Ivo mnavo mnanga sasa kama kweli jaman 😂😂😂

  • @AnnoyedClownfish-gj6zk
    @AnnoyedClownfish-gj6zk 3 месяца назад

    vick mbona roho mbaya hivo kunambi sialikua mumeo uyo jamaan❤

  • @PhilipoSulle-zc6rt
    @PhilipoSulle-zc6rt 3 месяца назад

    Jamani loveness. Ni mzuri nimempenda bure viki ulikuwa mzuri xax umekuwa na roho mbaya kevin nakuomba umwoe love mtoto mzuri sana mnaendana naye

  • @cutezyzaa1499
    @cutezyzaa1499 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂nimecheka apo alipopigw brown sina mbavu 😂😂😂

  • @user-qn5qz5fk6p
    @user-qn5qz5fk6p 2 месяца назад +1

    Mpo kasi sana jaman

  • @Sadatteloway-d5n
    @Sadatteloway-d5n 3 месяца назад

    Official sadatte loway Seen it From USA
    Mmh Loveness Heti Ameongea kibubu Daaah umejuw kunifuraish my 😁😁 Love you💋

  • @SiwemaPori-ns5zv
    @SiwemaPori-ns5zv 2 месяца назад

    Vick sikupendi unaroho mbaya sana waniuzi hilo jiroho lako mbaya sana

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 3 месяца назад

    Loveness Mungu akubariki❤❤❤

  • @RehemaStannley
    @RehemaStannley 2 месяца назад

    Love kampenda bubu kiziwi subirien kinachofuata

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e 3 месяца назад +1

    Dada victoria hiyo roho ya shetani hata sii mwanadamu jamanii eeehh huna huruma jamani

    • @WinifridaKisinga
      @WinifridaKisinga 3 месяца назад

      Victoria wahehe hawako hivo, longage mwalamwala muyawe 😭

  • @AffectionateDinosaur-pn6pw
    @AffectionateDinosaur-pn6pw 3 месяца назад +1

    Jaman mbona sister dayana hatumuoni

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 3 месяца назад

    Kazi nzuri, Kenya Watching

  • @user-ti3bt2cl8g
    @user-ti3bt2cl8g 3 месяца назад +4

    saf sana

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 3 месяца назад

    Victoria hayo makope hayajakupendeza

  • @Kaske-bleumartin
    @Kaske-bleumartin 3 месяца назад +1

    Mimi nataka kuongea na wewe aaaahaaa😂😂😂😂😂

  • @IdahKerubo-oh6ix
    @IdahKerubo-oh6ix 3 месяца назад +5

    🎉🎉🎉

  • @abdallahseif-ns5ug
    @abdallahseif-ns5ug 3 месяца назад +1

    Vick nakuchukia mpaka kiyama Kwa roho Yako mbaya

  • @kimabrahamnghambi3737
    @kimabrahamnghambi3737 3 месяца назад

    Daah dad vicy punguz roho mbay kuw na hurum Ata kdog bax 😂😂🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 3 месяца назад

    Vicki unafa zambi kbs mwanadam hapaswi kuwa kuwa ivo ata huruma😳😭😭😭😭

  • @MaryPendo-gy4yr
    @MaryPendo-gy4yr 3 месяца назад +1

    Vicky siku izi Una roho mbaya

  • @Chance348
    @Chance348 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sanaa kbs🎉🎉🎉

  • @ka-maina2000
    @ka-maina2000 3 месяца назад

    Leo wa qwanza.....achilieni likes zenu tafdhali.....wtchng from🇰🇪

  • @PhilipoSulle-zc6rt
    @PhilipoSulle-zc6rt 3 месяца назад

    Vick wa dada wa kazi na wa xax ni tofauti xana rudi ka awali huoondezei na roho mbaya

  • @AshuraAmisi-ey4mj
    @AshuraAmisi-ey4mj 3 месяца назад

    Kwa Nini da Vick umekuwa Na roho mbaya ivi sikutaki tena kbs nilikuwa nakupenda sana da Vick kwa ukarimu wako kumbe una roho mbaya sijapenda kWa kweli 😢😢😢

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤much love from saudi kazi njuri sana nawapenda sana

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana ❤❤❤

  • @user-mt8lb9wv5p
    @user-mt8lb9wv5p 3 месяца назад

    Huyo dada Vick ana roho mbaya kwel Tena sana daa unamfanyia Ivo binadamu kama weew

  • @AdelaChristopher-iz1ve
    @AdelaChristopher-iz1ve 3 месяца назад

    Robo mbaya vick umeinz lini haufanii kabisa

  • @user-mt8lb9wv5p
    @user-mt8lb9wv5p 3 месяца назад

    inaonekana huyo Vick ata kwenye maisha ya uhalisia anaroho mbaya sana

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 Месяц назад

    Vicky unashout!!!tulia

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 3 месяца назад

    Vick Kwa nn unaroho mbaya kiasi hicho Sio sàwa ulivyofanya ata Kwa mungu

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 3 месяца назад

    Kiziwi kazi poa sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sophianyambura-ou9kg
    @sophianyambura-ou9kg 3 месяца назад

    Loveness hasira hasara,baadaye ukajuta

  • @ZainabuNoely
    @ZainabuNoely 3 месяца назад +3

    Wa pili naombeni like🤣

  • @EsterNsemwa
    @EsterNsemwa 3 месяца назад

    Vick umekuwa na roho ambayo hustahili kuwa hivyo huendan dada

  • @LeopoldBigirimana-f4g
    @LeopoldBigirimana-f4g 3 месяца назад +1

    Like uzipeleke wapi wewe ,fanya yako ndugu

    • @NajmaAmir-w6v
      @NajmaAmir-w6v 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂 walai wewe🤣🤣🤣🤣🤦

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda 3 месяца назад

      Kabisaaa imeongea point wanakera

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 3 месяца назад

    We dada ww acha roho mbaya

  • @SuzanDithenya
    @SuzanDithenya 3 месяца назад

    Hahahahah kunàmbi umenkosha❤❤❤❤ love you

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 3 месяца назад +2

    Wa 4 jamani😂😂😂😂

  • @Kashigwavideomedia
    @Kashigwavideomedia 3 месяца назад

    Victoria mbona hufanananiiii kuwa na tabia ya hivyo jamani me nimeanza kuchukia

  • @NaomyJohn-hd4bq
    @NaomyJohn-hd4bq 3 месяца назад

    Nampend kunambi man kila casti anaitendea haki🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FikiliLukasi
    @FikiliLukasi Месяц назад

    Lavunes Iko vizili san nimekupenda sana

  • @olivamushi7985
    @olivamushi7985 3 месяца назад

    Dada vick punguza kuongea unachukua mda mrefu kuongeo mnoo kila move unaongea sanaa😂😂😂😂

  • @maryamsoud2059
    @maryamsoud2059 3 месяца назад

    Vizuri sana vicky kwa kuomba msamaha

  • @kikaboy11
    @kikaboy11 3 месяца назад +4

    KUNAMBI UNAJUWA CHEZA HIVYOHIVYO KAK. UUSIWE MUONGEAJI SAANA INAKUWA POA UNYAMA

  • @user-cm3gc6cf7k
    @user-cm3gc6cf7k 3 месяца назад

    Vicki Kama ingekuwa ni wewe lavu mdogo yako Angekuwa ivyo ungefanyaje? Jibu swali

  • @user-wm9xn9iy4s
    @user-wm9xn9iy4s 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂vicky umenifurahisha sana
    Wadhani ni mchezo kuongea na bubu

    • @Jerusalem_Meshack
      @Jerusalem_Meshack 3 месяца назад

      Ni rahisi sana jamani kuongea na bubu na kiziwi kwa sababu me ni mkalimani wa lugha za alama hiyo lugha raha sana donta mmenifurahisha sàna nitawatafutia mashabiki wengi wadau wa lugha ya alama bomba sana. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KidotiJoshua
    @KidotiJoshua 3 месяца назад

    Jaman muogope mungu

  • @PhilipoSulle-zc6rt
    @PhilipoSulle-zc6rt 3 месяца назад

    Acha roho mbaya vick

  • @Kaske-bleumartin
    @Kaske-bleumartin 3 месяца назад

    Nawaombeni kwa mungu amuzidishie

  • @user-sz7ks6dr7n
    @user-sz7ks6dr7n 3 месяца назад +2

    Leo wa 6 like kwangu❤

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda 3 месяца назад

      Ulimpa naniakuwekee 😏😏fyuuuu

  • @SuzanDithenya
    @SuzanDithenya 3 месяца назад

    Vicky nawe kichefuchefu 2

  • @MonnaPonda
    @MonnaPonda 3 месяца назад

    Yaani nyie mnao omba like mnakera like nikama upendo hauombwi acheni ushamba like like nyie ndio waigizaji fyuuuuuuu

  • @RehemaStannley
    @RehemaStannley 2 месяца назад

    Kaaa vick unaloho ngum

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 3 месяца назад

    Victoria MUNGU anakuona 😢😢

  • @Salma-g1m1x
    @Salma-g1m1x 3 месяца назад

    Ila kuongea na bubu ni kazi jaman😂😂😂

  • @FEIDEYII
    @FEIDEYII 3 месяца назад

    Vicky weni shetani kweli

  • @nicolenyerere
    @nicolenyerere 3 месяца назад

    Kuna mijitu inatamani yenyewe ndio ingekua viziwi 😂

  • @doricemwakasengo1167
    @doricemwakasengo1167 3 месяца назад

    Kazi nzuri ila jaman wana donta dayana yupo wap nimemmic

  • @MariamRashidi-n7u
    @MariamRashidi-n7u 3 месяца назад

    Kbs nimefurah kbs🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @erastopascal
    @erastopascal 3 месяца назад

    Get well soon kunambi😢

  • @MarthaMartha-tz6rl
    @MarthaMartha-tz6rl 3 месяца назад

    Kunambi nmependa iyo movie yaani lovenese akili ziko less

  • @margretmakungu-qi1gd
    @margretmakungu-qi1gd 3 месяца назад

    Viktoria roho chafu kama shetani

  • @user-uz7cm5wx2e
    @user-uz7cm5wx2e 3 месяца назад +2

    Jamani izo like ni za nn?

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 3 месяца назад +1

    Good 👍 brown umeweza 🤣🤣🤣

  • @MagdalenaBajuta
    @MagdalenaBajuta 3 месяца назад

    Mmh vick una roho mbaya wewe

  • @hadiaamiri-ig9xm
    @hadiaamiri-ig9xm 3 месяца назад

    Ivyo vibao mbona kama vimemkolea

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p 3 месяца назад

    Vic hiyo suruale niyako kweli hiyo siniyahuyo bubu brown jamani ama naona mimi pekeyangu😂😂😂😂😂😂

  • @MousaAmos
    @MousaAmos 3 месяца назад

    Vicky napenda uigizaji wako

  • @user-Hillaa77
    @user-Hillaa77 3 месяца назад

    Eeh Vicki cjekuzoea hvo♥️

  • @fido_comedian
    @fido_comedian 3 месяца назад

    We vic mbona vibao vya ukweli🥵🥵🥵🥵

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 3 месяца назад

    Yan hadi nimetokwa na machozi😢😢😢😢

  • @RizikiMtai
    @RizikiMtai 3 месяца назад

    Mhmhm saa Viky mbona hivyo

  • @user-ec2cj5om7v
    @user-ec2cj5om7v 3 месяца назад

    Mumenifurahisha sana❤❤❤❤

  • @user-uq6hn4vf3i
    @user-uq6hn4vf3i 3 месяца назад

    Mapenzi tu yamtu

  • @AnnaDaudi-ol9gd
    @AnnaDaudi-ol9gd 3 месяца назад

    Jmn namwonea huruma kunambi😭😭

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 3 месяца назад

    Vicky siku hizi Kawa mnyama na series zake za ukatili

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад

    Hongera sana brown

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 Месяц назад

    Nice ❤❤

  • @MercyWafula-x1x
    @MercyWafula-x1x 3 месяца назад

    Kazi nzuri sana

  • @SarahTsuma-w3v
    @SarahTsuma-w3v 3 месяца назад +1

    Victoria acha roho mbaya

    • @cralajackson8309
      @cralajackson8309 3 месяца назад

      Victoria acha roho mbaya Kama ulivyo mbaya ila we ni nzuri dada Vick

  • @Patience-tp7ml
    @Patience-tp7ml 3 месяца назад

    Dada Victoria mbna umekua na roho kiasi hicho 😢

  • @ENOCKTVSHOPSHOP
    @ENOCKTVSHOPSHOP 3 месяца назад +7

    Wapi like za donta TV sijaziona

  • @NissanGahaya
    @NissanGahaya 3 месяца назад

    Victoria unaloho mbaya

  • @CastoSilwimba
    @CastoSilwimba 3 месяца назад +1

    🤣🤣😂😂 ila da vicky

  • @MonnaPonda
    @MonnaPonda 3 месяца назад

    Ila vikuu anaroho mbaya yaani sio acti tu ndicho alivyo

  • @RashidHaji-rr3vm
    @RashidHaji-rr3vm 3 месяца назад

    Yani vick saiv umekua naroho mbay sjui hata umeitoa wp?

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 3 месяца назад

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉

  • @Kaske-bleumartin
    @Kaske-bleumartin 3 месяца назад

    Picha zuri sana from merekani