Maafisa watano wa KFS wametiwa mbaroni kufuatia kifo cha mvulana wa miaka 19 wanayedaiwa kumpiga
HTML-код
- Опубликовано: 13 май 2024
- Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Sentensing tungonje 2030😢
Aibu za Aina ngani..mungu hao wapatie mishahala yao bila kusita
Just too painful
Tunatoa tax ya kulipa hao maubwa alafu wanauuaa wakenya Bure?? Kindiki plz nyonga hao watu kesho hatutaki case.. Serikali inaandika askari ama wanyama...?? Aki some pains are ??? # nyonga hao maubwa
Wameishi wamisitu wakafanana na wanyama hata utu tu hakuna mwenye alikuwa nayo kati ya hao askari wote just imagine ingekuwa ni mama yao na ndugu yao amefanyiwa hivo ama tu familia yake ..... Kabla ufanyie mtu unyama jieke kwa kiatu yake kwanza
Wameishi kwa misitu wakafanana na wanyama hata utu tu hakuna mwenye alikuwa nayo kati ya hao askari wote just imagine ingekuwa ni mama yao na ndugu yao amefanyiwa hivo ama tu familia yake ...kijana husilale tembea na wao hadi mwisho wajue damu ya mtu si ya kuku.... Kabla ufanyie mtu unyama jieke kwa kiatu yake kwanza
Mvulana huwa jina sahihi?