KIPOZEO ASHINDILIA MSUMARI NDOA YA SHILOLE KUVUNJIKA, CHUCHU KUKATAA MTOTO ASEMA ANAMENGI SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 37

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 4 месяца назад +6

    Millard you are very brilliant boy.. akili kubwa

  • @MinnahBabe
    @MinnahBabe 4 месяца назад +12

    Wakwanzaa leo naombenii like zangu jamanii 1k tu❤❤

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 4 месяца назад +3

    Napenda sana vitu vya hii program. Kuna taarifa za kueleweka na ufuatiliaji. Sio bla blah tupu. Analysis inakuwa na msingi wa kutosha toka vyanzo mbalimbali. Keep it up friends ❤

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 4 месяца назад +7

    Kuzaa wtt ndani ya ndoa ina raha zake

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 4 месяца назад +4

    Chuchu anachotaka kwanza ndoa ndio wazae wtt

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 4 месяца назад +1

    Huyu dada ana upeo mkubwa mno....very matured reasoning

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 месяца назад +4

    Yaaan nilivyoumia na ndoa ya shilole jamn daaaa acha niwe mpole maana siyajui ya uko ndan

  • @stellahsimon4460
    @stellahsimon4460 4 месяца назад +2

    Hii si nzuri kbs inasikitisha😢😢

  • @stellahsimon4460
    @stellahsimon4460 4 месяца назад +2

    Aunty Sadaka uko sahihi... Kuna shida mahali

  • @susans4490
    @susans4490 3 месяца назад

    Akitaka kumrudia anaweza saa yoyote kabla ya huo muda wa kusubiri eda

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 4 месяца назад +1

    Mbona milad ayo ulikuwa na hamisa mbeto mkiwa ndani ya suti kqanini msiowane yu mlipendeza kinoma sana

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 месяца назад +1

    Mapenzi ya mastar yapo kama timu ya simba😂😂😂😂😂

  • @Rizikiskitchen
    @Rizikiskitchen 4 месяца назад +2

    Frida kiafrika mwanamke huna reason yoyote kuusu kuzaa, upande wa mwanaume akiongea kuusu kuzaa iyo inakua automatic mwanamke utazaa tu. Ila kwa sisi ambao tunaoishi inchi za watu kwakweli mwanamke ana kila kitu chakupanga kuusu ndoa, ao akatae kuzaa ao aitike na mwanaume huna lolote la kuongea.

  • @AbiTech96
    @AbiTech96 4 месяца назад +6

    Milard, please, uwe natia neno AMPLIFAYA kwenye title ya Video ili tusiwe tuna pitwa bhana😊😊
    From 🇨🇩✌️✌️

  • @OnesmoAkim-bk7zw
    @OnesmoAkim-bk7zw 4 месяца назад +2

    Kipozeo enz za uhai wa gadner

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 4 месяца назад +1

    Nyie wana habari hebu tafuteni habari mhim kama zetu sisi tunao fanya kazi oman kujua hasara na faida tunazo zipata sote tulopo nchi za kiatabu tunamafanikio makubwa ususani tumejenga ingawa tunapitia changamoto lkn uvumilivu wetu tumepata majumba na tunasomesha hao kina shilole wa achieni wenyewe na mambo yao .

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 месяца назад

      Basi na wewe wakuachie mambo yako maana mwana habari kuna mazuri mabaya yakufurahisha yakusikitisha sasa unaposema hizi sio habari muhimu unakosea ivyo heshimu chombo cha habari cha mwenzako km unahela na unamajumba km usemavyo fungua kituo chako alafu upost hizo habari zako

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 месяца назад

    Uyo rey amuowe chuchu sio kuzaha tu nje ya ndoa

  • @JafariChisagwa
    @JafariChisagwa 4 месяца назад +1

    LEO SIJAPENDA MM NAPENDA KUANGALIA MACHO YA FRIDA KWANN KAVAA MZULAA MPAKA MACHON BHANA

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 4 месяца назад +1

    We mtangazaji wakike toa mkofia wako unatukera hatukuoni uso

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад +1

    Lazma mke atoe important rsns

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +1

    Ndoa zinapumulia mipira duuh kaachwa huyo hakuna ndoa hapo

  • @shedrackntilampeba1893
    @shedrackntilampeba1893 4 месяца назад +1

    👍🏼👍🏼

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret3259 4 месяца назад +2

    Video Vodox 😅😅😅😅😅😅

  • @spency2371
    @spency2371 4 месяца назад +1

    Ila frida ety jicho lilegee kwa mtu unaemchukia😅🤣

  • @fridalaiton2029
    @fridalaiton2029 4 месяца назад

    😀😀 frida bwana❤❤

  • @SululuZungu
    @SululuZungu 3 месяца назад

    Vido yupo sahh aukam uingie kwny ndoa Alf hutak kuwa na watt how?

  • @jumaiddy-jm5wo
    @jumaiddy-jm5wo 4 месяца назад

    Frida Amani ukija tena USA nitafute!🤣

  • @omarymasanja4587
    @omarymasanja4587 4 месяца назад

    Anataka ndoa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 4 месяца назад

    Farida😂😂❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 месяца назад +1

    Hi ni Kiki zao tu

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 4 месяца назад +3

      talaka haina kiki kwenye uislam

  • @chany9950
    @chany9950 4 месяца назад +1

    Duuh🤣

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 3 месяца назад

    Hapo Romi akisema nimemrudia mke wangu kabla miezi 3 haijaisha basi bado ni mkewe na ndoa inaendelea lakini ikiisha miezi 3sio mkewe hapo Shilole anaweza kuolewa na mwanaume baada ya kumaliza miezi 3 ya eda

  • @salimlubuva9860
    @salimlubuva9860 4 месяца назад

    Mim ni Mwanaume lkn nasimama na Frida. Suala la kuzaa liwe maamuz ya watu wawili sio automatic mkiwa kwenye ndoa jamii iwasakame kwamba mzae. Pia mwanamke ndo final say kwamba anazaa au hazai. Anawwza kataa na ni sahihi. Ni makubwa mno wanapitia kuweza kumleta mtoto mmoja duniani. Na pia kama hujamuoa mtu, usianze kutaka mtoto, unakuwa haumtendei wema hata huyo atakae zaliwa.