Praise God... Nina Swali kwako mchungaji... Hivi Ukipata kijana a nakupenda na ni mcha mungu na pia hard working but unashindwa kumpenda sababu ya height... Can you still get married and live happily???
Hivi kuapa wakati wa kufunga ndoa imetokana na neno au agizo lipi kwenye Biblia? Kwani ninachofahamu Yesu Kristo alikataza kuapa katika Mathayo 5:34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa, ama kwa mbingu, kwa sababu ni kiti cha enzi cha Mungu, 35 au kwa ardhi, kwa sababu ndipo mahali pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalem kwa sababu ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36 Msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema 'Ndiyo' basi iwe 'Ndiyo'; na ukisema 'Hapana' basi iwe 'Hapana'. Lolote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu. Lakini pia katika Yakobo 5:12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali mkisema 'ndiyo' iwe ndiyo, na mkisema 'hapana' hapana.
Asante pastor nataman nipate mweza wangu na mm
much respect to you pastor mbagga!
Amen mtumishi watu tunabadilika kutokana namafundisho mnayoyatoa
Past n kwel usemalo mungu akubark sana Ila nkumbuke kwa maombi maan at a Mimi nataman mungu anfungulie na anibark npate mwenzi mwema
I believe and i receive in the Mighty Name of JESUS AMEN Ubarikiwe sana
Ahsante Pr, MUNGU na akubariki
Thank you pastor 👏👏👏
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri
True pastor David
najifunza sana mchungaji mungu akubariki kwa kuwa najikuta naweza kuyahanle mahusiano yangu kwa namna ipasayo na yakumpendeza mungu
Wah
Asante pastor mbarga
Asante sana pester nilikua kwenye atua hyo nashukur San Kwa ujumbe wako amina
Utarikiwe sana mchungaji
Amina, hakika Yesu ndio chanzo cha Safari njema
Nabalikiwa na mahubili
be blessed pastor
Ubarikiwe sana pastor
Mungu na azidi kukutumia siku zote mtumishi wa Mungu
Amin mtumish ubarikiwe san
Safi sana Mchungaji. Nimebarikiwa sana🙏
Hakika umenena ukweli; Amani ya Bwana wetu yesu iwe pamoja nanyi siku zote.
MCHUNGAJI UMENIGUSAA BHANA ONGELAA
Amen umeniupili iyo point ni yangu kutoka Dubai,Sabato njema
Judith Cheroto amen
Amina
ubarikiwe pastor
Asante
Ubalikiwe mtumishi was Mungu nakupata sana
😂😂🙏🙏🙏barikiwa sana mchungaji mahubiri yako yamenifaa siku ya leo💞💞🙏🙏
rose Peter Amen
❤ Amina paster
Ubarikiwe mchungaji
Mungu akubaliki
Barikiwa saana mchungaji, japo nilitaka kukuuliza kwa upande wa huduma zako za vitabu mbona huku mkoa wa kagera umetusahau saana?
Amen
amen PR d mbaga
Watching love frm turkana county kenya nyc i rem kuwa si kila alie na nyundo ni fundi
Thanks
Wanakula zaidi sababu hawajatolea jasho hapo ni kweli kabisa
Asante
Barikiwa🙏🙏🙏🙏🙏
Kupitia semina hii akanipe aliye sahihi
❤❤❤
Hakika unatuelimishaa
Praise God... Nina Swali kwako mchungaji... Hivi Ukipata kijana a nakupenda na ni mcha mungu na pia hard working but unashindwa kumpenda sababu ya height... Can you still get married and live happily???
Hi
Jamani mkishasikia mahubiri ninawakaribisheni mpate wimbo wa injili ruclips.net/video/QJhwWhs-5Pw/видео.html Yesu kristo awe nany
Nashukuru mung kwakunipa nafas ya kusikiliza masomo yako ubalikiwe
pasta mbaga.
Amin mchungaji
Hahaha😂😂😂😂💃💃💃
Ameen
Ni kweli kabisa pasipo yesu hatuwezi lolote
Hakika
Hillary Mollel uuurl
Ameen Ameen
Hivi kuapa wakati wa kufunga ndoa imetokana na neno au agizo lipi kwenye Biblia? Kwani ninachofahamu Yesu Kristo alikataza kuapa katika Mathayo 5:34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa, ama kwa mbingu, kwa sababu ni kiti cha enzi cha Mungu, 35 au kwa ardhi, kwa sababu ndipo mahali pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalem kwa sababu ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36 Msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema 'Ndiyo' basi iwe 'Ndiyo'; na ukisema 'Hapana' basi iwe 'Hapana'. Lolote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu.
Lakini pia katika Yakobo 5:12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali mkisema 'ndiyo' iwe ndiyo, na mkisema 'hapana' hapana.
Ubarikiwe pst kwa mawaidha yako mazuri
I like it
baba vizuri pastor
Pr nimebalikiwa sana na somo la Leo nimejifunza kitu
Kila wakati wayeyusha kiroho Maulana akubariki ndo uzidi kutupasha ya mbinguni
Good
Asante kwa mafundisho .Maana salam tu nusu saa
@@witneshawa116 salam ndefu ndio nn
Anayejua jina analotumia huy mch. Insta tafadhal aniambie
Kelvin Kasiano pastor David mbaga
@@drwinnie7145 shukrani
Pastor _David_mmbaga
Yani ukimfatilia huyu jamaa alafu ukashindwa kupata changes ktk maisha.....unahitaji nguvu ya ziada ya maombi
🙏
God bless you apostle