DW Kiswahili | Afya Yako | Changamoto za mimba za utotoni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024
  • Kuwa mjamzito ukiwa kijana huweza kukuathiri vibaya. Utafiti kutoka Kenya unathibitisha hilo kwamba uzazi wa vijana huongeza hatari ya umaskini na unyanyasaji kwa wasichana wadogo. Hata hivyo, licha ya changamoto hizo kuna simulizi za ujasiri na matumaini. Katika mazungumzo haya ya Daktari Caroline Vundi, Cindy anasimulia jinsi alivyoweza kubadilisha maisha yake baada ya kujifungua akiwa kijana.#AfyaYanguKwaUhakika

Комментарии •