GHOROFA LA KIFAHARI LABOMOLEWA MBEZI BEACH MCHANA KWEUPE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 576

  • @lydiabochela9363
    @lydiabochela9363 6 месяцев назад +17

    Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.

  • @RehemaMustafa-x6o
    @RehemaMustafa-x6o 6 месяцев назад +12

    Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 6 месяцев назад +14

    Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 7 месяцев назад +26

    Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.

    • @SportsRaha
      @SportsRaha 6 месяцев назад +1

      Weeeee Mungu ndo anaendesha tingatinga 😂😂😂😂

    • @nasranasra5348
      @nasranasra5348 6 месяцев назад

      Lp1😊q​@@SportsRaha¹

    • @fatumazakalia-yx4kg
      @fatumazakalia-yx4kg 6 месяцев назад

      ​@@SportsRaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani ww

  • @divaidachboy2339
    @divaidachboy2339 6 месяцев назад +9

    Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 месяцев назад +24

    Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 7 месяцев назад +63

    Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад +2

      Kwakweli

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 7 месяцев назад +1

      Point mkuu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 6 месяцев назад +1

      Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 6 месяцев назад

      Wakati inajengwa walikuwap?

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp 4 месяца назад

      ​@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 4 месяца назад

    Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 7 месяцев назад +5

    Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 7 месяцев назад +28

    Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.

    • @ChristopherMgoli-m2y
      @ChristopherMgoli-m2y 7 месяцев назад +5

      Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 7 месяцев назад

      huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri

    • @MerLasway
      @MerLasway 6 месяцев назад

      Z😊Z😅zz😅😊D😊😅😅😅z😅Z😅😊😊😊zz😊z😊😊SXz😊zza😅@@😅😅😅-😅😅Xz😅Azs😊😅😅😊ds😅😊z😅😊z😅Ad😅😅aaaA°°Aaa•°X@☆☆22😊@~😅@😅@😊😊😊#😊😊😊○😊😊😊😊😊😊😊😊‐😊😊😊☆☆😅😊😊😅☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆##☆😊😊😊😊😊😊😊😊😊☆😊😊#😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊-------------------------------‐-------------😊☆☆☆☆☆☆-==☆😮☆😅😊😮○••😅😅😅😅😅😅☆☆•○•😅😅😅😊○☆○○😅😅▪︎~~▪︎~☆😊#№---@😅@@-😅@----😅☆😅😅😊😊•○😅@#-😊😅•-😅--@#-😅•@---😊#@😊☆••9​@@ChristopherMgoli-m2y

  • @GetrudarCelestineAmede
    @GetrudarCelestineAmede 7 месяцев назад +36

    Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏

  • @fundikilafundi6985
    @fundikilafundi6985 7 месяцев назад +7

    SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.

  • @aminangombo7048
    @aminangombo7048 6 месяцев назад +9

    Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake

  • @happykimaya6631
    @happykimaya6631 6 месяцев назад +6

    Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 6 месяцев назад +4

    Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza

  • @mshanibeatrice7449
    @mshanibeatrice7449 6 месяцев назад +7

    Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up

  • @ElizabethMkini
    @ElizabethMkini 4 месяца назад

    Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 месяцев назад +3

    Jmn bas wangeelewana ampe pesa akajenge sehem nyingine heshimni Mali za watu jmn Sasa mnabomoa hamjui hata Aliye Jenga ametumia pesa nyingi?

    • @PopTiger-br2nh
      @PopTiger-br2nh 6 месяцев назад

      Kwa watu happ

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 6 месяцев назад

      wakat anajenga akijua kabisa kwamba eneo sio lake si dharau?Miaka 20 ametulia tu na alipoambiwa alipie kiwanja akagoma ulitaka wamuache?

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 6 месяцев назад

      Kajenga kwa watu

    • @PoulFred
      @PoulFred 6 месяцев назад

      Hiv unawawajuwa wenye nguvu ya pesa wew au unaropoka tu hayajakukuta?omba yasikukute utajuta uroporopo wako

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 6 месяцев назад +1

    Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema

  • @ZanzibarAfrica-p6j
    @ZanzibarAfrica-p6j 7 месяцев назад +2

    Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 7 месяцев назад

      Mpaka kufika uamuzi huo ujue yote hayo yamefanyika. Usikute tajiri alileta dharau

  • @JoelZacharia-n6k
    @JoelZacharia-n6k 6 месяцев назад +4

    Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung

  • @RichardmwisalileghambiRichardm
    @RichardmwisalileghambiRichardm Месяц назад

    Komesha mm viela vyao vinawapa viburi ndio ujenge kiwanja cha mtu

  • @Sawaka-v9b
    @Sawaka-v9b 6 месяцев назад +2

    Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 6 месяцев назад

    Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020.
    Hapo kuna mianya ya Rushwa .

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 месяца назад

    Wenye pesa wengi wanakiburi safi sana.

  • @patriciamakoye1546
    @patriciamakoye1546 6 месяцев назад +1

    Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu

    • @ireneanania9714
      @ireneanania9714 6 месяцев назад

      Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 7 месяцев назад +13

    Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 7 месяцев назад +2

      Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 7 месяцев назад +3

      Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 7 месяцев назад +1

      Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu

    • @GeorgeMushi-ft4xm
      @GeorgeMushi-ft4xm 6 месяцев назад +2

      Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu

    • @mgonasipapune1383
      @mgonasipapune1383 6 месяцев назад +2

      Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.

  • @kheirdulla9046
    @kheirdulla9046 6 месяцев назад +5

    Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 6 месяцев назад

      That's true"vitu vingine vinahtaji busara sio kukurupukaa

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 6 месяцев назад +1

      No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 6 месяцев назад

      @@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa

    • @hancemagembe6260
      @hancemagembe6260 4 месяца назад

      Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake

  • @SangaKajuna
    @SangaKajuna 7 месяцев назад +21

    Ahsante sana mkuu 🤝🤝

  • @Yusudav
    @Yusudav 7 месяцев назад +5

    Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 7 месяцев назад +1

      Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 7 месяцев назад

      Ameshaambiwa amegoma

  • @123kerim23
    @123kerim23 7 месяцев назад +4

    Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 7 месяцев назад +1

    Mmmh hapo hamjatatua ttzo bali mmeliongeza ttzo huyo mmiliki wa kiwanja mda si mrefu mtackia kauwawa wallah tena sidhani kama mwenye jengo hilo atakubali hili swala😢😭

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 6 месяцев назад

      Kwani kiwanja na jengo kipi kina thamani kubwa?
      Mbona majengo yanayojengwa kwenye akiba ya barabara hubomolewa?

    • @Rehmathathman23
      @Rehmathathman23 6 месяцев назад +1

      @@Ndu-wa.uroony2 anii ni kwamba huyu aliebomolewa hili jengo lazima ataumia si kapata hasara ko lazima awe na roho ya kisasi kwa mwenye hicho kiwanja nakwambia

  • @GasparPeter-r8x
    @GasparPeter-r8x 7 месяцев назад +3

    Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      Sasa nani analipa?

    • @GasparPeter-r8x
      @GasparPeter-r8x 7 месяцев назад

      @@Zuu673 Mmiliki aliyevamia amlipe mmiliki halali.

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад +1

      @user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake

  • @erickbeneth784
    @erickbeneth784 7 месяцев назад +1

    Je huyo anaye taka kiwanja ana uwezo wa kuweka mujengo kama huo au ndo ana weka chumba kimoja

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 7 месяцев назад +1

      ata kama ni nusu chumba ni yeye na kiwanja chake uyo aliyejenga ghorofa nae akajenge kwenye kiwanja chake sio kudhulumu watu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 7 месяцев назад +4

    Nadhani sio uzuri kubomoa nyumba ambayo kutumia pesa nyingi kujenga, bora wangeelewana amlipe thamani yake, ilifika mahakamani?

  • @TobitiNywage
    @TobitiNywage 6 месяцев назад +3

    Hongera sana iwefundisho kwa wengine,

  • @ahmedsultan8561
    @ahmedsultan8561 6 месяцев назад +1

    Km nyumba 50 tuu zikivunjwa km hivi basi ujanja wa kufoji na kudhulumu ardhi utaisha kbsa, kila mtu ataogopa maana anajua ipo siku yatalkuta hara kmbaada ya miaja kadhaa

  • @ashanziku3498
    @ashanziku3498 6 месяцев назад +2

    Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 7 месяцев назад +12

    Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.

  • @RichardmwisalileghambiRichardm
    @RichardmwisalileghambiRichardm Месяц назад

    Sheria ni msumeno haki yake ifatwe mm ng,ang,ania

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +1

    safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 7 месяцев назад +4

    Hii serikali ya hovyo sana Kwan serikali umeshindwa kuwapatanisha hao wawili kama huo sio uharibifu kwann asipewe hela huyo mwenye eneo

    • @Barakatabudul
      @Barakatabudul 7 месяцев назад +1

      kabisa upuuzi wakatii maeneo" kibao wangeelewana akamtwalia pengine kuliko kumbomolea hasara" Mara mbili ndo atapata faida ganii wakatii Ardhii" zote niza Mungu' alokuja na Ardhii ulimwenguni ni nanii? Wakatii MTU wafa' ukaiwacha Kama ulivyo ikutaa serekali itashidwa vipi kuwaeka chinii wakamalizana kwauzurii.

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 7 месяцев назад

      Utampatanishaje maskini na tajiri tena wa kimarangu😂

    • @georginapaul5013
      @georginapaul5013 7 месяцев назад

      Anataka kiwanja sio pesa elewa hivyo

    • @isacklaizer6776
      @isacklaizer6776 6 месяцев назад

      Huyu Waziri hana muda mrefu, maturity hakuna...He is thinking Win/Loose...too much courage too little consideration.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 6 месяцев назад

    Grodoza ni ZURI likiwa linachonga barabara ,lkn likiwa linavunja nyumba Yako KHAAA utakojoa

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 6 месяцев назад +1

    Naona wavamizi wengi wa viwanja wanadai hii siyo powa.....so kwenu poa ni kumnyanganya mtu kiwanja chake ???

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md 7 месяцев назад +4

    Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu

  • @MasatuElly-kr4hj
    @MasatuElly-kr4hj 4 месяца назад

    Shida Nini tena🎉😊

  • @hallin9561
    @hallin9561 7 месяцев назад +4

    Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 7 месяцев назад +3

    Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii

  • @aneth520
    @aneth520 6 месяцев назад

    Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki

  • @lucynyalagu3799
    @lucynyalagu3799 7 месяцев назад +3

    Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 7 месяцев назад +1

    Kesho mmilik wa nyumba akishinda kesi mlipaji ni serikal hawa viongoz huwa wanakurupuka sana nasema me

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 7 месяцев назад

      Duh hawajaenda mahakamani?

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 7 месяцев назад +1

    Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 7 месяцев назад

      Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.

  • @faithV-S
    @faithV-S 6 месяцев назад

    Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana

    • @juliuskato5100
      @juliuskato5100 6 месяцев назад

      Huyu aliuziwa sio mporaji ameuziwa

    • @faithV-S
      @faithV-S 6 месяцев назад

      @@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana

  • @SHULE_YA_KRISTO
    @SHULE_YA_KRISTO 6 месяцев назад

    Yaani wewe kiongozi...unatakiwa kutambua, wewe sio wa kwanza kukaa katika ofisi.
    Walio tangulia unajua waliingia makubaliano gani?....
    Ukumbuke...ukichukua maamuzi, lazima utambue...aliye toka na wewe uliyepo...wote ni serikali...., kosa la mwenzako ni lako kwakuwa wewe ni serikali....
    Huyo mama hatokulilia wewe...bali ni serikali.
    Kama alitendwa hapo awali...leo ukachukua hatua...., Kosa ni la serikali.

  • @eliufooelias6964
    @eliufooelias6964 4 месяца назад

    kama ni mm mwenye nyumba ningeempa hiyo nyumba bure mwenye kiwanja.na kama akiwa vizuri anaweza kunirudishia ata nusu gharama za ujenzi,nipunguzie Pressure,Slaa na Makonda ni Pasua kichwa kabisa,Ukipita kwe anga zao vibaya unapotezwa mazima;Km ni mm halibomolewi ni hasara aisee.

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki 6 месяцев назад

    Hapo kitu wangefanya busara walojenga wangeongea na huyo alirdhulimiwa wakamlipa pesa yake ya plot akanununa kwengne..ila ni kama walitumia mabavu na lugha mbovu juu yake pole yao..kulala tajir kuamka maskin😩..maisha haya

    • @siaveramanga289
      @siaveramanga289 6 месяцев назад

      Inawezekana huyo tajiri hakutaka mahojiano akifikiri pesa inaweza kununua haki si unajua jeuri ya mafisadi

  • @bashirsalimin4948
    @bashirsalimin4948 7 месяцев назад +2

    Tukimaliza hili la Ardhi TUAMIENI KWENYE SHERIA YA MAFISADI KUNYONGWA MCHANA KWEUPEEE... tumalizie na katiba mpya🎉🎉

  • @salimmakange1868
    @salimmakange1868 6 месяцев назад

    Ila km hekima ingetumika wangekaachin na waziri huyo mwenye kiwanja angelipwa akanunue mwengine kulko hasara iliyofanyika sio uungwana

    • @siaveramanga289
      @siaveramanga289 6 месяцев назад

      Inawezekana mwenye kiwanja alishataka mahojiano lakin mwenye pesa hakutaka hivi unawajua matajiri mafisadi jeuri zao ww mpaka kuja kubomolewa na Yy yupo ndani sidhani kama hakupewa tahadhari kibao ila ujeuri tu

  • @MKOLOSAIZENGO-o7f
    @MKOLOSAIZENGO-o7f 6 месяцев назад +2

    Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 7 месяцев назад +16

    Hongera waziri

  • @peterwanjohiwangirasta8734
    @peterwanjohiwangirasta8734 7 месяцев назад +1

    Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 6 месяцев назад

    kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 4 месяца назад

    Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 6 месяцев назад

    Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢

  • @herijaphet
    @herijaphet 6 месяцев назад

    Mi nataka kuona picha au video ikionesha gjorofa zma limegeuka kifusi. Lkn kwa haraka naon ni kamchezo. Mbona wamebomoa ukuta wa fancy tu.

  • @GersboyOfficial
    @GersboyOfficial 7 месяцев назад +20

    Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa

  • @timothpius3310
    @timothpius3310 4 месяца назад

    Sasa kama mnazungumzia haki tuanzie na uchaguzi na namna tunavowapata viongozi wetu ,tunaomaba pia mchakato wa kuwapata viongozi uwe wa huru na haki na ndo maana tunataka katiba mpya ,tujenge kwanza base foundation ya upatikanaji wa haki

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 6 месяцев назад

    wew dada pumbuvu zako ilibidi ufie humo ndani wew ndo unaemshauri mumeo kutumia mabavu kujenga kwenye viwanja vya watu Kwa mfano wew ulimshaurije kuhusu kujenga bila hati na kibali Cha ujenzi Kama siyo unahusika

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 6 месяцев назад

    Jamaniiiiiiii 😭😭😭😭 si wangeongea tu kama kuuziana wangeuziana kuliko hasala alioingia huyo baba jamani 😭😭

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 6 месяцев назад

      Inaonekammna Alie vamia bado ni kiburiiiii ndivyo walivyo washindani Sanaaa kwakua pesa inawapa jeurii

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 6 месяцев назад +1

    Naumia 😢japo Hana haki😂

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 6 месяцев назад

    Wote apa mnafuraia binadamu mwenzio wapate hasara ndo furaha ya sisi wa Africa.wote mnao support walichokifanya mko wote maskini akili zenu azina afya.mnasema ivyo cos amjuwi au amna uchungu na pesa na amjuwi taabu ilioko kwenye kujenga.
    Kwani ilishindakana nn kukaa chini kama serekali na familia pande zote mbili kuangalia nn watafanya ili wote wawili wasiingie asara.
    Ok any question.
    Uyo mwenye uwandja amefaidika nn sas wakati mwenzio kaingia hasara.serikali gani izi.alafu mnawasingizia wazungu et ndo wameiaribu Africa 😡😡😡😡😡😡😡😡angekuwa mm mwenye iyo nyumba lazima uchawi ungefanya kazi ningeweka misikule apo au pageuke kuwa bwawa.akijenga yeye halali kila usiku nyumba iwe inajaa mashetani,akipangisha akuna mpangaji atakaekuja kuishimo ad aje kuibomoa mwenyewe

  • @MeddyKashakala-di9jw
    @MeddyKashakala-di9jw 7 месяцев назад +3

    Baada ya kujua kama sio chake wangeongea sasa wakayamalizaa kwa pesa sio kubomoaa

    • @kelvintowo4287
      @kelvintowo4287 7 месяцев назад

      Ukiona ivo uyo alikua mjeuri hayakubali maamuzi ya mahakama

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 7 месяцев назад +1

      Miaka 20 mwenye kiwanja alisumbuka. Wana kiburi hao... Angetaka wangeyamaliza sema wanaona pesa zao ndio kila kitu.

    • @juliemsimbe502
      @juliemsimbe502 7 месяцев назад

      ​@@kelvintowo4287 na umemsikia waziri kasema huyo jamaa ndio tabia zake za kuchukua viwanja sio vyake

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      Hizo no hatua za mwisho

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 7 месяцев назад +1

    Hapana hakuna haki km kuna haki basi wazanzibar nao wasiruhusiwe kumiliki aridhi bara mbn km ss watanganyika ni hatujui haki zetu,,,, okay nauliza je kuna mtu yeyote kutoka bara alishawahi kua kiongozi Zanzibar 😢😢😢

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 6 месяцев назад

    Hao mawaziri waliopita wizara ya Ardhi walikuwa wanafanya nini ? Mungu akupe maisha marefu waziri Slaa . Ila kuna watendaji wengine wa ardhi nimajambazi kweli.

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 6 месяцев назад

    Jamani mngemuacha tu atoe vitu vyake milango mageti,mabati,madirisha hata tofali pia uwiii,dhuluma kweli haifai😢

  • @lazaq3955
    @lazaq3955 6 месяцев назад

    Hapakua na njia nyingine ya kufanya naomi akapewa haki yake labda malipo maana sidhan kama kuna mtu timamu akakuta uwanja upo waz akajenga tu sokwel uyo huenda aliuziwa kama alivouziwa naomi

  • @BonniphaceMgahachi
    @BonniphaceMgahachi 6 месяцев назад

    Hongereni San haki saw Kwa wote

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 6 месяцев назад

    Lkn kwann mnakuwa hamfanyi kiudtarabu lazima mumpe muda jiandae toe vitu vyake n mje mbomoe lkn sio ivi mnavyo fanya mnabomowa na wt wakiw ndani vitu vikiwa ndani ss hp atawi kutow nn jmn ht km kuna mtu ni hk yk mpeni taarifa atoe vitu je km. Kuna wt wmelala sio vizur kbs yn ww silah msomi mkubwa unafany ujinga una uxao ww

  • @bhmeela
    @bhmeela 6 месяцев назад

    Jerry Sheria ya duniani sio ya mungu, ulichokifanya ni sawa.... Ni sawa na Ile Sheria inatosema aliyua anyongwe... Yule anayenyonga ndio anabeba dhambi haijalishi ni Sheria umeruhusu kunyonga Bali na wewe ni mnyongaji

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 7 месяцев назад +2

    Hiyo ni laana ni bola wangekubaliana tu . Kuliko kibomoa

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 6 месяцев назад

      Wakati anajenga kadhulumu ilikuwa anafanya baraka

  • @SalumSleiman
    @SalumSleiman 6 месяцев назад

    Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu

  • @khalidsaid5022
    @khalidsaid5022 6 месяцев назад

    Some time zitumike TU busara mtu kashawekeza pesa nyingi.ni vyema kumwita mtu mwenye haki yake ya kiwanja na uyo aliyewekeza pesa yake kuwaweka chin uku serikali akiwa msimamizi na kuakikisha mwenye uwanja analipwa fidia kwa kias ambacho kitamfanya hawe na aman! Kuliko kutumia njia hii

  • @samsonkisanga8587
    @samsonkisanga8587 6 месяцев назад

    Msibomoe nyuma yanguu...😂😂😂 ole wake

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 6 месяцев назад

    Kweli hata mimi nilikasirikia swala hili ila nimepata mwanga

  • @HaniffaOmary-v5r
    @HaniffaOmary-v5r 7 месяцев назад +18

    Jamani singeongea mkalimaliza maisha yalivyo magumu nyumba ya vyumba vitatu naijenga kwa miaka nasijaimaliza 😢😢

    • @FatiaAhmed-m1u
      @FatiaAhmed-m1u 7 месяцев назад

      Weeh Acha tu mimi nina kiwanja tu nataka tofali mia8 na sizipati japo nipate chumba na sebule

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 7 месяцев назад +1

      Hapo Jerry inaonekana ana bifu na huyo aliyenga nyumba

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 7 месяцев назад

      Sio kweli ​@@ananiamwatebela3159

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 7 месяцев назад

      Hujadhulumiwa ndugu kwa miaka 20 mtu kang'ang'ania mali yako halali?hapana kwakweli hapo haki imetendeka @@ananiamwatebela3159

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 7 месяцев назад

      ​@@ananiamwatebela3159hakuna cha bifu kuna waporaji makatili wakivunjiwa mnajifanya kulia huruma na kusema bifu mfikirie aliyeporwa kabla hujasema

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 6 месяцев назад +1

    Mungu amemsikia mweny kiwanja chake

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 6 месяцев назад

    Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana

  • @mucci_AI
    @mucci_AI 6 месяцев назад

    duuuh Hasara huku mwingine analia amedhulumiwa wangejadili tu

  • @WangeshiKimau
    @WangeshiKimau 7 месяцев назад +3

    Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂

  • @shukranichomolla-zi5tc
    @shukranichomolla-zi5tc 6 месяцев назад

    Mm nikipoteza buku tu napagawa itakua ghorofa la mamilion ila safi sana mtumishi Mungu katenda kaxi ya haki

  • @AishaSaid-yx3jl
    @AishaSaid-yx3jl 3 месяца назад

    Amna mtu anae vamia tu kujenga kuna kuwa na mauzo sehemu moja kwa mara mbili wewe wa pili ndiyo unakuwa mkosa naselikali ndiyo inakosea kabisa simamieni wewekiwanja chako sawa na wewe toka mlipe adi galama zake ziishe mtoeni kinguvu mvamizi akiwa ataki na mliipaji awe na hati yakulipa mpaka amalize kuvunja ni zambi

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe 7 месяцев назад +4

    Nimeipenda

  • @EmileLugendo
    @EmileLugendo 6 месяцев назад

    Hv huyo muhusika alikuw wp muda wt mpk nyumba ishajengwa mpk kufikia hapo, its nat right and its unfair😢

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 7 месяцев назад

    nasikia bunju, tegeta kasisitiza tena anarudi bunju na bado ila kinondoni lakini kwa sisi,huku mikoani hakuna😢😢😢

  • @YacintaJames
    @YacintaJames 7 месяцев назад +2

    Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana

  • @HanifaKibwanga
    @HanifaKibwanga 6 месяцев назад

    Huyu aliebomolewa atakua amekosea masharti ya nganga au freemason wamegundua anataka kujitoa kwenye chamaa maana sio Bure 😅😅😅😅

  • @Olaiserriomunyak1059
    @Olaiserriomunyak1059 6 месяцев назад

    Mh.Waziri, hivi hapakuwepo njia nyingine ya kutatua swala hili?

  • @maxwellnzai9542
    @maxwellnzai9542 6 месяцев назад

    Hii si haki..wangeelewana tuu....na kma ni kulipaa hat kmani mara kumi kuliko kupomboa..haikua njia sahihi

  • @devothakapuna7251
    @devothakapuna7251 6 месяцев назад

    Mungu akusaidie katika kutekeleza haki

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 7 месяцев назад +3

    Tatizo linaanza kwenye sheria sio mtu.Mbona ulaya hatuoni mtu anaingia tu eneo la mtu

    • @Happy-yk3lv
      @Happy-yk3lv 6 месяцев назад

      Ulaya kuna viwanja dada 😂😂😂 U