@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi
Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.
Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe
Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020. Hapo kuna mianya ya Rushwa .
Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake
Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu
No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.
Mmmh hapo hamjatatua ttzo bali mmeliongeza ttzo huyo mmiliki wa kiwanja mda si mrefu mtackia kauwawa wallah tena sidhani kama mwenye jengo hilo atakubali hili swala😢😭
@@Ndu-wa.uroony2 anii ni kwamba huyu aliebomolewa hili jengo lazima ataumia si kapata hasara ko lazima awe na roho ya kisasi kwa mwenye hicho kiwanja nakwambia
Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.
@user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake
Km nyumba 50 tuu zikivunjwa km hivi basi ujanja wa kufoji na kudhulumu ardhi utaisha kbsa, kila mtu ataogopa maana anajua ipo siku yatalkuta hara kmbaada ya miaja kadhaa
safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake
kabisa upuuzi wakatii maeneo" kibao wangeelewana akamtwalia pengine kuliko kumbomolea hasara" Mara mbili ndo atapata faida ganii wakatii Ardhii" zote niza Mungu' alokuja na Ardhii ulimwenguni ni nanii? Wakatii MTU wafa' ukaiwacha Kama ulivyo ikutaa serekali itashidwa vipi kuwaeka chinii wakamalizana kwauzurii.
Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu
Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana
@@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana
Yaani wewe kiongozi...unatakiwa kutambua, wewe sio wa kwanza kukaa katika ofisi. Walio tangulia unajua waliingia makubaliano gani?.... Ukumbuke...ukichukua maamuzi, lazima utambue...aliye toka na wewe uliyepo...wote ni serikali...., kosa la mwenzako ni lako kwakuwa wewe ni serikali.... Huyo mama hatokulilia wewe...bali ni serikali. Kama alitendwa hapo awali...leo ukachukua hatua...., Kosa ni la serikali.
kama ni mm mwenye nyumba ningeempa hiyo nyumba bure mwenye kiwanja.na kama akiwa vizuri anaweza kunirudishia ata nusu gharama za ujenzi,nipunguzie Pressure,Slaa na Makonda ni Pasua kichwa kabisa,Ukipita kwe anga zao vibaya unapotezwa mazima;Km ni mm halibomolewi ni hasara aisee.
Hapo kitu wangefanya busara walojenga wangeongea na huyo alirdhulimiwa wakamlipa pesa yake ya plot akanununa kwengne..ila ni kama walitumia mabavu na lugha mbovu juu yake pole yao..kulala tajir kuamka maskin😩..maisha haya
Inawezekana mwenye kiwanja alishataka mahojiano lakin mwenye pesa hakutaka hivi unawajua matajiri mafisadi jeuri zao ww mpaka kuja kubomolewa na Yy yupo ndani sidhani kama hakupewa tahadhari kibao ila ujeuri tu
Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢
Sasa kama mnazungumzia haki tuanzie na uchaguzi na namna tunavowapata viongozi wetu ,tunaomaba pia mchakato wa kuwapata viongozi uwe wa huru na haki na ndo maana tunataka katiba mpya ,tujenge kwanza base foundation ya upatikanaji wa haki
wew dada pumbuvu zako ilibidi ufie humo ndani wew ndo unaemshauri mumeo kutumia mabavu kujenga kwenye viwanja vya watu Kwa mfano wew ulimshaurije kuhusu kujenga bila hati na kibali Cha ujenzi Kama siyo unahusika
Wote apa mnafuraia binadamu mwenzio wapate hasara ndo furaha ya sisi wa Africa.wote mnao support walichokifanya mko wote maskini akili zenu azina afya.mnasema ivyo cos amjuwi au amna uchungu na pesa na amjuwi taabu ilioko kwenye kujenga. Kwani ilishindakana nn kukaa chini kama serekali na familia pande zote mbili kuangalia nn watafanya ili wote wawili wasiingie asara. Ok any question. Uyo mwenye uwandja amefaidika nn sas wakati mwenzio kaingia hasara.serikali gani izi.alafu mnawasingizia wazungu et ndo wameiaribu Africa 😡😡😡😡😡😡😡😡angekuwa mm mwenye iyo nyumba lazima uchawi ungefanya kazi ningeweka misikule apo au pageuke kuwa bwawa.akijenga yeye halali kila usiku nyumba iwe inajaa mashetani,akipangisha akuna mpangaji atakaekuja kuishimo ad aje kuibomoa mwenyewe
Hapana hakuna haki km kuna haki basi wazanzibar nao wasiruhusiwe kumiliki aridhi bara mbn km ss watanganyika ni hatujui haki zetu,,,, okay nauliza je kuna mtu yeyote kutoka bara alishawahi kua kiongozi Zanzibar 😢😢😢
Hao mawaziri waliopita wizara ya Ardhi walikuwa wanafanya nini ? Mungu akupe maisha marefu waziri Slaa . Ila kuna watendaji wengine wa ardhi nimajambazi kweli.
Hapakua na njia nyingine ya kufanya naomi akapewa haki yake labda malipo maana sidhan kama kuna mtu timamu akakuta uwanja upo waz akajenga tu sokwel uyo huenda aliuziwa kama alivouziwa naomi
Lkn kwann mnakuwa hamfanyi kiudtarabu lazima mumpe muda jiandae toe vitu vyake n mje mbomoe lkn sio ivi mnavyo fanya mnabomowa na wt wakiw ndani vitu vikiwa ndani ss hp atawi kutow nn jmn ht km kuna mtu ni hk yk mpeni taarifa atoe vitu je km. Kuna wt wmelala sio vizur kbs yn ww silah msomi mkubwa unafany ujinga una uxao ww
Jerry Sheria ya duniani sio ya mungu, ulichokifanya ni sawa.... Ni sawa na Ile Sheria inatosema aliyua anyongwe... Yule anayenyonga ndio anabeba dhambi haijalishi ni Sheria umeruhusu kunyonga Bali na wewe ni mnyongaji
Some time zitumike TU busara mtu kashawekeza pesa nyingi.ni vyema kumwita mtu mwenye haki yake ya kiwanja na uyo aliyewekeza pesa yake kuwaweka chin uku serikali akiwa msimamizi na kuakikisha mwenye uwanja analipwa fidia kwa kias ambacho kitamfanya hawe na aman! Kuliko kutumia njia hii
Amna mtu anae vamia tu kujenga kuna kuwa na mauzo sehemu moja kwa mara mbili wewe wa pili ndiyo unakuwa mkosa naselikali ndiyo inakosea kabisa simamieni wewekiwanja chako sawa na wewe toka mlipe adi galama zake ziishe mtoeni kinguvu mvamizi akiwa ataki na mliipaji awe na hati yakulipa mpaka amalize kuvunja ni zambi
Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.
Ongea machache mungu yupo
Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja
Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.
Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.
Weeeee Mungu ndo anaendesha tingatinga 😂😂😂😂
Lp1😊q@@SportsRaha¹
@@SportsRaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani ww
Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri
Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤
Nimekupenda bure
😅😅😅😅😅
❤❤😂
Hahaaaa lazima tu abomoe pale pale panapouma
Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.
Kwakweli
Point mkuu
Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi
Wakati inajengwa walikuwap?
@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi
Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz
Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati
Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.
Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa
huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri
Z😊Z😅zz😅😊D😊😅😅😅z😅Z😅😊😊😊zz😊z😊😊SXz😊zza😅@@😅😅😅-😅😅Xz😅Azs😊😅😅😊ds😅😊z😅😊z😅Ad😅😅aaaA°°Aaa•°X@☆☆22😊@~😅@😅@😊😊😊#😊😊😊○😊😊😊😊😊😊😊😊‐😊😊😊☆☆😅😊😊😅☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆##☆😊😊😊😊😊😊😊😊😊☆😊😊#😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊-------------------------------‐-------------😊☆☆☆☆☆☆-==☆😮☆😅😊😮○••😅😅😅😅😅😅☆☆•○•😅😅😅😊○☆○○😅😅▪︎~~▪︎~☆😊#№---@😅@@-😅@----😅☆😅😅😊😊•○😅@#-😊😅•-😅--@#-😅•@---😊#@😊☆••9@@ChristopherMgoli-m2y
Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏
SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.
Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake
Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine
Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza
Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up
Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢
Jmn bas wangeelewana ampe pesa akajenge sehem nyingine heshimni Mali za watu jmn Sasa mnabomoa hamjui hata Aliye Jenga ametumia pesa nyingi?
Kwa watu happ
wakat anajenga akijua kabisa kwamba eneo sio lake si dharau?Miaka 20 ametulia tu na alipoambiwa alipie kiwanja akagoma ulitaka wamuache?
Kajenga kwa watu
Hiv unawawajuwa wenye nguvu ya pesa wew au unaropoka tu hayajakukuta?omba yasikukute utajuta uroporopo wako
Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema
Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe
Mpaka kufika uamuzi huo ujue yote hayo yamefanyika. Usikute tajiri alileta dharau
Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung
Komesha mm viela vyao vinawapa viburi ndio ujenge kiwanja cha mtu
Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako
Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020.
Hapo kuna mianya ya Rushwa .
Wenye pesa wengi wanakiburi safi sana.
Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu
Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄
Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake
Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu
Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri
Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu
Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu
Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.
Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi
That's true"vitu vingine vinahtaji busara sio kukurupukaa
No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.
@@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa
Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake
Ahsante sana mkuu 🤝🤝
Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢
Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo
Ameshaambiwa amegoma
Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu
Mmmh hapo hamjatatua ttzo bali mmeliongeza ttzo huyo mmiliki wa kiwanja mda si mrefu mtackia kauwawa wallah tena sidhani kama mwenye jengo hilo atakubali hili swala😢😭
Kwani kiwanja na jengo kipi kina thamani kubwa?
Mbona majengo yanayojengwa kwenye akiba ya barabara hubomolewa?
@@Ndu-wa.uroony2 anii ni kwamba huyu aliebomolewa hili jengo lazima ataumia si kapata hasara ko lazima awe na roho ya kisasi kwa mwenye hicho kiwanja nakwambia
Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.
Sasa nani analipa?
@@Zuu673 Mmiliki aliyevamia amlipe mmiliki halali.
@user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake
Je huyo anaye taka kiwanja ana uwezo wa kuweka mujengo kama huo au ndo ana weka chumba kimoja
ata kama ni nusu chumba ni yeye na kiwanja chake uyo aliyejenga ghorofa nae akajenge kwenye kiwanja chake sio kudhulumu watu
Nadhani sio uzuri kubomoa nyumba ambayo kutumia pesa nyingi kujenga, bora wangeelewana amlipe thamani yake, ilifika mahakamani?
Mpk walipo fikia nahs hko kote wamefika , Mungu wangu
Ushaambiwa miaka ishirini
Hongera sana iwefundisho kwa wengine,
Km nyumba 50 tuu zikivunjwa km hivi basi ujanja wa kufoji na kudhulumu ardhi utaisha kbsa, kila mtu ataogopa maana anajua ipo siku yatalkuta hara kmbaada ya miaja kadhaa
Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao
Kwel kabisaa safi sanaaa
Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.
Jpm alivunja nyumba ngap
Sheria ni msumeno haki yake ifatwe mm ng,ang,ania
safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake
Hii serikali ya hovyo sana Kwan serikali umeshindwa kuwapatanisha hao wawili kama huo sio uharibifu kwann asipewe hela huyo mwenye eneo
kabisa upuuzi wakatii maeneo" kibao wangeelewana akamtwalia pengine kuliko kumbomolea hasara" Mara mbili ndo atapata faida ganii wakatii Ardhii" zote niza Mungu' alokuja na Ardhii ulimwenguni ni nanii? Wakatii MTU wafa' ukaiwacha Kama ulivyo ikutaa serekali itashidwa vipi kuwaeka chinii wakamalizana kwauzurii.
Utampatanishaje maskini na tajiri tena wa kimarangu😂
Anataka kiwanja sio pesa elewa hivyo
Huyu Waziri hana muda mrefu, maturity hakuna...He is thinking Win/Loose...too much courage too little consideration.
Grodoza ni ZURI likiwa linachonga barabara ,lkn likiwa linavunja nyumba Yako KHAAA utakojoa
Naona wavamizi wengi wa viwanja wanadai hii siyo powa.....so kwenu poa ni kumnyanganya mtu kiwanja chake ???
Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu
Kweli
Shida Nini tena🎉😊
Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja
Sawa tajiri!
Kwa ww mwenye pesa ndio huoni
Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii
Ngoja kiwalambe
Umemewenyee umezima😂😂😂
Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki
Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu
Kesho mmilik wa nyumba akishinda kesi mlipaji ni serikal hawa viongoz huwa wanakurupuka sana nasema me
Duh hawajaenda mahakamani?
Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂
Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.
Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana
Huyu aliuziwa sio mporaji ameuziwa
@@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana
Yaani wewe kiongozi...unatakiwa kutambua, wewe sio wa kwanza kukaa katika ofisi.
Walio tangulia unajua waliingia makubaliano gani?....
Ukumbuke...ukichukua maamuzi, lazima utambue...aliye toka na wewe uliyepo...wote ni serikali...., kosa la mwenzako ni lako kwakuwa wewe ni serikali....
Huyo mama hatokulilia wewe...bali ni serikali.
Kama alitendwa hapo awali...leo ukachukua hatua...., Kosa ni la serikali.
kama ni mm mwenye nyumba ningeempa hiyo nyumba bure mwenye kiwanja.na kama akiwa vizuri anaweza kunirudishia ata nusu gharama za ujenzi,nipunguzie Pressure,Slaa na Makonda ni Pasua kichwa kabisa,Ukipita kwe anga zao vibaya unapotezwa mazima;Km ni mm halibomolewi ni hasara aisee.
Hapo kitu wangefanya busara walojenga wangeongea na huyo alirdhulimiwa wakamlipa pesa yake ya plot akanununa kwengne..ila ni kama walitumia mabavu na lugha mbovu juu yake pole yao..kulala tajir kuamka maskin😩..maisha haya
Inawezekana huyo tajiri hakutaka mahojiano akifikiri pesa inaweza kununua haki si unajua jeuri ya mafisadi
Tukimaliza hili la Ardhi TUAMIENI KWENYE SHERIA YA MAFISADI KUNYONGWA MCHANA KWEUPEEE... tumalizie na katiba mpya🎉🎉
Malizia hadi kufa.
😂😂 mpka wa puyuuu😅
😂😂😂
Ila km hekima ingetumika wangekaachin na waziri huyo mwenye kiwanja angelipwa akanunue mwengine kulko hasara iliyofanyika sio uungwana
Inawezekana mwenye kiwanja alishataka mahojiano lakin mwenye pesa hakutaka hivi unawajua matajiri mafisadi jeuri zao ww mpaka kuja kubomolewa na Yy yupo ndani sidhani kama hakupewa tahadhari kibao ila ujeuri tu
Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢
Hongera waziri
Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏
kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho
Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍
Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢
Mi nataka kuona picha au video ikionesha gjorofa zma limegeuka kifusi. Lkn kwa haraka naon ni kamchezo. Mbona wamebomoa ukuta wa fancy tu.
Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa
Hawatosheki na halali halamu pia haitofaa
Haswaa awatoshekii
Sasa kama mnazungumzia haki tuanzie na uchaguzi na namna tunavowapata viongozi wetu ,tunaomaba pia mchakato wa kuwapata viongozi uwe wa huru na haki na ndo maana tunataka katiba mpya ,tujenge kwanza base foundation ya upatikanaji wa haki
wew dada pumbuvu zako ilibidi ufie humo ndani wew ndo unaemshauri mumeo kutumia mabavu kujenga kwenye viwanja vya watu Kwa mfano wew ulimshaurije kuhusu kujenga bila hati na kibali Cha ujenzi Kama siyo unahusika
Jamaniiiiiiii 😭😭😭😭 si wangeongea tu kama kuuziana wangeuziana kuliko hasala alioingia huyo baba jamani 😭😭
Inaonekammna Alie vamia bado ni kiburiiiii ndivyo walivyo washindani Sanaaa kwakua pesa inawapa jeurii
Naumia 😢japo Hana haki😂
Wote apa mnafuraia binadamu mwenzio wapate hasara ndo furaha ya sisi wa Africa.wote mnao support walichokifanya mko wote maskini akili zenu azina afya.mnasema ivyo cos amjuwi au amna uchungu na pesa na amjuwi taabu ilioko kwenye kujenga.
Kwani ilishindakana nn kukaa chini kama serekali na familia pande zote mbili kuangalia nn watafanya ili wote wawili wasiingie asara.
Ok any question.
Uyo mwenye uwandja amefaidika nn sas wakati mwenzio kaingia hasara.serikali gani izi.alafu mnawasingizia wazungu et ndo wameiaribu Africa 😡😡😡😡😡😡😡😡angekuwa mm mwenye iyo nyumba lazima uchawi ungefanya kazi ningeweka misikule apo au pageuke kuwa bwawa.akijenga yeye halali kila usiku nyumba iwe inajaa mashetani,akipangisha akuna mpangaji atakaekuja kuishimo ad aje kuibomoa mwenyewe
Baada ya kujua kama sio chake wangeongea sasa wakayamalizaa kwa pesa sio kubomoaa
Ukiona ivo uyo alikua mjeuri hayakubali maamuzi ya mahakama
Miaka 20 mwenye kiwanja alisumbuka. Wana kiburi hao... Angetaka wangeyamaliza sema wanaona pesa zao ndio kila kitu.
@@kelvintowo4287 na umemsikia waziri kasema huyo jamaa ndio tabia zake za kuchukua viwanja sio vyake
Hizo no hatua za mwisho
Hapana hakuna haki km kuna haki basi wazanzibar nao wasiruhusiwe kumiliki aridhi bara mbn km ss watanganyika ni hatujui haki zetu,,,, okay nauliza je kuna mtu yeyote kutoka bara alishawahi kua kiongozi Zanzibar 😢😢😢
Hao mawaziri waliopita wizara ya Ardhi walikuwa wanafanya nini ? Mungu akupe maisha marefu waziri Slaa . Ila kuna watendaji wengine wa ardhi nimajambazi kweli.
Jamani mngemuacha tu atoe vitu vyake milango mageti,mabati,madirisha hata tofali pia uwiii,dhuluma kweli haifai😢
Hapakua na njia nyingine ya kufanya naomi akapewa haki yake labda malipo maana sidhan kama kuna mtu timamu akakuta uwanja upo waz akajenga tu sokwel uyo huenda aliuziwa kama alivouziwa naomi
Hongereni San haki saw Kwa wote
Lkn kwann mnakuwa hamfanyi kiudtarabu lazima mumpe muda jiandae toe vitu vyake n mje mbomoe lkn sio ivi mnavyo fanya mnabomowa na wt wakiw ndani vitu vikiwa ndani ss hp atawi kutow nn jmn ht km kuna mtu ni hk yk mpeni taarifa atoe vitu je km. Kuna wt wmelala sio vizur kbs yn ww silah msomi mkubwa unafany ujinga una uxao ww
Jerry Sheria ya duniani sio ya mungu, ulichokifanya ni sawa.... Ni sawa na Ile Sheria inatosema aliyua anyongwe... Yule anayenyonga ndio anabeba dhambi haijalishi ni Sheria umeruhusu kunyonga Bali na wewe ni mnyongaji
Hiyo ni laana ni bola wangekubaliana tu . Kuliko kibomoa
Wakati anajenga kadhulumu ilikuwa anafanya baraka
Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu
Kakugombia kwa kipi hapo
Ovyooo
Some time zitumike TU busara mtu kashawekeza pesa nyingi.ni vyema kumwita mtu mwenye haki yake ya kiwanja na uyo aliyewekeza pesa yake kuwaweka chin uku serikali akiwa msimamizi na kuakikisha mwenye uwanja analipwa fidia kwa kias ambacho kitamfanya hawe na aman! Kuliko kutumia njia hii
Msibomoe nyuma yanguu...😂😂😂 ole wake
Kweli hata mimi nilikasirikia swala hili ila nimepata mwanga
Jamani singeongea mkalimaliza maisha yalivyo magumu nyumba ya vyumba vitatu naijenga kwa miaka nasijaimaliza 😢😢
Weeh Acha tu mimi nina kiwanja tu nataka tofali mia8 na sizipati japo nipate chumba na sebule
Hapo Jerry inaonekana ana bifu na huyo aliyenga nyumba
Sio kweli @@ananiamwatebela3159
Hujadhulumiwa ndugu kwa miaka 20 mtu kang'ang'ania mali yako halali?hapana kwakweli hapo haki imetendeka @@ananiamwatebela3159
@@ananiamwatebela3159hakuna cha bifu kuna waporaji makatili wakivunjiwa mnajifanya kulia huruma na kusema bifu mfikirie aliyeporwa kabla hujasema
Mungu amemsikia mweny kiwanja chake
Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana
duuuh Hasara huku mwingine analia amedhulumiwa wangejadili tu
Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂
Nakweli 😂😂
Mm nikipoteza buku tu napagawa itakua ghorofa la mamilion ila safi sana mtumishi Mungu katenda kaxi ya haki
😂😂😂😂😂
Amna mtu anae vamia tu kujenga kuna kuwa na mauzo sehemu moja kwa mara mbili wewe wa pili ndiyo unakuwa mkosa naselikali ndiyo inakosea kabisa simamieni wewekiwanja chako sawa na wewe toka mlipe adi galama zake ziishe mtoeni kinguvu mvamizi akiwa ataki na mliipaji awe na hati yakulipa mpaka amalize kuvunja ni zambi
Nimeipenda
Hv huyo muhusika alikuw wp muda wt mpk nyumba ishajengwa mpk kufikia hapo, its nat right and its unfair😢
nasikia bunju, tegeta kasisitiza tena anarudi bunju na bado ila kinondoni lakini kwa sisi,huku mikoani hakuna😢😢😢
Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana
Huyu aliebomolewa atakua amekosea masharti ya nganga au freemason wamegundua anataka kujitoa kwenye chamaa maana sio Bure 😅😅😅😅
Mh.Waziri, hivi hapakuwepo njia nyingine ya kutatua swala hili?
Hii si haki..wangeelewana tuu....na kma ni kulipaa hat kmani mara kumi kuliko kupomboa..haikua njia sahihi
Mungu akusaidie katika kutekeleza haki
Tatizo linaanza kwenye sheria sio mtu.Mbona ulaya hatuoni mtu anaingia tu eneo la mtu
Ulaya kuna viwanja dada 😂😂😂 U