watanzania wana hela, heshima, wana imani, mioyo ya huruma, wanapendana na pia kupenda kusaidiana mashaallah. Mola awazidishie na Mola aibariki tanzania. Love you sana from mombasa kenya..💘💝💛💟
Jamani mmejitolea sana kamati,bilnas namkeo waoneni watu walivowaitika kwenye harusi yenu mkaidumishe ndoa yenu,nanyinyi pia mkashiliki na wenzenu kwenye Mambo tofaut, hongereni wote
Ukiona hivyo wao nao ni watu wakunyoosha mkono sana Kwa watu wengine.(MKONO UTOWAO NDIO UPOKEAO) wapo waliolipa pia waliokopesha.Mungu awatangulie katika maisha Yao mapya.
Jamani jamani,mkakae kwa kutulia.Mpendane kwelikweli na mvumiliane haswa.Maana muwaonee huruma ambao mko nao day one kwenye shughuli zenu za maandalizi walivyojitoa muda wao na hela zao.Please Billnas na mkeo.
Ebwana hakuna kitu cha raha kama kuoa mwanamke ambae hujawahi kulala nae. Kinyume chake ni sawa na kuoneshwa zawad kwanz alafu siku nyngne ikaletwa ktk box
watanzania wana hela, heshima, wana imani, mioyo ya huruma, wanapendana na pia kupenda kusaidiana mashaallah. Mola awazidishie na Mola aibariki tanzania. Love you sana from mombasa kenya..💘💝💛💟
Jamani mmejitolea sana kamati,bilnas namkeo waoneni watu walivowaitika kwenye harusi yenu mkaidumishe ndoa yenu,nanyinyi pia mkashiliki na wenzenu kwenye Mambo tofaut, hongereni wote
Amina
Ukiona hivyo wao nao ni watu wakunyoosha mkono sana Kwa watu wengine.(MKONO UTOWAO NDIO UPOKEAO) wapo waliolipa pia waliokopesha.Mungu awatangulie katika maisha Yao mapya.
@@dadamwebrania7086 umeongea neno kubwa sana
Hii harusi ya nandy haijawahi kutokea tz hongeran nandy and nenga
Jamani jamani,mkakae kwa kutulia.Mpendane kwelikweli na mvumiliane haswa.Maana muwaonee huruma ambao mko nao day one kwenye shughuli zenu za maandalizi walivyojitoa muda wao na hela zao.Please Billnas na mkeo.
Kweli
Jaman mmetisha mungu awe nanyi
Hapa Nandi alivaa nguo sahihi lakin ile nyingne mmh, yote kwa yote hongera kamati
Woooi imagine baada ya ndoa wana mamilioni ivo wakati wengineafter ndoa kuna madeni kama yote
Nandy mkaitunze ndoa yenu
Mungu aibariki hii ndoa idumu milele.....Amina
Hogera da nandi Allah awajalie na maelewano ishaallah kwenye ndoa
Hongereni Sana
milioni miamoja stinnasaba elfu = 100,067,000. Kweli wabongo hesabu hamjui
Hahaha jamani nataka niamie kwao angarau wanipatie mtaji
Hivi ni kweli jaman au na mimo nioe 😂😂😂🙏🙏🙏
Dr chem sijaipenda kazi yako.
Kabisaa hana hamsha hamsha harusi angefanya mc gara
Kwa hali hii mama akiona ataachia hela kweli.
Wamezini mpka mimba juu then wakaowana cjui kanisa gani waloruhusu hayo. Aisee watu hawamuogopi mungu
Makanisa mengi yapo mpenzi Kwani hata roma na kkt
Epusheni aibu ya vurugu ktk ndoa. Watu wamejitoa kimasomaso.
Ebwana hakuna kitu cha raha kama kuoa mwanamke ambae hujawahi kulala nae. Kinyume chake ni sawa na kuoneshwa zawad kwanz alafu siku nyngne ikaletwa ktk box
jamani hadi raha
kweli
Kunawatu uku mtahani tumecharara hatuna hata mia duu
Kweli ndoa ni baraka ona mazawadi
Duuh mihela km yote Khaaaa 😄
Million 167,000,000. Ok wenzangu na mm hivi ilibakia ngapi😂😂😂.
Kiingilishi 😀😀
Tulibakiwa na Madeni hahahaaaaaaa
Million mia moja na 67 elfu?🤔
Duuu hii harusi kiboko mahela kama yote
Yan pesa km zt
Na mimi nitachangiwa kweli mimii🤔
Kweli tafuteni pesa
MC WA hovyo , kabisa
Duuh!
Jamani
Kila la kheri kwenu
Wala hamtubabaish 😀😀😀
Hata kidogo ya kupita tu hayo mauti ni yetu sote wataacha hapa hapa weeeh
❤️❤️❤️
hivi hizi zawad huwa nikweli au mbwembwe tu
Nandi gauni uliyofaa hafai kuonyesha tumbo lako hivyo sio kila mtu anafurahia tumbo lako hiyo
Shetani. Ashindwe
Aaaa bwana huyo ni staa😂😂
tumbo hilo
Gara B jamani hapa ndo angefit
Kweli
Kwanini Gara B hajawa MC yy ana vibe kama lote
Yupo KWENYE harusi nyengine
Harusi ya mfanya biashara anaiwa victr _tz
Kumbeee..Nandi angembook B ingependeza sana
Duuu atare
Pambe
Macheki Mimi siamini Kuna uongo mwingi gari nakubali
Unamuhemuka wewe
@@fadhilaongezaongeza226 hahahahaha et wanaongeza 0
Ma Mc wa dar wabovuu mweeeee
Sasa hapo ubovu wake nini
Mc gara b uko wap