Zawadi ya Kamati kwa Billnass na Nandy ni Mamilioni na Ndinga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kamati ya harusi ikikabidhi zawadi kwa maharusi Billnass na Nandy

Комментарии • 67

  • @ahmaduun6523
    @ahmaduun6523 2 года назад +1

    watanzania wana hela, heshima, wana imani, mioyo ya huruma, wanapendana na pia kupenda kusaidiana mashaallah. Mola awazidishie na Mola aibariki tanzania. Love you sana from mombasa kenya..💘💝💛💟

  • @theresiamagnius1503
    @theresiamagnius1503 2 года назад +21

    Jamani mmejitolea sana kamati,bilnas namkeo waoneni watu walivowaitika kwenye harusi yenu mkaidumishe ndoa yenu,nanyinyi pia mkashiliki na wenzenu kwenye Mambo tofaut, hongereni wote

    • @bellahappy2119
      @bellahappy2119 2 года назад

      Amina

    • @dadamwebrania7086
      @dadamwebrania7086 2 года назад +1

      Ukiona hivyo wao nao ni watu wakunyoosha mkono sana Kwa watu wengine.(MKONO UTOWAO NDIO UPOKEAO) wapo waliolipa pia waliokopesha.Mungu awatangulie katika maisha Yao mapya.

    • @fatumaayubu645
      @fatumaayubu645 2 года назад +1

      @@dadamwebrania7086 umeongea neno kubwa sana

  • @gres1182
    @gres1182 2 года назад +1

    Hii harusi ya nandy haijawahi kutokea tz hongeran nandy and nenga

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 2 года назад +13

    Jamani jamani,mkakae kwa kutulia.Mpendane kwelikweli na mvumiliane haswa.Maana muwaonee huruma ambao mko nao day one kwenye shughuli zenu za maandalizi walivyojitoa muda wao na hela zao.Please Billnas na mkeo.

  • @shukranzakaria3204
    @shukranzakaria3204 2 года назад

    Jaman mmetisha mungu awe nanyi

  • @salamakaliasi9358
    @salamakaliasi9358 2 года назад +1

    Hapa Nandi alivaa nguo sahihi lakin ile nyingne mmh, yote kwa yote hongera kamati

  • @shineforever1995
    @shineforever1995 2 года назад +1

    Woooi imagine baada ya ndoa wana mamilioni ivo wakati wengineafter ndoa kuna madeni kama yote

  • @hawasaidy835
    @hawasaidy835 2 года назад +4

    Nandy mkaitunze ndoa yenu

  • @jacklynemutuli9793
    @jacklynemutuli9793 2 года назад

    Mungu aibariki hii ndoa idumu milele.....Amina

  • @rahmamarumuthuma2071
    @rahmamarumuthuma2071 2 года назад

    Hogera da nandi Allah awajalie na maelewano ishaallah kwenye ndoa

  • @beatricemwagike3519
    @beatricemwagike3519 2 года назад +4

    Hongereni Sana

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 2 года назад

    milioni miamoja stinnasaba elfu = 100,067,000. Kweli wabongo hesabu hamjui

  • @rosemuhando6494
    @rosemuhando6494 2 года назад +3

    Hahaha jamani nataka niamie kwao angarau wanipatie mtaji

  • @BigawaTv
    @BigawaTv 2 года назад +1

    Hivi ni kweli jaman au na mimo nioe 😂😂😂🙏🙏🙏

  • @maryamtassama494
    @maryamtassama494 2 года назад +2

    Dr chem sijaipenda kazi yako.

    • @miaerny6609
      @miaerny6609 2 года назад

      Kabisaa hana hamsha hamsha harusi angefanya mc gara

  • @thejohnsonmbaraka6741
    @thejohnsonmbaraka6741 2 года назад +1

    Kwa hali hii mama akiona ataachia hela kweli.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 года назад

    Wamezini mpka mimba juu then wakaowana cjui kanisa gani waloruhusu hayo. Aisee watu hawamuogopi mungu

    • @brigitakawau8500
      @brigitakawau8500 2 года назад

      Makanisa mengi yapo mpenzi Kwani hata roma na kkt

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 2 года назад

    Epusheni aibu ya vurugu ktk ndoa. Watu wamejitoa kimasomaso.

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 2 года назад +1

    Ebwana hakuna kitu cha raha kama kuoa mwanamke ambae hujawahi kulala nae. Kinyume chake ni sawa na kuoneshwa zawad kwanz alafu siku nyngne ikaletwa ktk box

  • @junguduu3355
    @junguduu3355 2 года назад

    Kunawatu uku mtahani tumecharara hatuna hata mia duu

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад

    Kweli ndoa ni baraka ona mazawadi

  • @shabbykhantz3604
    @shabbykhantz3604 2 года назад +2

    Duuh mihela km yote Khaaaa 😄

  • @anifaally4816
    @anifaally4816 2 года назад +1

    Million 167,000,000. Ok wenzangu na mm hivi ilibakia ngapi😂😂😂.

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +3

    Million mia moja na 67 elfu?🤔

  • @stewardlwimbo3944
    @stewardlwimbo3944 2 года назад +1

    Duuu hii harusi kiboko mahela kama yote

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 года назад

    Na mimi nitachangiwa kweli mimii🤔

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 2 года назад +1

    Kweli tafuteni pesa

  • @elidangoti752
    @elidangoti752 2 года назад +1

    MC WA hovyo , kabisa

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад

    Duuh!

  • @Mary-rv4mg
    @Mary-rv4mg 2 года назад

    Jamani

  • @sabrinandunguli7821
    @sabrinandunguli7821 2 года назад

    Kila la kheri kwenu

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 2 года назад

    Wala hamtubabaish 😀😀😀

    • @timemohammed4397
      @timemohammed4397 2 года назад

      Hata kidogo ya kupita tu hayo mauti ni yetu sote wataacha hapa hapa weeeh

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 2 года назад +1

    ❤️❤️❤️

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 2 года назад +1

    hivi hizi zawad huwa nikweli au mbwembwe tu

  • @devotajulius7572
    @devotajulius7572 2 года назад +2

    Nandi gauni uliyofaa hafai kuonyesha tumbo lako hivyo sio kila mtu anafurahia tumbo lako hiyo

  • @phinaswai4718
    @phinaswai4718 2 года назад

    Gara B jamani hapa ndo angefit

  • @faridalipepe772
    @faridalipepe772 2 года назад

    Kwanini Gara B hajawa MC yy ana vibe kama lote

    • @jonessalum6325
      @jonessalum6325 2 года назад

      Yupo KWENYE harusi nyengine

    • @jonessalum6325
      @jonessalum6325 2 года назад

      Harusi ya mfanya biashara anaiwa victr _tz

    • @faridalipepe772
      @faridalipepe772 2 года назад

      Kumbeee..Nandi angembook B ingependeza sana

  • @isayamneja7020
    @isayamneja7020 2 года назад

    Duuu atare

  • @marietswedy776
    @marietswedy776 2 года назад

    Pambe

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 года назад +1

    Macheki Mimi siamini Kuna uongo mwingi gari nakubali

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 2 года назад

    Ma Mc wa dar wabovuu mweeeee

  • @linahpasco3775
    @linahpasco3775 2 года назад

    Mc gara b uko wap