Huyu jamaa ni msukule kweli, ni vizuri arudi nyumbani, maana ng'ombe akivunjika malishoni hugangiwa nyumbani! Hawa watu ndiyo maana watu wanawatafuta ili wapate utajiri, so Iko nguvu fulani ya kiroho ndani yao ambayo imeambatana na nyota ya mafanikio! We hushangai alipoenda Yanga tu wamefanikiwa kuliko? Kwahiyo tumuache arudi kwenye timu yake kule alikuwa kikazi tu, na mwisho wa kazi yake umeishia alipofika, arudi Simba hatakosa kazi ya kufanya. Ila Kwa usemaji Ahmed Ally anatosha sana, ameibeba sana timu wakati wa shida, so neema imeingia aifaidi mwenyewe! Ila Haji apokelewe kama kweli ameamua kurufi
Kwetu atumtaki atafute pakwenda. Asije kutuvuruga tena! Kupiga picha na boss isikuticshe ndg yng. Kwani hujuwikuwa yule mwamba nimtu wakujiweka karibu na watu kama hao? Navipi kashfa alizokuwa akimtolea?!
Huyo ni spy ni mbinu ya kiijua Simba kiundani wanaweka mtu wa kupeleka taarifa za Siri za Simba Kwa Yanga Simba wawe macho.
Moo manara hatumtaki kabisa ni mchawi huyo anatafuta gea ya kurudi aje kutuharibia timu yetu muogopeni huyo ni kunguru hafugiki !!❤❤❤❤
hatumtaki kabisa manara semaji LA caf linatutosha
Huyu jamaa ni msukule kweli, ni vizuri arudi nyumbani, maana ng'ombe akivunjika malishoni hugangiwa nyumbani! Hawa watu ndiyo maana watu wanawatafuta ili wapate utajiri, so Iko nguvu fulani ya kiroho ndani yao ambayo imeambatana na nyota ya mafanikio! We hushangai alipoenda Yanga tu wamefanikiwa kuliko? Kwahiyo tumuache arudi kwenye timu yake kule alikuwa kikazi tu, na mwisho wa kazi yake umeishia alipofika, arudi Simba hatakosa kazi ya kufanya. Ila Kwa usemaji Ahmed Ally anatosha sana, ameibeba sana timu wakati wa shida, so neema imeingia aifaidi mwenyewe! Ila Haji apokelewe kama kweli ameamua kurufi
Mo atakosea akumbuke siku ya wananchi alivyo mnyea leo unamleta kumfuga ndan
Mh manala tena kuludi Simba utakuwa mwisho WA ushabiki
Manara ni nguruwe pili Kila Poli yupo hatmta aende alikotok
Alienda kuipeleleza Yanga. Mi namjua Hajj ni Simba
Simba Haina Shida Tena na Mnara, saiv Mnara unasoma empty
mzee wa kutangatanga,,, huyo mwacheni anatafuta unafuu wa maisha,,, hata hivo alitoka simba,, acha arudi ,,,,,,,,
Hatumtaki
Ksha ona simba ip0 kweny ubola wake sas roh inauma san manara asirud simba kaitutan san simba
Kwani kuna siku ilikuwa mbovu
Simba itafanya makosa makubwa saana kumleta Manala Mwacheni ni mamluki
Ahmed ally anatosha Manara awe mwanachama tu akitaka kurudi
Ahmad Ali tafuta kazi nyingine bro, huyo jamaa huwezi kufanya kazi nae, take my word
KWA HIYO WW NDIO MANALA ? MNASHINDWAJE KUMTAFUTA MANALA MNAKAA MNAONGEA UMBEA ?
Manara ni mwanamichezo mzuri sio mbaya kurudi kundini
Ahmed ally anatosha
Kama ni upelelezi alienda kuipele
Sometime guy ilikuj aweapeleleze wanajifany wamemuondoa kumbe anatakuj kuja kuhalib mi achananae huyo muhun anahangaik abak hukohuko asituletee mambo meus
Hakuna semaji kama ahamed Ali. Manara ni uto-zero Ashura.
Ttusimuache tumrudishe atasaidia mambo flani.tuache hasira
Kwetu atumtaki atafute pakwenda. Asije kutuvuruga tena! Kupiga picha na boss isikuticshe ndg yng. Kwani hujuwikuwa yule mwamba nimtu wakujiweka karibu na watu kama hao? Navipi kashfa alizokuwa akimtolea?!
Atumtaki kilusitu mnafki mkubwa nasimba wakitaka kutuzi na kutugawa mashabiki basiwamludishe uyo polokaji atumtakii
Hatumtaki abaki huko atangaze magodoro inamfaa
TABIA HAINA DAWA, LA KUVUNDA HALINA UBANI NA SUBIRA YA VUTA KHERI UMEKWAMA WAPI MNARA?, UKIVUKA NGUO CHUTAMA.
Huy mzee mnafk sana aend kwa dula makabila akaombe kaz ya kumchezea dula kweny show zak simba hatumtak huyo mzee mafuta sana