MANARA ATANGAZA RASIMI MUDA HUU SIO YANGA TENA/NIMERUDI SIMBA RASIMI/AHMED ALI AMPONGEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #manara#simba#yanga#nbcpremierleague#sportsarena #crownsports#ONETOUCHTZ#topzerowtv#simbampya

Комментарии • 28

  • @nikasmkud7332
    @nikasmkud7332 16 дней назад +4

    Huyo ni spy ni mbinu ya kiijua Simba kiundani wanaweka mtu wa kupeleka taarifa za Siri za Simba Kwa Yanga Simba wawe macho.

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 16 дней назад

    Moo manara hatumtaki kabisa ni mchawi huyo anatafuta gea ya kurudi aje kutuharibia timu yetu muogopeni huyo ni kunguru hafugiki !!❤❤❤❤

  • @Adohboy
    @Adohboy 17 дней назад +1

    hatumtaki kabisa manara semaji LA caf linatutosha

  • @bevinmtendo8714
    @bevinmtendo8714 16 дней назад +1

    Huyu jamaa ni msukule kweli, ni vizuri arudi nyumbani, maana ng'ombe akivunjika malishoni hugangiwa nyumbani! Hawa watu ndiyo maana watu wanawatafuta ili wapate utajiri, so Iko nguvu fulani ya kiroho ndani yao ambayo imeambatana na nyota ya mafanikio! We hushangai alipoenda Yanga tu wamefanikiwa kuliko? Kwahiyo tumuache arudi kwenye timu yake kule alikuwa kikazi tu, na mwisho wa kazi yake umeishia alipofika, arudi Simba hatakosa kazi ya kufanya. Ila Kwa usemaji Ahmed Ally anatosha sana, ameibeba sana timu wakati wa shida, so neema imeingia aifaidi mwenyewe! Ila Haji apokelewe kama kweli ameamua kurufi

  • @ZawadiMsanaga
    @ZawadiMsanaga 13 дней назад

    Mo atakosea akumbuke siku ya wananchi alivyo mnyea leo unamleta kumfuga ndan

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py 16 дней назад

    Mh manala tena kuludi Simba utakuwa mwisho WA ushabiki

  • @ZuberSeleman-p8j
    @ZuberSeleman-p8j 10 дней назад

    Manara ni nguruwe pili Kila Poli yupo hatmta aende alikotok

  • @RashidShedaffa-v9x
    @RashidShedaffa-v9x 15 дней назад

    Alienda kuipeleleza Yanga. Mi namjua Hajj ni Simba

  • @Shabaniomari-f9l
    @Shabaniomari-f9l 16 дней назад

    Simba Haina Shida Tena na Mnara, saiv Mnara unasoma empty

  • @MagrethDeogratias-u8c
    @MagrethDeogratias-u8c 8 дней назад

    mzee wa kutangatanga,,, huyo mwacheni anatafuta unafuu wa maisha,,, hata hivo alitoka simba,, acha arudi ,,,,,,,,

  • @zainabuShabani-x9c
    @zainabuShabani-x9c 16 дней назад +1

    Hatumtaki

  • @MasudMasisi
    @MasudMasisi 17 дней назад

    Ksha ona simba ip0 kweny ubola wake sas roh inauma san manara asirud simba kaitutan san simba

  • @chiefmwananzengo4620
    @chiefmwananzengo4620 15 дней назад

    Simba itafanya makosa makubwa saana kumleta Manala Mwacheni ni mamluki

  • @HamadiSalehe
    @HamadiSalehe 14 дней назад

    Ahmed ally anatosha Manara awe mwanachama tu akitaka kurudi

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 16 дней назад

    Ahmad Ali tafuta kazi nyingine bro, huyo jamaa huwezi kufanya kazi nae, take my word

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 14 дней назад

    KWA HIYO WW NDIO MANALA ? MNASHINDWAJE KUMTAFUTA MANALA MNAKAA MNAONGEA UMBEA ?

  • @kipozeobakari7254
    @kipozeobakari7254 16 дней назад +1

    Manara ni mwanamichezo mzuri sio mbaya kurudi kundini

  • @HamadiSalehe
    @HamadiSalehe 14 дней назад +1

    Ahmed ally anatosha

  • @RashidShedaffa-v9x
    @RashidShedaffa-v9x 15 дней назад

    Kama ni upelelezi alienda kuipele

  • @AnisiaKazungu
    @AnisiaKazungu 16 дней назад

    Sometime guy ilikuj aweapeleleze wanajifany wamemuondoa kumbe anatakuj kuja kuhalib mi achananae huyo muhun anahangaik abak hukohuko asituletee mambo meus

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 15 дней назад

    Hakuna semaji kama ahamed Ali. Manara ni uto-zero Ashura.

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 16 дней назад

    Ttusimuache tumrudishe atasaidia mambo flani.tuache hasira

  • @AhmedMohamed-zj8hi
    @AhmedMohamed-zj8hi 16 дней назад

    Kwetu atumtaki atafute pakwenda. Asije kutuvuruga tena! Kupiga picha na boss isikuticshe ndg yng. Kwani hujuwikuwa yule mwamba nimtu wakujiweka karibu na watu kama hao? Navipi kashfa alizokuwa akimtolea?!

  • @MaulidSalum-j6o
    @MaulidSalum-j6o 17 дней назад

    Atumtaki kilusitu mnafki mkubwa nasimba wakitaka kutuzi na kutugawa mashabiki basiwamludishe uyo polokaji atumtakii

  • @iginassales3433
    @iginassales3433 17 дней назад

    Hatumtaki abaki huko atangaze magodoro inamfaa

  • @MubbaOfficial-kk2fq
    @MubbaOfficial-kk2fq 16 дней назад

    TABIA HAINA DAWA, LA KUVUNDA HALINA UBANI NA SUBIRA YA VUTA KHERI UMEKWAMA WAPI MNARA?, UKIVUKA NGUO CHUTAMA.

  • @MasudMasisi
    @MasudMasisi 17 дней назад

    Huy mzee mnafk sana aend kwa dula makabila akaombe kaz ya kumchezea dula kweny show zak simba hatumtak huyo mzee mafuta sana