Afu tukifika kwenye comment tuna shadadia vitu tusivyo vijua ili mradi kwetu tu comment tu 😩😩😩Tanzania is a joke to well developed and educated countries 😊
Haya ndo matokeo ya kuwa na pesa mingi, wanaume wanavimbishiana vifua. Asa atokee kenge yeyote wa uchumi wa kati avimbe na yy atawafanywa kitu mbayaaaa km shilohima
😂😂😂😂shilohima sio kwamba alikuwa mnyonge ila alimzidi marekani nguvu na akili katika vita ndio maana marekani akabidi apige nuclear mbili maana Japan hakuwa na nuclear na hana mpaka leo kwasababu hawataki kuwa na nuclear
marekani hawapnd kuona taifa lolote linawapit ktk maendleo yyt ndo maana hawalali kuhakiksha wanaendelz kuvurg kila viashiria vya kuwazd ila pmoj na yot asiyekubl kushndw atakos ushndn
Sisi ni wapenzi wasindikizaji yaani hatuna hata kiwanja cha Magobole au AK-47, kama huna kiwanda chochote cha silaha utabiki kuwa Bibi wa Wanaume wa watu hata kama ukiwa ndani unajijitumua lakini huko Nje unaonekana Bi harusi
@@atutweve4160 we kikikinga pro usa sana mpaka unakosa content of purpose haya basi zanzibar inavyosema ijitenge basi iachwe ijitenge someni acheni kuashangilia vitu kwa mihemuko sio tu Taiwan angalia na Hongkong kaangalieni one China two state theories mkajue Leo usa Puerto Rico inaweza ikasema iwe huru na federal usa wakukabali nenda United Kingdom Ireland na hadi Scotland wanataka watoke United Kingdom wameruhusiwa nchi hazikuja tu hakuna mawazo yakisiasa yanayoweza kukubaliwa tu eti kwakua wanasema usa Leo mtukane hata Mungu hakuna ataekugusa zungumzia uvunje state hutochukua dakika tano ukiwa hai.
Marekani ndio mwenye uchumi mkubwa zaidi duniani angalia ata misaaada mingi mikubwa duniani pesa yake watu wake nk. Alafu marekani mwinzi mjanja sana akitoka marekani ni china
@@Gulfnas1 ivo ulivoandika kuna wadau hapa hawatajua, hawajui hata maana ya Alliances , they keep on attacking America hawajui kama ipo kimkataba toka vita ya pili ya dunia ilivyoisha, sipendi watz wanavoshabikia bila kuwa na elimu yeyote ya vita ya kwanza, pili na hivi sasa kwanini Marekani anakua hivi, naona Taifa letu changa sana halielewi kitu 😳
USA atulie nchi zote hizo zinazo onyesha makombora yake ya Nuclear ni kwa sababu ya USA na NATO coz wamezidi uonevu.So wakae tayari USA wakichengua tuu,watazinguliwa.Blinket aende kuwaeleza democratic na congress kwa ujumla
Me napenda kusema kuwa Marekani Amejijenga mda mrefu sana Kiuchumu haswa upande wa kuhakikisha fedha(DOLLAR) yake ina nguvu katika kibiashara ndio maan USA Anaweza na Ana nguvu ya kufadhili Vita vyovyote na Bado asitetereke kiuchumi kitu ambacho Mchina na nchi nyingine Japo ni Bora kiuchumi lakin zikifany kam marekani alivyo na uwezo kufadhili uchumi hauwez kuwa Imara lazima ushuke sababu Bado PESA ZAO HAZINA NGUVU KIBIASHARA HII NDIO SABABU KUBWA SANA KATIKA KUWA SUPER POWER Na kufikia mpaka Fedha Za Nchi kama ZA BRIXIT Kuwa na nguvu kibiashara Itachukua muda sana Labda hata miak kuanzia 50 kuendelea
Hata Marekani au Nato hawakua na uhasama na Urusi Ni vile mrusi aliwasaplaizi kuvamia Ukraine, na wao walifanya biashara nyingi na mrusi alikua rafiki yao mzuri tu
@@kamanapomo7029 🤣🤣🤣watz hampendi ukweli 😩, sasa hujui kama walikua marafiki wa biashara vizuri tu miaka yote? Au unajibu na hujui kitu , hii sio simba na yanga Afu mie sio jamaa 😊
Ndugu uhasama kati ya Urusi na Marekani upo kitambo kireeeefu saaaaaana ,hata kabl ya ku vamia Ukraine, na haujawahi kuisha lakini linapo kuja swala la biashara kila mtu hutafuta maslahi yake, Kama hujui uhasama uliopo baina ya Urusi na Marekani, haukuanza leo, wewe labda ni kizazi kipya cha miaka ya 2000.
@@murishokasimu4276 hujui kitu, vita za zamani za Sovereignty uilivoisha walisaini mikataba ya amani na ndomana Marekani akawa nato kama hivo unavosema basi Marekani angekua upande wa mrusi mana ndo alikua mshirika wake kipindi cha vita ya kwanza na pili eti sijui 🤣🤣🤣🤣🤣🤣, soma historia vzr basi na Ndomana waliishi kwa amani saabu mikataba ya amani ilisainiwa na viongozi wa nyuma kabla ya putin ambapo putin kavunja mikataka kwa kutaka u legend
Huko wanaume wanajaribu makombola kwa ajiri ya ulinzi wa nchi zao, huku bongo tunajaribu V8 za wakuu wa wilaya 😅
😆😆
Afu tukifika kwenye comment tuna shadadia vitu tusivyo vijua ili mradi kwetu tu comment tu 😩😩😩Tanzania is a joke to well developed and educated countries 😊
Na maazimisho ya mapinduzi ya zanzbar
😂😂😂😂
Ndio zetu
Napenda Sana combination ya Sky na Alli SNS aiboi wala aipoi halala 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Hii ni zaidi ya Elimu tunayofundishwa darasani,,,mbarikiwe sana
Jamaa mchambuzi mzuri sana, mimi nimesoma International Relations.. anagusa mulemule safi sana
Jamani hii channel naipenda jamanii inatupa mambo mengi hasa siasa . Jamani Mimi napenda sana kufatilia haya mambo ya 1:45 1:47 1:48 1 1:49 1:50 1:51 1:51 1:51 1:52 1:52 1:53 1:53 1:53 1:53 :48
Habari nzuri hio kwa wasiopenda amani hasa Marekani na wenzie
Mr Sky,, hongera kwa kazi nzuri mnayoifanya,, Mimi miongoni mwa Wana SNS naomba siku moja mtuletee mchambuzi mmoja anaitwa Thabiti Mlangi.
Marekani ameenda kuwabembeleza wachina wasimuunge mkono mrusi imekula kwao
Hahaha ety kubembeleza 😂😂😂😂wanajua china hawez kucha hela ya mrusi ni mtu na mdogo wake na wapo jiran hasa
Namkubali sana uyo Ally masubi anajua sana daaaaaaa mpaka rahaaaaa👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
Much love#sns mnaupiga mwingi
Masubi Ulianza kihojiwa Unatetemeka lakini Now your doing Very Good.....Nice to see you from O to O
Saut yake ya kutemeka
Pamoja kaka lucas.
My best Medio ni SnS kwangu mm lazima nipitie hapa
Baba unaupigwa mwingi sana kakubali sana kazi zenu
OUR FELLOW CHINA, from TANZANIA
Acheni wivu nyie usa km mmewatenga wenzenu sasa mnaenda kwao kufuata nn wanafiki wakubwa imebaki tu mpigwe kutoka kila kona na kila nchi iwafumue
Picha za makombora zimeachiwa wakati wa ziara ya blinken ili kumuambia njoo tujadili usilete mikwara tunaweza usichoweza
Nyie tuuwen tu..mana naona tunatishiana Sana amani yani
China uchumi yupo juu. Na viongozi wa marekani na umoja wa ulaya wana mbembeleza aimalize vita ukreine
Awa wa Jama wana ichezea sana Dunia
Aisee bado sana..
Sana
Kwann makomboraa mengi yakitengenezwaa wanatafyta lakufika marekanii
Nakuelewa broo unanishawishi nikuskilize
Haya ndo matokeo ya kuwa na pesa mingi, wanaume wanavimbishiana vifua. Asa atokee kenge yeyote wa uchumi wa kati avimbe na yy atawafanywa kitu mbayaaaa km shilohima
😂😂😂😂shilohima sio kwamba alikuwa mnyonge ila alimzidi marekani nguvu na akili katika vita ndio maana marekani akabidi apige nuclear mbili maana Japan hakuwa na nuclear na hana mpaka leo kwasababu hawataki kuwa na nuclear
marekani hawapnd kuona taifa lolote linawapit ktk maendleo yyt ndo maana hawalali kuhakiksha wanaendelz kuvurg kila viashiria vya kuwazd ila pmoj na yot asiyekubl kushndw atakos ushndn
Mungu anasubiri Nini kuingamiza marekani Dunia itulie
Nadhani hatuwezi kumpangia Mungu chakufanya
Sisi ni wapenzi wasindikizaji yaani hatuna hata kiwanja cha Magobole au AK-47, kama huna kiwanda chochote cha silaha utabiki kuwa Bibi wa Wanaume wa watu hata kama ukiwa ndani unajijitumua lakini huko Nje unaonekana Bi harusi
Mzee hujui tuna kiwanda cha silaha ila bado hatujaweka nguvu sana katika hicho kiwanda cha Nyumbu JKT na wanazalisha vifaru kwetu
Sns mupo vizur nawaombea mupate tiv na redio
Af wewe unatokea Kigoma maana sio mupo, ni MPO VIZURI na MPATE sio mupate bn
😂😂unawaombe afazali ungewachangia wabingo kwenye hela 😂😂😂
@@salehkhamis3000Ndo Kiswahili Fasaha. Sisi Waswahili tunaitumia kwa mtindo wetu
China uchumi wake ni mkubwa kuliko Marekani hilo liko wazi sema huwaga wanatengeneza Data zao..
Saw bhana wakubwa tuna wasubr Mbinguni 😢
Hivi mbona Mmarekani yeye haoneshi vitu vyake 😂😂😂😂
Alishaoneshaga Saana Kitambo Icho Now Mataifa mengi Yapo KWENY Ile Level Yake Kwahiyo Hana Jipya lakuiambia Dunia
Alisha oneshaga zipo mtandaoni,na bado anaonesha hizo anazopeleka Ukraine
UKIWA NA NYUCLIA WAMARECANI WATAKUBWEKEATUUUU ,ILA HAWAKUGUSI 😂😂😂
SEMA CHINA MPOLE SANA ILA NI HEAVY WEIGHT 🎯
Amejikita kwenye kujenga uchumi coz huko ndo anaona anawaacha wengine
wamejipanga kwa yoyote atakayewavamia pia hawa ni wajamaa hawapendi uchokozi na majirani
Mpole? Unajua Taiwan 🇹🇼 nini kinaendelea?
Au Phillipines??? Au saabu haipostiwi na sns? 🤣
@@atutweve4160 we kikikinga pro usa sana mpaka unakosa content of purpose haya basi zanzibar inavyosema ijitenge basi iachwe ijitenge someni acheni kuashangilia vitu kwa mihemuko sio tu Taiwan angalia na Hongkong kaangalieni one China two state theories mkajue Leo usa Puerto Rico inaweza ikasema iwe huru na federal usa wakukabali nenda United Kingdom Ireland na hadi Scotland wanataka watoke United Kingdom wameruhusiwa nchi hazikuja tu hakuna mawazo yakisiasa yanayoweza kukubaliwa tu eti kwakua wanasema usa Leo mtukane hata Mungu hakuna ataekugusa zungumzia uvunje state hutochukua dakika tano ukiwa hai.
Hhhh nimeipata hbr nikiwa mtu wa mwanzo
Wanajaribu kuwarubun wachina lakn walishachelewa
Huyu mmarekani kwani yeye ni nani yeye anauwa ni sawa anapo uwa mwenzake yeye anamuwekea vikwazo
Hawa wachina wanawakaribishaje hawa mashoga
Lazima Acĥemshe Mmarekani 😂😂😂
Yaani watu wangine bwana, yaani wao wafanye mambo kisha walazimishe na kuwapangia watu bei
Sisi atutaki vita
Nailewa Hii collaboration yenu mmkua kama skynews franii hivii
👊✌️👍.
Ally masoud ww bora sky bundala apo uliupiga mwingi snaà
Hhhhehehehehehehe wold is high Quality
How about Africa kwana atuna😢
Marekani ndio mwenye uchumi mkubwa zaidi duniani angalia ata misaaada mingi mikubwa duniani pesa yake watu wake nk. Alafu marekani mwinzi mjanja sana akitoka marekani ni china
Cjui kwann Rais Samia anashindwa kumpatia kaz huyu sns
Kaz gan?
Huku kwetu makomando wanapasua matofali kwa kichwa
Mr Ali andaa makala itakayoelezea kwa njia gani Mrusi ana survive licha ya vikwazo
Anasapotiwa na china na nchi rafiki zake kama korea ile ya Kim Jong un
@@atutweve4160 in details plz
@atutweve4160 BRICS countries
@@Gulfnas1 ivo ulivoandika kuna wadau hapa hawatajua, hawajui hata maana ya Alliances , they keep on attacking America hawajui kama ipo kimkataba toka vita ya pili ya dunia ilivyoisha, sipendi watz wanavoshabikia bila kuwa na elimu yeyote ya vita ya kwanza, pili na hivi sasa kwanini Marekani anakua hivi, naona Taifa letu changa sana halielewi kitu 😳
@@atutweve4160 Taifa lip changa??
Wapili
kuna hatari ya ww3 japo hatuombi vitokee waafrika tuzinduke vita vikisharimi tutateseka
Kwa America hawa bado wa chumba tuu
USA atulie nchi zote hizo zinazo onyesha makombora yake ya Nuclear ni kwa sababu ya USA na NATO coz wamezidi uonevu.So wakae tayari USA wakichengua tuu,watazinguliwa.Blinket aende kuwaeleza democratic na congress kwa ujumla
Kwani uyu mmarekani anataka kuipeleka dunia wapi
😁😁 Huyo ndio America Kila Sehemu Yumo..!
@@user-ki9wu6no3dmashoga
Kuzimu😂😂
Mashoga hawa
Me napenda kusema kuwa Marekani Amejijenga mda mrefu sana Kiuchumu haswa upande wa kuhakikisha fedha(DOLLAR) yake ina nguvu katika kibiashara ndio maan USA Anaweza na Ana nguvu ya kufadhili Vita vyovyote na Bado asitetereke kiuchumi kitu ambacho Mchina na nchi nyingine Japo ni Bora kiuchumi lakin zikifany kam marekani alivyo na uwezo kufadhili uchumi hauwez kuwa Imara lazima ushuke sababu Bado PESA ZAO HAZINA NGUVU KIBIASHARA HII NDIO SABABU KUBWA SANA KATIKA KUWA SUPER POWER Na kufikia mpaka Fedha Za Nchi kama ZA BRIXIT Kuwa na nguvu kibiashara Itachukua muda sana Labda hata miak kuanzia 50 kuendelea
Wewe kweli Ndiyo wale wanaoambiwa na wazungu waafrika ni Nyani na huamini
Kila siku balistic balistic, balistic ya nyoko??
😂😂😂
Hata Marekani au Nato hawakua na uhasama na Urusi Ni vile mrusi aliwasaplaizi kuvamia Ukraine, na wao walifanya biashara nyingi na mrusi alikua rafiki yao mzuri tu
Acha upuuz wew jamaa
@@kamanapomo7029 🤣🤣🤣watz hampendi ukweli 😩, sasa hujui kama walikua marafiki wa biashara vizuri tu miaka yote? Au unajibu na hujui kitu , hii sio simba na yanga Afu mie sio jamaa 😊
Ndugu uhasama kati ya Urusi na Marekani upo kitambo kireeeefu saaaaaana ,hata kabl ya ku vamia Ukraine, na haujawahi kuisha lakini linapo kuja swala la biashara kila mtu hutafuta maslahi yake,
Kama hujui uhasama uliopo baina ya Urusi na Marekani, haukuanza leo, wewe labda ni kizazi kipya cha miaka ya 2000.
@@murishokasimu4276 hujui kitu, vita za zamani za Sovereignty uilivoisha walisaini mikataba ya amani na ndomana Marekani akawa nato kama hivo unavosema basi Marekani angekua upande wa mrusi mana ndo alikua mshirika wake kipindi cha vita ya kwanza na pili eti sijui 🤣🤣🤣🤣🤣🤣, soma historia vzr basi na Ndomana waliishi kwa amani saabu mikataba ya amani ilisainiwa na viongozi wa nyuma kabla ya putin ambapo putin kavunja mikataka kwa kutaka u legend
@@murishokasimu4276 eti wa 2000🤣🤣🤣sasa wewe Ni wa 1945? Au umesoma historia tu ka mimi? Sema naonesha nlikuzidi kuelewa ulisoma kayumba
China mm nilisema kitambo kwamba ipo juu sana kiuchumi ila hamujamini huawei ndio simu bora zaid kwa sasa
Huyo ali anajua mambo mengi namna anavyo elezea very bad
Tumechoka na taarifa zenu za kichochezi bana hivi siyo vitu vya kushangilia ...
Kwan we umeelewa vip
Tuna wasiwasi na uelewa wako, ndo wale mnapigaga makof mezan
#sky huyu mchambuzi ulichelewa kumpata anatuma madini adimu sana , nachompendea hana upende . #DJSMASH NI MZURI SANA LAKINI NI ANAONEKANA NI ANA KAUJAMAA FLANI HIVI YAANI UPUTINI FLANI NA UCHINA ANAEGEMEA HUKO KAMA YERICKO NYERERE MJAAA ALIYEKOMAA NA KUWA MKOMINIST FULL . 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15 10:15
DUNIAHII HAKUNA NCHI YENYE VIONGOZI MABWEGE KAMA AMERICA NA UFARANSA UINGEREZA NA UJERUMANI. WENGINE NI MIKIATU.
Hio ndio Dunia ya kwanza, kwenu Tanzania third world nae wizi! Jiulize?
China kafanya vema kumuonesha blinken...uwezo wanawo...