MC MBONEKE ALIVYOVUNJA MBAVU NDANI YA KIPINDI CHA MGAHAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 374

  • @henrykadinda4464
    @henrykadinda4464 3 года назад +131

    Jamaa anajua sana wangapi wanamkubali

    • @ROBERTRUGENI
      @ROBERTRUGENI 3 месяца назад

      Uyo inawezekana akawa mtoto wa pasta mgogo

  • @nurually8211
    @nurually8211 3 года назад +136

    Wallah khaaa Atar🤣🤣🤣 Walio kipenda Kipindi Cha Leo Tujuane kwenye like

  • @Scott_adi
    @Scott_adi 3 года назад +28

    Tz htr tu kdgo umetosoa huyo atapewa kazi tu 🙌💪💪💪💪

  • @minajones7699
    @minajones7699 3 года назад +71

    Samahani wasafi, tunaomba hii interview irudiwe, irudiwe.... 😂😂😂

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 3 года назад +56

    Mboneke kaomba fly over ya ubungo irudiwe akiwepo na yeye🤣🤣🤣

  • @ibrahimhussein9727
    @ibrahimhussein9727 3 года назад +10

    Yupo vizuri sna

  • @levisonpondamaly3941
    @levisonpondamaly3941 3 года назад +6

    Safii sanaa safwaa boys nimependaa

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 3 года назад +4

    Tz fanya vitu vya ujinga ujinga utakuwa star sasa uyu mtu laletwa apo kwa ajili ya vituko tu..
    Wapi pier liquid njoo umuone mwenzio uku

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +6

    Uyu jamani kajulikana kimchezo mbongo jamani sihami

    • @aishajafa4139
      @aishajafa4139 3 года назад

      yaan bongo kukupa umaarufu ni dadika chache

  • @dyx9inez
    @dyx9inez 3 года назад +22

    Kaichukua Tiktok saiv 😂 Mzee Babloom yukowap 😂

    • @arqammasoud6858
      @arqammasoud6858 3 года назад

      Kwani aliyetembea na Bibi yako si ni Babu yako hawa wengine watabaki kuwa wajukuu tu 😂😂

  • @fasanitztiri5371
    @fasanitztiri5371 3 года назад +1

    Maisha ni zari ikifika imefika salute mc @mboneke

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 года назад +7

    Yaani huyo ni kama Babalevo umeona pua zao

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 3 года назад +9

    Ko unataka kusema fungu LA kumi ultoa buku.. An w kpatochako n mteni tuuu kwa mwezii

  • @angelohakizimana472
    @angelohakizimana472 3 года назад +9

    Maaana nimeceka tuuu kwa kumuona😂😂😂😂

  • @gynae8407
    @gynae8407 3 года назад +4

    Huyo jama nishida unajua ombi lake likitekelezwa huyo chanjo itakua kwa wanawake kwahiyo wanaume haituhusu naunga hoja zichomwe Huko kwenye hizo falopio. Ataanza kuchomwana nani sasa!!!!

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 2 года назад

    Namwangaliaga sana et iludiwe leli ya magu

  • @goodhopemwalilino8595
    @goodhopemwalilino8595 3 года назад +2

    Jamani mabomu ya mbagala wakati yanalipuka mm sikuwepo naomba yarudie

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 3 года назад

    MBONEKE mwanangu baraaa safisana karibu

  • @frankpata1653
    @frankpata1653 3 года назад +1

    Nakbal sana mboneke

  • @asherymwande5644
    @asherymwande5644 3 года назад +6

    We nae acha ufala home boy hada salam hjui we so mmbeya boy we msafwa ka msafwa,

  • @Gody360
    @Gody360 3 года назад +4

    Naomba irudiwe irudiwe

  • @bwaxlady688
    @bwaxlady688 3 года назад +4

    Bwana uyu anakaa mbeya vijijin😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @barakambunju5444
    @barakambunju5444 3 года назад +3

    mtt wa mtaa uyu jaman

    • @annethjosephat6349
      @annethjosephat6349 3 года назад

      Eh me mwenyewe nlikuw namwon airport zmn mtaa moj nae lkn ckuwai kujua km ana kipaji mn alkuw serious kikawaid

  • @sojojom1454
    @sojojom1454 3 года назад +3

    Jaman mm nimechelewa maojiano yarudiwe yarudiwe😂😂😂

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 3 года назад +1

    afu uyu fara anapambana kuutangazia uma kuwa mbeya mambo badoo...😅😄😄😄😅 sisi wajanja kupta maelezo wakuja mjipange sana uu mji unataka watasha🙌

  • @dianakimario7181
    @dianakimario7181 3 года назад +4

    Huyo dogo anachekesha

  • @hussainhadija8812
    @hussainhadija8812 3 года назад

    Good

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад

    Unachekesha sana

  • @barakapascal518
    @barakapascal518 3 года назад

    Wasafywa juu

  • @lechavictor3258
    @lechavictor3258 3 года назад +172

    Mwagona Zimbombo Nyinzaa nipeni likes zangu kwa kujua kisafwa😂😂😂

  • @barakamwandiga2327
    @barakamwandiga2327 3 года назад +67

    Sema dogo anaonekana hata elimu kichwani ipo 🔥🔥

  • @marafikistation
    @marafikistation 3 года назад +71

    KUNA MTU ANAITWA MC KINATA KAMA UNA MJUA GONGA LIKE 🇹🇿

    • @mafiosoismail7475
      @mafiosoismail7475 3 года назад +4

      😂😂😂 ana singeli yake ya kiingereza hyo taabu kwelikweli

    • @angelakimu9555
      @angelakimu9555 3 года назад +2

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 3 года назад +69

    Dogo anajuwa kujieleza sana 👏👏👏👏

  • @youngtaiz8359
    @youngtaiz8359 3 года назад +29

    Kipindi hii interview inarusha mimi sikua online naomba irudiwe😂

  • @nyenzikolnel1093
    @nyenzikolnel1093 3 года назад +47

    Nimekuw w kwanza jaman nipe comment 🤣🤣

  • @manzially5248
    @manzially5248 3 года назад +35

    Like zangu jmn naomba zirudiwe zirudiwe🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 3 года назад +56

    Like zangu Jmn 😂😂

  • @ochumedia
    @ochumedia 3 года назад +29

    Dogo shule pia unayo🔥🔥

  • @farhatahmed6785
    @farhatahmed6785 3 года назад +21

    Mrija Wa falopio ilinimaliza Mimi kama,nesi🤣🤣🤣🤣

  • @joshuamvela6294
    @joshuamvela6294 3 года назад +76

    Wa makambako naomba like zangu

  • @jisusimalale6288
    @jisusimalale6288 3 года назад +31

    Daaah hiii jamaaa ni atare de way anavyoongeaga vyenye clip zake anajua bn big up de young 💪💪

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +11

    Jamani NILIKUWa naomba jamaa Huwa ananichekesha Kweli kudadeki leo ndio namuona

  • @crazymindquanta2157
    @crazymindquanta2157 3 года назад +15

    Gonga tu like hapa maana mbeya boez tunaua sana mwaisa mboneke😂

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 3 года назад +6

    Tatizo Mby woteeee macomedian..... utacheka tu kuanzia vilabuni, masokoni kwenye nyumba za ibada nk so kuwachekesha kirahisi ngumu.... but keep it up dogo usikatishwe tamaa.

  • @sophiasophia6945
    @sophiasophia6945 3 года назад +17

    Huyu kaka jaman nilikuwa namtafuta maana alinichekesha mpaka mbavu ziliniuma ninakesi naye

  • @roi2554
    @roi2554 3 года назад +12

    Jaman nimekuwa wa mwisho kutizama hii interview
    Naomba irudiwe

  • @fredericmbanga207
    @fredericmbanga207 3 года назад +18

    KEEP IT UP YOUNG MAN, YOUR TALENT IS JUST BEGINNING TO GLITTER. WE ADMIRE YOUR PERFOMANCE, UWHIDADAJE, ALEMBELE MWIHO.

    • @juliananyagawa3795
      @juliananyagawa3795 3 года назад

      TUNAOMBA VIWANDA VYA BIA KWENYE K VANT MUWEKE KASUKARI KIDOGO MNATUONES JMN HIZI ADHABU

  • @saidmkola4029
    @saidmkola4029 3 года назад +22

    Kijana mbunifu sana Mungu amsaidie🙏🇹🇿

  • @chekeshacomedy9385
    @chekeshacomedy9385 3 года назад +11

    Msafwa mwenzangu hongera kwa kutuwakilisha wasafwa

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 3 года назад +3

    Sana msafwa wa home

  • @zawadidonaldmandondomandon6503
    @zawadidonaldmandondomandon6503 3 года назад +8

    Mwagona Mwanyanje I zyensiku holo whane.

  • @tresorkongolo8591
    @tresorkongolo8591 3 года назад +5

    Uyu jamaa video zake nime fika mpaka congo Drc hongera sana ndugu yangu

  • @pascoalbert693
    @pascoalbert693 3 года назад +22

    leo picha sio quality

  • @avinaudax6019
    @avinaudax6019 3 года назад +31

    Mwamba uko vzur endelea kukaza zaid nakuona mbali🙏🙏🙏🙏

  • @emmanuelmwesongo7177
    @emmanuelmwesongo7177 3 года назад +5

    Yaani bongo mtu anaefanya ujinga ndo anatoboa

  • @nzogoropatson1787
    @nzogoropatson1787 3 года назад +15

    Umetisha sana mwamba wetu wa green city

  • @nassibumsodoki4589
    @nassibumsodoki4589 3 года назад +10

    😂😂😂😂😂 daaah aisee b gap san yan mgahawa mmeweza kumkamata uyu mwamba na kumhoj ,

  • @nyenzikolnel1093
    @nyenzikolnel1093 3 года назад +23

    Daaa jamaaa nomaaaa saaana

  • @immakulathakayinga4354
    @immakulathakayinga4354 3 года назад +13

    Jmn Oscar mbeya day pale HGL miss snaa

  • @fanuelmangula7282
    @fanuelmangula7282 3 года назад +18

    Jamaaa anajua sanaaaa uyu

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 3 года назад +11

    kipindi kirudiwe kirudiwe ha ha ha ha ha

  • @mheshtv
    @mheshtv 3 года назад +10

    Napenda huyu jamaa bure. Mcheshi kwelikweli. #fromKenya🔥🔥

  • @ongeshabani8439
    @ongeshabani8439 3 года назад +26

    Tanzania Ndiyo inchi pekeee Duniani inayo sapoti ujinga

    • @uislamutv2573
      @uislamutv2573 3 года назад +4

      Kweli kabisa yani ujinga TIN WHITE alishacheza movie nyingi za komedi zenye mafunzo ila hajawahi kuitwa kuhojiwa wasafi

    • @samclassic7613
      @samclassic7613 3 года назад +6

      @@uislamutv2573 fatilia kabla ya kutoa comment zenu na muwe na uhakika navo tin white amesha Fanya interviews 2 kwenye hivi nkwel na refresh acha kuposha watu

    • @braysonmatoy8220
      @braysonmatoy8220 3 года назад +5

      @@samclassic7613 wengine wanaropoka tuh bila kufatilia

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 3 года назад +7

      Acha wivu, fanya kazi muda wako utafika. Huu ni muda wa Mc Mboneke tukae humo 🤝

    • @juliejulie8704
      @juliejulie8704 3 года назад +9

      Ujinga pia una umuhimu hata kwenye maisha na ndio mana ikawekwa siku ya wajinga duniani pote

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 3 года назад +7

    Wakina Oscar na mabalaa yetu🙌😄😅🙌🙌🙌

  • @Ikkiyoongi
    @Ikkiyoongi 3 года назад +7

    Dogo utanivunja mbavu🤣😂🤣😂🤣😂🤣

  • @charitysambagi4463
    @charitysambagi4463 3 года назад +24

    Hongera sana

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 года назад +8

    Watu wambeya bwana!!!

  • @immakulathakayinga4354
    @immakulathakayinga4354 3 года назад +10

    Umejua knifraisha Oscar jmn

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 3 года назад +5

    Wasaf hyo camera man wenu vip ajifunze kwa lukamba

  • @lindyarita3014
    @lindyarita3014 3 года назад +13

    Nampenda mno

  • @kheriofficial3846
    @kheriofficial3846 3 года назад +41

    Jamaa ana pua kubwa kama ya baba Levi🤣🤣🤣

    • @althamdb5501
      @althamdb5501 3 года назад +3

      Na ww unaonekana una madole makubwa ad kuandika unakosea et Baba Levi 😂

    • @chollejr_
      @chollejr_ 3 года назад

      🤣🤣🤣kama koki ya maji

    • @shadrackzablon5983
      @shadrackzablon5983 3 года назад

      Kama kingereza hamjui tumieni kiswahili tutawaelewa tu eti baba Live najua alitaka kuandika baba Levo ila kaforce kuandika kingereza kikamuumbua😅😅

    • @althamdb5501
      @althamdb5501 3 года назад

      @Mariam Mahonge ☺

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 3 года назад

      @@chollejr_ siyo vzr

  • @jawadufirdaus1971
    @jawadufirdaus1971 3 года назад +3

    Naomba hiyo interview irudiwe irudiwe maana kipindi mnaanza nilikuwa sina bundle

  • @costantinemashaka2572
    @costantinemashaka2572 3 года назад +12

    Makofiiiiiiiiii

  • @irenelucas15
    @irenelucas15 3 года назад +1

    Jaman wa2 wa mbey 2ujuan hap

  • @laswaimchaga3371
    @laswaimchaga3371 3 года назад +15

    Wakati wa ufunguzi wa redio ya WASAFI sikuwepo naomba urudiwe

  • @zuhuramdoba5015
    @zuhuramdoba5015 3 года назад +6

    Jamani kipindi kirudiwe kirudiwe mie sikuwepo 😂😂😂😂😂

  • @mrperfect8852
    @mrperfect8852 3 года назад +5

    Mnazngua mnakatishana maswali alaf hayarudiwi

  • @barakambunju5444
    @barakambunju5444 3 года назад +5

    tulikua tunakuona boya now xtar tayar

  • @Fix473
    @Fix473 3 года назад +13

    Fire😂

  • @Kidpowertz
    @Kidpowertz 3 года назад +29

    irudiwee😂😂

  • @paulbruno2934
    @paulbruno2934 3 года назад +4

    Mc Mboneke sio kwamajina ni kwajina;
    Mtu huwa na jina moja na sio majina :
    Na ndio maana tunasema #my name is.....:
    Na sio #my names are....:

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +9

    kachangamka sana safi mcc mboneka💪

  • @rajabumsangi7401
    @rajabumsangi7401 3 года назад +6

    💥

  • @jameslukosi1735
    @jameslukosi1735 3 года назад +4

    Wekasidiiiiiiii😁😃😄😆😂

  • @suditv3867
    @suditv3867 3 года назад +8

    Kwanini unakimbia ila watuu🤣🤣🤣🤣

  • @icramnajim626
    @icramnajim626 3 года назад +6

    Luku laiki zisi luku😂😂

  • @amanimkonde2216
    @amanimkonde2216 3 года назад +4

    Ni kweli amejipangaje ili asizoeleke na kukimbiwa?

  • @lizolee8741
    @lizolee8741 3 года назад

    Mimi naona hawa wanao muhoji huyu dogo bado akili zao haziko sawa lil ommy twataka umuhoji huyu dogo ndo amalizie maelezo yake

  • @sheyowilliam992
    @sheyowilliam992 3 года назад +10

    Mwagona ezyembombo nyinza sana😂😂😂

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 года назад +1

    mc mboneke nimetokea kukuelewa sana cha kukushauri usibweteke na umaarufu

  • @haruna1
    @haruna1 3 года назад +10

    Mungu amuongoze vyema

  • @kidybalongo3036
    @kidybalongo3036 3 года назад +1

    Kaza babu

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 3 года назад +1

    Eti ile inayofungwa kwenye baiskel,,,eti manati mnazingua haumjui,,,,,manati yanafungwaje kwenye baiskeli watoto wa tailor mazuzu,,

  • @watchifyoucan3315
    @watchifyoucan3315 3 года назад +1

    kwamba ni mim tu ndio natumia Baiskeli sana mpka najua kua manati haifungii mzigo kwenye baiskeli au wote?

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 3 года назад +12

    😂😂😂

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye6239 3 года назад +3

    ,,,hi clip nnayo,,,,
    Nmemkubl xna,,,,

  • @Pemamaboy
    @Pemamaboy 3 года назад +7

    Anapenda kukuna pua huyu kwenye interviewe

    • @maryamjuma6952
      @maryamjuma6952 3 года назад +2

      Siunaon puaa yenyewe ilivonzito🤣🤣

    • @Pemamaboy
      @Pemamaboy 3 года назад +1

      @@maryamjuma6952 asaa kweli

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 3 года назад

      @@maryamjuma6952 mmh jamani 😂😂😂😂😂

  • @avinaudax6019
    @avinaudax6019 3 года назад +11

    Mtangazaji uko vzur kufikilia umetisha

  • @turukimedia
    @turukimedia 3 года назад +4

    Noma sana 🔥 🔥 🔥

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 3 года назад +3

    Anaongea kama Ayo Lizer