MC MBONEKE ALIVYOVUNJA MBAVU NDANI YA KIPINDI CHA MGAHAWA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Jamaa anajua sana wangapi wanamkubali
Uyo inawezekana akawa mtoto wa pasta mgogo
Wallah khaaa Atar🤣🤣🤣 Walio kipenda Kipindi Cha Leo Tujuane kwenye like
ruclips.net/video/QStPkwqurv8/видео.html
Naomba irudiwe irudiwe
Tz htr tu kdgo umetosoa huyo atapewa kazi tu 🙌💪💪💪💪
Samahani wasafi, tunaomba hii interview irudiwe, irudiwe.... 😂😂😂
Irudiweeeee🤣🤣🤣🤣🤣
Irudiweeee
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Irudiweeeeeeeeee 😅
Mboneke kaomba fly over ya ubungo irudiwe akiwepo na yeye🤣🤣🤣
😂😂
Alishuka kinyonge..
Yupo vizuri sna
Safii sanaa safwaa boys nimependaa
Tz fanya vitu vya ujinga ujinga utakuwa star sasa uyu mtu laletwa apo kwa ajili ya vituko tu..
Wapi pier liquid njoo umuone mwenzio uku
Uyu jamani kajulikana kimchezo mbongo jamani sihami
yaan bongo kukupa umaarufu ni dadika chache
Kaichukua Tiktok saiv 😂 Mzee Babloom yukowap 😂
Kwani aliyetembea na Bibi yako si ni Babu yako hawa wengine watabaki kuwa wajukuu tu 😂😂
Maisha ni zari ikifika imefika salute mc @mboneke
Sanaaa
Yaani huyo ni kama Babalevo umeona pua zao
Ko unataka kusema fungu LA kumi ultoa buku.. An w kpatochako n mteni tuuu kwa mwezii
Ha ha haaa!
Maaana nimeceka tuuu kwa kumuona😂😂😂😂
Huyo jama nishida unajua ombi lake likitekelezwa huyo chanjo itakua kwa wanawake kwahiyo wanaume haituhusu naunga hoja zichomwe Huko kwenye hizo falopio. Ataanza kuchomwana nani sasa!!!!
Namwangaliaga sana et iludiwe leli ya magu
Jamani mabomu ya mbagala wakati yanalipuka mm sikuwepo naomba yarudie
MBONEKE mwanangu baraaa safisana karibu
Nakbal sana mboneke
We nae acha ufala home boy hada salam hjui we so mmbeya boy we msafwa ka msafwa,
Naomba irudiwe irudiwe
Bwana uyu anakaa mbeya vijijin😂😂😂😂😂😂😂😂
Haijalishi
mtt wa mtaa uyu jaman
Eh me mwenyewe nlikuw namwon airport zmn mtaa moj nae lkn ckuwai kujua km ana kipaji mn alkuw serious kikawaid
Jaman mm nimechelewa maojiano yarudiwe yarudiwe😂😂😂
afu uyu fara anapambana kuutangazia uma kuwa mbeya mambo badoo...😅😄😄😄😅 sisi wajanja kupta maelezo wakuja mjipange sana uu mji unataka watasha🙌
Huyo dogo anachekesha
Good
Unachekesha sana
Wasafywa juu
Kuna Mwanyanje msafwa??
Mwagona Zimbombo Nyinzaa nipeni likes zangu kwa kujua kisafwa😂😂😂
Mwagona wamwetu
Izyimbombo
Hayo maongezi wakati mnaongea sikuwepo naomba irudiwe irudiwe he he !!
Tiwili asafwa twe Wana waumbeye
Sema dogo anaonekana hata elimu kichwani ipo 🔥🔥
KUNA MTU ANAITWA MC KINATA KAMA UNA MJUA GONGA LIKE 🇹🇿
😂😂😂 ana singeli yake ya kiingereza hyo taabu kwelikweli
🤣🤣🤣🤣🤣
Dogo anajuwa kujieleza sana 👏👏👏👏
Kipindi hii interview inarusha mimi sikua online naomba irudiwe😂
😀😀Irudiweee
Nimekuw w kwanza jaman nipe comment 🤣🤣
Iludiweeeee nilikua cpo online
Like zangu jmn naomba zirudiwe zirudiwe🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
Like zangu Jmn 😂😂
Dogo shule pia unayo🔥🔥
Mrija Wa falopio ilinimaliza Mimi kama,nesi🤣🤣🤣🤣
From 🇰🇪
Wa makambako naomba like zangu
Tupo apa
Tupo
Daaah hiii jamaaa ni atare de way anavyoongeaga vyenye clip zake anajua bn big up de young 💪💪
He is very bright
Jamani NILIKUWa naomba jamaa Huwa ananichekesha Kweli kudadeki leo ndio namuona
Gonga tu like hapa maana mbeya boez tunaua sana mwaisa mboneke😂
Tatizo Mby woteeee macomedian..... utacheka tu kuanzia vilabuni, masokoni kwenye nyumba za ibada nk so kuwachekesha kirahisi ngumu.... but keep it up dogo usikatishwe tamaa.
Ahahahah upo sahihi
Upo sahihi kabisa
Huyu kaka jaman nilikuwa namtafuta maana alinichekesha mpaka mbavu ziliniuma ninakesi naye
Me mpaka niliangukaaa walahi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulimtafutia wap uko
Jaman nimekuwa wa mwisho kutizama hii interview
Naomba irudiwe
KEEP IT UP YOUNG MAN, YOUR TALENT IS JUST BEGINNING TO GLITTER. WE ADMIRE YOUR PERFOMANCE, UWHIDADAJE, ALEMBELE MWIHO.
TUNAOMBA VIWANDA VYA BIA KWENYE K VANT MUWEKE KASUKARI KIDOGO MNATUONES JMN HIZI ADHABU
Kijana mbunifu sana Mungu amsaidie🙏🇹🇿
Msafwa mwenzangu hongera kwa kutuwakilisha wasafwa
Sana msafwa wa home
Mwagona Mwanyanje I zyensiku holo whane.
Uyu jamaa video zake nime fika mpaka congo Drc hongera sana ndugu yangu
leo picha sio quality
Ht mie nimeona haipo quality
Irudiwe km vipi!!!
Mwamba uko vzur endelea kukaza zaid nakuona mbali🙏🙏🙏🙏
🤣🤣🤣🤣
Yaani bongo mtu anaefanya ujinga ndo anatoboa
Kama Hamokinyesi
Umetisha sana mwamba wetu wa green city
😂😂😂😂😂 daaah aisee b gap san yan mgahawa mmeweza kumkamata uyu mwamba na kumhoj ,
Maana anavokimbia cjui wamemkamataje😂😂😂😂😂🙌
eti mgahawa
Daaa jamaaa nomaaaa saaana
Jmn Oscar mbeya day pale HGL miss snaa
Duh am HGL also
Jamaaa anajua sanaaaa uyu
Official✔ mambo
kipindi kirudiwe kirudiwe ha ha ha ha ha
Napenda huyu jamaa bure. Mcheshi kwelikweli. #fromKenya🔥🔥
Tanzania Ndiyo inchi pekeee Duniani inayo sapoti ujinga
Kweli kabisa yani ujinga TIN WHITE alishacheza movie nyingi za komedi zenye mafunzo ila hajawahi kuitwa kuhojiwa wasafi
@@uislamutv2573 fatilia kabla ya kutoa comment zenu na muwe na uhakika navo tin white amesha Fanya interviews 2 kwenye hivi nkwel na refresh acha kuposha watu
@@samclassic7613 wengine wanaropoka tuh bila kufatilia
Acha wivu, fanya kazi muda wako utafika. Huu ni muda wa Mc Mboneke tukae humo 🤝
Ujinga pia una umuhimu hata kwenye maisha na ndio mana ikawekwa siku ya wajinga duniani pote
Wakina Oscar na mabalaa yetu🙌😄😅🙌🙌🙌
Dogo utanivunja mbavu🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Hongera sana
Amekaaa.kama.mmbembe.wakogomaa
Watu wambeya bwana!!!
Umejua knifraisha Oscar jmn
Wasaf hyo camera man wenu vip ajifunze kwa lukamba
Nampenda mno
Jamaa ana pua kubwa kama ya baba Levi🤣🤣🤣
Na ww unaonekana una madole makubwa ad kuandika unakosea et Baba Levi 😂
🤣🤣🤣kama koki ya maji
Kama kingereza hamjui tumieni kiswahili tutawaelewa tu eti baba Live najua alitaka kuandika baba Levo ila kaforce kuandika kingereza kikamuumbua😅😅
@Mariam Mahonge ☺
@@chollejr_ siyo vzr
Naomba hiyo interview irudiwe irudiwe maana kipindi mnaanza nilikuwa sina bundle
Makofiiiiiiiiii
Yarudiweee🤣🤣
Jaman wa2 wa mbey 2ujuan hap
Wakati wa ufunguzi wa redio ya WASAFI sikuwepo naomba urudiwe
Irudiweee 🤣🤣🤣
Irudiwe kwa kweli😂😂
😹
Jamani kipindi kirudiwe kirudiwe mie sikuwepo 😂😂😂😂😂
Mnazngua mnakatishana maswali alaf hayarudiwi
tulikua tunakuona boya now xtar tayar
😂😂🤣nyie nyie
Fire😂
irudiwee😂😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Huyo sio Mond jaman nani kaeka PC ya munyama Simba hapa
Irudiweeee 😂😂
Mc Mboneke sio kwamajina ni kwajina;
Mtu huwa na jina moja na sio majina :
Na ndio maana tunasema #my name is.....:
Na sio #my names are....:
Kafungue shule
😂😂😂😂😂😂eti kafungue shule
Ndo maana mnasema wewe na nani?
We ni mzungu?
Right broo keep it up
kachangamka sana safi mcc mboneka💪
💥
Wekasidiiiiiiii😁😃😄😆😂
Kwanini unakimbia ila watuu🤣🤣🤣🤣
Luku laiki zisi luku😂😂
Ni kweli amejipangaje ili asizoeleke na kukimbiwa?
Mimi naona hawa wanao muhoji huyu dogo bado akili zao haziko sawa lil ommy twataka umuhoji huyu dogo ndo amalizie maelezo yake
Mwagona ezyembombo nyinza sana😂😂😂
mc mboneke nimetokea kukuelewa sana cha kukushauri usibweteke na umaarufu
Mungu amuongoze vyema
Sana👏👏
Kaza babu
Eti ile inayofungwa kwenye baiskel,,,eti manati mnazingua haumjui,,,,,manati yanafungwaje kwenye baiskeli watoto wa tailor mazuzu,,
kwamba ni mim tu ndio natumia Baiskeli sana mpka najua kua manati haifungii mzigo kwenye baiskeli au wote?
😂😂😂
,,,hi clip nnayo,,,,
Nmemkubl xna,,,,
Anapenda kukuna pua huyu kwenye interviewe
Siunaon puaa yenyewe ilivonzito🤣🤣
@@maryamjuma6952 asaa kweli
@@maryamjuma6952 mmh jamani 😂😂😂😂😂
Mtangazaji uko vzur kufikilia umetisha
Sio kufikilia ni kufikiria
Noma sana 🔥 🔥 🔥
Anaongea kama Ayo Lizer