Aliyekuwa pamoja na watoto wa Msuya waliofariki kwenye ajali Bagamoyo asimulia walivyokuwa wakiishi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Jirani wa familia ya Msuya ambayo imepatwa na msiba wa watoto wao wanne waliofariki kwenye ajali ya gari, iliyotokea jana Jumatano usiku katika kijiji cha Mapatano, Kata ya Mbwewe, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani, ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Salmini, Kata ya Tambukareli jijini Dodoma, Edna Ndejembi, akieleza alivyowafahamu majirani zake hao waliokuwa na kucheza pamoja enzi za ujana wao.
    Edna ameyasema hayo leo Alhamis, Agosti 3, 2023 nyumbani kwake jijini Dodoma.

Комментарии • 13