Aliyekuwa pamoja na watoto wa Msuya waliofariki kwenye ajali Bagamoyo asimulia walivyokuwa wakiishi
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Jirani wa familia ya Msuya ambayo imepatwa na msiba wa watoto wao wanne waliofariki kwenye ajali ya gari, iliyotokea jana Jumatano usiku katika kijiji cha Mapatano, Kata ya Mbwewe, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani, ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Salmini, Kata ya Tambukareli jijini Dodoma, Edna Ndejembi, akieleza alivyowafahamu majirani zake hao waliokuwa na kucheza pamoja enzi za ujana wao.
Edna ameyasema hayo leo Alhamis, Agosti 3, 2023 nyumbani kwake jijini Dodoma.
So sad sad 😭 sad kama hujawahi ona ajali au ikakukuta huwezi elewa aseee
Poleni sana familya nimeumia sana miongoni mwao dada nssf alikua boss wangu na mala ya mwisho alinipigia simu tuonane daa!
Mungu awape nguvu wana familia wote . Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina lake lihidimiwe 🙏
Nashindwa niseme nini 😭😭😭😭😭😭😭😭🙆
R.I.P poleni sana wafiwa
Poleni sana
Poleni sanaa baba and mamaa and all family. So sad
Poleni saanaaa
Ugweno Ni mwanga sio same
😢😢
😭😭😭😭
😂😂😂😂😂 inpain mno
Khaaaaa mbn unacheka