TAZAMA KIPA WA SIMBA CAMARA ALIVYOPEWA PESA NA MR MANGURUWE/AFUNGUKA KUWAOPA WACHEZAJI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • CAMARA ALAMBA MANOTI KWA TAJIRI MANGURUWE #simba

Комментарии • 58

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 6 часов назад +5

    Nzuri sana nafikiri VIONGOZI klabu imewapa Pesa motisha

  • @privanovath2997
    @privanovath2997 8 часов назад +5

    Spider

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira7654 7 часов назад +16

    Viongozi hili ni jambo zuri lakini liangalie hizo hela ni vyema zikawa zinawekwa benki apewa slip au anapewa Cheque lakini siyo kuonana na mchezaji au wachezaji kuna watu watakuja kutumwa tuharibiwe wachezaji hivi mnakumba issue ya Luis kuna shabiki aliingia uwanjani akamshika miguu mpira ukafa kwa hili ni jambo jema lakini lichukuliwe kwa tahadhari pia

    • @user-sy4wf5ll4o
      @user-sy4wf5ll4o 5 часов назад

      Sahihi mtu anaweza kuja kama shabiki kumbe anakuja kuharibu

    • @JacksonShilima
      @JacksonShilima 5 часов назад

      Huyu jamaa ni mshabiki wa simba coz amna kinachoharibika mbona kina boco walikua wanapewa grand malta na wanakunywa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 5 часов назад

      Huyu Mr. Manguruwe ni Mshabiki wa Simba kindaki ndaki sio wa mchezo. Tulipofungwa 5 na utopolo aliumia sana hadi alifikia kusema apewe nafasi ya kusajili.

    • @CatheOmaly
      @CatheOmaly 4 часа назад

      Nikweli kabisa sio sahihi wengime wanatumwa nauyu sindo alisema awezi kuvaa jezi kisaimeandwikwa sand

    • @nshaijatedy5512
      @nshaijatedy5512 3 часа назад

      Bt mangulue sio mtu bak

  • @HelenaPerta
    @HelenaPerta 5 часов назад +4

    Mungu msimamie kipa wetu muepushe na maadui

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 5 часов назад +5

    Mungu mbariki kipa wetu muepushe na husda za wanjwa supu ya vibudu jamani

  • @MiriamNgairo-pg6sf
    @MiriamNgairo-pg6sf 5 часов назад +2

    Linaakili sana ili Jamaa linajipa promo kupitia Simba

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 3 часа назад +3

    Yaan me simwamin yoyote anapojaribu kuleta ukaribu na wachezaji wetu maana simba ina maadui weng sanaa,mbk mangungu na matola siwaamin kbsaa😂😂😂😂😂allah awasimamie wachezaji wetu na wenye husda

    • @vumiliamgendi148
      @vumiliamgendi148 3 часа назад

      Kumshika mchezani hivi mkono sio poa kabisa viongozi wao ndio wawe wanao onana nao sio wachezaji Moja kwa moja

  • @user-dq5cm1xy5t
    @user-dq5cm1xy5t 6 часов назад +9

    naomba kama mwana Simba kupewa Hera mkononi haifai tusiamini mtu mnawwza mkaona pesha kumbe vituvingene aweke benki alete slp TU tusijiamini tunamaadui wengi Simba tuwe makini sana tusimiamini mtu jamani tunaomba watu wanatumwa tusiamini mtu kabisa jamani tutahalibiwa wachezaj wetu jaman viongozi kueni makini nahilo nijambo zuri sana ila tusiaminiane sisi wote kwa wachezaji wetu hata Mimi msiniamini kabisa

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 2 часа назад

    Safi sana na ongera sana.Dr Manguruwe,

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi142 6 часов назад +1

    Good Mr manguruwe!😂

  • @CollinsMacha
    @CollinsMacha 7 часов назад +1

    ❤❤❤

  • @AllySaid-e4o
    @AllySaid-e4o 2 часа назад

    Huyo master mangulue hutaki pesa zake

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 23 минуты назад

    Kipa mwenyewe, hajadurahia hizo pesa. Huyu Mr. Nguruwe, angeweka benki kwenye akaunti ya Simba, Ili itumike kuwapa morali wote. Sasa kumpa mmoja kunaondoa teamwork

  • @GelesKanyika
    @GelesKanyika 6 часов назад

    Me naitaji kazi kwenye kampuni yako Doctor

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 6 часов назад +2

    VIONGOZI msiwape NAFASI Hao Pesa zingine za UCHAWI.leo MWISHO.Isirudi tena hiyo

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 4 часа назад

    Ni nyingi sana Kwa kuwa zawadi tuuu

  • @Asiaomali
    @Asiaomali 3 часа назад

    Shabiki wewe ni mfano wa kuigwa pia hongera spedir kamara

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 4 часа назад +1

    Simba hii ya ubaya ubwela hairogeki!.....🤣🤣🤣

  • @AgnesHando-k5b
    @AgnesHando-k5b 3 часа назад

    Mr manguruwe hoyeeeee

  • @francismwaipopo5046
    @francismwaipopo5046 4 часа назад

    Pesa ya nguruwe 😂😂😂😂 be careful

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 4 часа назад

    Jamaa ana mihela huyuu

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 3 часа назад

    Kwani hauwezi kumpa pesa bila kuonyesha mitandaoni

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 4 часа назад

    Myama

  • @GelesKanyika
    @GelesKanyika 6 часов назад

    Atusaidie vijana tupate kazi bs

  • @DanieliDgani
    @DanieliDgani 6 часов назад

    Una mpaje pesa mchezaji mmoja tu?

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc 4 часа назад

    Kuma la mamaake huyo choko si alikuwa anaongea ukuma huyu kuhusu kikosi chetu

  • @ShabainBankintole
    @ShabainBankintole 3 часа назад

    Yani mashabiki wengi wa simba tuna iman za kishirikina shirikina kama vile ligi tumepanda jana nyie wenyewe mnajua team yetu kisim mi3 ilikua mbovu achen iman hizo ili ni soccer ukiwekeza vzr matunda ake utayaona ila ukizngua mmbo yata kua magum tu kwako achen fikra izo bhna

  • @scolabwana8252
    @scolabwana8252 4 часа назад

    Eee ila basi nilitaka niseme

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 часа назад

    huyu kweli Manguruwe .. sasa unampa Camara peke yake kwani alicheza peke yake? kama unatoa mzigo toa mzigo kwa timu nzima.. sio kiduchu halafu mnapenda kumpangia MO anayekata mzigo wa maana.. mnadhani rahisi? kenge we!

    • @EloyMwanjota-n6v
      @EloyMwanjota-n6v Час назад

      mama simba atujapata ela zako mama Jpil tunakuaid mama tutashnda Rais wetu mama yetu

  • @RahimKulwa
    @RahimKulwa 4 часа назад

    Kinyo wa bunju@

  • @DanieliDgani
    @DanieliDgani 6 часов назад

    Kuweni makini na jamaa

  • @YogweMwakulola
    @YogweMwakulola 5 часов назад

    Kenya igo ni 50 tu

  • @JosephAdam-e9w
    @JosephAdam-e9w 5 часов назад

    Manula akidanganya naenda tanga kwa bibi msishangae atakua na ziala yakikazi kwenye mikoa ii kigoma Sumba wanga atamalizia ziala yake yakikazi nje yanchi Nigeria apa atalud langoni

  • @mosktearjonathan9477
    @mosktearjonathan9477 3 часа назад

    kwani huyu paka si alihamia utopolo na aliongea shit kuhusu simba sasa nini tena ???

  • @PauloCharles-x9h
    @PauloCharles-x9h 7 часов назад

    Mmh kuongea kote huko laki Tano😂😂

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 6 часов назад

    Ukimpa mtu fedha ni mpaka uzipige picha.😢huo ni ujazibandi

    • @richardmshindi2702
      @richardmshindi2702 5 часов назад

      Hahahahaha wewe umempa nani 😅😅😅😅😅

    • @EloyMwanjota-n6v
      @EloyMwanjota-n6v Час назад

      Kwanza izo ela ulizompa mussa camara pinpin spider ni za nyanya

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 5 часов назад

    𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚗𝚐𝚞𝚟𝚞 𝚖𝚘𝚓𝚊❤❤❤