Viongozi hili ni jambo zuri lakini liangalie hizo hela ni vyema zikawa zinawekwa benki apewa slip au anapewa Cheque lakini siyo kuonana na mchezaji au wachezaji kuna watu watakuja kutumwa tuharibiwe wachezaji hivi mnakumba issue ya Luis kuna shabiki aliingia uwanjani akamshika miguu mpira ukafa kwa hili ni jambo jema lakini lichukuliwe kwa tahadhari pia
Huyu Mr. Manguruwe ni Mshabiki wa Simba kindaki ndaki sio wa mchezo. Tulipofungwa 5 na utopolo aliumia sana hadi alifikia kusema apewe nafasi ya kusajili.
Yaan me simwamin yoyote anapojaribu kuleta ukaribu na wachezaji wetu maana simba ina maadui weng sanaa,mbk mangungu na matola siwaamin kbsaa😂😂😂😂😂allah awasimamie wachezaji wetu na wenye husda
naomba kama mwana Simba kupewa Hera mkononi haifai tusiamini mtu mnawwza mkaona pesha kumbe vituvingene aweke benki alete slp TU tusijiamini tunamaadui wengi Simba tuwe makini sana tusimiamini mtu jamani tunaomba watu wanatumwa tusiamini mtu kabisa jamani tutahalibiwa wachezaj wetu jaman viongozi kueni makini nahilo nijambo zuri sana ila tusiaminiane sisi wote kwa wachezaji wetu hata Mimi msiniamini kabisa
Kipa mwenyewe, hajadurahia hizo pesa. Huyu Mr. Nguruwe, angeweka benki kwenye akaunti ya Simba, Ili itumike kuwapa morali wote. Sasa kumpa mmoja kunaondoa teamwork
Yani mashabiki wengi wa simba tuna iman za kishirikina shirikina kama vile ligi tumepanda jana nyie wenyewe mnajua team yetu kisim mi3 ilikua mbovu achen iman hizo ili ni soccer ukiwekeza vzr matunda ake utayaona ila ukizngua mmbo yata kua magum tu kwako achen fikra izo bhna
huyu kweli Manguruwe .. sasa unampa Camara peke yake kwani alicheza peke yake? kama unatoa mzigo toa mzigo kwa timu nzima.. sio kiduchu halafu mnapenda kumpangia MO anayekata mzigo wa maana.. mnadhani rahisi? kenge we!
Manula akidanganya naenda tanga kwa bibi msishangae atakua na ziala yakikazi kwenye mikoa ii kigoma Sumba wanga atamalizia ziala yake yakikazi nje yanchi Nigeria apa atalud langoni
Nzuri sana nafikiri VIONGOZI klabu imewapa Pesa motisha
Spider
Viongozi hili ni jambo zuri lakini liangalie hizo hela ni vyema zikawa zinawekwa benki apewa slip au anapewa Cheque lakini siyo kuonana na mchezaji au wachezaji kuna watu watakuja kutumwa tuharibiwe wachezaji hivi mnakumba issue ya Luis kuna shabiki aliingia uwanjani akamshika miguu mpira ukafa kwa hili ni jambo jema lakini lichukuliwe kwa tahadhari pia
Sahihi mtu anaweza kuja kama shabiki kumbe anakuja kuharibu
Huyu jamaa ni mshabiki wa simba coz amna kinachoharibika mbona kina boco walikua wanapewa grand malta na wanakunywa
Huyu Mr. Manguruwe ni Mshabiki wa Simba kindaki ndaki sio wa mchezo. Tulipofungwa 5 na utopolo aliumia sana hadi alifikia kusema apewe nafasi ya kusajili.
Nikweli kabisa sio sahihi wengime wanatumwa nauyu sindo alisema awezi kuvaa jezi kisaimeandwikwa sand
Bt mangulue sio mtu bak
Mungu msimamie kipa wetu muepushe na maadui
Amiin🤲
Mungu mbariki kipa wetu muepushe na husda za wanjwa supu ya vibudu jamani
Aminaaaa
Linaakili sana ili Jamaa linajipa promo kupitia Simba
Yaan me simwamin yoyote anapojaribu kuleta ukaribu na wachezaji wetu maana simba ina maadui weng sanaa,mbk mangungu na matola siwaamin kbsaa😂😂😂😂😂allah awasimamie wachezaji wetu na wenye husda
Kumshika mchezani hivi mkono sio poa kabisa viongozi wao ndio wawe wanao onana nao sio wachezaji Moja kwa moja
naomba kama mwana Simba kupewa Hera mkononi haifai tusiamini mtu mnawwza mkaona pesha kumbe vituvingene aweke benki alete slp TU tusijiamini tunamaadui wengi Simba tuwe makini sana tusimiamini mtu jamani tunaomba watu wanatumwa tusiamini mtu kabisa jamani tutahalibiwa wachezaj wetu jaman viongozi kueni makini nahilo nijambo zuri sana ila tusiaminiane sisi wote kwa wachezaji wetu hata Mimi msiniamini kabisa
Safi sana na ongera sana.Dr Manguruwe,
Good Mr manguruwe!😂
❤❤❤
Huyo master mangulue hutaki pesa zake
Kipa mwenyewe, hajadurahia hizo pesa. Huyu Mr. Nguruwe, angeweka benki kwenye akaunti ya Simba, Ili itumike kuwapa morali wote. Sasa kumpa mmoja kunaondoa teamwork
Me naitaji kazi kwenye kampuni yako Doctor
VIONGOZI msiwape NAFASI Hao Pesa zingine za UCHAWI.leo MWISHO.Isirudi tena hiyo
😂😂😂😂😂😂
Ni nyingi sana Kwa kuwa zawadi tuuu
Shabiki wewe ni mfano wa kuigwa pia hongera spedir kamara
Simba hii ya ubaya ubwela hairogeki!.....🤣🤣🤣
Mr manguruwe hoyeeeee
Pesa ya nguruwe 😂😂😂😂 be careful
Jamaa ana mihela huyuu
Kwani hauwezi kumpa pesa bila kuonyesha mitandaoni
Myama
Atusaidie vijana tupate kazi bs
Una mpaje pesa mchezaji mmoja tu?
Kuma la mamaake huyo choko si alikuwa anaongea ukuma huyu kuhusu kikosi chetu
Yani mashabiki wengi wa simba tuna iman za kishirikina shirikina kama vile ligi tumepanda jana nyie wenyewe mnajua team yetu kisim mi3 ilikua mbovu achen iman hizo ili ni soccer ukiwekeza vzr matunda ake utayaona ila ukizngua mmbo yata kua magum tu kwako achen fikra izo bhna
Eee ila basi nilitaka niseme
huyu kweli Manguruwe .. sasa unampa Camara peke yake kwani alicheza peke yake? kama unatoa mzigo toa mzigo kwa timu nzima.. sio kiduchu halafu mnapenda kumpangia MO anayekata mzigo wa maana.. mnadhani rahisi? kenge we!
mama simba atujapata ela zako mama Jpil tunakuaid mama tutashnda Rais wetu mama yetu
Kinyo wa bunju@
Kuweni makini na jamaa
Kenya igo ni 50 tu
Mbona hata unga wa ugali tu mbona mnahangaika
Manula akidanganya naenda tanga kwa bibi msishangae atakua na ziala yakikazi kwenye mikoa ii kigoma Sumba wanga atamalizia ziala yake yakikazi nje yanchi Nigeria apa atalud langoni
kwani huyu paka si alihamia utopolo na aliongea shit kuhusu simba sasa nini tena ???
Mmh kuongea kote huko laki Tano😂😂
We unayo kutoa ni moyo ww utopolo
Ukimpa mtu fedha ni mpaka uzipige picha.😢huo ni ujazibandi
Hahahahaha wewe umempa nani 😅😅😅😅😅
Kwanza izo ela ulizompa mussa camara pinpin spider ni za nyanya
𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚗𝚐𝚞𝚟𝚞 𝚖𝚘𝚓𝚊❤❤❤