Safi sana, Artist anatakiwa kuwa makini kujibu maswali pindi aulizwapo media, sio kukurupuka na kujibujibu sio vizuri. Of course Rostam mpo vizuri pia ktk uwasilishaji wenu ujumbe kwa Jamaa yenu inayo wazunguka, so binafsi nawaombea kwa Jah awatangulie katika kazi zenu mzitumazo kwa Hadhira.
Millardayo unachagua sana aina ya watu wa kuwapa interviews na kuwa support na hili umelifanya kwa kipindi kirefu sana. Binafsi nakubali na kuheshimu kwa ukubwa ulionao kwenye industry ya media but in professionalism huwa sikusomi kivile sababu umechagua upande haupo balanced. Wapo wasanii wengineo pia wanahitaji uwepo wako wape nafasi pia kiroho safi. Kuna mtu anaitwa Lillommy pale times anafanya kazi na wasanii karibu wote wa Tz..yaani yupo very balanced na hana ukubwa ulionao 🙏 ukweli umuweka mtu huru Sorry kama nitakukwaza.
Roma na stamina kunakitu nataka niwajuze nynyi niwasanii wakubwa sana na mnauwezo wa kuandaa show na mkapga pesa ila sijui mnakwama wapi yaan naona kamamnarud nyuma hv tena roma umesoma hvyo jarbu kufanya music business na usifanye kama unatafuta tu ela ya mboga tu no usifanye hvyo
Asa jaman mnataka mabaunsa tusipate riziki??!!! Ifikie mahara tupeane mchongo tu jaman maana ata sisi mabaunsa tunasaka hella kwahiyo sio poa kupondea ajira. Baada ya mziki/baunsa kuna maisha mengine yanafata.
Bhareksa ana cha moto anatembea nacho haitaji baunsa.Wasanii mnajilinda na vibaka waporaji wa mikufu yenu .Kama weee huna ,huitaji baunsa.Wanini????Hata kiatu cha maana huna.
Jamani kua namabaunsa. Nimoja ya ajira. Hao baunsa wote walikua mtaani hawana ajira. Sasa dimond kawa mbunifu. Na ameacha ubinafsi wakula pekeake. Kawaita anawalipa hapo tatizo liko wapi. Wabongo mbona hamna jema..lakin pia ni usalama kwake. Kumbuken pia wasani wanakufaka wakati mwingine kwakukosa msaada wakiulinzi..mfano albat mangwea. Steven kanumba..nakuna bondia anaitwa tomac mashali. Nawengine wengi tu. Shida yawabongo mnasahau kwaharaka sana. Waacheni baunsa nao wapate ajira jaman
Nyie mnazingua watu tunapeana michongo ayo majungu tu ata ao baunsaa niwatu mtu kuwa na baunsa wengii usijajii xana kimpango wake na wew kua na wengi alafu pia msifananishe watu
Bakhressa ushamuona kwenye mikusanyiko ya watu,wafanyakazi wake tu wengi hawamjui kwa sura Mabaunsa wanafanyakazi wanalipwa mishahara wanaendesha familia zao Kuna nyie mnaimba kuna wanaocheza shoo kuna wanaokusanya mapato getini kuna wanaobeba vyombo nk au Roma zote unafanya mwenyewe?
@@frankmaria6717ni sawa ila angalia vzr utumikaj wao ni sahihi au maana me naona km fation to kwa waliowachukua Angalia na kiundan zaid usieke ni ushabik kaka wakat ata ww umgelua stej iyo usingefanya
Hakuna mahali nimezungumzia ushabiki kwenye andiko langu, Kuna watu wanatushangaa tunavyoweka bando kwenye simu wanatamani hizo pesa wangepewa wanunue unga wa ugali kwamba tunatumia pesa vibaya Ni sawa na kijana anapambana anatafuta pesa yake anatumia kwa starehe zake hasaidiwi na mtu kuwalipa hao walinzi sisi tunatukanana na kukashifiana mitandaoni Ni mtazamo wangu pesa zinatafutwa na mtafutaji akizipata namna ya kutumia mradi havunji sheria ni haki yake,
kuwa na bodyguard mara nyingine ni kuiweka brand yako iwe expensive na vilevile una protection as huwezi jua nani mbaya nani mzuri. Ila bodyguard 10 au zaidi ya wa5 duh hapo sasa utata
Guys don’t be so stupid, Bill gate does not have baunsa but 50 cent does. There is richness and famous, Tanzanien don’t understand it. Don’t hate someone who has Baunsa, it part of creating works. That why you America there is a lot of jobs and Africa always suffer
@@japhetkavishe2347 bila shaka kama ukijua maana ya popularity...leo hii bakharesa atembee nan anaemjua na kumzonga? Bakhera ana pesa kuliko Daimond ila diamond ana fans'base kubwa kuliko bakharesa...ukibisha bisha
Bakhresa anavaaa ndara na shati LA mtba suruali kauka nkuvaee hana Pete wala chochotr cha samani ...alindwee nn ila usijidanganye kubwa halindwii analindwaa jaribu uone....kumbka Mo.
Stamina kama konyagi ilishika mid interview, kwanza baada ya kuulizwa ya ndoma.. kaka kama alishikwa depression... tafathali bro Roma acha dogo home ukienda interview asije jiwekea kamba shingoni ateleze tumsahau bure... izo dude zicome come despite all
Si hivyo tu pia ni moja ya ajira kwa wale Baunsa sababu wanalipwa nao wanapata riziki au wanataka wale jamaa wakakabe tuache ukuda ni ajira moja wapo vijana wanajipatia we huna uwezo wa kufanya hayo piga kimya roma
Roma acha bangi mnavyozidi kuwasema watu wenye mabaunsa mnajitengenezea uwadui na hao watu maana wanapata ajira tosha mkisema bakharesa yeye ni utashi wake!nyie hamna pesa zakuwalipa!
Kama biashara yako ni kuuza maandazi hauhitaji BodyGuard. Sisi tunaita Bodyguard ninyi mnaita Baunsa kwa lugha yenu. Lakini kwa mwanasiasa, mcheza sinema, mwanamuziki ushindani na maadui ni wengi kuliko wafanyabiashara wa kawaida. Hata hivyo Baunsa si kwa ajili ya kulinda fedha za wafanyabiashara bali mwili wa watu maarufu.
Upo sahihi stamina,mambo yako ya ndoa usiyajadili mitandaoni.Wabongo sijui twakwama wapi,yaani private life twaidhihirisha na hao hao tena baadae wanaanza tena kukucheka.
Wabongo bhana kwani mnateseka mtu akiweka bodyguards? Inaonesha nyie ni wabinafsi wa maendeleo maana hao bodyguards wanaolipwa na wao wanafamilia zao na kazi yao ni hiyo.. Mlitaka hao bodyguards wale kwenu
@@itongwamtebwa7255 wanazingua. Wenzao wanatoa ajira. Baunsa wanaenda chooni. Tatizo wasani wabongo wabinafsi sana. Ndio mana mond anawanyoosha. Na wcb media ndio itawaonyesha njia media zakubaniabania wasani
@@issackchalahani1235hata chid benzi. Dudu baya nawasani wengi tuu. Wana nyimbo nzuri sana. Zaidi za hao wakina rostam. Lakini wanaelewa na wameheshim nawanakubali kama WCB imeleta mabadiliko makubwa..hapa tatizo sio uzuli wanyimbo hapa tunazungumzia biashara yamusic kwa ujumla
Mashariti ya maganga mmeyakosea mziki wenu majungu itanviw zenu majungu wanangojera haoooooo ngwea ashawambia kuna wengine kwenye gem ndo kifupi wameshapotea ushaambiwa usiyaguse maji kama hujui kuogelea sa cheki Mnavyo tapatapa hawana pakutokea kutwa kumdisi pultinumuz simba na kumroga asiekuroga utafisilika tu
Hawa jamaa yaani kwa interview zote wanaongea sense sana, kama unakubaliana na mimi gonga like toka KENYA
Safi sana, Artist anatakiwa kuwa makini kujibu maswali pindi aulizwapo media, sio kukurupuka na kujibujibu sio vizuri. Of course Rostam mpo vizuri pia ktk uwasilishaji wenu ujumbe kwa Jamaa yenu inayo wazunguka, so binafsi nawaombea kwa Jah awatangulie katika kazi zenu mzitumazo kwa Hadhira.
Nyie watu hatar sana yani mtu akijifanya kuwafuatilia atakula mweleka hongeren sana mko active sana big up nyingiiii
Millardayo unachagua sana aina ya watu wa kuwapa interviews na kuwa support na hili umelifanya kwa kipindi kirefu sana.
Binafsi nakubali na kuheshimu kwa ukubwa ulionao kwenye industry ya media but in professionalism huwa sikusomi kivile sababu umechagua upande haupo balanced.
Wapo wasanii wengineo pia wanahitaji uwepo wako wape nafasi pia kiroho safi.
Kuna mtu anaitwa Lillommy pale times anafanya kazi na wasanii karibu wote wa Tz..yaani yupo very balanced na hana ukubwa ulionao
🙏 ukweli umuweka mtu huru
Sorry kama nitakukwaza.
Nmewaelewa sanaaaa mazeeeee 👍
Stamina unaznguaga interview sijui kwann...hujibugi maswali vizur........mambo ya no comment ya wanawake ayoo acha umama
Muddy show
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Roma na stamina kunakitu nataka niwajuze nynyi niwasanii wakubwa sana na mnauwezo wa kuandaa show na mkapga pesa ila sijui mnakwama wapi yaan naona kamamnarud nyuma hv tena roma umesoma hvyo jarbu kufanya music business na usifanye kama unatafuta tu ela ya mboga tu no usifanye hvyo
Unauhakika hawapigi show?
Jamani Roma....me i love you so much wallah
Braza hawa jamaa n zaidi ya genius yani unatamani uzidi kuwackiliza muda wote wakiwaga kwa interview..
Nakukubali sana kaka Milad Ayo
Napendaga sana Interview za Roma!!
Rostam nawapenda sana
Asa jaman mnataka mabaunsa tusipate riziki??!!! Ifikie mahara tupeane mchongo tu jaman maana ata sisi mabaunsa tunasaka hella kwahiyo sio poa kupondea ajira.
Baada ya mziki/baunsa kuna maisha mengine yanafata.
Kweli bhana
Sam ßoy
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Sam ßoy hakumaanisha kama wasiwepo but uonekane utouti kat ya fulan na fulan
Binafsi nimekuelewa mno mwisho wa siku baunsa nayo ni kazi lazima wapate riziki
Amini
Bhareksa ana cha moto anatembea nacho haitaji baunsa.Wasanii mnajilinda na vibaka waporaji wa mikufu yenu .Kama weee huna ,huitaji baunsa.Wanini????Hata kiatu cha maana huna.
Jamani kua namabaunsa. Nimoja ya ajira. Hao baunsa wote walikua mtaani hawana ajira. Sasa dimond kawa mbunifu. Na ameacha ubinafsi wakula pekeake. Kawaita anawalipa hapo tatizo liko wapi. Wabongo mbona hamna jema..lakin pia ni usalama kwake. Kumbuken pia wasani wanakufaka wakati mwingine kwakukosa msaada wakiulinzi..mfano albat mangwea. Steven kanumba..nakuna bondia anaitwa tomac mashali. Nawengine wengi tu. Shida yawabongo mnasahau kwaharaka sana. Waacheni baunsa nao wapate ajira jaman
Mwanaume kujiamini baunsa si ni mwanadamu Kama wwe usiamini mwanadamu mwenzako weee👉👉👉
Nyie mnazingua watu tunapeana michongo ayo majungu tu ata ao baunsaa niwatu mtu kuwa na baunsa wengii usijajii xana kimpango wake na wew kua na wengi alafu pia msifananishe watu
tulokuwa tukisubir kwa hamu naomba like
Abamo Tv
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Bakhressa ushamuona kwenye mikusanyiko ya watu,wafanyakazi wake tu wengi hawamjui kwa sura
Mabaunsa wanafanyakazi wanalipwa mishahara wanaendesha familia zao
Kuna nyie mnaimba kuna wanaocheza shoo kuna wanaokusanya mapato getini kuna wanaobeba vyombo nk au Roma zote unafanya mwenyewe?
Humjuw ww ni mtu kawaida sana Bakhresa anatoa airport kawaida to peke yake hanaa makuuu tafuta jengne lakn c Bakhresa
@@mahmoudkhamis8638 ni kawaida sana? Umetumia bando lako vibaya
@@frankmaria6717ni sawa ila angalia vzr utumikaj wao ni sahihi au maana me naona km fation to kwa waliowachukua
Angalia na kiundan zaid usieke ni ushabik kaka wakat ata ww umgelua stej iyo usingefanya
Hakuna mahali nimezungumzia ushabiki kwenye andiko langu,
Kuna watu wanatushangaa tunavyoweka bando kwenye simu wanatamani hizo pesa wangepewa wanunue unga wa ugali kwamba tunatumia pesa vibaya
Ni sawa na kijana anapambana anatafuta pesa yake anatumia kwa starehe zake hasaidiwi na mtu kuwalipa hao walinzi sisi tunatukanana na kukashifiana mitandaoni
Ni mtazamo wangu pesa zinatafutwa na mtafutaji akizipata namna ya kutumia mradi havunji sheria ni haki yake,
kuwa na bodyguard mara nyingine ni kuiweka brand yako iwe expensive na vilevile una protection as huwezi jua nani mbaya nani mzuri. Ila bodyguard 10 au zaidi ya wa5 duh hapo sasa utata
I like that, good opnion..
Nimeipenda hii interview iko very entertained
Roma nakubalii sanaa unaongeya pont
nice audience I like it lakin tuna kumiss kinoma bro
Hahaa Roma umejieleza vzr sana
Guys don’t be so stupid, Bill gate does not have baunsa but 50 cent does. There is richness and famous, Tanzanien don’t understand it. Don’t hate someone who has Baunsa, it part of creating works. That why you America there is a lot of jobs and Africa always suffer
that z correct!! Roma hana akili
So you mean 50 cent is famous than bill gates??!
Nyie wabanapua tulieni tu hao Rostam balaa pendeni hao hao wakata viuno wenu kina diamond Rayvan
Maneno ya mkosaji hayo...mawazo finyu Kabisa... popularity ya bakharesa tofaut na hao wasanii Daimond,Harmonize nk.
Mkifikia level Yao mtaelewa.
Acha upumbavu ww
@@mussamussa9174 jenga hoja kijana
Et popularity kwahiyo diamond ni popular kuliko bakhresa 😂😂
@@japhetkavishe2347 bila shaka kama ukijua maana ya popularity...leo hii bakharesa atembee nan anaemjua na kumzonga?
Bakhera ana pesa kuliko Daimond ila diamond ana fans'base kubwa kuliko bakharesa...ukibisha bisha
Abdallah kitwana, unaelewa🙏🙏
Hahahahhaha BAKHRESA MWENYEWE HANA BAUNSA hahahahah
@@platnumzlyrics9928 Mtu anotekwa unamjua auuu
Bakhresa anavaaa ndara na shati LA mtba suruali kauka nkuvaee hana Pete wala chochotr cha samani ...alindwee nn ila usijidanganye kubwa halindwii analindwaa jaribu uone....kumbka Mo.
Ayo mambo ya bounsa mbwembwe tuu na kukuza brand
Afu hao baunsa wanaingiza ela kuliko nyie mnaedhulumiwa na clouds
Unaumwa kweli
Mr Edjing Mix Official exactly mrembo
mm naumwa kweli
@@juliusjulius2080 poa Mama
Harafu mboma wabongo wengi hamjielewi wanazurumiwaje umeenda wakakuxurum mbona hamnaga hofu ya mungu kazi kusema watu
Stamina kama konyagi ilishika mid interview, kwanza baada ya kuulizwa ya ndoma.. kaka kama alishikwa depression... tafathali bro Roma acha dogo home ukienda interview asije jiwekea kamba shingoni ateleze tumsahau bure... izo dude zicome come despite all
Watu atali sana ROSTAM
Sasa wew Roma utamlipa nin baunsa Kama wew mwenyewe unatembelea gar la million 3
Son P kwani gharama ya kumlipa baunsa ni tsh ngapi???
Kuwa na bodgadi Ni Pesa ile waache vijana watanue Ni Wakat wao
Si hivyo tu pia ni moja ya ajira kwa wale Baunsa sababu wanalipwa nao wanapata riziki au wanataka wale jamaa wakakabe tuache ukuda ni ajira moja wapo vijana wanajipatia we huna uwezo wa kufanya hayo piga kimya roma
@@ziadasalumu1176 kweli mtaalamu hyo Ni ajira inatambulika na wamepata mafunzo ya ziada
Awa bidamu wawili nawapenda sana
Roma acha bangi mnavyozidi kuwasema watu wenye mabaunsa mnajitengenezea uwadui na hao watu maana wanapata ajira tosha mkisema bakharesa yeye ni utashi wake!nyie hamna pesa zakuwalipa!
Stev we fala eti hana pesa maviii kweli ww
Wanangu mm nawakabali sana
Kama biashara yako ni kuuza maandazi hauhitaji BodyGuard. Sisi tunaita Bodyguard ninyi mnaita Baunsa kwa lugha yenu. Lakini kwa mwanasiasa, mcheza sinema, mwanamuziki ushindani na maadui ni wengi kuliko wafanyabiashara wa kawaida. Hata hivyo Baunsa si kwa ajili ya kulinda fedha za wafanyabiashara bali mwili wa watu maarufu.
Pamoja @roma
Yani hawa jamaa diamond anawasumbua sana..wanateseka sana na wanakosa gis watamtaja wanaona bora wazungumzie habar za mabaunsa..
Mm nashangaa eti konde boy baunsa 8 na diamond baunsa 12 eheeee kweli balaaa
jamaa mm siwaelewi kabisa wanaimba hiphop au taarabu maana mambo yao kama waimba taarabu atamziki wao sasaiv umbea ndio mwingi wanakwama wapi hawa
Haunaucho elewa mjinga hawezi kuelewa vituvixuri ila kwanyimbo zamatusi ndomnaxielewa wabongo
Imbaa wew achaa ushambaa wew wanaimbaa Vilvyopo kwenyee jamnii
Kama unaqaskilza wnasem hipop ni mazngiraa yaliyopo Achaa kulurupukaa wew
Roma nimekuelewa unajua kujielezea #ualimubadoumekujaakwenyedamu#
Roma anamchimba stamina iliaseme ilabado jamaa kakomaa kweny pwent yk
Roma anatafuna BIg G interview nzima.. Usivae Earphones aise..
💥 uno to the world
tumapenda tusikie mziki ukiongea na si maisha ya wanamziki anae fanya vizuli apogezwe
Imekuaje stamina ametoa siri za ndoa yake sasahv sasa, kweli maisha yanaenda kasi
Upo sahihi stamina,mambo yako ya ndoa usiyajadili mitandaoni.Wabongo sijui twakwama wapi,yaani private life twaidhihirisha na hao hao tena baadae wanaanza tena kukucheka.
uwepo wa mabaunsa pia ni fursa ya ajira.. wananyanyua vyuma wakale wapi?
Ungekuwa na ulinzi kile kipindi wangesaidia....C unaona sasa Mo anaulinzi baada ya lile sakata..
Haki leo nimeipenda sana hii
Roma kitambo sana aseh very mature majamaa
Maneno ya mkosaji
Hahahhahaha nimecheka hatari
Roma unajitetea hatari
Instead of talking about serious issues
What do u mean?
maundu andersonjum what do I mean ,? Are you for really ? Or daft ? 🤔🤔🤔
Acheni wivu
Mziki wenu haulipi
Mtabaki kuambiwa
Dah!!! Nyie wakali lkn mfukoni njaa.show moja tu mpaka fiesta
HUYU JAMAA #ROMA BAADA YA KUTEKWA sijui walimfanya nini... Karudi hajui kingine zaidi ya kuimba tarabu.
Majungu meeengiii
mbona umeludia kupost hii interview
Hajarudia,hii ni part two
Upo sahii
Hii ni interview tofaut
ujanja ukizidi sana mwishowe huwa ujinga
ivi kuna malaia hawapendi muziki
Mmmh stamina hueleweki kaka nakukubali ila apo umezingua
Stamina umeboa kwenye interview bro
Bx kajibu ww ayo maswali
@@henrysobrill386 roma mshamba stamina kuna ubaya gani kutembea na mabaunsa amnaga vitu vya samani
Muogope mungu hao wasenge wanatumia mabaunsa wanataka tu.kiki nakuogopwa wakiti sio mungu
Wabongo bhana kwani mnateseka mtu akiweka bodyguards? Inaonesha nyie ni wabinafsi wa maendeleo maana hao bodyguards wanaolipwa na wao wanafamilia zao na kazi yao ni hiyo.. Mlitaka hao bodyguards wale kwenu
Sasa wewe una banusa alafu unaendesha gari ulisha ona puffy dady anaendesha gari
Hawa jamaa wanajielewaga sanaa
Noma na wakati Roma kaliwa tigo
Majungu tu na wivu,
Hamna hela nyie rostam. Hamkeni wcb imekuja kuwaamsha. Badiliken
Hacha ujinga umesha kuwa kijana
@@itongwamtebwa7255 wanazingua. Wenzao wanatoa ajira. Baunsa wanaenda chooni. Tatizo wasani wabongo wabinafsi sana. Ndio mana mond anawanyoosha. Na wcb media ndio itawaonyesha njia media zakubaniabania wasani
Sio kweli, wcb wamekuja kuwaamsha! Mmh! It's true coz Rastam is the strongly songs but wcb is the softly songs, so this is different music.
@@issackchalahani1235hata chid benzi. Dudu baya nawasani wengi tuu. Wana nyimbo nzuri sana. Zaidi za hao wakina rostam. Lakini wanaelewa na wameheshim nawanakubali kama WCB imeleta mabadiliko makubwa..hapa tatizo sio uzuli wanyimbo hapa tunazungumzia biashara yamusic kwa ujumla
Achaa upuuuziii wew Unamlinganisha wcb na Rostaminaa Achaa ukoroo
Lifestyle....
woo
Wenzenu wamening'iniza Prado tatu shingoni nyie mabaunsa mna nini?
iddy prod hahahahaaa kabisa ndugu yangu iddy prid watu wamehifadhi hela shingoni sasa wewe hata Pete ya laki huna
stamina nae
Napenda Roma akicheka jamani
Kitu najuwaga nikukupenda tu Roma ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ukweli bila baunsa huwezi kufanya show naikaisha salama kwa sababu shabiki wapo wa damu kwa mhusika pia maaduwi
Muna mambo ya kike sana wivu mtupu.
Alex Msemwa awana hela awo
I don't surport msanii kua na bodyguards kibao ila pia tukiangalia positive side wamecreat jobs to alot of bouncers mtaani so big up.
Roma mshamba kama kweli kaongea hayo maneno yalio andikwa hapo , mana siwezi kuangalia intview za wakuda
Hujaangalia ila umecoment nani mjinga,
Wanasema km hauna hela unaona mwenye hela anatumia hela zake vibaya
Kama wewe roma ulivo tekwa si ulitolewa marinda au unataka tutagaze yaliyo kukuta kwa watu wasio julikana
Milaid ongeza kamera tuwaonewote
ALLY NANYUNDO 😂😂
Stamina hueleweki kaka
Sasa bakharesa hana pesa lkn hana mashabik wa kumfuta futa mtaan
Awa ni maskini sana wakifedha kwaiyo wapunguze taarabu
Wewe tajili sana unaonaje kibanxi kilichoko kwenye jicho la mwenxako wakati boliti lililopo ndan ya jicho lako
wewe wzazi wako wananini?
hahahaa.
kijiwe nogwa...
sio kwamba eti roma hataki mabaunsa, atawalipa nini??? wenzio wana uwezo na wanayoyafanya broo..!! Wake up!!!
Wacha usenge roma wasomal una maanisha wote ni magaidi sio futa kauli yako pumbav
Entertainments kweny industry
Nawaelewa jamaa
Roma unaongea sana
Ila Rostam wanatumia akili ktk kujibu maswali na ktk show zao ni za kibabe
Rostamu ujinga ujinga tu
Stanley George kaka muko vizuri xna
Roma Mkatoliki jina lake halisi Ni Nani?
Ibrahimu mussa
Baresa anao bodyguard
Sasa roma ww una gar moja tena passo unadhan hao baunsa unawapata wap
@Abubakar Omary shida ni kwamba roma anaongea kinafiki anasahau kama alishawai kutekwa ila kama angekuwa na mabaunsa labda angesaidiwa kabla
@Abubakar Omary harafu huyo roma anaongea kuwalenga kund fulan haelew kama halingani nao
Hamna era nyie wachawi tu
Mashariti ya maganga mmeyakosea mziki wenu majungu itanviw zenu majungu wanangojera haoooooo ngwea ashawambia kuna wengine kwenye gem ndo kifupi wameshapotea ushaambiwa usiyaguse maji kama hujui kuogelea sa cheki
Mnavyo tapatapa hawana pakutokea kutwa kumdisi pultinumuz simba na kumroga asiekuroga utafisilika tu
Roma nimekuelewa jomba uko deep jiniaz Dingili
Interview ni zaidi ya kijiwe nongwa
Si ulitekwa wewe mbona hukuongea tena kuhusu ile ishu
Demu kasepa kuwa mkweli wew unazani atujui
Hawa jamaa awana marinda usiponde kazi ya mtu bonsa ile riziki yake kama wewe roma unavo imba acheniukandia kuma nyinyi