LOVE BITE 《03》
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Uyu dada tifa mbwa kabisa wanao nikubali nipeni lake zangu 50 tu
@@NabiiYakobo tena ka tifa kenyewe shoboo kabaya, yaani hako ata kabure sikapendi
Jamn me nimsanii pia wa mziki wa bongo flavour naitaji sapot zene wadau
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hakuna vita Goma kweli ndugu yangu
Maskini gumbwa njoo kwangu nipo single mimi sitaki hela
Unafatilia dem Hana mbele wala nyuma😂😂😂, yani mtulinga hana kabisaa
Licha ya mtulinga.. Hana ata Shep.. Mwembamba kama mwiko wa pilau 😂😂😂😂😂😂
@@AshaAlly-mo6bd mwambie sikuizi hatuwapi wanawake hela
Wa kwanz mm jomon luta man juuuu juuuuuuuu sn🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah mapenzi haya jaman,unaye mpenda kampenda mwingi kwako anachuka chapa ilale tu..🚲🚲🚲
Mbwa mm na wewe tunaendana😂😂😂 like zangu kwa kuunga kaul hii
Jamani hata mm naombani like
Wanawake wwngine bna kazi kweli pesa kwanza kweli na wanaume sisi ni noma
Poleni😂😂😂😂
Tuko pamoja shikilia hapohapo mnakuja vizuri
NC mungu akubrk🎉🎉😂😂
Wa tano kutoka Kenya ❤️❤️❤️❤️
Anapenda asiekupenda nae anapenda asiempenda data kweli dunia sasa mapenzi pesa
Dah nafs mbili hapo. Kama mzee tupa tupa
Sina cha kusem brother ila hich ndo unacho sitahili 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
leo wa kwanza toka kenya
mwanaume gani hujui kukataliwa mpk vibao unapigwa kisa kupenda 😆
Aki nimeumia sana😢😢😢
Am enjoying from kaloleni giriama
Frahia broo tuu
Pamoja mkuu
asee huyu jamaa saivi ni 🔥🔥wa kuotea mbali sana
Nawa kubari man mnao nisapoti man❤❤❤❤ LOVE BITE
Yaan hii filam mchezaji ni Rutaman tu wengne bado mkaze but mnarudiarudia maneno mfuatiliji wenu from oman 🇴🇲 😊
Luta man
Tunakusapot man
Tuko pamoja Sana tukupe maua 🎉🎉 yako
Kula chuma hicho man🌹🌹🌹
Msinibishie nmba 1 from Oman 🇴🇲 like sihitaji
Rutha thé best from Congo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰🥰🥰🥰
ENHEEEEEEEEEEEEEEEEE LEOOOOOOOOOO MNIPEEEEEE LIKEEEEEEE ZANGUUUUU JAMANIIII HATA KAMA NI KUMII TUUUU 🙏 🙏 🙏 🙏
Wa kwnza like zngu naomba😢😢😂
❤❤❤❤❤❤❤❤
First today like zenu jamani🎉❤
❤❤❤❤❤
Mbwa ni mbwa kweli chukua hype ule hype.
Leo wakwaza kama unamkubali ruta man naomba like na comment zenu.
Naitaj hiii nyimbo ya hiiii movie
Hii series ya love bite happy ndo inaifanya kua tamu sana, Alf happy n mrembo saana nilitamani nimsifie toka series ya mgeni wa kijiji na pia kwenye series ya Risky lkn leo mmmmh acha nimpe mau yake 🌹🌹🌹 happy dadangu unaweza zidi kuongeza bidii sister much love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uko makini mzee
Movie nzuri sana master nawakubali kinoma noma 🎉🎉🎉
Courage sana❤❤❤
Npee peteeee yanguuu😂😂😂😂😂😂😂
Uyuu happy kwanza sasa jicho langu lita muangaliya namaanisha nitamufatiliya mpaka mwisho wake naona anafika mbali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yupo vizuri
G acha ushamba demu uyo Hana mapenzi na wewe
Pole sana man unayo yapitia na kaz ya ulinzi 🙏 nakukubar sana kwa movie zako
Huyo tifa mwenyewe sasa 😂😂😂😂😂
Ruta man usibadilishe uhusika wako man mana unanikosha mani unavyolalamika mani😂😂😂❤ Love bite
Gubwa......mjinga wewe🤣🤣😂😂😂😂 mapenzi wewe aky🥰🥰😘😘🥰😍
Sasa kila mmoja anaomba like hyo ndo support ya movie au inakuwaje
Boncena AKA roota man, ongera sana, kaza hi ni international ( inafanya vizuri saana ). Na tunaikubali, tunaipokea hi zawadi...big up man
Mwanamke kama happy yupo yeye tu
Tunawapenda wanao tuumiza nawanao tupenda tuna waumiza
Bado. Ujalia unacho mfanyia mwenzio nawewe unafanyiwa vivo. Hivo
Jaman mpenz yana tesa wat sana huyu kaka mmmh
Nipo na BAISA PATRICK 😂😂😂😂HAMNA MWANAUME AMBAE HANA HELA
Much love from mueda cabo Delgado we miss you dears brothers
SEMA Baisa Anajua sanaaa yani kwenye uganga alipita 100% kwenye risky 100% umu na ubishoo wake vile bado anafanya safi dah aje tu Kenyaa ❤❤❤
Happy hongera dada😂😂😂tulishapitia hayo ila sasa tumefokasi na maisha mapenzi shikamooo nko pale Kenya 🇰🇪
Kwakweli🤣🤣🤣
Au sio🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 et mapnz shikamoo😂😂😂😂,kwl kabisa
@@RehemaSalim-d3g bwana weee🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤ nawa Kubali man endelea
Nataka Pete yanguu ❤️❤️❤️
😂😂😂😂😂😂
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas ruthaaaaaaaamaaaaaaaan
Daaah kaz lutaa nd binadam walivy
Yani kunamwanaume ukimpiga atakukomba mtamaaa ka soce ya. Biliani😂😂😂
Ila Gumbwaa mwehu kweli 😂😂unamtesa mdada mbona wakenya hatupo Ivo kakangu😂😂😂
Hahahah tangia ln wakenya mkawa romantic
Maskini bungwa amekua zezeta wa mapenzi😂
Kwanza ayupo kisanii Wala fan aifai
Sema boncena unachelewesha et
mpende anahekupenda asiyokupenda achananae 🇲🇿
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hili jamaa ni fala sana
Jamani mapenzi yanaumiza❤❤❤❤❤❤
Hyu gumbwa ni mpuzi 😂😂😂😂
Hapo sawa man
ila huyo Tifa anaemtesa mwanetu Gumbwa 😂😂kama ubao
Wanawake wembamba hatar sanaaa😂😂😂
Jaman nyimb ya Nan inayosema maisha yangu
Happy kamtamka😢 France wakee😂😂😂
Kutoka Tajikistan Omar Bay hapa, ni mzuri ila tatizo mzigo munauchelewesha
😂😂😂😂😂😂 Happy kiboko
Series Kali sanaaaa💥💥💥💥💥 mmalize Sasa siyo ibakie njiani
Good job ruta man
G utakuja mkumbuka happy
Yaani nafasi ya Tifa ilitakiwa awe mwanamke mrembo sana ila kwahuyu mh!! Hata hafanani
Mapenzi upofu ndg jiulize mond kaacha pisi ngapi kadata na zuchu 😂 kaa kwa kutulia
yaan mtu from no where anakupiga kibao duh😂
Nimechelewa kua wakwanza ila so mbaya naombeni like zenu
From Maryland American 🇺🇸 🎉🎉🎉
sehemu ya ine inahitajika ruta man
Ruta man Kwanini umetoka kwa kichecheman
Gumbwa huyo tifa anakukula tuu ila hakupendiiii
Wakwanza naombeni like zangu
𝐇𝐚𝐩𝐩𝐲❤𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐱𝐚𝐧 𝐲𝐚𝐧
Wanaumee tunaopambana tunapitia mengii😭😭
Ati tifa mbona hana nyash😂😂😂
Bungwa anawafunza mazezeta wa mapenzi
Unajua katika maisha mtu nasasahau fazila
Good job 👏👏👏
Sanaaa Rutta man, you are the best 💯
uyu dada ratfa nimxeng kbxa yahan wanangu wakunishabekia mnipe sapoti
Nataman amjuwe Shem wake ndo dem anaemlilia mapenz shikamoo😂😂
Huyu mkaka ako emotional😢 anapendeza team love bite nawakubali
Ruta man unakuja moto sana tunaomba usipoe leta vitu jamii ipone❤❤
Gumbo mpende happy
uyo ni tifa wa mchogo luta tulete tifa wetu
From 🇰🇪....mombasa ❤❤❤❤❤
Jamani luta umepigaje hapo kw mwanafunz wa chuo😂😂😂😂😂😂😂😂😂,yani umempa shoti ya ghfla😂😂😂😂😂😂😂😂
Ruta kitombiiiii😂😂😂😂
Tifa..........
Bryan mbona unaumiza rusta man
Mwanamke wa hivyo jaman
Gumbwa hata sku moja hamzagamuan wala hamuonyeshan fraha kwel
Mwanamke kweli akupenda kweli akusafisha hadi pesa ya kula hakuachi nayo😢😢😢
Movie wamecheza vzr lkn uyo jamaa mjinga anakomalia manzi ambae ampendi 😂 duuh
Mbemuebue muxavamushyamba ryari tubkne shenge kombona mufite ubuiru bukomeye mukomere cyane abomulishenge ilove you ♥️ ❤❤❤❤❤
❤❤🎉🎉🎉🎉kazi nzuri sana lutaman