LOVE BITE 《03》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 409

  • @NabiiYakobo
    @NabiiYakobo 4 месяца назад +52

    Uyu dada tifa mbwa kabisa wanao nikubali nipeni lake zangu 50 tu

    • @SethAlasrdjuma
      @SethAlasrdjuma 2 месяца назад

      @@NabiiYakobo tena ka tifa kenyewe shoboo kabaya, yaani hako ata kabure sikapendi

  • @MorningStarTz1234
    @MorningStarTz1234 4 месяца назад +6

    Jamn me nimsanii pia wa mziki wa bongo flavour naitaji sapot zene wadau

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 4 месяца назад +16

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 4 месяца назад +9

    Maskini gumbwa njoo kwangu nipo single mimi sitaki hela

  • @cyprianwamalwa428
    @cyprianwamalwa428 4 месяца назад +10

    Unafatilia dem Hana mbele wala nyuma😂😂😂, yani mtulinga hana kabisaa

    • @AshaAlly-mo6bd
      @AshaAlly-mo6bd 4 месяца назад

      Licha ya mtulinga.. Hana ata Shep.. Mwembamba kama mwiko wa pilau 😂😂😂😂😂😂

    • @cyprianwamalwa428
      @cyprianwamalwa428 4 месяца назад

      @@AshaAlly-mo6bd mwambie sikuizi hatuwapi wanawake hela

  • @DeboraMwabeza
    @DeboraMwabeza 4 месяца назад +8

    Wa kwanz mm jomon luta man juuuu juuuuuuuu sn🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ramadhaniharidi1682
    @ramadhaniharidi1682 4 месяца назад +8

    Dah mapenzi haya jaman,unaye mpenda kampenda mwingi kwako anachuka chapa ilale tu..🚲🚲🚲

  • @AmosPaul-qg9lq
    @AmosPaul-qg9lq 4 месяца назад +13

    Mbwa mm na wewe tunaendana😂😂😂 like zangu kwa kuunga kaul hii

  • @JamilaNduta
    @JamilaNduta 4 месяца назад +24

    Jamani hata mm naombani like

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 4 месяца назад +9

    Wanawake wwngine bna kazi kweli pesa kwanza kweli na wanaume sisi ni noma

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 4 месяца назад +1

      Poleni😂😂😂😂

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 4 месяца назад +13

    Tuko pamoja shikilia hapohapo mnakuja vizuri

  • @KheryMdowe
    @KheryMdowe 4 месяца назад +9

    NC mungu akubrk🎉🎉😂😂

  • @MaalimSaid-jg9eg
    @MaalimSaid-jg9eg 4 месяца назад +9

    Wa tano kutoka Kenya ❤️❤️❤️❤️

  • @trufenaodongo7999
    @trufenaodongo7999 4 месяца назад +7

    Anapenda asiekupenda nae anapenda asiempenda data kweli dunia sasa mapenzi pesa

  • @EliacyTz-qj9uy
    @EliacyTz-qj9uy 4 месяца назад +7

    Sina cha kusem brother ila hich ndo unacho sitahili 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EmmanuelWandera-wg5bw
    @EmmanuelWandera-wg5bw 4 месяца назад +9

    leo wa kwanza toka kenya

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 4 месяца назад +6

    mwanaume gani hujui kukataliwa mpk vibao unapigwa kisa kupenda 😆

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 4 месяца назад

      Aki nimeumia sana😢😢😢

  • @victorngombo9934
    @victorngombo9934 4 месяца назад +4

    Am enjoying from kaloleni giriama

  • @leonardmanga2676
    @leonardmanga2676 4 месяца назад +4

    asee huyu jamaa saivi ni 🔥🔥wa kuotea mbali sana

  • @RUTAMANTZ
    @RUTAMANTZ 4 месяца назад +76

    Nawa kubari man mnao nisapoti man❤❤❤❤ LOVE BITE

    • @StarOman-js5nn
      @StarOman-js5nn 4 месяца назад +3

      Yaan hii filam mchezaji ni Rutaman tu wengne bado mkaze but mnarudiarudia maneno mfuatiliji wenu from oman 🇴🇲 😊

    • @NdongaBoy-hy2qg
      @NdongaBoy-hy2qg 4 месяца назад +1

      Luta man

    • @MarthaMkasi
      @MarthaMkasi 4 месяца назад +1

      Tunakusapot man

    • @rajabuhamzambagonyonge3257
      @rajabuhamzambagonyonge3257 4 месяца назад +1

      Tuko pamoja Sana tukupe maua 🎉🎉 yako

    • @husnamudhakiru1527
      @husnamudhakiru1527 4 месяца назад

      Kula chuma hicho man🌹🌹🌹

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 4 месяца назад +18

    Msinibishie nmba 1 from Oman 🇴🇲 like sihitaji

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 3 месяца назад +1

    Rutha thé best from Congo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @japhetmweke52
    @japhetmweke52 4 месяца назад +6

    ENHEEEEEEEEEEEEEEEEE LEOOOOOOOOOO MNIPEEEEEE LIKEEEEEEE ZANGUUUUU JAMANIIII HATA KAMA NI KUMII TUUUU 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @Clever_tz
    @Clever_tz 4 месяца назад +12

    Wa kwnza like zngu naomba😢😢😂

    • @AhmedA-zw3jv
      @AhmedA-zw3jv 4 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 4 месяца назад +34

    First today like zenu jamani🎉❤

  • @alikassim8894
    @alikassim8894 4 месяца назад +1

    Mbwa ni mbwa kweli chukua hype ule hype.

  • @HPZAYOZA
    @HPZAYOZA 4 месяца назад +35

    Leo wakwaza kama unamkubali ruta man naomba like na comment zenu.

    • @Shekhkisofa
      @Shekhkisofa 4 месяца назад

      Naitaj hiii nyimbo ya hiiii movie

  • @georgenzaikombe8367
    @georgenzaikombe8367 4 месяца назад +1

    Hii series ya love bite happy ndo inaifanya kua tamu sana, Alf happy n mrembo saana nilitamani nimsifie toka series ya mgeni wa kijiji na pia kwenye series ya Risky lkn leo mmmmh acha nimpe mau yake 🌹🌹🌹 happy dadangu unaweza zidi kuongeza bidii sister much love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 4 месяца назад +1

    Movie nzuri sana master nawakubali kinoma noma 🎉🎉🎉

  • @Dr_Cayden_Official
    @Dr_Cayden_Official 4 месяца назад +4

    Courage sana❤❤❤

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 4 месяца назад +1

    Npee peteeee yanguuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @MwisaKambale-jw5qi
    @MwisaKambale-jw5qi 4 месяца назад +1

    Uyuu happy kwanza sasa jicho langu lita muangaliya namaanisha nitamufatiliya mpaka mwisho wake naona anafika mbali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Fredmsemw
    @Fredmsemw 4 месяца назад +3

    G acha ushamba demu uyo Hana mapenzi na wewe

  • @JosephMakutano
    @JosephMakutano 3 месяца назад

    Pole sana man unayo yapitia na kaz ya ulinzi 🙏 nakukubar sana kwa movie zako

  • @ScholaMalale
    @ScholaMalale 4 месяца назад +1

    Huyo tifa mwenyewe sasa 😂😂😂😂😂

  • @NdongaBoy-hy2qg
    @NdongaBoy-hy2qg 4 месяца назад +1

    Ruta man usibadilishe uhusika wako man mana unanikosha mani unavyolalamika mani😂😂😂❤ Love bite

  • @CharlieQ-pj6xy
    @CharlieQ-pj6xy 4 месяца назад

    Gubwa......mjinga wewe🤣🤣😂😂😂😂 mapenzi wewe aky🥰🥰😘😘🥰😍

  • @rajrama6048
    @rajrama6048 3 месяца назад

    Sasa kila mmoja anaomba like hyo ndo support ya movie au inakuwaje

  • @absoirahmed5302
    @absoirahmed5302 4 месяца назад

    Boncena AKA roota man, ongera sana, kaza hi ni international ( inafanya vizuri saana ). Na tunaikubali, tunaipokea hi zawadi...big up man

  • @frj2016
    @frj2016 2 месяца назад +1

    Mwanamke kama happy yupo yeye tu

  • @SethAlasrdjuma
    @SethAlasrdjuma 2 месяца назад

    Tunawapenda wanao tuumiza nawanao tupenda tuna waumiza

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel 3 месяца назад

    Bado. Ujalia unacho mfanyia mwenzio nawewe unafanyiwa vivo. Hivo

  • @MathiasjidendeyJidendey
    @MathiasjidendeyJidendey 4 месяца назад +1

    Jaman mpenz yana tesa wat sana huyu kaka mmmh

  • @erastopascal
    @erastopascal 2 месяца назад

    Nipo na BAISA PATRICK 😂😂😂😂HAMNA MWANAUME AMBAE HANA HELA

  • @guinelaorestebuchirm
    @guinelaorestebuchirm 4 месяца назад

    Much love from mueda cabo Delgado we miss you dears brothers

  • @bernadethayamwaka1365
    @bernadethayamwaka1365 4 месяца назад

    SEMA Baisa Anajua sanaaa yani kwenye uganga alipita 100% kwenye risky 100% umu na ubishoo wake vile bado anafanya safi dah aje tu Kenyaa ❤❤❤

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 4 месяца назад +1

    Happy hongera dada😂😂😂tulishapitia hayo ila sasa tumefokasi na maisha mapenzi shikamooo nko pale Kenya 🇰🇪

  • @nestor15nestorius81
    @nestor15nestorius81 4 месяца назад

    ❤❤❤❤ nawa Kubali man endelea

  • @BenLaw_2003
    @BenLaw_2003 4 месяца назад +1

    Nataka Pete yanguu ❤️❤️❤️

    • @JOHARI422
      @JOHARI422 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @IssaHamisi-tf1bf
    @IssaHamisi-tf1bf 4 месяца назад

    ❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas ruthaaaaaaaamaaaaaaaan

  • @MuhsinJamal-og4xn
    @MuhsinJamal-og4xn 4 месяца назад

    Daaah kaz lutaa nd binadam walivy

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel 3 месяца назад

    Yani kunamwanaume ukimpiga atakukomba mtamaaa ka soce ya. Biliani😂😂😂

  • @RaymahEast
    @RaymahEast 4 месяца назад

    Ila Gumbwaa mwehu kweli 😂😂unamtesa mdada mbona wakenya hatupo Ivo kakangu😂😂😂

  • @ZoyaAli-qy3tg
    @ZoyaAli-qy3tg 4 месяца назад +1

    Maskini bungwa amekua zezeta wa mapenzi😂

  • @AbasiHassani-h5c
    @AbasiHassani-h5c 3 месяца назад

    Kwanza ayupo kisanii Wala fan aifai

  • @ParlaxyPandenga-jm1gc
    @ParlaxyPandenga-jm1gc 4 месяца назад +1

    Sema boncena unachelewesha et

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad 3 месяца назад

    mpende anahekupenda asiyokupenda achananae 🇲🇿

  • @LawcoTv
    @LawcoTv 4 месяца назад

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MengiNdahani-p7q
    @MengiNdahani-p7q 4 дня назад

    Hili jamaa ni fala sana

  • @Rajabumayue
    @Rajabumayue 3 месяца назад

    Jamani mapenzi yanaumiza❤❤❤❤❤❤

  • @SalamaFrancis-yg7sr
    @SalamaFrancis-yg7sr 4 месяца назад +1

    Hyu gumbwa ni mpuzi 😂😂😂😂

  • @bonnymuia
    @bonnymuia 4 месяца назад

    Hapo sawa man

  • @mustafampande173
    @mustafampande173 4 месяца назад

    ila huyo Tifa anaemtesa mwanetu Gumbwa 😂😂kama ubao

  • @IbrahimKirway
    @IbrahimKirway 4 месяца назад

    Jaman nyimb ya Nan inayosema maisha yangu

  • @Asia-dq3rt
    @Asia-dq3rt 4 месяца назад

    Happy kamtamka😢 France wakee😂😂😂

  • @BOB17_OJO
    @BOB17_OJO 4 месяца назад +1

    Kutoka Tajikistan Omar Bay hapa, ni mzuri ila tatizo mzigo munauchelewesha

  • @MiltonBalingum
    @MiltonBalingum 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 Happy kiboko

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 4 месяца назад

    Series Kali sanaaaa💥💥💥💥💥 mmalize Sasa siyo ibakie njiani

  • @AshaIssa-jr4ln
    @AshaIssa-jr4ln 4 месяца назад

    Good job ruta man

  • @Riziki-y7x
    @Riziki-y7x 4 месяца назад +1

    G utakuja mkumbuka happy

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 4 месяца назад

    Yaani nafasi ya Tifa ilitakiwa awe mwanamke mrembo sana ila kwahuyu mh!! Hata hafanani

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 4 месяца назад

      Mapenzi upofu ndg jiulize mond kaacha pisi ngapi kadata na zuchu 😂 kaa kwa kutulia

  • @mikefanuely6836
    @mikefanuely6836 4 месяца назад

    yaan mtu from no where anakupiga kibao duh😂

  • @NgomekeLivavi
    @NgomekeLivavi 4 месяца назад +2

    Nimechelewa kua wakwanza ila so mbaya naombeni like zenu

  • @KabulimboElie
    @KabulimboElie 3 месяца назад

    From Maryland American 🇺🇸 🎉🎉🎉

  • @PatrickNakashanja
    @PatrickNakashanja 4 месяца назад

    sehemu ya ine inahitajika ruta man

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 4 месяца назад +1

    Ruta man Kwanini umetoka kwa kichecheman

  • @Kahdijaali-ug8ky
    @Kahdijaali-ug8ky 4 месяца назад

    Gumbwa huyo tifa anakukula tuu ila hakupendiiii

  • @duniasaidi-n1j
    @duniasaidi-n1j 4 месяца назад +2

    Wakwanza naombeni like zangu

  • @HaxxanySamba
    @HaxxanySamba 3 месяца назад +1

    𝐇𝐚𝐩𝐩𝐲❤𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐱𝐚𝐧 𝐲𝐚𝐧

  • @mirajidrissa9139
    @mirajidrissa9139 4 месяца назад +1

    Wanaumee tunaopambana tunapitia mengii😭😭

  • @paschaljulius6323
    @paschaljulius6323 4 месяца назад +1

    Bungwa anawafunza mazezeta wa mapenzi

  • @SuleimanMohd-og9bc
    @SuleimanMohd-og9bc 4 месяца назад

    Unajua katika maisha mtu nasasahau fazila

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL46 4 месяца назад

    Good job 👏👏👏

  • @LOVINENTERTAINMENT6
    @LOVINENTERTAINMENT6 4 месяца назад

    Sanaaa Rutta man, you are the best 💯

  • @yusuphAsman
    @yusuphAsman 4 месяца назад

    uyu dada ratfa nimxeng kbxa yahan wanangu wakunishabekia mnipe sapoti

  • @neemamichael-iv3jp
    @neemamichael-iv3jp 4 месяца назад

    Nataman amjuwe Shem wake ndo dem anaemlilia mapenz shikamoo😂😂

  • @Nyanchama-c1n
    @Nyanchama-c1n 4 месяца назад

    Huyu mkaka ako emotional😢 anapendeza team love bite nawakubali

  • @HoseaChanga
    @HoseaChanga 4 месяца назад

    Ruta man unakuja moto sana tunaomba usipoe leta vitu jamii ipone❤❤

  • @Odreille
    @Odreille 4 месяца назад

    Gumbo mpende happy

  • @JoyNekesa-s4s
    @JoyNekesa-s4s 5 дней назад

    uyo ni tifa wa mchogo luta tulete tifa wetu

  • @hamisimaningi4758
    @hamisimaningi4758 4 месяца назад

    From 🇰🇪....mombasa ❤❤❤❤❤

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 4 месяца назад

    Jamani luta umepigaje hapo kw mwanafunz wa chuo😂😂😂😂😂😂😂😂😂,yani umempa shoti ya ghfla😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 4 месяца назад

    Ruta kitombiiiii😂😂😂😂

  • @CharlieQ-pj6xy
    @CharlieQ-pj6xy 4 месяца назад

    Tifa..........
    Bryan mbona unaumiza rusta man

  • @aminielsaidi8015
    @aminielsaidi8015 4 месяца назад

    Mwanamke wa hivyo jaman

  • @Kahdijaali-ug8ky
    @Kahdijaali-ug8ky 4 месяца назад

    Gumbwa hata sku moja hamzagamuan wala hamuonyeshan fraha kwel

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 4 месяца назад

    Mwanamke kweli akupenda kweli akusafisha hadi pesa ya kula hakuachi nayo😢😢😢

  • @JaphetNestory-pu6lg
    @JaphetNestory-pu6lg 4 месяца назад

    Movie wamecheza vzr lkn uyo jamaa mjinga anakomalia manzi ambae ampendi 😂 duuh

  • @DeborahFuraha-ho4yk
    @DeborahFuraha-ho4yk 4 месяца назад

    Mbemuebue muxavamushyamba ryari tubkne shenge kombona mufite ubuiru bukomeye mukomere cyane abomulishenge ilove you ♥️ ❤❤❤❤❤

  • @halimahassan1930
    @halimahassan1930 4 месяца назад

    ❤❤🎉🎉🎉🎉kazi nzuri sana lutaman