WAKILI MWABUKUSI AMVAA IGP WAMBURA NA KUTANGAZA MSIMAMO MZITO KUHUSU MANDAMANO ATOA SIKU 30
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Watu wanajua kuongea point ila mwabukusi amezidi tuache utan
Your brave ma of God,may Lord protect you both.
Asante mwabukusi🙏🏻
Sema baba maan wabunge kazi yao ni kupiga makofi tuuu.
Tunachelewa sana kuitoa CCM madarakani
God bless you
Yaani tungepata watu 10 kama huyu jamaa serikalini hata wasingeenda kubembeleza mikopo na kuingia mikataba ya hovyo kama huu wa matapeli wanaofahamika kwa jina la (DPW) dubai port world
Uyu jamaa kapewa nguvu ya Mungu kulikomboa taifa
"nitafika, ili kama ni uchochezi nikuchochee na wewe uuone ukweli.....", "hata ukiwa na njaa kiasi gani huwezi kuuza kaburi la baba yako...."! IQ kubwa, maneno mazit, (strong statements)!
Kuna kitu najiuliza hapa kumbe mungu alitupa watu mhimu sana katika nchi yetu japo walikuwa hawajionyeshi! Ona kama huyu jamaa hili la bandari lisingetokea nisingemuona wala kumsikia! Daaaa mungu akulinde sana
Ameen
Kaka kwamsimamo wako ungekua mwanajeshi namini mpasasa ingekua ushatangaza nchi ipo mikononi mwa jeshi unauzalendo sana nainchi
Ninampa dokta slaa uraisi, mwabukusi Wazirimkuu,mbowe mwenyekiti,tindulisu waziri wa ushirikiano wa mataifa,
Kitambo sana tungekua na Amani na maisha ya hali fulana ivi ya kipupwe kama ya wala rushwa Wa kijani
❤❤❤😂😂😂
@@danielachayoAchayoTundu Lisu Mwanasheria Mkuu wa nchi ,Lema Waziri wa Mambo ya ndani,Sugu Waziri wa Michezo na burudani.Msingwa Waziri wa mambo ya nje.Heche Waziri wa Ulinzi n.k
Kweli kabisa
Maandamano kwani lini hebu tuambieni viongozi wetu tufanye kazi
Utaweza kweli ww au unasema 2
@@KassimAlly-xp4dz kwani kinashindikana nini? Mbona wengine wameweza wana nini?
tutaenda
Kwanza Mwabukusi na Slaa na Mdude na wote wanaotetea rasilimali za Tanganyika wangepaswa wapewe mshahara mnono kwa kazi bora kabisa wanayofanyia taifa hili kile baba na babu zetu walikufa kupigania Tanganyika ndicho wanachofanya leo miaka 62 na ushee ya uhuru...hawa watabaki kwenye vitabu historia kama mashujaa wa Tanganyika kwa kusimama imara kutetea raslimali zetu kwa miaka mingi
Ingekua Vizuri Sana Wanao Bishana na hoja za Mwabukusi Wamjibu Hadharani kama hivi Tuwaone.
Kaka hizi hoja zimeenda PHD ni ngumu ww wa chama tawala kuzijibu
Kwa aliye Timamu Akilini ndio ataona Huyu kama hajui anachokizungunza. Akili NI Mali Yaani Mikataba zaidi ya 100 DP WORLD tena Nchi Kubwa Duniani, then unahoji. Sasa hatujui hawa anaowavuta nao pia ni Vibubusa ama Wana elimu ya mabukuni. Vichwa vibovu.
@@kitosiohuna akili hata kidogo.
@@kitosioww kitobo kweli hiyo mikataba inafanana na huu?
@@kitosiohiyo mikataba yao uliona inafanana na huu ,mkataba unaozalilisha Sheria zetu zionekane hazifai
Huyu jamaa ana akili kubwa sana, moja ya watu best sana katika taifa hili! Be protected by God sir adv mwambukusi
Dear God, thank you for Mwabukusi🥰🥰🥰🥰
Uyu jamaa Mungu kamtuma aisaidie Tanzania anavyoongea iyo sio akili ya kibinadamu
Mungu awayangulie kabisa Mimi nilikua ccm,kwa habari ya unyang'anyi ,nimehama kabisa ,na sasa Mimi ni mtanganyika
Hahaaaa
Nikweli. Huyu jamaa sio yeye.
Sure
Kabisa ndugu, hawa watu ukijiuliza hapo nyuma walikuwa wapi unashindwa pata jibu. Mwenyezi MUNGU kamwinua huyu jamaa IQ kubwa sana.
Mwabuksi anahoja kuntu, zinaeleweka 100% na anajihamini Sana ,, excellent brother keep it up
Mwamba umerud tena nimefurai saaana kamanda
Pamoja na taaluma ya sheria uliyonayo nimeona hofu ya Mungu ndani yako..
kumbe elimu bila ucha Mungu sawa na chekechea tu.
Sms sifa zote za kuwa hata kiongozi mkuu wa nchi. Ni jasiri, anajitambua, ana uzalendo, ni mchapa kazi, ana hofu ya Mungu na ni msomi wa kiwango cha juu cha kutisha na umri wake unaruhusu pia. He could be the next president japo hilo linaweza kutishia uhai wake zaidi. Hatuko tayari kumpoteza ni hazina
Nakukubali sana brother, yani kwenye hayo mandamano watu tujitokeze
Yambie ukweli hayo mashetani hayana huruma na wananchi yanashibisha matumbo Yao Kuliko masilai ya taifa.
Wajinga hawataisha duniani. Mtu anatetea mali ya ichi ety wanamtukana, ninaamini mungu yuko upande wetu tutashinda.
Mungu akubariki sana. Ujasiri huo wakutaka na kusimamia haki unampendeza sana Mungu, na atakulinda pamoja na wote mliosimama kutetea nchi yetu.
Kweli kabisa
Ni watu wachache sana wanaweza ongea ivyo bila maslahi Yao kuwa mbele ,barikiwa sana mtu wa mungu
😂😂😂😂
Kweli kabisa
Huyu jama tumpe ulaisi jamn
GOOD YAANI MWABUKUSI UMETUFUNGUA UBONGO SISI WANANCHI DAH ASANTE SANA MUNGU AKUPE NGUVU. IN GOD WE TRUST 🙏🙏🙏
PRESIDENT IN THE MAKING.
Very smart, intelligent, brave and true patriotic citizen.
We love you Mwabukusi. We support you
P1
Ss niwakati wakuhoji mikataba yote ya serikali sio bandari tu
Hizi ni hoja za kizalendo sana zinapaswa kujibiwa kwa hoja,,na kama nchi tukubaliane twende pamoja
Baba pole sana ninakubali sana mpendwa wetu najivunia kama Magufuli yupo asante sana Mungu akupe nguvu najisikia faraja sana mudude siraha nawengine wote wanao pinga mkataba huu ni Madudu mwenyewe napinga hilo takataka hilo
MPAKAHUU UCHAFU UFUTWE NDIO TUTANYAMAZA
Ooh lord ..thanks for this man,,protect him,,Amen
🙏
Huyu Mwabukusi Mungu alimshukia Tanzania Kwa sababu maalumu. Mungu Jehovah akulinde, damu ya Yesu ikanene mema siku zote na Kwa vizazi vyako vyote.
Yaan nimelia machoz yafuraha kwa maombi yako machoz yangu yakasafishe njia zake zote kaka yetu mwabukus
Nakupenda sanaa kaka uzalendo unao sanaa he MUNGU baba tunakuomb mlinde uyu muona maonoo ya badae maan sisi wa afrika tunasubiria pak matatizo ya toke alfu tuanze kulaumu tu yani tutakuwa manyumbwi ahadi lini jamani
Mwambukusi waambie hao , Maana wao wameendelea kudharau wananchi na kuendelea kutekeleza limkataba wao na hii si bure ni kwa maslahi yao binafsi
Mungu akulinde uko viziri kaka
You’re true sons of Afrika. You deserve recognition. Africans will always remember you guys. Mko mstari wa mbele kutetea mali za Afrika.
Big up👍
Tuondoe LAANA katika malango ya bandari. Tumekuelewa Waikili wetu msomi
Jamaa wewe una akiri kubwa sanaa, namuomba MUNGU akutunze sana unafaa Kuwa raisi wetu kabisa MUNGU kakuinua makusudi akina risu,mbowe na wengine wote hawakifikii wallah you're a genius
Ubarikiwe Sana Kaka mwabukusi kajunjumile tuko
Wale wengine nao ni wapigania madaraka tu. Wanataka kwenda ikulu.
Huyu yeye hana haja hiyo bali kutetea nchi
Mimi niko tayari kuchangia fedha ili kesi na mapambano yasonge mbele. Kwanza naumia maana hata kifo cha JPM sikielewi hadi leo.
Kweli kakaka tuamkeeee
hata mimi niko tayari kuchangia gharama
Hata Mimi sielewi
Hata Mimi pia tachangia
Tumelal SNA watanzania kuna unyama wa Hali yajuu
teteni taifa letu niyakwetu sio ya warabuu
Utaifa wetu mbele pesa badaye.
Nchi yetu kwanza nchi nyingine badaye.
Maslahi yetu kwanza ya wengine badaye.
Uzalendo kwanza mengine badaye
💪
Asante kama Mwabukusi
Watanzania tuko makini tunawaelewa Sana Mungu awalinde we are together
Huu ni muungano wa CCM na Zamzibar sasa tunataka muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Nimekuelewa!
@@sylvestercameo6263hakuna cha muungano,tunataka Tanganyika na bendera yake,pamoja na chama chetu cha TANU
Watu wote tukumbuke jambo moja muhimu sana.
Hapa tulipo tunaandika historia ya kipekee katika historia ya bandari zetu hapa Tanzania.
Kila MHUSIKA wa wakati huu ataandikwa kwenye kitabu.
Kila nafsi itahukumiwa kwa dhamira yake mzuri au yenye hila za chinichini za kuipenda pasa zaidi au kutanguliza utaifa mbele.
Historia ya taifa letu inaandikwa sasa na vizazi vyetu vitavuna matunda ya kazi hii tunayofanya sasa hivi.
Hitoria itatuhukumu.
True
Tunafurahi sana Kwa ujasiri wenu, Mungu katika Kristo Yesu Awatunze.
Tuko pamoja kaka
Histotia itatuhukumu.
Vizazi vyetu vitatuhukumu hakika.
Dunia itatuhukumu mbele ya safari na
Hata Mungu atatuhukumu kwa dhamira zetu. Yeye anaona kila kitu
Naomba yapigwe na radi yafekabisa hayo mafisadi yanayo iumiza nchi yeti
Naomba nishauli:Tufanye open debate pale kwa mkapa opposer side mwambusi kushoto na proposers side kulia zijibiwe hoja tu! Watu tujae km simba day vile..hii tuiite mikataba day
Wahamasishaji;Manara & ahmed all….lupasoo inajaa
Sema tanzania sio kwamba hatuna wasomi wa kujivunia ila tunawasomi wabinafc. Na tuna wasomi wezi
Imepita hiyo brother nakukubali sana.
Baba tumekubali uko vizuri hoja zako zina mashiko sana
Mungu akutumie zaidi kwa ajili ya manufaa ya taifa hili (Tanzania)
Ni kweli maandamano siyo uhaini. Tumekuelewa. Tuko nyuma yako Mwabukusi.
Tuko tayari kuandamana huu ni uhuni kuendelea kupelekeshwa na chekacheka na kundi lake🙏🙏🙏🙏🙏
Andamaneni tuone basi makelele tushachoka mukale virungu huko mukauguze majeraha na hao mwakubusi hawatatokabwala wake zao na watoto wao mutapata taabu sana. Hii ni siyasa
ni kujisumbua tu! Wambura hana elimu ya kuweza kuchambua maswala magumu kama hayo!! yeye mwambie habari ya kukamata majambazi tu!! haya mambo unayo ongea ni mlima mrefu sana kwa Mheshimu Wambura!!
"Tuchome vichaka." NCHI YETU YENYE RASLIMALI ZA KILA AINA ingekua vingozi wenye pure spirit kama ya MWAKABUSI;; hakuna taifa ambalo lingefanana TANZANIA.
Tunachowaomba ndugu wakili msomi mzalendo tunaomba huo mkataba mtuchapishie ukiwa na tafsiri ya kiswahili Kisha mtugawie nakala kwenye iyo mikutano mitatu tutachangia gharama ya machapisho Ili tuanze kuwabana wabunge waetu wote kabla ya uchaguz
Mhe Mabukuzi wewe ni jembe Unatukuna na uwezo wako mkubwa tukiwa miongoni mwa Sauti ya Wananchi Wewe na Dr Slaa mkiwa VIONGOZI Hakika IQ kubwa zenu zinahitajika sana kwa maendeleo ya Taifa
Yap jembe part 2,nilisema chembechembe za magu ziko ndani yake,sawa na Elisha na Eliya kwenye biblia Elia alivomwachia Elisha vazi lake,Mungu hatowaaacha hakika kwa kweli mliosimama nayo na atawapigania
Kuhusu mikataba mibovu ya rasilimali za Tanganyika niko tayari kuandamana asubuhi na mapema
Victory belongs to God
2025 Gombea urais ndugu yetu wa kweli na wahaki unastahili kututetea maana tumenyanyasika miaka elfu na elfu.
●Dr Slaa ni BALOZI ktk mioyo ya WaTanzania.
Tatizo tulio wenge wa tanzania hatuna elim mliobahatika tuwabebe wasio kua na elim
Baba kura yangu ya urais nakupa nitatunga na wimbo Baba mimi ni mwimbaji
Mungu muweza yote atuunganishe tanzania ni yetu sote,tuungane kulinda urithi wetu.
Uzalendo wako umejidhihirisha wazi. Uko tayari hata kuifia Tanzania yako. Hilo si jambo dogo la kubeza. Utaenziwa kwa ujasiri huo. Ni watu wachache sana tena sana wenye moyo kama wewe hapa Tanzania.
Mungu akulinde na maadui zako. Mungu ajuaye dhamira ya siri ya moyo wa mwanadamu na akulinde na maadui zako wote.
Navunja nguvu zote za giza juu yako in Jesus name…..amen.
Mwabukusi ktk ubora wa hoja siyo wale waanjawanja wa kuiba raslimali za Inchi yetu!
Mwenyezi Mungu anapofunga mlango mdogo anafungua mlango mkubwa zaidi na wenye baraka zaidi kama waliviomfanyia Dr. Slaa bila kutafakari zaidi. Wanaofikiri wanamdhalilisha Dr. slaa kwa kumfutia hadhi ya ubalozi wawaze mara mbili zaidi.
Jamani hili jambo litainua mambo ya ajabu kwa nini lisifutwe? Huyu ndugu ana hoja za msingi. Magufuli yuko wapi tu ee. Mungu😔😔😔😔
Hoja gani ya msingi ss
@@Kasonadi-hp1lv kwani unaelewaje uelewa wa waeleweshwaji? Kiburi , nguvu, ubabe, dharau, ujinga, meno ya watafuniwa, uzembe, bangi, uendawazimu, matumbo, familia, maroho machafu, kuwahi, kulazimishwa, nguvu ya kuendesha miradi iliyobaki, haja ya watu wachache, watafuna nchi, shamba la bibi, usanii. Wewe unadhani hoja ni nini kwani? Anyway hiyo haraka ya nini? Kuwahi kipindi au😏😏
@@Kasonadi-hp1lv asiye na macho au akili na asiseme kitu. Wewe Unachefua tu
MUNGU KASEMA KWENYE QURAN UKIONA HAKI YAKO INADHURUMIKA ZUIA KWA MIKONO YAKO, KWA ULIMI WAKO NA KWENYE IMANI DHAIFU WASONEKE KWENYE NAFSI ZAO. PIA KASEMA MWANADAMU NIMEMUUMBA NA UTASHI KUSUDI ACHUNGUZE KILA JAMBO KABLA YA KUTENDA.
Hizi hoja c za kitoto mzeeh, powerful mind
Tuambieni lin tuandamane tupo tayali💪🏻💪💪💪💪
Siku 30 ni nyingi ungewapa siku2tu tumkamate huyu mama na kikwete watueleze mkataba Gani usio na ukomo
Iyo imeenda
Mungu akulinde umetumiwa na Mungu
Tunaweza kutoka hapa tulipo endapo kila mtu atasimama imara katika kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.
Mbona hatumuone Lisu mbowe hapo tangu mwanzo je mpo pamoja au kunachama kigeni naona tangu mwanzo viongozi wachadema sijawai waona kabisa kwenye hilo je limekaeje
Akina Lisu ni wana chama wa kisiasa. Hawa ni wanaharakati. Ni wazalendo wenye uchungu km mimi na wewe bila kusubiria chama . Vyama vitakuja mbele ya safari
Huoni wapo bize na mikutano ya hadhara na wakiwa kule kule wanaendelea kupinga huo mkataba kwaiyo wapo pamoja mpaka kieleweke 😃
Subutu andamaneni muone ingelikua hii kampuni ingekua ni ya wakristo mungesema nyinyi munataka kuleta fujo hamtaki amani munapenda machafuko
Hauwezi kuzuia tusiandamane.
Wew acha usenge wako wa udini mwabukusi ni mtetezi wa tanganyika
OVYOOOO
mwabukusi is very intelligent in construction effective arguments. Mungu akulinde sana brother nakuheshimu sana
Halafu kule MBEYA mlimazanaje vile??? Maana povu linakutoka sana. RUDI TENA MAHAKAMANI.
WAMEPORA TITLE TUMEBAKI NA RESPECT💪💪💪
JPM alijitokeza hadharani na kuonyesha nia ya kweli ya kupambana na tatizo la mikataba inayoiumiza nchi iliyokuwa imeingiwa na watangulizi wake, akaenda zake. Dalili ya kurudisha mikataba ya aina hiyo inaonekana inarudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hatuna JPM wa kuipinga, tunafanyaje? Asante Mwabukusi na wenzako kujitokeza kuchukua jukumu alilochukua JPM, kama nanyi mtawnda zenu sawa, Mungu ataendelea kuwainua akina JPM na akina Mwabukusi wengine wa vizazi vijavyo. Peace and love!!
Hawaendi popote in Jesus name. Mungu atawalinda hadi mshuhudie kazi ya Mungu ikisimama juu ya ardhi yetu. Mungu na awe mlinzi the wao dhidi ya adui zao
Asante kwa kutuelimisha.
Tumeelewa Kukataa mkataba siyo uhaini.
Na kutetea rasilimali za taifa ni haki ya kila mwananchi. Kuandamana ni sehemu ya kueleza hisia na siyo uhaini wala kosa kisheria swbabu Katina inaruhusu watu kuandamana kwa amani.
Mwambukisi. Wewe ni nabii wa sheria. Ulikuwa wapi, hadi tunazama. Tuokoe.
Huyo jamaa aliwahi kupigiwa debe Sana na KANISA ILI ASHINDE URAIS. Wakati Mtaafu RAIS KIKWETE. yaani tulimgaragaza YEYE NA KANISA. SASA MNAMLETA TENA.haya karibu uone show
MUNGU,HUYU NI KIONGOZI WETU,MRUHUSU AJE KUTUONGOZA.KAMA VILE MUSA,IBRAHIM,YUSUF,YESU,SASA NI MWABUKUSI,SLAA,MDUDE NA WENGINE,MUNGU WARUHUSU WATUONGOZE.
Hafi mtu yoyote hapa kutoka 15:3 kutoka 14:14
Wale Marsha Iko wa Dubai World wamekimbia kutoa maoni humu, Nadhani mnawajua. Wanaoshabikia turudi UTUMWANI mwa waOmani, waSaudia, waIran, etc
Hakika 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 inawatu wanaojielewa Sana.Mungu tutazane kwajicho lahuruma watanzania🙏🙏🙏
Amina
Mungu tupe ujasiri kama huo
mwabukusi MWENYEZI MUNGU AKUPE KILA LA HERI NA AKUONDOLEE KILA LA SHALIPAMOJA SANA
Ningekuwa kiongozi kama Waziri mkuu/Rais, ningewaita hawa watu Ofsini kwangu halafu ndio nikaongea nao uso kwa macho na kuchukua Madini yao 🤫🤗😂😂😂😂😂😂😂
Mumewekea hapo na Mungu mtutetee sisi na rasilimali zetu. Mungu auweke mkono wake juu yenu. Nyie ndio kina Daud wa leo.
Bandari yenu na Nani labda na babaako
Uyujamaa hojazake mbona za msingi pili za kutafsiri sheria..hatakama nimzito wakuelewa hojazake zaidi yakuelimisha.
Jahbles Mwabukusi. Tupo pamoja kabisa
Mwabukusi mwana wa Afrika. The true son of Africa.
Tunajivunia kuwa na mtanzania kama wewe, msomi mwelewa na mzalendo wa ukweli, siyo kwa maneno bali kwa vitendo.
CCM mtaleta vita fuata sheria sio kuvunja Sheria kuandamana haki ya msingi mpwa wangu IGP Angalia sheria inasemaje kuhusu mandamano wewe ni mshauri wa Rais shauri Sheria kwa haki Haki ndio inazaa Amani mnayosema tulipataje Uhuru bila kumwaga damu tufanye Siasa bila kumwaga damu CCM mtaleta Vita Tusifike huko !!
Mfumo unaoongoza nchi yetu ubadilike. Mfumo huu wa kumlinda Rais na chawa wake basi ufutwe.
Tanganyika tutaungana Kudai katiba mpya
Waromani cathoric tupo tumekaa tunasubilia kanisa litatuelekeza nini ili tufanye. Maana tunamuamini Yesu zaidi kuliko mfalme Herode. Hii CCM tumeishaichoka hakuna namna.
Muacheni muheshimiwa rais afanye maendeleo . Mbona wa Zanzibar hatusemi kitu. Mambo tele yamefanyika huku visiwani tunakaa kimya