WAKILI MWABUKUSI AMVAA IGP WAMBURA NA KUTANGAZA MSIMAMO MZITO KUHUSU MANDAMANO ATOA SIKU 30

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Комментарии • 784

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 Год назад +35

    Watu wanajua kuongea point ila mwabukusi amezidi tuache utan

  • @marykisege2670
    @marykisege2670 Год назад +7

    Your brave ma of God,may Lord protect you both.

  • @skylevelmedia7581
    @skylevelmedia7581 Год назад

    Asante mwabukusi🙏🏻

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Год назад +2

    Sema baba maan wabunge kazi yao ni kupiga makofi tuuu.

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Год назад +5

    Tunachelewa sana kuitoa CCM madarakani

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Год назад

    God bless you

  • @Asamtz360
    @Asamtz360 Год назад +3

    Yaani tungepata watu 10 kama huyu jamaa serikalini hata wasingeenda kubembeleza mikopo na kuingia mikataba ya hovyo kama huu wa matapeli wanaofahamika kwa jina la (DPW) dubai port world

  • @raphaelkorio2435
    @raphaelkorio2435 Год назад +33

    Uyu jamaa kapewa nguvu ya Mungu kulikomboa taifa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +26

    "nitafika, ili kama ni uchochezi nikuchochee na wewe uuone ukweli.....", "hata ukiwa na njaa kiasi gani huwezi kuuza kaburi la baba yako...."! IQ kubwa, maneno mazit, (strong statements)!

  • @edwardmagige3187
    @edwardmagige3187 Год назад +28

    Kuna kitu najiuliza hapa kumbe mungu alitupa watu mhimu sana katika nchi yetu japo walikuwa hawajionyeshi! Ona kama huyu jamaa hili la bandari lisingetokea nisingemuona wala kumsikia! Daaaa mungu akulinde sana

  • @saidmapoi9402
    @saidmapoi9402 Год назад +26

    Kaka kwamsimamo wako ungekua mwanajeshi namini mpasasa ingekua ushatangaza nchi ipo mikononi mwa jeshi unauzalendo sana nainchi

    • @danielachayoAchayo
      @danielachayoAchayo Год назад +3

      Ninampa dokta slaa uraisi, mwabukusi Wazirimkuu,mbowe mwenyekiti,tindulisu waziri wa ushirikiano wa mataifa,

    • @frankezakayo4447
      @frankezakayo4447 Год назад +2

      Kitambo sana tungekua na Amani na maisha ya hali fulana ivi ya kipupwe kama ya wala rushwa Wa kijani

    • @thomaskiponda6079
      @thomaskiponda6079 Год назад +1

      ❤❤❤😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      ​@@danielachayoAchayoTundu Lisu Mwanasheria Mkuu wa nchi ,Lema Waziri wa Mambo ya ndani,Sugu Waziri wa Michezo na burudani.Msingwa Waziri wa mambo ya nje.Heche Waziri wa Ulinzi n.k

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад

      Kweli kabisa

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f Год назад +23

    Maandamano kwani lini hebu tuambieni viongozi wetu tufanye kazi

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 Год назад +18

    Kwanza Mwabukusi na Slaa na Mdude na wote wanaotetea rasilimali za Tanganyika wangepaswa wapewe mshahara mnono kwa kazi bora kabisa wanayofanyia taifa hili kile baba na babu zetu walikufa kupigania Tanganyika ndicho wanachofanya leo miaka 62 na ushee ya uhuru...hawa watabaki kwenye vitabu historia kama mashujaa wa Tanganyika kwa kusimama imara kutetea raslimali zetu kwa miaka mingi

  • @shukurukwake7447
    @shukurukwake7447 Год назад +43

    Ingekua Vizuri Sana Wanao Bishana na hoja za Mwabukusi Wamjibu Hadharani kama hivi Tuwaone.

    • @NicholausLaurent-t6x
      @NicholausLaurent-t6x Год назад +6

      Kaka hizi hoja zimeenda PHD ni ngumu ww wa chama tawala kuzijibu

    • @kitosio
      @kitosio Год назад +1

      Kwa aliye Timamu Akilini ndio ataona Huyu kama hajui anachokizungunza. Akili NI Mali Yaani Mikataba zaidi ya 100 DP WORLD tena Nchi Kubwa Duniani, then unahoji. Sasa hatujui hawa anaowavuta nao pia ni Vibubusa ama Wana elimu ya mabukuni. Vichwa vibovu.

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 Год назад +2

      ​@@kitosiohuna akili hata kidogo.

    • @desolz3809
      @desolz3809 Год назад +2

      ​@@kitosioww kitobo kweli hiyo mikataba inafanana na huu?

    • @victorcharlesmwakikoti7764
      @victorcharlesmwakikoti7764 Год назад +3

      ​@@kitosiohiyo mikataba yao uliona inafanana na huu ,mkataba unaozalilisha Sheria zetu zionekane hazifai

  • @vicentdaud2632
    @vicentdaud2632 Год назад +28

    Huyu jamaa ana akili kubwa sana, moja ya watu best sana katika taifa hili! Be protected by God sir adv mwambukusi

  • @libinalukumai
    @libinalukumai Год назад +13

    Dear God, thank you for Mwabukusi🥰🥰🥰🥰

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn Год назад +44

    Uyu jamaa Mungu kamtuma aisaidie Tanzania anavyoongea iyo sio akili ya kibinadamu

    • @danielachayoAchayo
      @danielachayoAchayo Год назад +3

      Mungu awayangulie kabisa Mimi nilikua ccm,kwa habari ya unyang'anyi ,nimehama kabisa ,na sasa Mimi ni mtanganyika

    • @gazzomaster9462
      @gazzomaster9462 Год назад

      Hahaaaa

    • @frankezakayo4447
      @frankezakayo4447 Год назад +1

      Nikweli. Huyu jamaa sio yeye.

    • @desolz3809
      @desolz3809 Год назад

      Sure

    • @marianmartin7483
      @marianmartin7483 Год назад +1

      Kabisa ndugu, hawa watu ukijiuliza hapo nyuma walikuwa wapi unashindwa pata jibu. Mwenyezi MUNGU kamwinua huyu jamaa IQ kubwa sana.

  • @barakapaschal2530
    @barakapaschal2530 Год назад +11

    Mwabuksi anahoja kuntu, zinaeleweka 100% na anajihamini Sana ,, excellent brother keep it up

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Год назад +14

    Mwamba umerud tena nimefurai saaana kamanda

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Год назад +9

    Pamoja na taaluma ya sheria uliyonayo nimeona hofu ya Mungu ndani yako..
    kumbe elimu bila ucha Mungu sawa na chekechea tu.

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад

      Sms sifa zote za kuwa hata kiongozi mkuu wa nchi. Ni jasiri, anajitambua, ana uzalendo, ni mchapa kazi, ana hofu ya Mungu na ni msomi wa kiwango cha juu cha kutisha na umri wake unaruhusu pia. He could be the next president japo hilo linaweza kutishia uhai wake zaidi. Hatuko tayari kumpoteza ni hazina

  • @ThadeoJohn-or2uw
    @ThadeoJohn-or2uw Год назад +9

    Nakukubali sana brother, yani kwenye hayo mandamano watu tujitokeze

  • @YoneKeyz-gy4ml
    @YoneKeyz-gy4ml Год назад +8

    Yambie ukweli hayo mashetani hayana huruma na wananchi yanashibisha matumbo Yao Kuliko masilai ya taifa.

  • @aronlwabukoba2306
    @aronlwabukoba2306 Год назад +18

    Wajinga hawataisha duniani. Mtu anatetea mali ya ichi ety wanamtukana, ninaamini mungu yuko upande wetu tutashinda.

  • @yambazykaratta3793
    @yambazykaratta3793 Год назад +9

    Mungu akubariki sana. Ujasiri huo wakutaka na kusimamia haki unampendeza sana Mungu, na atakulinda pamoja na wote mliosimama kutetea nchi yetu.

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Год назад +27

    Ni watu wachache sana wanaweza ongea ivyo bila maslahi Yao kuwa mbele ,barikiwa sana mtu wa mungu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Год назад +20

    GOOD YAANI MWABUKUSI UMETUFUNGUA UBONGO SISI WANANCHI DAH ASANTE SANA MUNGU AKUPE NGUVU. IN GOD WE TRUST 🙏🙏🙏

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +6

    PRESIDENT IN THE MAKING.
    Very smart, intelligent, brave and true patriotic citizen.
    We love you Mwabukusi. We support you

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Год назад +5

    Ss niwakati wakuhoji mikataba yote ya serikali sio bandari tu

  • @King_186
    @King_186 Год назад +5

    Hizi ni hoja za kizalendo sana zinapaswa kujibiwa kwa hoja,,na kama nchi tukubaliane twende pamoja

  • @edisonsanga5288
    @edisonsanga5288 Год назад +11

    Baba pole sana ninakubali sana mpendwa wetu najivunia kama Magufuli yupo asante sana Mungu akupe nguvu najisikia faraja sana mudude siraha nawengine wote wanao pinga mkataba huu ni Madudu mwenyewe napinga hilo takataka hilo

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Год назад +5

    MPAKAHUU UCHAFU UFUTWE NDIO TUTANYAMAZA

  • @hildakabate2569
    @hildakabate2569 Год назад +22

    Ooh lord ..thanks for this man,,protect him,,Amen

  • @mariakisole288
    @mariakisole288 Год назад +5

    Huyu Mwabukusi Mungu alimshukia Tanzania Kwa sababu maalumu. Mungu Jehovah akulinde, damu ya Yesu ikanene mema siku zote na Kwa vizazi vyako vyote.

    • @severinmmassy7627
      @severinmmassy7627 Год назад

      Yaan nimelia machoz yafuraha kwa maombi yako machoz yangu yakasafishe njia zake zote kaka yetu mwabukus

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад +8

    Nakupenda sanaa kaka uzalendo unao sanaa he MUNGU baba tunakuomb mlinde uyu muona maonoo ya badae maan sisi wa afrika tunasubiria pak matatizo ya toke alfu tuanze kulaumu tu yani tutakuwa manyumbwi ahadi lini jamani

  • @idumethomasbahebe
    @idumethomasbahebe Год назад +11

    Mwambukusi waambie hao , Maana wao wameendelea kudharau wananchi na kuendelea kutekeleza limkataba wao na hii si bure ni kwa maslahi yao binafsi

  • @NovatJoseph-g1w
    @NovatJoseph-g1w Год назад +8

    Mungu akulinde uko viziri kaka

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +15

    You’re true sons of Afrika. You deserve recognition. Africans will always remember you guys. Mko mstari wa mbele kutetea mali za Afrika.
    Big up👍

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +1

    Tuondoe LAANA katika malango ya bandari. Tumekuelewa Waikili wetu msomi

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Год назад +7

    Jamaa wewe una akiri kubwa sanaa, namuomba MUNGU akutunze sana unafaa Kuwa raisi wetu kabisa MUNGU kakuinua makusudi akina risu,mbowe na wengine wote hawakifikii wallah you're a genius

    • @alexlazoro3530
      @alexlazoro3530 Год назад +1

      Ubarikiwe Sana Kaka mwabukusi kajunjumile tuko

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад +1

      Wale wengine nao ni wapigania madaraka tu. Wanataka kwenda ikulu.
      Huyu yeye hana haja hiyo bali kutetea nchi

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Год назад +19

    Mimi niko tayari kuchangia fedha ili kesi na mapambano yasonge mbele. Kwanza naumia maana hata kifo cha JPM sikielewi hadi leo.

  • @JacksonEmmanuel-zi5zt
    @JacksonEmmanuel-zi5zt Год назад +3

    teteni taifa letu niyakwetu sio ya warabuu

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +4

    Utaifa wetu mbele pesa badaye.
    Nchi yetu kwanza nchi nyingine badaye.
    Maslahi yetu kwanza ya wengine badaye.
    Uzalendo kwanza mengine badaye
    💪
    Asante kama Mwabukusi

  • @jacobonaftari8082
    @jacobonaftari8082 Год назад +17

    Watanzania tuko makini tunawaelewa Sana Mungu awalinde we are together

  • @mwlekartiesmwankenja3602
    @mwlekartiesmwankenja3602 Год назад +7

    Huu ni muungano wa CCM na Zamzibar sasa tunataka muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Год назад

      Nimekuelewa!

    • @danielachayoAchayo
      @danielachayoAchayo Год назад

      ​@@sylvestercameo6263hakuna cha muungano,tunataka Tanganyika na bendera yake,pamoja na chama chetu cha TANU

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +9

    Watu wote tukumbuke jambo moja muhimu sana.
    Hapa tulipo tunaandika historia ya kipekee katika historia ya bandari zetu hapa Tanzania.
    Kila MHUSIKA wa wakati huu ataandikwa kwenye kitabu.
    Kila nafsi itahukumiwa kwa dhamira yake mzuri au yenye hila za chinichini za kuipenda pasa zaidi au kutanguliza utaifa mbele.
    Historia ya taifa letu inaandikwa sasa na vizazi vyetu vitavuna matunda ya kazi hii tunayofanya sasa hivi.
    Hitoria itatuhukumu.

  • @TwageMwafubo
    @TwageMwafubo Год назад +36

    Tunafurahi sana Kwa ujasiri wenu, Mungu katika Kristo Yesu Awatunze.

  • @NdaroBoniface-m2e
    @NdaroBoniface-m2e Год назад +14

    Tuko pamoja kaka

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +2

    Histotia itatuhukumu.
    Vizazi vyetu vitatuhukumu hakika.
    Dunia itatuhukumu mbele ya safari na
    Hata Mungu atatuhukumu kwa dhamira zetu. Yeye anaona kila kitu

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso Год назад +1

    Naomba yapigwe na radi yafekabisa hayo mafisadi yanayo iumiza nchi yeti

  • @ludovickvedastus3979
    @ludovickvedastus3979 Год назад +1

    Naomba nishauli:Tufanye open debate pale kwa mkapa opposer side mwambusi kushoto na proposers side kulia zijibiwe hoja tu! Watu tujae km simba day vile..hii tuiite mikataba day
    Wahamasishaji;Manara & ahmed all….lupasoo inajaa

  • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
    @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Год назад +6

    Sema tanzania sio kwamba hatuna wasomi wa kujivunia ila tunawasomi wabinafc. Na tuna wasomi wezi

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Год назад +7

    Imepita hiyo brother nakukubali sana.

  • @samwelipetro3097
    @samwelipetro3097 Год назад +7

    Baba tumekubali uko vizuri hoja zako zina mashiko sana

  • @BenedictoTegezya-se8lc
    @BenedictoTegezya-se8lc Год назад +24

    Mungu akutumie zaidi kwa ajili ya manufaa ya taifa hili (Tanzania)

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +1

    Ni kweli maandamano siyo uhaini. Tumekuelewa. Tuko nyuma yako Mwabukusi.

  • @barnabasdaud-qm1rw
    @barnabasdaud-qm1rw Год назад +10

    Tuko tayari kuandamana huu ni uhuni kuendelea kupelekeshwa na chekacheka na kundi lake🙏🙏🙏🙏🙏

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад

      Andamaneni tuone basi makelele tushachoka mukale virungu huko mukauguze majeraha na hao mwakubusi hawatatokabwala wake zao na watoto wao mutapata taabu sana. Hii ni siyasa

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 Год назад +2

    ni kujisumbua tu! Wambura hana elimu ya kuweza kuchambua maswala magumu kama hayo!! yeye mwambie habari ya kukamata majambazi tu!! haya mambo unayo ongea ni mlima mrefu sana kwa Mheshimu Wambura!!

  • @frankezakayo4447
    @frankezakayo4447 Год назад +2

    "Tuchome vichaka." NCHI YETU YENYE RASLIMALI ZA KILA AINA ingekua vingozi wenye pure spirit kama ya MWAKABUSI;; hakuna taifa ambalo lingefanana TANZANIA.

  • @AndrewAmon-nl9qg
    @AndrewAmon-nl9qg Год назад +1

    Tunachowaomba ndugu wakili msomi mzalendo tunaomba huo mkataba mtuchapishie ukiwa na tafsiri ya kiswahili Kisha mtugawie nakala kwenye iyo mikutano mitatu tutachangia gharama ya machapisho Ili tuanze kuwabana wabunge waetu wote kabla ya uchaguz

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Год назад +11

    Mhe Mabukuzi wewe ni jembe Unatukuna na uwezo wako mkubwa tukiwa miongoni mwa Sauti ya Wananchi Wewe na Dr Slaa mkiwa VIONGOZI Hakika IQ kubwa zenu zinahitajika sana kwa maendeleo ya Taifa

    • @ElipendoElias-no6ki
      @ElipendoElias-no6ki Год назад

      Yap jembe part 2,nilisema chembechembe za magu ziko ndani yake,sawa na Elisha na Eliya kwenye biblia Elia alivomwachia Elisha vazi lake,Mungu hatowaaacha hakika kwa kweli mliosimama nayo na atawapigania

  • @DanielPanga-fi9om
    @DanielPanga-fi9om Год назад +2

    Kuhusu mikataba mibovu ya rasilimali za Tanganyika niko tayari kuandamana asubuhi na mapema

  • @iddimoshi8459
    @iddimoshi8459 Год назад +13

    Victory belongs to God

  • @Magenibundala-nx8xe
    @Magenibundala-nx8xe Год назад +1

    2025 Gombea urais ndugu yetu wa kweli na wahaki unastahili kututetea maana tumenyanyasika miaka elfu na elfu.

  • @Werema3760
    @Werema3760 Год назад +13

    ●Dr Slaa ni BALOZI ktk mioyo ya WaTanzania.

  • @JabirAnnael
    @JabirAnnael Год назад +2

    Tatizo tulio wenge wa tanzania hatuna elim mliobahatika tuwabebe wasio kua na elim

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf Год назад +5

    Baba kura yangu ya urais nakupa nitatunga na wimbo Baba mimi ni mwimbaji

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Год назад +18

    Mungu muweza yote atuunganishe tanzania ni yetu sote,tuungane kulinda urithi wetu.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +2

    Uzalendo wako umejidhihirisha wazi. Uko tayari hata kuifia Tanzania yako. Hilo si jambo dogo la kubeza. Utaenziwa kwa ujasiri huo. Ni watu wachache sana tena sana wenye moyo kama wewe hapa Tanzania.
    Mungu akulinde na maadui zako. Mungu ajuaye dhamira ya siri ya moyo wa mwanadamu na akulinde na maadui zako wote.
    Navunja nguvu zote za giza juu yako in Jesus name…..amen.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Год назад +12

    Mwabukusi ktk ubora wa hoja siyo wale waanjawanja wa kuiba raslimali za Inchi yetu!

  • @benedictmwaibasa2856
    @benedictmwaibasa2856 Год назад +5

    Mwenyezi Mungu anapofunga mlango mdogo anafungua mlango mkubwa zaidi na wenye baraka zaidi kama waliviomfanyia Dr. Slaa bila kutafakari zaidi. Wanaofikiri wanamdhalilisha Dr. slaa kwa kumfutia hadhi ya ubalozi wawaze mara mbili zaidi.

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Год назад +15

    Jamani hili jambo litainua mambo ya ajabu kwa nini lisifutwe? Huyu ndugu ana hoja za msingi. Magufuli yuko wapi tu ee. Mungu😔😔😔😔

    • @Kasonadi-hp1lv
      @Kasonadi-hp1lv Год назад

      Hoja gani ya msingi ss

    • @mbuyaelyaoni6266
      @mbuyaelyaoni6266 Год назад +1

      @@Kasonadi-hp1lv kwani unaelewaje uelewa wa waeleweshwaji? Kiburi , nguvu, ubabe, dharau, ujinga, meno ya watafuniwa, uzembe, bangi, uendawazimu, matumbo, familia, maroho machafu, kuwahi, kulazimishwa, nguvu ya kuendesha miradi iliyobaki, haja ya watu wachache, watafuna nchi, shamba la bibi, usanii. Wewe unadhani hoja ni nini kwani? Anyway hiyo haraka ya nini? Kuwahi kipindi au😏😏

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад +1

      @@Kasonadi-hp1lv asiye na macho au akili na asiseme kitu. Wewe Unachefua tu

  • @mohamedzambo1511
    @mohamedzambo1511 Год назад +1

    MUNGU KASEMA KWENYE QURAN UKIONA HAKI YAKO INADHURUMIKA ZUIA KWA MIKONO YAKO, KWA ULIMI WAKO NA KWENYE IMANI DHAIFU WASONEKE KWENYE NAFSI ZAO. PIA KASEMA MWANADAMU NIMEMUUMBA NA UTASHI KUSUDI ACHUNGUZE KILA JAMBO KABLA YA KUTENDA.

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x Год назад +4

    Hizi hoja c za kitoto mzeeh, powerful mind

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Год назад +2

    Tuambieni lin tuandamane tupo tayali💪🏻💪💪💪💪

    • @danielachayoAchayo
      @danielachayoAchayo Год назад +1

      Siku 30 ni nyingi ungewapa siku2tu tumkamate huyu mama na kikwete watueleze mkataba Gani usio na ukomo

    • @wilsonandlea8614
      @wilsonandlea8614 Год назад

      Iyo imeenda

  • @ZedekiNyagawa
    @ZedekiNyagawa Год назад +6

    Mungu akulinde umetumiwa na Mungu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Год назад +13

    Tunaweza kutoka hapa tulipo endapo kila mtu atasimama imara katika kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад +2

    Mbona hatumuone Lisu mbowe hapo tangu mwanzo je mpo pamoja au kunachama kigeni naona tangu mwanzo viongozi wachadema sijawai waona kabisa kwenye hilo je limekaeje

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 Год назад

      Akina Lisu ni wana chama wa kisiasa. Hawa ni wanaharakati. Ni wazalendo wenye uchungu km mimi na wewe bila kusubiria chama . Vyama vitakuja mbele ya safari

    • @MwigaKatumpula-mi3zt
      @MwigaKatumpula-mi3zt Год назад

      Huoni wapo bize na mikutano ya hadhara na wakiwa kule kule wanaendelea kupinga huo mkataba kwaiyo wapo pamoja mpaka kieleweke 😃

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Год назад +1

    Subutu andamaneni muone ingelikua hii kampuni ingekua ni ya wakristo mungesema nyinyi munataka kuleta fujo hamtaki amani munapenda machafuko

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +2

    OVYOOOO

  • @robbyartsproduction7606
    @robbyartsproduction7606 Год назад +2

    mwabukusi is very intelligent in construction effective arguments. Mungu akulinde sana brother nakuheshimu sana

  • @ramadhanswalehedahpolesana7102

    Halafu kule MBEYA mlimazanaje vile??? Maana povu linakutoka sana. RUDI TENA MAHAKAMANI.

  • @augustinhopastory1142
    @augustinhopastory1142 Год назад

    WAMEPORA TITLE TUMEBAKI NA RESPECT💪💪💪

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +4

    JPM alijitokeza hadharani na kuonyesha nia ya kweli ya kupambana na tatizo la mikataba inayoiumiza nchi iliyokuwa imeingiwa na watangulizi wake, akaenda zake. Dalili ya kurudisha mikataba ya aina hiyo inaonekana inarudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hatuna JPM wa kuipinga, tunafanyaje? Asante Mwabukusi na wenzako kujitokeza kuchukua jukumu alilochukua JPM, kama nanyi mtawnda zenu sawa, Mungu ataendelea kuwainua akina JPM na akina Mwabukusi wengine wa vizazi vijavyo. Peace and love!!

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад +1

      Hawaendi popote in Jesus name. Mungu atawalinda hadi mshuhudie kazi ya Mungu ikisimama juu ya ardhi yetu. Mungu na awe mlinzi the wao dhidi ya adui zao

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 Год назад +1

      Asante kwa kutuelimisha.
      Tumeelewa Kukataa mkataba siyo uhaini.
      Na kutetea rasilimali za taifa ni haki ya kila mwananchi. Kuandamana ni sehemu ya kueleza hisia na siyo uhaini wala kosa kisheria swbabu Katina inaruhusu watu kuandamana kwa amani.

  • @JaphetMrindoko
    @JaphetMrindoko Месяц назад

    Mwambukisi. Wewe ni nabii wa sheria. Ulikuwa wapi, hadi tunazama. Tuokoe.

  • @ramadhanswalehedahpolesana7102

    Huyo jamaa aliwahi kupigiwa debe Sana na KANISA ILI ASHINDE URAIS. Wakati Mtaafu RAIS KIKWETE. yaani tulimgaragaza YEYE NA KANISA. SASA MNAMLETA TENA.haya karibu uone show

  • @MAZIRAHussein-tc6cq
    @MAZIRAHussein-tc6cq Год назад

    MUNGU,HUYU NI KIONGOZI WETU,MRUHUSU AJE KUTUONGOZA.KAMA VILE MUSA,IBRAHIM,YUSUF,YESU,SASA NI MWABUKUSI,SLAA,MDUDE NA WENGINE,MUNGU WARUHUSU WATUONGOZE.

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Год назад +6

    Hafi mtu yoyote hapa kutoka 15:3 kutoka 14:14

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Год назад

    Wale Marsha Iko wa Dubai World wamekimbia kutoa maoni humu, Nadhani mnawajua. Wanaoshabikia turudi UTUMWANI mwa waOmani, waSaudia, waIran, etc

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Год назад +18

    Hakika 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 inawatu wanaojielewa Sana.Mungu tutazane kwajicho lahuruma watanzania🙏🙏🙏

  • @shanisaid6744
    @shanisaid6744 Год назад

    mwabukusi MWENYEZI MUNGU AKUPE KILA LA HERI NA AKUONDOLEE KILA LA SHALIPAMOJA SANA

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Год назад

    Ningekuwa kiongozi kama Waziri mkuu/Rais, ningewaita hawa watu Ofsini kwangu halafu ndio nikaongea nao uso kwa macho na kuchukua Madini yao 🤫🤗😂😂😂😂😂😂😂

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +2

    Mumewekea hapo na Mungu mtutetee sisi na rasilimali zetu. Mungu auweke mkono wake juu yenu. Nyie ndio kina Daud wa leo.

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru Год назад +1

    Bandari yenu na Nani labda na babaako

  • @ismailmdoe8616
    @ismailmdoe8616 Год назад

    Uyujamaa hojazake mbona za msingi pili za kutafsiri sheria..hatakama nimzito wakuelewa hojazake zaidi yakuelimisha.

  • @cavinjohn-9648
    @cavinjohn-9648 Год назад +5

    Jahbles Mwabukusi. Tupo pamoja kabisa

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +2

    Mwabukusi mwana wa Afrika. The true son of Africa.
    Tunajivunia kuwa na mtanzania kama wewe, msomi mwelewa na mzalendo wa ukweli, siyo kwa maneno bali kwa vitendo.

  • @augustinonestorysasi3683
    @augustinonestorysasi3683 Год назад

    CCM mtaleta vita fuata sheria sio kuvunja Sheria kuandamana haki ya msingi mpwa wangu IGP Angalia sheria inasemaje kuhusu mandamano wewe ni mshauri wa Rais shauri Sheria kwa haki Haki ndio inazaa Amani mnayosema tulipataje Uhuru bila kumwaga damu tufanye Siasa bila kumwaga damu CCM mtaleta Vita Tusifike huko !!

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Год назад

    Mfumo unaoongoza nchi yetu ubadilike. Mfumo huu wa kumlinda Rais na chawa wake basi ufutwe.
    Tanganyika tutaungana Kudai katiba mpya

  • @thomasrichard7465
    @thomasrichard7465 Год назад

    Waromani cathoric tupo tumekaa tunasubilia kanisa litatuelekeza nini ili tufanye. Maana tunamuamini Yesu zaidi kuliko mfalme Herode. Hii CCM tumeishaichoka hakuna namna.

  • @yunussothman7422
    @yunussothman7422 Год назад

    Muacheni muheshimiwa rais afanye maendeleo . Mbona wa Zanzibar hatusemi kitu. Mambo tele yamefanyika huku visiwani tunakaa kimya