MAPENZI NI GAME [ EPISODE 14 ] Love story💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 362

  • @NajimaShabani
    @NajimaShabani 11 дней назад +61

    Mnaicheleweshaaa jmn mpk tunaisahauuu Kam unakubaliana na mm weka likee bs❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 11 дней назад +12

    Maua kayabanangaa yamemkutaa wahenga walisema mwanamke mjinga huvunjaa ndoa yake kwamikono yake mwenyewe wanawake kunachakujifunza hapaa 🙏❤️❤️❤️

  • @FarajaNziku
    @FarajaNziku 11 дней назад +11

    Khaa papi nae kapenda I 😂😂😂 maneno kama yote ili lamama aelewe lakini kisasi hapa hapa duniani nayeye yatamkuta maana anependa 😂😂😂

  • @JescarGirbert
    @JescarGirbert 11 дней назад +9

    Yani humu badala ya kutoa ushauri au kucoment mnakaa kuomba like tu... Basi bhana na mm naomben like zangu 😅

  • @athmansaid-m5i
    @athmansaid-m5i 11 дней назад +6

    Maua mtoto mzuri nakupenda mnooo love you MD romantic.

  • @AllyAhmed44
    @AllyAhmed44 11 дней назад +38

    Ttz hii movie inachelewa sana😢 ila n mzur san big up✌️💯

    • @Hadijawashuma
      @Hadijawashuma 11 дней назад +2

      Kwanza mi hadi niliisahau😢😮😢😮😢😢😮

    • @MamuDavid
      @MamuDavid 11 дней назад

      Kabisaaa inachelew sanaaa jamn mjitahidi kuwahisha

    • @AllyAhmed44
      @AllyAhmed44 11 дней назад

      @@Hadijawashuma kabsa yn

    • @AllyAhmed44
      @AllyAhmed44 11 дней назад

      @@MamuDavid lkn ulimalza movie kwanz kabla ya kuja kwny coment section 🤔🤔🤔😂??

    • @SaidTeritoLaizer
      @SaidTeritoLaizer 11 дней назад

      Hiyo ni kweli kabsa

  • @MenadiPacha-i2v
    @MenadiPacha-i2v 11 дней назад +10

    Kazi nzuri Mungu awatiye nguvu

  • @NamaaAntoni
    @NamaaAntoni 11 дней назад +3

    Mimi wa pili leo naomba laik zangu

  • @ELKAKEMUNTO
    @ELKAKEMUNTO 11 дней назад +31

    Kila mtu Ni Wa Kwanza uku,,,mm Ni Wa pili,,wapi likes zangu

  • @ChichiMackson
    @ChichiMackson 11 дней назад +8

    Fanyien kaz kila mtu kuwalalamikia mnachelewesha hamuoni kua shida hiyo

  • @Asha-t5o
    @Asha-t5o 11 дней назад +9

    Maua. Moyo ukichoka hutoa. Maamuzi.acha. Kikurambe. Uliowaona wana. Thamani Leo. wote. Wamekuruka

  • @KarolinaOman
    @KarolinaOman 11 дней назад +5

    Haaaaaaa ,umenifurahisha pap unachana mstar ,eety hisia zinatengenezwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jamesmayala4523
    @jamesmayala4523 8 дней назад +3

    Hako kawimbo jamn

  • @SohpiaChristian
    @SohpiaChristian 11 дней назад +2

    Movie nzuri sama mnachelewesha Jaman jitaiid

  • @DicksonKiplimo-f4u
    @DicksonKiplimo-f4u 11 дней назад +16

    WA Kwanza Leo mnipee like zangu please 🥺

  • @Riziki.AliSalim
    @Riziki.AliSalim 11 дней назад +5

    Napenda mafundisho yenu 🎉🎉🎉

  • @bilajasho449
    @bilajasho449 11 дней назад +1

    Hivi hizi like mnazoomba nichakula ama

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk 11 дней назад +9

    Papi kumbe unapesa mbona usimsaidie maua na alikuwa akikusaidia kipindi ww ulikuwa huna nikwel ukipendewa pesa na zikiiaha penzi limeisha papi ww Mungu akuone

  • @JabiriMiraji
    @JabiriMiraji 11 дней назад +1

    Kaka hongera sana hii move ninzuri mno ubarikiwe

  • @MariamuAkonaay
    @MariamuAkonaay 11 дней назад +19

    Mimi wa nwishooo Sasa staki shobo za like

  • @EstherIrakoze-d6w
    @EstherIrakoze-d6w 11 дней назад +12

    Na mimi wakwanza kutoka burundi tujuane

  • @tereciahm8741
    @tereciahm8741 11 дней назад +9

    Niuzie hio simu maua❤

  • @christinasimon2861
    @christinasimon2861 8 дней назад +1

    Mwanaume siku zote sio ndugu yako ndiyo maana tumeambiwa tukae nao Kwa akili upo nyonyo 😂

  • @DeboraSangaya
    @DeboraSangaya 9 дней назад +2

    pole nmejifunza kitu kwako madiya❤❤❤❤

  • @MohamediShirazy
    @MohamediShirazy 11 дней назад +1

    King noely mnaichelewesha sana hii move ni tamu sana

  • @MamiiJeamy
    @MamiiJeamy 11 дней назад +2

    Yan movie n nzuri lkn shida inachelewa kishe n fupi sana waaa🎉🎉🎉❤❤

  • @mariaowenya8378
    @mariaowenya8378 11 дней назад +1

    Kweli hii ni game of love maua umetisha

  • @PENDODASTANILINJE
    @PENDODASTANILINJE 9 дней назад

    ❤pe🎉ndan sana hii move ila mnachelewesha mauwa umeyadabanga

  • @MerryMgonja
    @MerryMgonja 7 дней назад +1

    Hii movie bn maua alivyokua na noel papi alikua anamtaka sasa ameachwa na yy kaamua ajikatae 🤣

  • @Tiffany-l5e
    @Tiffany-l5e 10 дней назад

    Kweli kabisa move nzur hadi nzuri tena shida nikuchelewesha rekebisheni hyo kitu

  • @Tice_tz
    @Tice_tz 11 дней назад +1

    Kazi nzuriiii kaka nimependa natamni nijiunge n nyie sem nd hiv,nawaombea tu ndugu zangu

  • @SimonMaiko-g2m
    @SimonMaiko-g2m 11 дней назад +4

    Kwakweri munacherewesha kutuma munakaa muda murefuu Sana

  • @MamuDavid
    @MamuDavid 11 дней назад +1

    Kingine move inakaa mda mrefu kipande kimojaaa papiii anajieleza.sanaa matunyima vipande vingine

  • @RachelBakari
    @RachelBakari 5 дней назад

    Jmn kama unaungana na mm gonga like,, Noel n handsome 😋 jmn

  • @MerryMgonja
    @MerryMgonja 7 дней назад +1

    Sijui hii movie inafurahisha au inahudhunisha 😊😢

  • @paulmweleli9140
    @paulmweleli9140 11 дней назад +2

    Mapenzi n game 🔥Papi pink😂

  • @RuhumurizaJohn-h8z
    @RuhumurizaJohn-h8z 8 дней назад +1

    Mbona hii movie inachelewa sana jameni

  • @JosephMlasu
    @JosephMlasu 4 дня назад

    Daaaa!! Fundisho kubwa Sana kwenemaisha🙏🙏

  • @DiegoHddacosta
    @DiegoHddacosta 9 дней назад

    Kazi nzuri hata kama inaenda slow mpambana donta tv munatisha

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 7 дней назад +1

    Umeyatakaulimfanyiya maovu

  • @MagrethAdam
    @MagrethAdam 8 дней назад +1

    Kwakua inachelewa kutoka weken B's ht dakika 50

  • @ElizabertCosmas
    @ElizabertCosmas 10 дней назад

    Jamani mbona mnatuachia pazuri alafu mnatoa mojamoja uhondo unabakia njiani shida Nini jaribuni kutoa hata tano Basi Kama mko na Mimi naombeni like🎉🎉🎉

  • @Hassanmalambo
    @Hassanmalambo 11 дней назад +2

    nawapenda nyote mungu awabaliki

  • @godiankipara3759
    @godiankipara3759 11 дней назад +2

    Nzuri kinoma ila vipande vichache

  • @LilyAman-o5f
    @LilyAman-o5f 9 дней назад +1

    Msichelew iv bn

  • @DottoEmmanuely-p7n
    @DottoEmmanuely-p7n 2 дня назад

    Move Kali Sana I'll inachelewa king nakukubali

  • @JosephDismas-f7w
    @JosephDismas-f7w 11 дней назад +5

    1 JD like please ❤🎉🎉🎉

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 11 дней назад

    Waaah nimeisubiria sanaa❤🎉 big up king Noel💪

  • @ChrisantJohn-d3l
    @ChrisantJohn-d3l 10 дней назад

    King nimeupenda msemo wako wa big time nitautumia sana

  • @TresorPaypay
    @TresorPaypay 11 дней назад +3

    Wapili nimimi leo nipeni like zenu

  • @MudyaKapaya
    @MudyaKapaya 10 дней назад

    We papy upo vzuri kwenye mistari dar umetisha mwamba nimekielewa Sana kipande chako big up

  • @EmanuelSayaya
    @EmanuelSayaya 8 дней назад +1

    Maua mh mh mh

  • @jacksonjumanne4934
    @jacksonjumanne4934 11 дней назад +5

    Nakubali sana kaka

  • @VenerandaGabriel
    @VenerandaGabriel 11 дней назад +2

    Mnachelewa sana sisi tunachoka kusubili😢😢

  • @HellenDeus
    @HellenDeus 11 дней назад

    Mpaka tunaisahau jitaidi broo kaz nzur sanaaa Ila mnacheleweshaaa

  • @HappyGerald-c8k
    @HappyGerald-c8k 11 дней назад +1

    Maua hela ya Kula huna ya kulewa unayo? Nimeipenda 🤣🤣

  • @WillyDemakufu
    @WillyDemakufu 10 дней назад

    Tunangoja sana bana hii story n ya kubamba

  • @SamweliJuma-h9x
    @SamweliJuma-h9x День назад

    Mbona mwachelewesha bana ,nafile ilinvio tamu ,alafu mwachewasha ,fanya chapu bana

  • @ShamsaHajj-zq6rz
    @ShamsaHajj-zq6rz 10 дней назад

    Aki mnachelewesha lkn i really love this ❤❤

  • @HassaniAbdallah-s8o
    @HassaniAbdallah-s8o 4 дня назад

    Good work 🤝🤝🤝👏👏👏👏

  • @BeethCharles-p2d
    @BeethCharles-p2d 4 дня назад

    Nikiolewa sitaki utani nitakua makin asanten kwa kutuleyea mov yenye mafunzo

  • @Justinchalamila
    @Justinchalamila 9 дней назад

    Wanaumee tutafute jamn alafu tupunguze kupenda sana

  • @YusufSalah-q1w
    @YusufSalah-q1w 11 дней назад

    Ni mzuri kwa kinawatu kama Hawa hapa duniyani ambao hawabadiliki hata usemeje

  • @Mgodza
    @Mgodza 11 дней назад +2

    Unakaa Sana kwann

  • @ChrisantJohn-d3l
    @ChrisantJohn-d3l 11 дней назад

    King big up kwakweli

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 11 дней назад

    Jamn jirekebishn xx kama mashabk zenu mwatukalisha Sanaa 😢nn mbaya wajmn ila twapwnda sanaa❤❤

  • @zainabKhamisi-v4b
    @zainabKhamisi-v4b 9 дней назад

    Mjitaid bc muwe mnawai kutoa move nzuli sana

  • @FaustiniShija-f7f
    @FaustiniShija-f7f 10 дней назад

    Maua Bado ajasema yaaaan mpaka aseme🤣🤣🤣kazi nzuri

  • @MaryamHassan-l2j
    @MaryamHassan-l2j 11 дней назад

    Kazi nzuri bro

  • @Sabokuyagira
    @Sabokuyagira 11 дней назад

    🎉wanaume kama wanapenda kuingilia waume wenzie hawajuwi kufanya au maamuzi yeyote

  • @makhobiomondi4156
    @makhobiomondi4156 10 дней назад

    Jamani mnaichelewesha sana ila ninzuri sana

  • @IreneRuben-d9z
    @IreneRuben-d9z 9 дней назад

    Nzuri lakini maua uje uchukue dawa yakutoa sugu kwenye vidole

  • @MichaelOmary-z7r
    @MichaelOmary-z7r 11 дней назад

    Mung awatie nguvu ya kufanya vizuri zaid

  • @SalmaIsaa-sm6ky
    @SalmaIsaa-sm6ky 4 дня назад

    Munachelewa Sana kutoa episodi kwa wakati changamkeni kutoa episodi kwa wakati ila mziki upo poa sana

  • @DoriceNamaswa
    @DoriceNamaswa 9 дней назад

    N kwel wanakaa sana

  • @kasongi_mimi7594
    @kasongi_mimi7594 11 дней назад

    Mnachelewesha sana, hadi tunaikatia tamaa!

  • @constanceamina4963
    @constanceamina4963 8 дней назад

    La mama siumuelewe Papi aky 😂😂😂😂😂😂😂

  • @HappynessMathiad
    @HappynessMathiad 11 дней назад +1

    Jamn umejua kumnyoosha maua big up

    • @HappynessMathiad
      @HappynessMathiad 11 дней назад

      Ila t vipande vyenu sehem1 inachukua mda maongez yanakuwa meng

  • @KanezaevelyeneF
    @KanezaevelyeneF 7 дней назад

    Nabapenda❤❤🎉🎉🎉

  • @MaryMwende-r4w
    @MaryMwende-r4w 11 дней назад

    Akh naombeni like ❤❤❤

  • @fatmaubwa-z8s
    @fatmaubwa-z8s 11 дней назад +1

    humu ndani nmekuta majeruhi wengi sana wanaomba like wamekanyagwa vichwa😂😂😂 acha niite gar la wagonjwa😂😂😂

  • @AngelKitomari-q3z
    @AngelKitomari-q3z 11 дней назад

    Nani mwingine ameona tunyonyo twa maua 😂😂😂

  • @LightnessMunisi-z3y
    @LightnessMunisi-z3y 11 дней назад

    Movie nzur san lakn mnachelwsh kurush jamn mjithd mwahsh

  • @ABUUChaz
    @ABUUChaz 11 дней назад

    Fanya kaz king 🤛

  • @WitnessIpetania
    @WitnessIpetania 11 дней назад

    King noel leta nyngne chap iko safi japo inachelewa

  • @ABUBAKARSAMIJI
    @ABUBAKARSAMIJI 5 дней назад

    Mauw ww ni hatar wape v2❤❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @kamanlumu
    @kamanlumu 11 дней назад

    Mnachelewa sana kuitoa

  • @RozPeter-s5z
    @RozPeter-s5z 11 дней назад

    Yaan ngoma droo nimepenta hii movi yani king noeli love u❤❤❤

  • @NahlaNahla-u3w
    @NahlaNahla-u3w 11 дней назад

    Kazi mzuri lkn heee mnaichelewesha sanaa tuu jitahidini kidogo

  • @wambimwambizo3614
    @wambimwambizo3614 11 дней назад +4

    Waoooh❤❤❤

  • @ashakomba8034
    @ashakomba8034 11 дней назад +1

    Wapo wengi haooo ulikua hujui😅😅😅umepigwa apo pole toka ukatafte kszi 😂😂😂😂

  • @JuhhClass
    @JuhhClass 4 дня назад

    Muwe mnatoa muendelezo kwa wakati mnatukata steam mashabiki zenu

  • @IvanGIfanda
    @IvanGIfanda 10 дней назад

    Mpo vzur

  • @YUSUFUKURUPU
    @YUSUFUKURUPU День назад

    Unakoelekea mauwa utajiuza utakuwa zaidi yadanga dadadeki zako

  • @KenedMwansasu-bg9pi
    @KenedMwansasu-bg9pi 8 дней назад

    Sema kweli wanachelesha

  • @TimeAly-z1l
    @TimeAly-z1l 11 дней назад

    pole sana mauwa 😂

  • @BarasellaDama
    @BarasellaDama 11 дней назад +1

    Hii movie ya fundisha Yani mpango wakando Huwa hapendi Bali kuvunja na akivunja huondoka

  • @EzekielJoseph-n7p
    @EzekielJoseph-n7p 11 дней назад

    Majuto ni mjukuu .Mwanamke mjinga huivunja nyumba kw mikono yake mwenyewe❤❤❤❤❤ .Papi nakuona unavyo mwaga misitar😂😂😂😂

  • @paulinajuvence-rn7rz
    @paulinajuvence-rn7rz 11 дней назад

    Movie ni nzuri sana ila wanachelewesha sana

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl 11 дней назад

    King umetisha sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤