🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 6 - JULY 08

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • 🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 6 - JULY 08
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

Комментарии • 31

  • @Battamanagwa
    @Battamanagwa 2 месяца назад +2

    Daaaaa 😢😢 dada Vero hii story asee kwelii Mdharau mwiba......Asiye sikia la mkuu.....Mapenzi upofu .pole sana broo eli

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 2 месяца назад +2

    Yajayo yanauzunisha💔💔💔💔💔💔💔

  • @joycemetili3876
    @joycemetili3876 2 месяца назад +1

    Ooo Mungu wangu 😥😥hii simulizi inahuzunisha..ila ina fundisho kubwa sana kwa vijana. Asante Vero

  • @RosemaryDonald-gu1wh
    @RosemaryDonald-gu1wh 3 месяца назад +9

    Daveronica unatufundisha mamb meng kupitia simlizi

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 3 месяца назад +5

    Shida sio ushamba shida uliambiwa ukabisha ukaleta ujuaji kuna ambao hawapat bahati ya kukutana na watu wlata wa kuwaambia kwamba iki sio sahihi ao tutawaonea huruma sio ww mbishi mjuaji babuu

  • @AlyeBaraka
    @AlyeBaraka 3 месяца назад +7

    Jmn dada Vero nlikuwa naingojea Kwa hamu kipande Cha Leo jmn mwenzako😅

  • @Battamanagwa
    @Battamanagwa 2 месяца назад

    Vijana hapa Kwa Eli asee kunfundixho kubwa xna zaid y xna jmn ..Da Vero Goad Bless u

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 месяца назад +4

    Mm nawez sema. Ivyo km elliy bariki ww ni kichaa. Mana ndugu yk kasha kueleza kila. Kitu na hy ss ivi ndo unayaona lkn bd tu unafahamu

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 3 месяца назад +4

    Hakuna upofu wa mapenzi namna hiyo, upuuzi huo.

  • @ShabaniMerere
    @ShabaniMerere 3 месяца назад +1

    Hiv Hawa vuna daily mbn km matapeli

  • @Zuhuranadadoita
    @Zuhuranadadoita 3 месяца назад

    Asante saaana elibariki

  • @aminamaulid9931
    @aminamaulid9931 3 месяца назад +1

    Nimeskia umesema kutokomeza cm za vitochi🙄 wenyewe vinatusaidia alaf vinakaa na chaji sana da Vero msivitokomeze banaaa😊

  • @QurityAmana
    @QurityAmana 3 месяца назад +1

    Mh simuliz ni nzuli Nina hamu kujua mwisho wa ellybalik n mpnz wak 😮maan kha

  • @PendoMacha-ib6oc
    @PendoMacha-ib6oc 3 месяца назад +2

    Mapenzi ya nyoko🤨😏

  • @Marthafaustine
    @Marthafaustine 3 месяца назад

    Jamani simulizi nimeipenda dada vero

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 3 месяца назад

    jamani huyu kaka anakela kiukweli mtu umemaliza mpaka form six kweli, yaani ameshaambiwa ubishi,ujuaji ndio utakaomponza,sio ushamba ,kinachonikwaza ni kuwa umeelezwa vizuri na huyo kaka,kakueleza vizuri pia kuhusu huyo msichana alivyomuona,lakini wewe umekazana nampenda , nampenda

  • @khorima
    @khorima 3 месяца назад +1

    Wow, dada Veronika today you look delicious, you are sooooooo, soooooo beutiful i. Thebway you have dressed today. Hongera sana MAMA

  • @johnbenben
    @johnbenben 3 месяца назад +1

    Unajua Eli Hana akili Kila ninapo endelea kusikiliza anani chefua siokupenda ni mpumbavu

  • @SleepyGiraffes-hc7mv
    @SleepyGiraffes-hc7mv 3 месяца назад +1

    Ellbarik mjinga😂😂😂

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад

    hii simulizi ni kama ile ya Mercy..boyfriend kamzoelesha haya mambo kisha akawa anatumikishwa na kumpora baba yake

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @mocranaburugi3486
    @mocranaburugi3486 3 месяца назад +1

    Ngoswe penzi kitovu cha uzembe

  • @vee4296
    @vee4296 3 месяца назад

    Eli wewe ni duwanzi

  • @kristinakeneth5657
    @kristinakeneth5657 3 месяца назад

    Da Vero. Kwenye kulipia tovuti yako tuwekee wa nje tuweze kufanya malipo pia @veronnicasimulizi

  • @Battamanagwa
    @Battamanagwa 2 месяца назад

    Daaaaa 😢😢 dada Vero hii story asee kwelii Mdharau mwiba......Asiye sikia la mkuu.....Mapenzi upofu .pole sana broo eli