Chidi na Happy, Ruki na Jude, Tima na Devi - Huba | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 4 июн 2020
- Chidi anamtamani Happy Kabila, akita na matumaini ya kumuoa. Huku, Tima na Devi wanarudiana na kufurahia uda uzito wake Tima, lakini Tima anamtolea siri. Ruki hana wakati wa kumhudumia Rani.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo Развлечения
Huba tamu jmn habalii ya mjinii Tima na devii akii napenda snaah mapenz enu😳♥️♥️♥️
Jaman twawaomba mtuwekee update kila siku huba n tamu etii!!!!
Mbona Km mmeruka juzi niliona tima na roy wamezimia jana mmeonyesha hapa mbona navurugwa I LOVE U MAISHA MAGIC BONGO.
Jamani nandy mwoneee hurum roy plz atakufaa
Yaani tima na devi wananifraishaga sana love
Mhhh jamn leo mbn pambe
Huba tamu jamani ❤
Wow tima mama kijacho tena acha tesa akufe n presha😄😄😄😄
Asante ndani ya Oman hapa
Kama mm
Huhuhu
Meme pia mpenzi wangu waarabu wakintbua nangalia huba namb1 mwanzo kabtha😂😂😂😂🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
km mm my nko uko omani nafatilia huba kinoma
Mashaa Allah muko vizuri
Thanks nilikua naomba Sana Tima aingie naiyo part yke ya mimba na ameingia😀😀😀
Amina nimefurahi wew Asante baba
Afu,nahis mimba si ya devi 😂 patamu hapo
Hakika nafurahi sna kuona huba napenda kuingiza
Mashallah
Napenda kwa tima na devi
Huyu Ruky jamani🤣🤣🤣👐👐
Napenda sehemu ya tima
Napenda sehem yatima najudii
Thanks Dear
Pammoja sana nikiwa türkey 🇹🇷
Mmhhhhh😁😁🤣🤣🤣 huu chidy ananini lakini atakuja kimharibu mtoto wawatu kama alivyo muharibu kibibi tima mama kijacho saa itakuwaaj
Hv hujue Ana mimba ya ukweli siyo maigizo ,sasa nisjue baba k ni nabii😜😜😜😜
😜😜😜😜😜 But kam devi anamashak nae🤨🤨🤔🤔🤔 jamani Tima olewako kam huyo ujauzito sio wa Devi sijuw itakuwaaj Mmmmhhhhh Tesa tesa tesa nakuit mara 3 utawaambia nn watu ikiw Tima ni Mama kijasho alafu bahati mbaya ujauzito uwe ni wa devii sura yako utaiwek wap jamanii saa itakuwaaj???
Jaman leo umeamuwa kutu wekea
Nzuri sanaaaaaaah!
nawapenda tima na dev
Kwani lazima muongee kinge c muongee tuu kiswahili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nice
Ruki😘😘😘👌
Huba 🇺🇸 +1
🤗🤗🤗💝💝💝🥰🥰much love for all reading this comment, God bless you all
Nic
Tupe link ya kwenda kwenye maisha magic bongo app ss huku USA hatuipatu
Ilove you huba
💪💪
Chidy pambana na hali yako
Mbona imeisha chapu jmn
Nzr
Ruki love u
Tumeni full ya dakika 30 zote
asee huba komesha
♥️♥️♥️👍👍👍
Huba ni tamu buanaa... Wale wa Muscat tuonane hapa maana WiFi ya bureeeeee kwa mwarabu😀
😂😂😂😂😂Piga keleleeee
😃😃😃😃
Hahahahha WIFI za bureeee nakwambia wee nikiwa hapa Dubai mambo ni shega ila Huba bwana wana tunyima utamu
Ata aiumi ainamachungu😂
Wacha umbea kila mtu ajue upo mackt
Mbona nikama tima ana mimba ama macho yangu 🤔
Tena inaonyesha ni ya ukwel kabisaaa sio ya kuingizA
Yaukweli wameamua kutuungia juu kwa juu
Tena yaukweli so maaigizo
hubaaa ipo moto
😘😘😘
Chidi🤣🤣
Jamani please twaomba muendelezo kila siku mbona mnakawia huwa
Mmmhh jamani chidy 🤣🤣🤣🤣
Asanteni sana japo kidogo
Tima kwani una mimba nyengine ya Idriss
Wewe Devi chezewa Na tima tu hiyo mimba ata yaeza kua si yako
Mwenyewe ni wasiwasi...atakuja kumbuka rani kumekucha😂
Kabisaaa si yake🤣🤣🤣🤣 yani jmn
😂😂😂chidy
Iko wapi muendelezo
Ruki NAKUPENDAGA. Jaman wanaongalia hubs asilimia kubwa ni wanaoishi oman.basi nauza cream konki👌.judy 🙌😂
Chidi jmn
Nafarijika nikiwa pande za Mascat
Mm pia nko Muscat mpenzi wangu nafarjika waarabu wakintbua naangalia huba mwanzo kbtha😂😂😂😂😂😂👆👆👆👆👆🤳🤳🤳
Na mimi npo mascati
@@rehemand0mwa657 wow 🤗🤗🤗
weuweee timu mashags gonga like tuendelee kusugua hamamu
Tutumieni jmn
Yaan Ruki 😄😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣 chidy
Nandy umerudi kijijini
Hhhh chidi
Duuuu rani polee mumy
Haposasa.devi
Hizi mishepu za hawa mapacha zilikuwa zimenificha wapi wakiwa kijijini
Huba
Tesa..... Tima Ana Mwengine Mjukuu 👌👌🤣🤣
Tesa atatapika Damu maana co povu. Anavyompiga vita Tima wawatu khaaa!!!!!
@@elizabethsebastian2614 ila nadhani si mimba ya dev
@@mgenibakari501 ya judy au
@@mgenibakari501 ya Devi itakuwa aliipata mwanzonii alivyoo kuwa naye mara yakeanza sasa akanyamaza lro ndio amekuwa muwazi kwake unajua atawew ukiwa unaona upo vitani nilazima mambo mengine uyag iche ilikujitetea haliyako na kuilinda pia mimba
Tamuu hiyoo
Devi kichefchefu
We chid far umemuacha kibibi Kaz kuharibu waschana wote ila heko tima jmn ka mimba hako
Mbna mnatubania
Y
Mimba tena
Mwenzangu duh
Mbona tima kama tumbo kuwa jaman
Kwani Tima ana mimba nyingine???
Ndio mbona kubwa tyu ana mimba kweli kweli
@@minnahlove7035
Weeeèe.Mungu amtunzie mdogo wa Fulljunior
@@minnahlove7035 mimba hii ni ya kweli mjamzito kweli huyu tima,ana mimba kabisa
Ana mimba kweli ndo mana imebidi amwambie Dev eti alijua kitambo ni mjamzito lakini hakutaka kumwambia ili tuendelee kufurahia huba😀😀😀
Mbona kafupi
nawapenda tima na dev
Ila huyu jud jmn muongo hatr
Jmni hivi carlos anatumia jna gni ista gram anaejua anifahamishe
Selengo anatumia ilo jina
@@heriethkelvin3655 halina muendelezo maan nimeandika sijamuona