Chidi na Happy, Ruki na Jude, Tima na Devi - Huba | Maisha Magic Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июн 2020
  • Chidi anamtamani Happy Kabila, akita na matumaini ya kumuoa. Huku, Tima na Devi wanarudiana na kufurahia uda uzito wake Tima, lakini Tima anamtolea siri. Ruki hana wakati wa kumhudumia Rani.
    ---
    Endelea kutizama DStv chaneli 160
    Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
    Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
    Instagram: / maishamagicbongo
    Twitter: / maishamagictz
    Facebook: / maishamagicbongo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 111

  • @neemalyakurwa9530
    @neemalyakurwa9530 4 года назад +2

    Huba tamu jmn habalii ya mjinii Tima na devii akii napenda snaah mapenz enu😳♥️♥️♥️

  • @lulufundi2284
    @lulufundi2284 4 года назад +11

    Jaman twawaomba mtuwekee update kila siku huba n tamu etii!!!!

  • @janetkifaru1647
    @janetkifaru1647 4 года назад +4

    Mbona Km mmeruka juzi niliona tima na roy wamezimia jana mmeonyesha hapa mbona navurugwa I LOVE U MAISHA MAGIC BONGO.

  • @ruthmichael2340
    @ruthmichael2340 4 года назад +3

    Jamani nandy mwoneee hurum roy plz atakufaa

  • @elizabeth3d565
    @elizabeth3d565 4 года назад +3

    Yaani tima na devi wananifraishaga sana love

  • @salmadakeffa3171
    @salmadakeffa3171 4 года назад +2

    Mhhh jamn leo mbn pambe

  • @ashaa2768
    @ashaa2768 4 года назад +6

    Huba tamu jamani ❤

  • @mariammwendakazungu5783
    @mariammwendakazungu5783 4 года назад +1

    Wow tima mama kijacho tena acha tesa akufe n presha😄😄😄😄

  • @zainabomer1833
    @zainabomer1833 4 года назад +13

    Asante ndani ya Oman hapa

    • @halimalikutu3790
      @halimalikutu3790 4 года назад

      Kama mm

    • @mariam123mariam6
      @mariam123mariam6 4 года назад

      Huhuhu

    • @aishatanzania1194
      @aishatanzania1194 4 года назад

      Meme pia mpenzi wangu waarabu wakintbua nangalia huba namb1 mwanzo kabtha😂😂😂😂🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

    • @pillkassimwakike2474
      @pillkassimwakike2474 4 года назад

      km mm my nko uko omani nafatilia huba kinoma

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 года назад +1

    Mashaa Allah muko vizuri

  • @neemastephen4245
    @neemastephen4245 4 года назад +8

    Thanks nilikua naomba Sana Tima aingie naiyo part yke ya mimba na ameingia😀😀😀

  • @michaeljulius1813
    @michaeljulius1813 3 года назад +1

    Hakika nafurahi sna kuona huba napenda kuingiza

  • @raihansalum2379
    @raihansalum2379 4 года назад +1

    Mashallah

  • @azizaosman6286
    @azizaosman6286 4 года назад +1

    Napenda kwa tima na devi

  • @cruizk8183
    @cruizk8183 4 года назад +2

    Huyu Ruky jamani🤣🤣🤣👐👐

  • @azizaosman6286
    @azizaosman6286 4 года назад +1

    Napenda sehemu ya tima

  • @elinzaissa1018
    @elinzaissa1018 4 года назад +1

    Thanks Dear

  • @abdullahrashid9750
    @abdullahrashid9750 4 года назад +5

    Pammoja sana nikiwa türkey 🇹🇷

  • @llgg1042
    @llgg1042 4 года назад +14

    Mmhhhhh😁😁🤣🤣🤣 huu chidy ananini lakini atakuja kimharibu mtoto wawatu kama alivyo muharibu kibibi tima mama kijacho saa itakuwaaj

    • @princessshannia4215
      @princessshannia4215 4 года назад +2

      Hv hujue Ana mimba ya ukweli siyo maigizo ,sasa nisjue baba k ni nabii😜😜😜😜

    • @llgg1042
      @llgg1042 4 года назад +2

      😜😜😜😜😜 But kam devi anamashak nae🤨🤨🤔🤔🤔 jamani Tima olewako kam huyo ujauzito sio wa Devi sijuw itakuwaaj Mmmmhhhhh Tesa tesa tesa nakuit mara 3 utawaambia nn watu ikiw Tima ni Mama kijasho alafu bahati mbaya ujauzito uwe ni wa devii sura yako utaiwek wap jamanii saa itakuwaaj???

  • @khairatsuleimam2664
    @khairatsuleimam2664 4 года назад +1

    Jaman leo umeamuwa kutu wekea

  • @deborajohn930
    @deborajohn930 4 года назад +1

    Nzuri sanaaaaaaah!

  • @reusiashamte6818
    @reusiashamte6818 4 года назад +3

    nawapenda tima na dev

  • @tontourassa5110
    @tontourassa5110 4 года назад +3

    Kwani lazima muongee kinge c muongee tuu kiswahili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @issakizito5396
    @issakizito5396 4 года назад

    Nice

  • @rachaelmwanje6331
    @rachaelmwanje6331 4 года назад +1

    Ruki😘😘😘👌

  • @Jomba-lao
    @Jomba-lao 4 года назад +4

    Huba 🇺🇸 +1

  • @lynnkim5760
    @lynnkim5760 4 года назад +1

    🤗🤗🤗💝💝💝🥰🥰much love for all reading this comment, God bless you all

  • @muhamedwardah5144
    @muhamedwardah5144 4 года назад

    Nic

  • @Funnymemesandcartoons
    @Funnymemesandcartoons 4 года назад +5

    Tupe link ya kwenda kwenye maisha magic bongo app ss huku USA hatuipatu

  • @fetymahaba6853
    @fetymahaba6853 4 года назад +1

    Ilove you huba

  • @failamto5113
    @failamto5113 4 года назад +1

    💪💪

  • @bathromewpeter1549
    @bathromewpeter1549 4 года назад +3

    Chidy pambana na hali yako

  • @bathromewpeter1549
    @bathromewpeter1549 4 года назад +2

    Mbona imeisha chapu jmn

  • @soaromary5740
    @soaromary5740 4 года назад

    Nzr

  • @adelaidamartine7207
    @adelaidamartine7207 4 года назад

    Ruki love u

  • @devothahaule9251
    @devothahaule9251 4 года назад +2

    Tumeni full ya dakika 30 zote

  • @jonathanmasaga8903
    @jonathanmasaga8903 4 года назад

    asee huba komesha

  • @shafeqal-mahbashi5057
    @shafeqal-mahbashi5057 4 года назад +1

    ♥️♥️♥️👍👍👍

  • @muniramsati5345
    @muniramsati5345 4 года назад +8

    Huba ni tamu buanaa... Wale wa Muscat tuonane hapa maana WiFi ya bureeeeee kwa mwarabu😀

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 4 года назад +10

    Mbona nikama tima ana mimba ama macho yangu 🤔

  • @alwinayustine6773
    @alwinayustine6773 4 года назад

    hubaaa ipo moto

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 4 года назад +1

    😘😘😘

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 4 года назад +3

    Chidi🤣🤣

  • @nuwayirally4727
    @nuwayirally4727 4 года назад

    Jamani please twaomba muendelezo kila siku mbona mnakawia huwa

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 2 года назад

    Mmmhh jamani chidy 🤣🤣🤣🤣

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад

    Asanteni sana japo kidogo

  • @nuwayirally4727
    @nuwayirally4727 4 года назад +2

    Tima kwani una mimba nyengine ya Idriss

  • @clemencemaza3260
    @clemencemaza3260 4 года назад +4

    Wewe Devi chezewa Na tima tu hiyo mimba ata yaeza kua si yako

    • @hellengunda5666
      @hellengunda5666 4 года назад

      Mwenyewe ni wasiwasi...atakuja kumbuka rani kumekucha😂

    • @momepeter9161
      @momepeter9161 4 года назад

      Kabisaaa si yake🤣🤣🤣🤣 yani jmn

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis447 4 года назад +1

    😂😂😂chidy

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 года назад +1

    Iko wapi muendelezo

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Ruki NAKUPENDAGA. Jaman wanaongalia hubs asilimia kubwa ni wanaoishi oman.basi nauza cream konki👌.judy 🙌😂

  • @uzianayusufu774
    @uzianayusufu774 4 года назад +1

    Chidi jmn

  • @mwanahawamakame1178
    @mwanahawamakame1178 4 года назад +7

    Nafarijika nikiwa pande za Mascat

    • @aishatanzania1194
      @aishatanzania1194 4 года назад +1

      Mm pia nko Muscat mpenzi wangu nafarjika waarabu wakintbua naangalia huba mwanzo kbtha😂😂😂😂😂😂👆👆👆👆👆🤳🤳🤳

    • @rehemand0mwa657
      @rehemand0mwa657 4 года назад +1

      Na mimi npo mascati

    • @aishatanzania1194
      @aishatanzania1194 4 года назад

      @@rehemand0mwa657 wow 🤗🤗🤗

    • @moshdiv3716
      @moshdiv3716 4 года назад

      weuweee timu mashags gonga like tuendelee kusugua hamamu

  • @raihansalum2379
    @raihansalum2379 4 года назад +2

    Tutumieni jmn

  • @rachelrayner5449
    @rachelrayner5449 4 года назад

    Yaan Ruki 😄😄😄

  • @maryrumanyika3219
    @maryrumanyika3219 4 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 chidy

  • @nuwayirally4727
    @nuwayirally4727 4 года назад +1

    Nandy umerudi kijijini

  • @usherfumbo1500
    @usherfumbo1500 4 года назад +4

    Hhhh chidi

  • @dinajoseph5106
    @dinajoseph5106 4 года назад

    Duuuu rani polee mumy

  • @sarasospeter8280
    @sarasospeter8280 4 года назад +1

    Haposasa.devi

  • @jacklineeunicah9649
    @jacklineeunicah9649 2 года назад

    Hizi mishepu za hawa mapacha zilikuwa zimenificha wapi wakiwa kijijini

  • @catherinewiliam963
    @catherinewiliam963 4 года назад

    Huba

  • @mariandunde3576
    @mariandunde3576 4 года назад +3

    Tesa..... Tima Ana Mwengine Mjukuu 👌👌🤣🤣

    • @elizabethsebastian2614
      @elizabethsebastian2614 4 года назад +1

      Tesa atatapika Damu maana co povu. Anavyompiga vita Tima wawatu khaaa!!!!!

    • @mgenibakari501
      @mgenibakari501 4 года назад +1

      @@elizabethsebastian2614 ila nadhani si mimba ya dev

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 года назад +1

      @@mgenibakari501 ya judy au

    • @ommyTv194
      @ommyTv194 4 года назад

      @@mgenibakari501 ya Devi itakuwa aliipata mwanzonii alivyoo kuwa naye mara yakeanza sasa akanyamaza lro ndio amekuwa muwazi kwake unajua atawew ukiwa unaona upo vitani nilazima mambo mengine uyag iche ilikujitetea haliyako na kuilinda pia mimba

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 года назад

    Tamuu hiyoo

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 4 года назад +1

    Devi kichefchefu

  • @enestinajosephat1269
    @enestinajosephat1269 4 года назад +1

    We chid far umemuacha kibibi Kaz kuharibu waschana wote ila heko tima jmn ka mimba hako

  • @janethkasanga1058
    @janethkasanga1058 4 года назад

    Mbna mnatubania

  • @gresitimoth4142
    @gresitimoth4142 4 года назад

    Y

  • @zainabomer1833
    @zainabomer1833 4 года назад +4

    Mimba tena

  • @winfridachau8535
    @winfridachau8535 4 года назад +1

    Mbona tima kama tumbo kuwa jaman

  • @elizabethsebastian2614
    @elizabethsebastian2614 4 года назад +2

    Kwani Tima ana mimba nyingine???

    • @minnahlove7035
      @minnahlove7035 4 года назад +2

      Ndio mbona kubwa tyu ana mimba kweli kweli

    • @elizabethsebastian2614
      @elizabethsebastian2614 4 года назад

      @@minnahlove7035
      Weeeèe.Mungu amtunzie mdogo wa Fulljunior

    • @veronicaenock7292
      @veronicaenock7292 4 года назад

      @@minnahlove7035 mimba hii ni ya kweli mjamzito kweli huyu tima,ana mimba kabisa

    • @neemastephen4245
      @neemastephen4245 4 года назад +1

      Ana mimba kweli ndo mana imebidi amwambie Dev eti alijua kitambo ni mjamzito lakini hakutaka kumwambia ili tuendelee kufurahia huba😀😀😀

  • @gres1182
    @gres1182 4 года назад

    Mbona kafupi

  • @reusiashamte6818
    @reusiashamte6818 4 года назад +2

    nawapenda tima na dev

  • @lucyalbinusalbinus9775
    @lucyalbinusalbinus9775 4 года назад +2

    Ila huyu jud jmn muongo hatr

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 4 года назад

    Jmni hivi carlos anatumia jna gni ista gram anaejua anifahamishe