Kaka umefunga group whatsp nimeshindwa kuomba msaada kule nimeona nije huku simu ya batan inakataa kupokea chaji inapeleka kama sekunde 20 halafu inagoma haileti taarifa yoyote bali inaacha tu kupeleka (yaani inaganda tu hata na vibaa viwili haiendelei). Nifanyeje kaka?
asant kwakutuongezea maarifa zaid
Kaka umefunga group whatsp nimeshindwa kuomba msaada kule nimeona nije huku
simu ya batan inakataa kupokea chaji
inapeleka kama sekunde 20 halafu inagoma haileti taarifa yoyote bali inaacha tu kupeleka (yaani inaganda tu hata na vibaa viwili haiendelei).
Nifanyeje kaka?