CHAWA WA BASATA & ZUCHU - USWEGE MURDERER

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 мар 2024
  • Follow Me on
    Instagram; invitescont...
    Twitter; UswegeMurderer?s=09
    #Uswegemurderer #Zuchu #MusicalComedy #Harmonize #Uswege #KalizaUswege #VunjaMbavu
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 454

  • @Shukutu
    @Shukutu 4 месяца назад +96

    Kama unamkubali Uswenge weka link apo ❤❤❤❤

    • @DJPatcut
      @DJPatcut 3 месяца назад

      ruclips.net/video/vlcjB6oe_ZQ/видео.html

  • @dondeprincer9527
    @dondeprincer9527 4 месяца назад +41

    uswege ndo baba lao kuchekesha💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv 4 месяца назад +58

    Futa hii Uswege upost upya ili niwe wa kwanza kucomment na me niombe like 😂😂😂

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 4 месяца назад +42

    Uswege Unajuw Xan Mpak Kero Kwa Wengine😂😂😂

  • @RichMavoko-nx8cn
    @RichMavoko-nx8cn 4 месяца назад +107

    😂😂😂😂😂😂 wa kwanza nipe like zangu 15 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

    • @OrleenTeketamphande
      @OrleenTeketamphande 4 месяца назад +2

      Malawian bway 🔥🔥💥💥

    • @hafidhali4336
      @hafidhali4336 4 месяца назад +2

      Leo uswege umefunika

    • @Barnizeboy
      @Barnizeboy 4 месяца назад

      👇👇🙏
      ruclips.net/video/3lGHQkjt-rk/видео.htmlsi=QFkY7zlac5O1zz2L ​@@hafidhali4336

    • @Edrissaa
      @Edrissaa 4 месяца назад +1

      Duuuuh makawi kuna Waswahil

    • @Foxytzdjmnyama7939
      @Foxytzdjmnyama7939 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi Месяц назад +1

    ZOTE ni ukweli umetufungua na ndugu 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉chukua Maya yko❤❤❤❤🎉

  • @judithkantimbo4369
    @judithkantimbo4369 4 месяца назад +28

    😂😂😂USWEGE hakii akili hunaa

  • @ombeninyemba6428
    @ombeninyemba6428 4 месяца назад +15

    Daaah kweli ngono tuu wanaimba hawa wasafi

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 4 месяца назад +7

    Kazi Nzuri mwanangu uswege wachonge kinyago kipelekwe basata😊😊😊😊😊

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 4 месяца назад +6

    Daaah.... Kweli We #Uswege ni Chawa wa BASATA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 4 месяца назад +25

    Zuchu""" Mara moja moja navutaga ganja😂😂

  • @user-fx8om8fm4y
    @user-fx8om8fm4y 4 месяца назад +7

    😂😂😂eti chapati pa pa pa pa

  • @TopkingChuwi
    @TopkingChuwi Месяц назад +1

    Grand travaux éventuels, courage frère 🙏🙏

  • @JohnsonMwaibulah
    @JohnsonMwaibulah 4 месяца назад +6

    Safi bro napenda sana

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 3 дня назад

    Kiukwl umetisha uswege ww ni zaid ya genius😂😂😂

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 4 месяца назад +4

    😂😂😂 the murderer umetisha sana. kiujumla nyimbo nyingi zimekua za matusi sana

  • @user-qh3bw4sb4z
    @user-qh3bw4sb4z 4 месяца назад +29

    Hivi jama like zinasaidia Nini tupeane michongoo

  • @barakasilas
    @barakasilas 4 месяца назад +5

    uswege umetisha saana

  • @user-bp6zo1qh1v
    @user-bp6zo1qh1v 4 месяца назад +4

    😂😂😂😂😂 Kenya like zake

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 4 месяца назад +4

    Ahahaha chapati uwez kula Moja hapo inakuwa iviii papapapapa

  • @mtalammathayo5184
    @mtalammathayo5184 4 месяца назад +13

    Uswege weye ni noma sana upewe🎉🎉mahuwa Yako tu
    Chapati, cha-pa-ti; chapati : cha-pa-ti
    Amaliziliye SUDANI kweli hiyo kbs🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @alfredmnyamwezi3119
    @alfredmnyamwezi3119 4 месяца назад +6

    Big up bro nakukubali sana

  • @salumhassan6853
    @salumhassan6853 4 месяца назад +4

    Heshima kwko unaweza sanaa

  • @nicaisenduwimana4253
    @nicaisenduwimana4253 4 месяца назад +2

    Uswege Yani tamsilia zako zinanikosha rihoo kabisa

  • @theafricanphilosopherqueen3032
    @theafricanphilosopherqueen3032 4 месяца назад +3

    Nimejifunza mengi leo. duh😮

  • @wilsononyinkwa4340
    @wilsononyinkwa4340 4 месяца назад +8

    Huo mlio kwa cha-pa-ti...duh😂😂😂

  • @solomonsamuel3584
    @solomonsamuel3584 4 месяца назад +7

    This guy is very talented

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w 3 месяца назад +3

    Uswege mwehu sana😅

  • @emmanuelmahili3617
    @emmanuelmahili3617 4 месяца назад +7

    Uswege ni fala huyu😂😂

  • @allyaseid3000
    @allyaseid3000 4 месяца назад +3

    Yan uswege weeee ni noma sana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 4 месяца назад +1

    HAYO MMEYAWACHIA WENYEWE NA KUZIDI HIVI..SASA ZANZ.IMEKUWA KITUO 😢SHAME TO ALL .MACHAFU MNAYAPA FURSA

  • @ghatisanga8904
    @ghatisanga8904 4 месяца назад +5

    Wa kwanza leo 😂😂😂

  • @ravareyzpromesse2633
    @ravareyzpromesse2633 4 месяца назад +5

    😂😂😂 much love from 🇨🇩

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 4 месяца назад +15

    Uswege mhhm ww noma uajiriwe basata

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i 4 месяца назад +9

    Kweri chawa😂

  • @RobertJohn-zq7rv
    @RobertJohn-zq7rv 4 месяца назад +7

    Legend Uswege ,unyama ni mwingi ila nasubiri upite na Ali kiba kwenye shughul yake Kuna udabwi mwingi tunakusubiri utuletee 🙏

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 4 месяца назад +2

    Uswege haujawai kuniangusha Big Up

  • @user-hy7hk8vb5f
    @user-hy7hk8vb5f 4 месяца назад +4

    Kazi kubwa sana kaka yangu mungu akope myaka 20000🎉🎉

  • @great-african903
    @great-african903 4 месяца назад +5

    Aisee ww jamaa

  • @_Drezzy
    @_Drezzy 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂 wa kwenye chapati tujuane 😂😂😂😂

  • @CatherineSaimon
    @CatherineSaimon 4 месяца назад +8

    😂😂katika yote nimeelewa hapo kwenyechapati hapo

  • @meshack3266
    @meshack3266 4 месяца назад +3

    Sema kazuchu katakua kanapenda sana ngono

  • @user-eh1qu8zc6c
    @user-eh1qu8zc6c 2 месяца назад +1

    Nyie huyu kaka apewe kombe lake yuaweza mpka yuaweza tena😂😂😂😂😂

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey7105 4 месяца назад +11

    Uswerge Yaani ww unastahili Tuzo bcoz Level zako sio za hapa Tz Alwayz una tufurahisha xana😂

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 4 месяца назад +2

    😂😂😂, nakupenda sanaaaa uswege

  • @suleim505
    @suleim505 2 месяца назад +1

    Asew unajua kuchambua haya matusiyao ya ngono, ni matusi tuu ngonotuu ndiyo manyimbo wanatoa yani kama akilizao zimeunganika na....👈apo usifafanue
    washaelewa😅bigupsana ukovizuri 👍.

  • @aronsaanane196
    @aronsaanane196 4 месяца назад +3

    Kali saana😂😂

  • @user-gx4vq6tw5s
    @user-gx4vq6tw5s 4 месяца назад +3

    umeniuwa kwa chapati hii ghaiii😂😂😂😂😂

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 4 месяца назад +2

    Mm wangap Leo 👍

  • @user-dy8je7dh2m
    @user-dy8je7dh2m 4 месяца назад +11

    hapo kwenye chapati sasa😂😂😂😂😂😂

  • @godlivingmassawe5782
    @godlivingmassawe5782 4 месяца назад +13

    Nakubal san kaz zako gud job

  • @Sameer.Zlatan
    @Sameer.Zlatan 4 месяца назад +3

    😂,,,😂😂😂 we Ms*nge mdukuzii 😂😂😂😂🎉
    Big up... Great work YOU'RE handling

  • @ZakariaMasunga
    @ZakariaMasunga Месяц назад +1

    Wapo maneno

  • @richiekabipe8374
    @richiekabipe8374 4 месяца назад +5

    Mchoro wa kuonesha sudani ndio mchoro bora kuwai kutokea😂

    • @jonijomk3107
      @jonijomk3107 3 месяца назад

      😅😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @jonibenedkito1952
    @jonibenedkito1952 4 месяца назад +8

    😅😅😅😅Ila uswege unamasiala sana mwamba😊😊😊

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 4 месяца назад +3

    Nimecheka hadi machozi yana nitoka😂😂😂😂😂

  • @annamligo4467
    @annamligo4467 4 месяца назад +1

    Duuu umetixha❤❤❤❤❤❤

  • @SharobertClassic-bw9fz
    @SharobertClassic-bw9fz 4 месяца назад +3

    Fikeni kwangu leo mazee❤❤❤❤

  • @KsgkumwimbaLenge-rc4ut
    @KsgkumwimbaLenge-rc4ut 4 месяца назад +1

    Uwezi kula chapi moja 😂😂😂❤

  • @Tom_Johns
    @Tom_Johns 4 месяца назад +1

    😂😂😂kwaiyo unawachomesha...kweli chawa

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 4 месяца назад +1

    Huyu kaka namkubali ni kweli nyimbo nyingi za matusi ya waziwazi wasio na akili ndio wata comment et kaonewa

  • @NorbertDunianzayi-wv4zc
    @NorbertDunianzayi-wv4zc 3 месяца назад +1

    Aliye kuonesha kama hapo ndio,bangaladesh 🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️ na kwashini sudani 🙅‍♂️🙅‍♂️nani🤣🤣🤣😎

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 4 месяца назад +8

    😂😂😂Sema kweli nyimbo hazina maadili

    • @khamisjecha8124
      @khamisjecha8124 4 месяца назад

      Dah hiki kidude kinaona sifa sasa sijuw kinaichukuliaje Dunia!

    • @emmanueliabdueli
      @emmanueliabdueli 4 месяца назад

      Kweli😅

    • @khadijachacha3156
      @khadijachacha3156 4 месяца назад

      Izo nyimbo zilizokua hazina maadili ndizo zinazopendwa ivi umesahau nyimbo za khadija kopa mzee yussuf mwanahawa nyimbo zao za zaman ni matusi lakini zilikua zinatamba sana na omar kopa wote kila unapopita zinapendwa sana😂😂😂

    • @khamisjecha8124
      @khamisjecha8124 4 месяца назад

      @@khadijachacha3156 Ila kizuchu kinapindukia mipaka watoto wanakipenda sana kinawahaharibu really Mimi ni mpemba lakini yeye kazidi sasa anakokwenda

    • @tinershayo6191
      @tinershayo6191 2 месяца назад

      Nyimbo za wasafi Zaina madili hata kidogo hawafundishi ndio maana ngono zipo hadi mitandaoni

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 4 месяца назад +6

    Chamoto kitimoto

  • @4ktime587
    @4ktime587 4 месяца назад +2

    Hili nalo ni tende mweshimiwa 😂😂

  • @user-nc3hs8zr4n
    @user-nc3hs8zr4n 4 месяца назад +1

    Nawewe ufungiwe mpaka umechora mwehu wee

  • @user-mn8wv2so3p
    @user-mn8wv2so3p 4 месяца назад +1

    Weww ni blue balaaa

  • @silaonesmo1322
    @silaonesmo1322 4 месяца назад +1

    Mbavu zinaniuma kucheka jamani

  • @Takibadest
    @Takibadest 4 месяца назад +1

    Daah chapati zikuwa nyinyi 😂😂😂👏🏾👏🏾

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 4 месяца назад +1

    Hahahaa uswege wew😂😂

  • @officialmwagala5414
    @officialmwagala5414 3 месяца назад

    We msengeeee nmeitwaaa kichaa kisaa wew aiseee hatariiii

  • @user-yd9et6xh6m
    @user-yd9et6xh6m 4 месяца назад +1

    Big up mkuuu😅😅😅

  • @user-zn6qp5dl6f
    @user-zn6qp5dl6f 4 месяца назад +1

    Elewa neno karoti mweshimiwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JenerozeMabinga
    @JenerozeMabinga 2 месяца назад

    Laaaaaaa iyo namaa sana ndyo maana nakupendaga sana

  • @victormwansasu8764
    @victormwansasu8764 4 месяца назад +1

    😂😂😂Uyu mwanga anajua sanaa

  • @yothampetro5097
    @yothampetro5097 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅NIMEKUOKOPA SANA DUUUUUH!

  • @ErickKway
    @ErickKway 4 месяца назад +1

    Uswege murder ni master wewe😂😂😂😂😂

  • @zakiaabdalla3761
    @zakiaabdalla3761 2 месяца назад

    Wewe Wacha wivu tuku ulimwengu wa kileo

  • @yassinmussa1900
    @yassinmussa1900 4 месяца назад +1

    Elewa neno Kaloti mheshimiwa

  • @user-pb2cn9lo3f
    @user-pb2cn9lo3f 4 месяца назад +1

    Uswege kweli huna akili😂

  • @Tesha2000
    @Tesha2000 3 месяца назад

    Hiki kipajii cha uswege kigumuuu kinahitajii kilaa ngoma inayo tokaa usikilizeee

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 4 месяца назад +24

    Mwezi Mtukufu Tumche ALLAH AKBAR.

  • @papystany3207
    @papystany3207 3 месяца назад

    Baaabaaa kazi nzuri kbs kk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 4 месяца назад +4

    Kazuchu ni kamalaya Sana uuuu haka kana myaka mingapi naumalaya wote 😂😂😢

  • @user-ns4oj9cw1j
    @user-ns4oj9cw1j 3 месяца назад

    Amezidi huyo Sana pumbavu matusi aache

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga 2 месяца назад +1

    Wewe ni mkenyaa

  • @FILIMINIGWASMAY
    @FILIMINIGWASMAY 4 месяца назад

    Ahah hi nimeipenda sana

  • @ruthjapheth174
    @ruthjapheth174 4 месяца назад

    Uwiiiiiiii uswegee utafika mbinguni umechokaa

  • @user-mn8wv2so3p
    @user-mn8wv2so3p 4 месяца назад +1

    Una bonge la talent

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 4 месяца назад +1

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅yaan wewe ni the best

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 месяца назад

    Huyu jamaa anachambua kicomedy totaly true 😂😂😂

  • @KhafidhKavunja
    @KhafidhKavunja 19 дней назад

    We jemaaa utauwa🤣🤣🤣🙄

  • @KsgkumwimbaLenge-rc4ut
    @KsgkumwimbaLenge-rc4ut 4 месяца назад

    Uwezi kula chapati moja 😂😂😂😂❤

  • @RasskinongoKinongo-ig1wd
    @RasskinongoKinongo-ig1wd 3 месяца назад

    nakukubari sana kaka wote wanaiga ira wewe ndo kiboko yao

  • @CAN.164
    @CAN.164 3 месяца назад +1

    Hatari🎉🎉

  • @zakiaabdalla3761
    @zakiaabdalla3761 2 месяца назад

    Aliyo kutuma mwambiye akome

  • @saadanassor3882
    @saadanassor3882 2 месяца назад

    So kwa kwaiyo mtu 😂😂😂

  • @Tulizombago7633
    @Tulizombago7633 4 месяца назад +5

    Kazi nzuriiii😂😅😅😂😅❤😅

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b 2 месяца назад

    😂😂😂aki uko sawa

  • @user-kr5us7xz5u
    @user-kr5us7xz5u 4 месяца назад

    Mweuwewe nimeelewa😂😂😂😂