Asew unajua kuchambua haya matusiyao ya ngono, ni matusi tuu ngonotuu ndiyo manyimbo wanatoa yani kama akilizao zimeunganika na....👈apo usifafanue washaelewa😅bigupsana ukovizuri 👍.
Izo nyimbo zilizokua hazina maadili ndizo zinazopendwa ivi umesahau nyimbo za khadija kopa mzee yussuf mwanahawa nyimbo zao za zaman ni matusi lakini zilikua zinatamba sana na omar kopa wote kila unapopita zinapendwa sana😂😂😂
Kama unamkubali Uswenge weka link apo ❤❤❤❤
ruclips.net/video/vlcjB6oe_ZQ/видео.html
uswege ndo baba lao kuchekesha💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂
Futa hii Uswege upost upya ili niwe wa kwanza kucomment na me niombe like 😂😂😂
😂😂😂
Likes husaidia nini 🥲😊
Uswege Unajuw Xan Mpak Kero Kwa Wengine😂😂😂
Sawa nimekupata
😂😂😂😂😂😂 wa kwanza nipe like zangu 15 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Malawian bway 🔥🔥💥💥
Leo uswege umefunika
👇👇🙏
ruclips.net/video/3lGHQkjt-rk/видео.htmlsi=QFkY7zlac5O1zz2L @@hafidhali4336
Duuuuh makawi kuna Waswahil
😂😂😂😂😂😂
ZOTE ni ukweli umetufungua na ndugu 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉chukua Maya yko❤❤❤❤🎉
😂😂😂USWEGE hakii akili hunaa
Daaah kweli ngono tuu wanaimba hawa wasafi
Kazi Nzuri mwanangu uswege wachonge kinyago kipelekwe basata😊😊😊😊😊
Daaah.... Kweli We #Uswege ni Chawa wa BASATA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Zuchu""" Mara moja moja navutaga ganja😂😂
😂😂😂eti chapati pa pa pa pa
Grand travaux éventuels, courage frère 🙏🙏
Safi bro napenda sana
Kiukwl umetisha uswege ww ni zaid ya genius😂😂😂
😂😂😂 the murderer umetisha sana. kiujumla nyimbo nyingi zimekua za matusi sana
Hivi jama like zinasaidia Nini tupeane michongoo
uswege umetisha saana
😂😂😂😂😂 Kenya like zake
Ahahaha chapati uwez kula Moja hapo inakuwa iviii papapapapa
Uswege weye ni noma sana upewe🎉🎉mahuwa Yako tu
Chapati, cha-pa-ti; chapati : cha-pa-ti
Amaliziliye SUDANI kweli hiyo kbs🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Big up bro nakukubali sana
Heshima kwko unaweza sanaa
Uswege Yani tamsilia zako zinanikosha rihoo kabisa
Nimejifunza mengi leo. duh😮
Huo mlio kwa cha-pa-ti...duh😂😂😂
This guy is very talented
Uswege mwehu sana😅
Uswege ni fala huyu😂😂
Yan uswege weeee ni noma sana
HAYO MMEYAWACHIA WENYEWE NA KUZIDI HIVI..SASA ZANZ.IMEKUWA KITUO 😢SHAME TO ALL .MACHAFU MNAYAPA FURSA
Wa kwanza leo 😂😂😂
😂😂😂 much love from 🇨🇩
Uswege mhhm ww noma uajiriwe basata
Kweri chawa😂
Legend Uswege ,unyama ni mwingi ila nasubiri upite na Ali kiba kwenye shughul yake Kuna udabwi mwingi tunakusubiri utuletee 🙏
Uswege haujawai kuniangusha Big Up
Kazi kubwa sana kaka yangu mungu akope myaka 20000🎉🎉
Aisee ww jamaa
😂😂😂😂 wa kwenye chapati tujuane 😂😂😂😂
😂😂katika yote nimeelewa hapo kwenyechapati hapo
Kweny chapt nimechk
Sema kazuchu katakua kanapenda sana ngono
Nyie huyu kaka apewe kombe lake yuaweza mpka yuaweza tena😂😂😂😂😂
Uswerge Yaani ww unastahili Tuzo bcoz Level zako sio za hapa Tz Alwayz una tufurahisha xana😂
😂😂😂, nakupenda sanaaaa uswege
Asew unajua kuchambua haya matusiyao ya ngono, ni matusi tuu ngonotuu ndiyo manyimbo wanatoa yani kama akilizao zimeunganika na....👈apo usifafanue
washaelewa😅bigupsana ukovizuri 👍.
Kali saana😂😂
umeniuwa kwa chapati hii ghaiii😂😂😂😂😂
Mm wangap Leo 👍
hapo kwenye chapati sasa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nakubal san kaz zako gud job
😂,,,😂😂😂 we Ms*nge mdukuzii 😂😂😂😂🎉
Big up... Great work YOU'RE handling
Wapo maneno
Mchoro wa kuonesha sudani ndio mchoro bora kuwai kutokea😂
😅😅😅😅😅😂😂😂😂
😅😅😅😅Ila uswege unamasiala sana mwamba😊😊😊
Nimecheka hadi machozi yana nitoka😂😂😂😂😂
M❤😢😮😅
Duuu umetixha❤❤❤❤❤❤
Fikeni kwangu leo mazee❤❤❤❤
Uwezi kula chapi moja 😂😂😂❤
😂😂😂kwaiyo unawachomesha...kweli chawa
Huyu kaka namkubali ni kweli nyimbo nyingi za matusi ya waziwazi wasio na akili ndio wata comment et kaonewa
Aliye kuonesha kama hapo ndio,bangaladesh 🙅♂️🙅♂️🙅♂️ na kwashini sudani 🙅♂️🙅♂️nani🤣🤣🤣😎
😂😂😂Sema kweli nyimbo hazina maadili
Dah hiki kidude kinaona sifa sasa sijuw kinaichukuliaje Dunia!
Kweli😅
Izo nyimbo zilizokua hazina maadili ndizo zinazopendwa ivi umesahau nyimbo za khadija kopa mzee yussuf mwanahawa nyimbo zao za zaman ni matusi lakini zilikua zinatamba sana na omar kopa wote kila unapopita zinapendwa sana😂😂😂
@@khadijachacha3156 Ila kizuchu kinapindukia mipaka watoto wanakipenda sana kinawahaharibu really Mimi ni mpemba lakini yeye kazidi sasa anakokwenda
Nyimbo za wasafi Zaina madili hata kidogo hawafundishi ndio maana ngono zipo hadi mitandaoni
Chamoto kitimoto
Hili nalo ni tende mweshimiwa 😂😂
Nawewe ufungiwe mpaka umechora mwehu wee
Weww ni blue balaaa
Mbavu zinaniuma kucheka jamani
Daah chapati zikuwa nyinyi 😂😂😂👏🏾👏🏾
Hahahaa uswege wew😂😂
We msengeeee nmeitwaaa kichaa kisaa wew aiseee hatariiii
Big up mkuuu😅😅😅
Elewa neno karoti mweshimiwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Laaaaaaa iyo namaa sana ndyo maana nakupendaga sana
😂😂😂Uyu mwanga anajua sanaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅NIMEKUOKOPA SANA DUUUUUH!
Uswege murder ni master wewe😂😂😂😂😂
Wewe Wacha wivu tuku ulimwengu wa kileo
Elewa neno Kaloti mheshimiwa
Uswege kweli huna akili😂
Hiki kipajii cha uswege kigumuuu kinahitajii kilaa ngoma inayo tokaa usikilizeee
Mwezi Mtukufu Tumche ALLAH AKBAR.
Mungu ni wakutukuzwa miezi yote
Inshallah
MUNGU sio wa mwezi umoja niwa kuogopwa kila muda na ww ukaja kumskiliza uswege na ni mwezi mtukufu
Ishallah
Baaabaaa kazi nzuri kbs kk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazuchu ni kamalaya Sana uuuu haka kana myaka mingapi naumalaya wote 😂😂😢
Amezidi huyo Sana pumbavu matusi aache
Wewe ni mkenyaa
Ahah hi nimeipenda sana
Uwiiiiiiii uswegee utafika mbinguni umechokaa
Una bonge la talent
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅yaan wewe ni the best
Huyu jamaa anachambua kicomedy totaly true 😂😂😂
We jemaaa utauwa🤣🤣🤣🙄
Uwezi kula chapati moja 😂😂😂😂❤
nakukubari sana kaka wote wanaiga ira wewe ndo kiboko yao
Hatari🎉🎉
Aliyo kutuma mwambiye akome
So kwa kwaiyo mtu 😂😂😂
Kazi nzuriiii😂😅😅😂😅❤😅
😂😂😂aki uko sawa
Mweuwewe nimeelewa😂😂😂😂