safi sana kaka yani kipindi icho tukishamaliza kuangalia filam kama izo kimbembe kipo kwenye kwenda chooni..choon tulikuwa tunaenda wawili wawili dah safi san kaka tuekee na nyengine tufaidike zaidi
Ivi awa wa toto wapi waliko maman ngu alikuwaga napenda sana iyi filamu ivi niki mwambiya kama nime ipata kwenye RUclips dah itakuwa makelele ya raha naipenda sana iyi movie
Nakumbuka mbali sana, enzi nikiwa mdogo kuliko hata huyo dogo Tizo. Bila shaka Mwalimu Ally (Tizo) kawa mtu mzima sasa. Pongezi kwa Tuesday Kihangala, jamaa kumbe mkali tangu kitambo hicho. Pongezi pia kwa Mussa Banzi. Banza Stone dah! R.I.P pia amenogesha sana humu. Inaitwa Kabuli la Safia na sio Sofia, niliogopa sana kitambo kile sikulala kabisa ila hata leo nimeogopa pia japo si kiviile.
Shukran sana Kwa movie nzuri yenye mafunzo, Yani Mwanamume umekuwa Malaya mpaka umeua mkeo.Halafu wa Toto haohao waliokupa utajiri umewafukuza.Tamaa yako ona sasa.
Daaah kunawatu wahenga humu wanakumbuka adi mwaka wahii movie!!! Noma
Daaah jau mzeee huy
2003
Enz hiz me nko l pili
Mimi la kwanza 😂😂😂ila bd naikumbuka @@getrudamartin2409
@@getrudamartin2409pia mm Daah kweli miaka inaenda
Kama bado unaitizama 2020 like hapa weweee....piga kelele kwa sofy akeee
We we we weeeeeeeeee
We we we weeeeeeeeee
@@mariamjoseph6421 mh jaman
@@mariamjoseph6421 nataka picha ako
wakwanza mie kbs
Jamani kila ninapo itazama hiii movie machozi lazima yanitoke😢 bat haikinai kutazamwa yaan ni nzuli sanaaa pongezi kwa director 🎉🎉🎉
Duuuhh miaka ileee sukari shilling 450@kg
Kama unakumbuka fanya hivi 👍
hii ni fundisho tosha kwa wote ni mda Sana enzi za,TV za kisogo
Daaah!!! yan nakumbuka enz zileeeeeeeee..... n ki2 bomba xanaa
Qq 11118
Sana
Daaah kitambo
Kama bdooooo unatima hiiii 2021gongaa likee hapoi
2024 Bado tunajikumbushia tupo live
Mungu akubariki wewe ulie tuwekea hi movie.God bless you so much.
Ongera sana baba tizo filamu inaelimisha.
Ni movie nzuri kabisa..inafunza kabisa..2022 hapa..kumbe movie za zamani ni kweli old is gold😍😍
Wanaojikumbusha kwa kutazama ihii move 2024 gonga like
safi sana tulikuwa tunakusanyika nyumba moja hivi enzi hizo halafu unaambiwa kaoge kwanza ndipo urudi. thanks sana bonge la movie
Obedi Swebe
Hahahahaha apo utakuta mnailudia ata Mara 7
Obedi Swebe
king Swebe 🤣🤣🤣🤣
king Swebe hahaha dah acha kabisa
Watoto wanajua sanaaa😘😘
Tizo alikuwa good kwenye kuigiza
Nishida huyu mwalim Ali 😅nlisoma nae shule ya msingi mikumi
SAFARI YA CHIKU na KAPILI na jinamizi
Kisa cha Kweli kilichotokea Rufiji miaka ya 90 ni nzuri Hizi movie
Jinamiz lap u Sana
safi sana kaka yani kipindi icho tukishamaliza kuangalia filam kama izo kimbembe kipo kwenye kwenda chooni..choon tulikuwa tunaenda wawili wawili dah safi san kaka tuekee na nyengine tufaidike zaidi
Hahahahahahahaaaa hahahahahahahaaaa hahahahahahahaaaa noma sana kweli kabisaa kaoge kwanza ndo urud
Daaaa zaman sana movie hii ila aichoshi atakutazama
Hahaha wahenga tupo
tuwekee na movie ya chiku na kapili ,,sijui hapa Kuna wahenga wanaikumbuka
Duuuuh
Wataipataj
Duuuuu safii sanaaa baba ....move ya kitambo sanaaa......Weka zingine zazaman Dj
Ivi awa wa toto wapi waliko maman ngu alikuwaga napenda sana iyi filamu ivi niki mwambiya kama nime ipata kwenye RUclips dah itakuwa makelele ya raha naipenda sana iyi movie
Azam tv turushieni movie kama hizi sio kila siku manakazi ya kurudia movie tu za akina Tin white na Ringo
Daaah atari san
Dahh dogo kanitoaga machoz tangu enz hizoo ad leo nampenda sana tizo jamni
Nzur sana za zaman
Nimeinjoy kunichek hiii move
Move zazaman zilikua safi sana
😂😂😂sana
Ongereni sana kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote nifundisho kuwa sana
Amen
Tizo anaweza sana
kipindi icho wali na nyama ni tajiri😂😂😂😂
Daaah hii movie ni kali na haishi hamu😇😇
Haijawahi kutokeya movie kama hii bongo
Ktambo sana dah!! Enzi izo dem unamtongoza kwa barua ___vzr kwa iweka bado Chiku na Kapili (Safari)
Ile movie kwa kweli iyekwe tu kipindi hicho Niko s .t.d 1
Nilichojifunza safia anamuheshimu San mme wakee
Amelala nje apoludi anakalibishwa vizuli kweli anamuheshimu
We stori tamu sana 💯❤️🔥💞
Hii muvi ilikua na mafudisho sana..tofauti na bongo muvi za sikuhizi..kiukweli imenikumbusha mbali sana kipindi nipo mdogo.
Movie za zamani zlkuwa znafundsha
hongera kwa kutuwekea the old move ambyo naipenda xana
Jamani hii move ni zamani sana tunafanya kelele kwenye nyumba ya watu. Mpk tunafukuzwa anaeongea lkn hatukomi ucku tuwekewe tena kanda la tepu. Hahha
Bonge la movie hongera Sana kwa stori nzuri.
Dh..... mizee mingine bange sanaa hinasahau hilipotoka fyuuuuu
Itapendeza ukitupia na SAFARI chiku na kapili. Pia ROHO MBILI.. gd san
Alexis Wamillazo safari bonge la movie
Hata me naitamani sana safari
Umeijuaje safari naitaman kichichiz
safari ndo mpango mzima
Umejuaje broo safari naipenda sana
Sinema nzuri mnoooo
Dah! Tuesday Kihangala,,Mussa Banzi na Sultan Tamba walikuwa watunzi bora Sana wa filamu za mapenzi,uchawi n.k,,Nipo live 2023 hapa.
nimekumbuka mbali sana
Mhhhh hiii movie ya enzi gani haaaa nzuri xn
Tumeni move ua mtemi masweta
Nimeikubali
Duuuh! Mmeturudisha utotoni kitambo sanaaa nimefurahi balaa
Iyi cinéma inatiya huruma sana mungu atupi mujakazi wake
Hii move uwa sichoki kuiangaliaa kwelii ya kale ni dhahabu 👌👌👌
Nice movie.....hongereni wote washiriki...inamafunzo kweli
Nice movie kitambo san
Malipo yote ni hapa chini ya jua🙏 asanteni sana washiriki filamu hii inaelimisha jamii kwa ujumla
Hatari sana
Daah namkumbuka huyu muhindi wa kanjibhai
zamani sana hii muvi
Kitambo xana dah nakumbuka mengi mungu nimwema jaman
Duhhhhhh
Duu kitamb sanaaa hats bongo movies hazijabamb na bong freava
Filam ya mafunzo makubwa tuepuke tamaaaa ss wanaume kwa Mali dhid ya vishawish vya wanawake
2020 tujuane hap
wabongo bwana xa dam gan ya pink
😂😂😂😂😂😂😂yaaani
Napenda hii movie
Mzee liko ambuyusha mzee hana busara kabisa
mambo n 🔥🔥🔥🔥🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Asantee kwa movie nzur
Naangalia namkumbuka baba i was 6 old when he passed away 2006 alinunua hii movies enzi hizo ni tape kubwa ma bonge la tv..😢
Mda Sana nakumbuka mbal
Tamaa mbaya
Tarehe ya 7/10/2010 leo natizama tena move ya kitambo sanaa Aisee..
😃😃 mie bado sijaona upizani
😃😃 #Naima toka izi izo Leo tuna 2019 Mungu mwema Sanaa Leo tunaludia kutizama Move za 2007
Niko drs la 7 kjjn hko hata dar siijui
Mm sijaiona
Daaah kitaaambo kweli
noma xan
Nakumbuka mbali sana, enzi nikiwa mdogo kuliko hata huyo dogo Tizo. Bila shaka Mwalimu Ally (Tizo) kawa mtu mzima sasa. Pongezi kwa Tuesday Kihangala, jamaa kumbe mkali tangu kitambo hicho. Pongezi pia kwa Mussa Banzi. Banza Stone dah! R.I.P pia amenogesha sana humu. Inaitwa Kabuli la Safia na sio Sofia, niliogopa sana kitambo kile sikulala kabisa ila hata leo nimeogopa pia japo si kiviile.
Hivi Musa Banzi Ni Marehem?
@@patrobamalema8631 hapana. Marehemu ni Banza sio Banzi
Shukrani
Hii movie nlkuwa mdogo sana iko poa sana
Shukran sana Kwa movie nzuri yenye mafunzo, Yani Mwanamume umekuwa Malaya mpaka umeua mkeo.Halafu wa Toto haohao waliokupa utajiri umewafukuza.Tamaa yako ona sasa.
kabsa 😀😀😀😀😀
2020 tjrs la ❤️🔥😂
Je suis revenu 2021
nice_movie
Jaman tunao angalia KABURI LA SOFIA 2021 tujuane
Kizazi sana 0:27 tupo 2024
Safi sana namkumbuka mwalim msila kasulu tulikua tunaiangalia kwake
Kitambo move hii
Nice move sana
mxee liko wee kubafu Sana
Daah nimeamin wanaume wanabadilik
Daaah,kitambo sana
Huyo mzee buree kabisa
Saf
Jaman ebu nikumbusheni iyi movie ilitoka mwaka gan
2003 or 2004
Izi njo movie turikua tu ki Miss asanteni
I miss those moments😊😊😊😊 2024✌️✌️✌️
Kaka hongera sana kw kututunzia kumbukumbu,kuna move ya bongo inaitwa shahidi ipo ila ni ya kitambo staring mbwana.
shahidi na safari
@@officialyoctanyavani776 tuwekee ushaidi
Hassan hassan Asante sana kk kwa huiweka hii movie RUclips yaani long time sana
Nice
Movie nzur Sana, nainafundsha
Ya kale dhahabu
Oh mimi siendagi sehemu za starehe, sinywi pombe, nampenda sana na siwezi msaliti mke wangu hujawahi pata pesa. Zipate kisha tukusifu kenge wewe
Umeonaaaaa
noma sana
Thank you so much #GOOD MOVIE 💖💖👌👌
2019 hiv ile pesa iloibiwa ni kwel pesa jaman iwekwe kwa nje jaman kaah
pesa haikuwa nje bali dogo alikuwa akiiba na kutia kweny mfuko pacpo muhindi kujua
Kitambo sana kipindi nipo la 2 mwaka 2004
@@emmanulpatrick4211 mim hata shule nilikuw bad sijaanz
@@aminatanzanya7475 pole sana muvi Kali sana inafundisha
Kitambo icho nilikuwa napenda kuangalia bongo movie sio sasa.
Umaskini huu, baba mtu kashindwa kumgombeza mwanawe 😂😂😂
Duh zaman sana uwo muda tuliuza mayai kwa bei ya 50 ili tukaangalie video
duh asante sana hii movie nakumbuka tokea sijazaliwa
Hujazaliwa ss unaikumbuka je
@@jinajuma6685 hapo shashaaa si ndo nashangaaaa!!!
@@estercharles7597 hahaha my
Dah! Hama kweli mungu hamtupi mcha wake
Daaaa wekaka noma sana
So Kwa muvi izii jmn tunamaluziana mb,,kitambo sana ,,,
daaaaah mpaka nilikuwa nimeisahau kama naiyona mpya asante dj
Mayasa kitambwa its so good
Mayasa kitambwa U
Yan limelala njee AF asubuh karibu Mme wangu Fyuuu
Huyo ndio wife material sasa😂😂😂😂mi siwezi
Mmmmh Dogo sugu sn nhaaa