KABURI LA SOFIA (BONGO MOVIE)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 433

  • @aishajuma220
    @aishajuma220 5 лет назад +20

    Daaah kunawatu wahenga humu wanakumbuka adi mwaka wahii movie!!! Noma

  • @nicehonesty3936
    @nicehonesty3936 4 года назад +69

    Kama bado unaitizama 2020 like hapa weweee....piga kelele kwa sofy akeee

  • @christinadaniel3728
    @christinadaniel3728 11 месяцев назад +2

    Jamani kila ninapo itazama hiii movie machozi lazima yanitoke😢 bat haikinai kutazamwa yaan ni nzuli sanaaa pongezi kwa director 🎉🎉🎉

  • @bongoyetu8938
    @bongoyetu8938 6 лет назад +138

    Duuuhh miaka ileee sukari shilling 450@kg
    Kama unakumbuka fanya hivi 👍

  • @issakihange902
    @issakihange902 3 года назад +14

    Kama bdooooo unatima hiiii 2021gongaa likee hapoi

  • @ringoclever7208
    @ringoclever7208 7 месяцев назад +9

    2024 Bado tunajikumbushia tupo live

  • @dieudonnensengiyumva2511
    @dieudonnensengiyumva2511 6 лет назад +28

    Mungu akubariki wewe ulie tuwekea hi movie.God bless you so much.

  • @TsuiAmbari
    @TsuiAmbari 11 месяцев назад

    Ongera sana baba tizo filamu inaelimisha.

  • @zahranassor4208
    @zahranassor4208 2 года назад +8

    Ni movie nzuri kabisa..inafunza kabisa..2022 hapa..kumbe movie za zamani ni kweli old is gold😍😍

  • @HemedIdrisa
    @HemedIdrisa Месяц назад +1

    Wanaojikumbusha kwa kutazama ihii move 2024 gonga like

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 6 лет назад +43

    safi sana tulikuwa tunakusanyika nyumba moja hivi enzi hizo halafu unaambiwa kaoge kwanza ndipo urudi. thanks sana bonge la movie

  • @khadijakivanga9518
    @khadijakivanga9518 4 года назад +3

    Watoto wanajua sanaaa😘😘

  • @jenifergreen4626
    @jenifergreen4626 4 года назад +5

    Tizo alikuwa good kwenye kuigiza

    • @azzahussein840
      @azzahussein840 4 года назад +1

      Nishida huyu mwalim Ali 😅nlisoma nae shule ya msingi mikumi

  • @abdulmpunjo1241
    @abdulmpunjo1241 3 года назад +4

    SAFARI YA CHIKU na KAPILI na jinamizi
    Kisa cha Kweli kilichotokea Rufiji miaka ya 90 ni nzuri Hizi movie

  • @mwalimhamad9622
    @mwalimhamad9622 6 лет назад +6

    safi sana kaka yani kipindi icho tukishamaliza kuangalia filam kama izo kimbembe kipo kwenye kwenda chooni..choon tulikuwa tunaenda wawili wawili dah safi san kaka tuekee na nyengine tufaidike zaidi

    • @estercharles7597
      @estercharles7597 5 лет назад

      Hahahahahahahaaaa hahahahahahahaaaa hahahahahahahaaaa noma sana kweli kabisaa kaoge kwanza ndo urud

  • @sarhankomelo6507
    @sarhankomelo6507 Год назад

    Daaaa zaman sana movie hii ila aichoshi atakutazama

  • @ElizabethMajundo
    @ElizabethMajundo 2 месяца назад +1

    Hahaha wahenga tupo

  • @chabameinstrumentalbeat6510
    @chabameinstrumentalbeat6510 4 месяца назад +3

    tuwekee na movie ya chiku na kapili ,,sijui hapa Kuna wahenga wanaikumbuka

  • @nuruabdallah9031
    @nuruabdallah9031 4 года назад +1

    Duuuuu safii sanaaa baba ....move ya kitambo sanaaa......Weka zingine zazaman Dj

  • @jocalproduction8102
    @jocalproduction8102 6 лет назад +15

    Ivi awa wa toto wapi waliko maman ngu alikuwaga napenda sana iyi filamu ivi niki mwambiya kama nime ipata kwenye RUclips dah itakuwa makelele ya raha naipenda sana iyi movie

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami7780 4 года назад +8

    Azam tv turushieni movie kama hizi sio kila siku manakazi ya kurudia movie tu za akina Tin white na Ringo

  • @abdulkadir3057
    @abdulkadir3057 4 года назад +2

    Daaah atari san

  • @nicehonesty3936
    @nicehonesty3936 4 года назад +2

    Dahh dogo kanitoaga machoz tangu enz hizoo ad leo nampenda sana tizo jamni

  • @RukiaRukaiyarunde
    @RukiaRukaiyarunde 25 дней назад

    Nimeinjoy kunichek hiii move

  • @opiyoomollo5333
    @opiyoomollo5333 5 лет назад +5

    Move zazaman zilikua safi sana

  • @halima7255
    @halima7255 4 года назад +1

    Ongereni sana kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote nifundisho kuwa sana

  • @gracesemiono8040
    @gracesemiono8040 3 года назад +1

    Tizo anaweza sana

  • @HilaliMabuku-jy7ip
    @HilaliMabuku-jy7ip 5 месяцев назад +2

    kipindi icho wali na nyama ni tajiri😂😂😂😂

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba5881 3 года назад +1

    Daaah hii movie ni kali na haishi hamu😇😇
    Haijawahi kutokeya movie kama hii bongo

  • @mchiadarsizm1052
    @mchiadarsizm1052 6 лет назад +4

    Ktambo sana dah!! Enzi izo dem unamtongoza kwa barua ___vzr kwa iweka bado Chiku na Kapili (Safari)

    • @khadijamessiah8620
      @khadijamessiah8620 2 года назад

      Ile movie kwa kweli iyekwe tu kipindi hicho Niko s .t.d 1

  • @rachelmaula6871
    @rachelmaula6871 4 года назад +3

    Nilichojifunza safia anamuheshimu San mme wakee

    • @juliamhagama9035
      @juliamhagama9035 4 года назад

      Amelala nje apoludi anakalibishwa vizuli kweli anamuheshimu

  • @hawamusumbawanghatognola4470
    @hawamusumbawanghatognola4470 2 года назад

    We stori tamu sana 💯❤️‍🔥💞

  • @maryimah5173
    @maryimah5173 4 года назад

    Hii muvi ilikua na mafudisho sana..tofauti na bongo muvi za sikuhizi..kiukweli imenikumbusha mbali sana kipindi nipo mdogo.

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 3 года назад +4

    Movie za zamani zlkuwa znafundsha

  • @dashuusaalim8882
    @dashuusaalim8882 6 лет назад +3

    hongera kwa kutuwekea the old move ambyo naipenda xana

    • @hawadere1512
      @hawadere1512 6 лет назад

      Jamani hii move ni zamani sana tunafanya kelele kwenye nyumba ya watu. Mpk tunafukuzwa anaeongea lkn hatukomi ucku tuwekewe tena kanda la tepu. Hahha

  • @twalibndauka1451
    @twalibndauka1451 3 года назад

    Bonge la movie hongera Sana kwa stori nzuri.

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 лет назад +2

    Dh..... mizee mingine bange sanaa hinasahau hilipotoka fyuuuuu

  • @alexiswamillazo6520
    @alexiswamillazo6520 6 лет назад +38

    Itapendeza ukitupia na SAFARI chiku na kapili. Pia ROHO MBILI.. gd san

  • @sydney.ikapaya9994
    @sydney.ikapaya9994 4 года назад +1

    Sinema nzuri mnoooo

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Год назад

    Dah! Tuesday Kihangala,,Mussa Banzi na Sultan Tamba walikuwa watunzi bora Sana wa filamu za mapenzi,uchawi n.k,,Nipo live 2023 hapa.

  • @ElizabethMajundo
    @ElizabethMajundo 2 месяца назад

    nimekumbuka mbali sana

  • @manboyjunior8376
    @manboyjunior8376 6 лет назад +2

    Mhhhh hiii movie ya enzi gani haaaa nzuri xn

  • @SalumSafkim
    @SalumSafkim 6 дней назад

    Tumeni move ua mtemi masweta

  • @mbatomudi4664
    @mbatomudi4664 6 лет назад +4

    Nimeikubali

  • @hawwasandale1935
    @hawwasandale1935 3 года назад +1

    Duuuh! Mmeturudisha utotoni kitambo sanaaa nimefurahi balaa

  • @iradukundaSimplic
    @iradukundaSimplic 5 месяцев назад

    Iyi cinéma inatiya huruma sana mungu atupi mujakazi wake

  • @mwanahamisseif5506
    @mwanahamisseif5506 4 года назад

    Hii move uwa sichoki kuiangaliaa kwelii ya kale ni dhahabu 👌👌👌

  • @biommy6700
    @biommy6700 6 лет назад +4

    Nice movie.....hongereni wote washiriki...inamafunzo kweli

  • @nasraally1708
    @nasraally1708 3 года назад

    Nice movie kitambo san

  • @salvadordomingez8628
    @salvadordomingez8628 3 года назад +2

    Malipo yote ni hapa chini ya jua🙏 asanteni sana washiriki filamu hii inaelimisha jamii kwa ujumla

  • @hajisoko1790
    @hajisoko1790 2 года назад

    Hatari sana

  • @Rajabujangusho
    @Rajabujangusho Месяц назад

    Daah namkumbuka huyu muhindi wa kanjibhai

  • @thumaaesmail628
    @thumaaesmail628 6 лет назад +4

    zamani sana hii muvi

  • @amanimatokeo6765
    @amanimatokeo6765 6 лет назад +1

    Duu kitamb sanaaa hats bongo movies hazijabamb na bong freava

    • @amanimatokeo6765
      @amanimatokeo6765 6 лет назад +1

      Filam ya mafunzo makubwa tuepuke tamaaaa ss wanaume kwa Mali dhid ya vishawish vya wanawake

    • @alexassey5523
      @alexassey5523 4 года назад +1

      2020 tujuane hap

  • @rosemarypaulo8414
    @rosemarypaulo8414 6 лет назад +3

    wabongo bwana xa dam gan ya pink

  • @rukiahhussein6541
    @rukiahhussein6541 6 лет назад +5

    Napenda hii movie

    • @gaomariwa7637
      @gaomariwa7637 6 лет назад

      Mzee liko ambuyusha mzee hana busara kabisa

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +1

    mambo n 🔥🔥🔥🔥🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

  • @shaniabdul542
    @shaniabdul542 6 лет назад +4

    Asantee kwa movie nzur

  • @maimunanewton410
    @maimunanewton410 3 месяца назад +1

    Naangalia namkumbuka baba i was 6 old when he passed away 2006 alinunua hii movies enzi hizo ni tape kubwa ma bonge la tv..😢

  • @khadijakivanga9518
    @khadijakivanga9518 4 года назад +1

    Mda Sana nakumbuka mbal

  • @timotheopaulo3800
    @timotheopaulo3800 5 лет назад +1

    Tamaa mbaya

  • @naimakweyamba5340
    @naimakweyamba5340 5 лет назад +9

    Tarehe ya 7/10/2010 leo natizama tena move ya kitambo sanaa Aisee..
    😃😃 mie bado sijaona upizani

  • @jumabakwel4508
    @jumabakwel4508 5 лет назад +4

    Daaah kitaaambo kweli

  • @imanibaraka503
    @imanibaraka503 6 лет назад +4

    noma xan

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 4 года назад +11

    Nakumbuka mbali sana, enzi nikiwa mdogo kuliko hata huyo dogo Tizo. Bila shaka Mwalimu Ally (Tizo) kawa mtu mzima sasa. Pongezi kwa Tuesday Kihangala, jamaa kumbe mkali tangu kitambo hicho. Pongezi pia kwa Mussa Banzi. Banza Stone dah! R.I.P pia amenogesha sana humu. Inaitwa Kabuli la Safia na sio Sofia, niliogopa sana kitambo kile sikulala kabisa ila hata leo nimeogopa pia japo si kiviile.

  • @sadickrajabu4536
    @sadickrajabu4536 6 лет назад +5

    Hii movie nlkuwa mdogo sana iko poa sana

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 6 лет назад +8

    Shukran sana Kwa movie nzuri yenye mafunzo, Yani Mwanamume umekuwa Malaya mpaka umeua mkeo.Halafu wa Toto haohao waliokupa utajiri umewafukuza.Tamaa yako ona sasa.

  • @iamsaadi434
    @iamsaadi434 4 года назад +8

    2020 tjrs la ❤️🔥😂

  • @mwanaishamzee8572
    @mwanaishamzee8572 6 лет назад +4

    nice_movie

  • @amybrown469
    @amybrown469 3 года назад +4

    Jaman tunao angalia KABURI LA SOFIA 2021 tujuane

  • @MuraniSalim
    @MuraniSalim Месяц назад +1

    Kizazi sana 0:27 tupo 2024

  • @shiruclever1679
    @shiruclever1679 6 лет назад +2

    Safi sana namkumbuka mwalim msila kasulu tulikua tunaiangalia kwake

  • @zetimbinda4018
    @zetimbinda4018 4 года назад +1

    Kitambo move hii

  • @barakahatibu1629
    @barakahatibu1629 6 лет назад +1

    Nice move sana

  • @layaa5871
    @layaa5871 6 лет назад +11

    mxee liko wee kubafu Sana

  • @ruttycharles720
    @ruttycharles720 3 года назад

    Daah nimeamin wanaume wanabadilik

  • @saudaomary9363
    @saudaomary9363 4 года назад +1

    Daaah,kitambo sana

  • @okuchuigwee5814
    @okuchuigwee5814 6 лет назад +2

    Huyo mzee buree kabisa

  • @biroridjuma927
    @biroridjuma927 3 года назад

    Jaman ebu nikumbusheni iyi movie ilitoka mwaka gan

  • @evelyneimana9372
    @evelyneimana9372 4 года назад +1

    Izi njo movie turikua tu ki Miss asanteni

  • @Jamila96_juma
    @Jamila96_juma 8 месяцев назад

    I miss those moments😊😊😊😊 2024✌️✌️✌️

  • @hassansaid2113
    @hassansaid2113 6 лет назад +2

    Kaka hongera sana kw kututunzia kumbukumbu,kuna move ya bongo inaitwa shahidi ipo ila ni ya kitambo staring mbwana.

  • @chedichedi2992
    @chedichedi2992 6 лет назад +2

    Hassan hassan Asante sana kk kwa huiweka hii movie RUclips yaani long time sana

  • @hmsrashd7910
    @hmsrashd7910 2 года назад +2

    Nice

  • @cathereneisaka5570
    @cathereneisaka5570 4 года назад

    Movie nzur Sana, nainafundsha

  • @mwetafils8875
    @mwetafils8875 4 года назад +1

    Ya kale dhahabu

  • @mwetafils8875
    @mwetafils8875 4 года назад +2

    Oh mimi siendagi sehemu za starehe, sinywi pombe, nampenda sana na siwezi msaliti mke wangu hujawahi pata pesa. Zipate kisha tukusifu kenge wewe

  • @imanibaraka503
    @imanibaraka503 6 лет назад +3

    noma sana

  • @chaymahass
    @chaymahass 6 лет назад +2

    Thank you so much #GOOD MOVIE 💖💖👌👌

  • @Qeek_Smart
    @Qeek_Smart 5 лет назад +12

    2019 hiv ile pesa iloibiwa ni kwel pesa jaman iwekwe kwa nje jaman kaah

    • @herberthmakonter5965
      @herberthmakonter5965 4 года назад

      pesa haikuwa nje bali dogo alikuwa akiiba na kutia kweny mfuko pacpo muhindi kujua

    • @emmanulpatrick4211
      @emmanulpatrick4211 4 года назад +1

      Kitambo sana kipindi nipo la 2 mwaka 2004

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 4 года назад

      @@emmanulpatrick4211 mim hata shule nilikuw bad sijaanz

    • @emmanulpatrick4211
      @emmanulpatrick4211 3 года назад

      @@aminatanzanya7475 pole sana muvi Kali sana inafundisha

  • @ibrahibakar1167
    @ibrahibakar1167 3 года назад +1

    Kitambo icho nilikuwa napenda kuangalia bongo movie sio sasa.

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад +4

    Umaskini huu, baba mtu kashindwa kumgombeza mwanawe 😂😂😂

  • @JumaMpingo-x5b
    @JumaMpingo-x5b 3 месяца назад

    Duh zaman sana uwo muda tuliuza mayai kwa bei ya 50 ili tukaangalie video

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 6 лет назад +2

    duh asante sana hii movie nakumbuka tokea sijazaliwa

  • @timotheopaulo3800
    @timotheopaulo3800 5 лет назад +1

    Dah! Hama kweli mungu hamtupi mcha wake

  • @lukasmapunda6838
    @lukasmapunda6838 6 лет назад

    Daaaa wekaka noma sana

  • @FredrickWilliam-z7h
    @FredrickWilliam-z7h Месяц назад

    So Kwa muvi izii jmn tunamaluziana mb,,kitambo sana ,,,

  • @mayasakitambwa4186
    @mayasakitambwa4186 6 лет назад +5

    daaaaah mpaka nilikuwa nimeisahau kama naiyona mpya asante dj

  • @anithamwenda7725
    @anithamwenda7725 4 года назад +1

    Yan limelala njee AF asubuh karibu Mme wangu Fyuuu

    • @Jamila96_juma
      @Jamila96_juma 8 месяцев назад

      Huyo ndio wife material sasa😂😂😂😂mi siwezi

  • @manboyjunior8376
    @manboyjunior8376 6 лет назад +7

    Mmmmh Dogo sugu sn nhaaa