TUNAKUJUA-REVELATION CHOIR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 36

  • @AidanNsasu
    @AidanNsasu 3 дня назад

    Hongelen kwaya ya yerusalem nyamyusi kasulu wamama mmeupiga mwingine sana

  • @isaacngalawa-cc9dz
    @isaacngalawa-cc9dz Год назад +2

    Yesu hayumo ndani yenu kwa step hz za shetani

  • @EsterMazoya
    @EsterMazoya 3 месяца назад +1

    Maandiko yanasema kwakua bwana ni mungu wadunia yote imbeni kwa hakili,hiv nanyie wachungaji mpo mnashangilia haya some I maandiko

  • @AntonBalisa-ut7zm
    @AntonBalisa-ut7zm Год назад +2

    Mungu awabaliki wanawa mungu song zuri Sana lakini step za wamataifa

  • @KusekwaJohnCyprian
    @KusekwaJohnCyprian 3 месяца назад

    Duuh!! Tutafika mbingun tumechoka sana

  • @EliaFute
    @EliaFute Год назад +1

    Kwa kweli Viumbe vyote vimtukuze Mungu, mbarikiwe sana Singers

  • @lukassimon1054
    @lukassimon1054 Год назад

    Kuweni makini hakikisheni munaimba kwa roho na kweli siyo kimwili

  • @hellen9056
    @hellen9056 8 месяцев назад

    Wanakwaya Ivi kule mbinguni huwa warap kama nyinyi ivi malaika kule mbinguni wakimwimbia Mungu huwa wanarap ivo ivo? Mimi najua hakuna kitu kama icho mbinguni. Na kama hakuna nyinyi mnaiga kwa nani? Uhauri Msifuatishe staili za dunia hii Wala msiige staili za dunia kumfurahisha Mungu. Labda kama mnajifurrahish Nyinyi nafsi zenu. Ishini maisha mtakatifu. Acheni nguo za kubana Yesu anawapenda kiasi cha kuwainya mbele

  • @kingmbena
    @kingmbena Год назад

    Watoto wamefanya kwa utukufu wa Mungu habari za kusema hizo step zawamataifa ukomee ....kwanamna hiyo we ndo unawafatilia sana hao wamataifa.....

    • @hellen9056
      @hellen9056 7 месяцев назад

      Kijana muogope Mungu kuliko kitu chochote Duniani. Ucmfananishe Mungu na mwenye kiti wa kijiji kwamba Unaweza kucheza ngoma yoyote mbele yake nawala usimfananishe Mungu na raisi kwamba unaweza piga ngoma yoyote mbele yake na kucheza unavyo taka wewe. Ombeni Mungu awaongoze kwenye kucheza Unatakiwa ucheze kwa Roho na kweli maisha yako yawe matakatifu kwaza ndani mpaka nje

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 5 месяцев назад

    Nice nice!!!! ❤❤❤❤❤❤😂😂

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Год назад +1

    Greater song

  • @mshingomshingo1151
    @mshingomshingo1151 Год назад

    Mungu aendelee kuwainua nawamisi sana shaloom

  • @joycekwamboka1465
    @joycekwamboka1465 Год назад

    Aki you yesu you are dancjng I love these

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 4 месяца назад

    Muzuri sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇺🇸✝️🇮🇱

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 Год назад

    Shetani ni mnafiki sana

  • @LavinaDalmas-p4p
    @LavinaDalmas-p4p 7 месяцев назад

    Huyu mungu anakazi😂😂😂

  • @JovinaMshumbusi
    @JovinaMshumbusi 8 месяцев назад

    Tunasikiliza ujumbe hatuagalii step

  • @PaulEliud
    @PaulEliud Год назад +1

    Step na wimbo na mziki mjaribu kuzirekebisha warumi12:2

  • @rodahorobi7108
    @rodahorobi7108 Год назад +2

    Wow nice song

  • @busigatv
    @busigatv 8 месяцев назад

    Sawa sawa

  • @tumusifujohn4334
    @tumusifujohn4334 Год назад

    Mungu awabariki sana

  • @shamilanekesa9715
    @shamilanekesa9715 Год назад +1

    So nice 💯💯💯

  • @AgnessMack-hc8pd
    @AgnessMack-hc8pd 5 месяцев назад

    🎉

  • @WifeWadunia
    @WifeWadunia 6 месяцев назад

    ❤❤amee

  • @MusinguziEmmanuel-lj7qg
    @MusinguziEmmanuel-lj7qg 4 месяца назад

    Adi laa mwe zangu

  • @siphatoday7971
    @siphatoday7971 Год назад

    Makomandoo wa yesu

  • @Richard_Kilimba
    @Richard_Kilimba 11 месяцев назад

    Sawa

  • @salvatorysindarubaza6830
    @salvatorysindarubaza6830 Год назад

    Nice one

  • @AmaniEliyasi
    @AmaniEliyasi 3 месяца назад

    Mpo kanisan Afu mnachez pianos

  • @jonathanmutua9198
    @jonathanmutua9198 Год назад

    Hii imevuja record

  • @silanzuki8627
    @silanzuki8627 Год назад

    Aaaiii

  • @hellen9056
    @hellen9056 8 месяцев назад

    Alafu mnao koment jaribuni pia kushauri siyo tu mnaimba vinzuri wakati mnawapeleka wezenu jehanamu wakiwa na macho na miguu yao miwili. Waimbji Msipo tubu na kuacha mtanikumbuka

  • @mambothomas3183
    @mambothomas3183 Год назад

    Hiii

  • @GlodiKalenga-p9x
    @GlodiKalenga-p9x 2 месяца назад

    Xxxphoti