Wanakwaya Ivi kule mbinguni huwa warap kama nyinyi ivi malaika kule mbinguni wakimwimbia Mungu huwa wanarap ivo ivo? Mimi najua hakuna kitu kama icho mbinguni. Na kama hakuna nyinyi mnaiga kwa nani? Uhauri Msifuatishe staili za dunia hii Wala msiige staili za dunia kumfurahisha Mungu. Labda kama mnajifurrahish Nyinyi nafsi zenu. Ishini maisha mtakatifu. Acheni nguo za kubana Yesu anawapenda kiasi cha kuwainya mbele
Kijana muogope Mungu kuliko kitu chochote Duniani. Ucmfananishe Mungu na mwenye kiti wa kijiji kwamba Unaweza kucheza ngoma yoyote mbele yake nawala usimfananishe Mungu na raisi kwamba unaweza piga ngoma yoyote mbele yake na kucheza unavyo taka wewe. Ombeni Mungu awaongoze kwenye kucheza Unatakiwa ucheze kwa Roho na kweli maisha yako yawe matakatifu kwaza ndani mpaka nje
Alafu mnao koment jaribuni pia kushauri siyo tu mnaimba vinzuri wakati mnawapeleka wezenu jehanamu wakiwa na macho na miguu yao miwili. Waimbji Msipo tubu na kuacha mtanikumbuka
Hongelen kwaya ya yerusalem nyamyusi kasulu wamama mmeupiga mwingine sana
Yesu hayumo ndani yenu kwa step hz za shetani
Maandiko yanasema kwakua bwana ni mungu wadunia yote imbeni kwa hakili,hiv nanyie wachungaji mpo mnashangilia haya some I maandiko
Mungu awabaliki wanawa mungu song zuri Sana lakini step za wamataifa
Duuh!! Tutafika mbingun tumechoka sana
Kwa kweli Viumbe vyote vimtukuze Mungu, mbarikiwe sana Singers
Kuweni makini hakikisheni munaimba kwa roho na kweli siyo kimwili
Wanakwaya Ivi kule mbinguni huwa warap kama nyinyi ivi malaika kule mbinguni wakimwimbia Mungu huwa wanarap ivo ivo? Mimi najua hakuna kitu kama icho mbinguni. Na kama hakuna nyinyi mnaiga kwa nani? Uhauri Msifuatishe staili za dunia hii Wala msiige staili za dunia kumfurahisha Mungu. Labda kama mnajifurrahish Nyinyi nafsi zenu. Ishini maisha mtakatifu. Acheni nguo za kubana Yesu anawapenda kiasi cha kuwainya mbele
Watoto wamefanya kwa utukufu wa Mungu habari za kusema hizo step zawamataifa ukomee ....kwanamna hiyo we ndo unawafatilia sana hao wamataifa.....
Kijana muogope Mungu kuliko kitu chochote Duniani. Ucmfananishe Mungu na mwenye kiti wa kijiji kwamba Unaweza kucheza ngoma yoyote mbele yake nawala usimfananishe Mungu na raisi kwamba unaweza piga ngoma yoyote mbele yake na kucheza unavyo taka wewe. Ombeni Mungu awaongoze kwenye kucheza Unatakiwa ucheze kwa Roho na kweli maisha yako yawe matakatifu kwaza ndani mpaka nje
Nice nice!!!! ❤❤❤❤❤❤😂😂
Greater song
Mungu aendelee kuwainua nawamisi sana shaloom
Aki you yesu you are dancjng I love these
Muzuri sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇺🇸✝️🇮🇱
Shetani ni mnafiki sana
Huyu mungu anakazi😂😂😂
Tunasikiliza ujumbe hatuagalii step
Step na wimbo na mziki mjaribu kuzirekebisha warumi12:2
Wow nice song
Mungu awbariki😢
Sawa sawa
Mungu awabariki sana
So nice 💯💯💯
🎉
❤❤amee
Adi laa mwe zangu
Makomandoo wa yesu
Sawa
Nice one
Mpo kanisan Afu mnachez pianos
Hii imevuja record
Aaaiii
Alafu mnao koment jaribuni pia kushauri siyo tu mnaimba vinzuri wakati mnawapeleka wezenu jehanamu wakiwa na macho na miguu yao miwili. Waimbji Msipo tubu na kuacha mtanikumbuka
Hiii
Xxxphoti