#TAZAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 24

  • @regybahati5986
    @regybahati5986 4 дня назад +3

    Hongera Sana Mama na seriali kwa ujumla 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Hii ndio tulisubiri kwa muda mrefu. Dah! Heko Sana.
    Kujengwa Dodoma n vizuri maana ndio center ya Tanzania. Ni mapinduzi makubwa Sana kwa nchi yetu. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 День назад

    MashaAllah!!!

  • @alphageorge5563
    @alphageorge5563 6 дней назад +9

    Wakorea wakijenga hiko chuo, chukueni na mtaala wao. Vinginevyo mambo yatakuwa yaleyale.

    • @Kasika-hi6hf
      @Kasika-hi6hf День назад +1

      Eeeee! Bila kuchukua mitaala yao tutabaki na majengo tuu

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 2 дня назад +1

    Jeshi wasome sana,,na ikipendeza jwtz wakusimamie kwa ubia kwa siku hizi vita ni sayansi na teknolojia ya hali ya juu

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 6 дней назад +1

    Ahsante kua kazi nzuri unayofanya ❤🎉🎉❤

  • @matalo0551
    @matalo0551 5 дней назад +1

    Wooooow....superb

  • @unilinear-j3c
    @unilinear-j3c 2 дня назад

    MUNGU ibariki Tanzania wabariki viongozi Wake wakiongozwa na mama Samina ....... Hakika kazi yake tunaiona ...... kazi iendelee

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 4 дня назад +4

    ningeshauri kiendelezwe chuo cha udom badala ya kujenga vyuo vipya, kile chuo bado kinanafas kubwa tuuu na kinawexa kupanuliwa AHSANTE

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 4 дня назад +1

      wacha vyuo viwe vingi, UDOM bado ina nafasi ila mji wa Dodoma una nafasi zaidi, acha wajenge kwengineko

    • @benmuberwa2092
      @benmuberwa2092 3 дня назад

      Kumbuka Chuo kikisha kuwa na mitaala mingi, focus inapungua. Itakuwa ni vyema kuwa na Chuo specifically kuangazia mambo ya technology. It makes a lot of sense.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 День назад

    Hivi kama tenda hazitapewa wazawa hivi vyuo vya nini? Wazawa wapendelewe katika kandarasi ili kujenga uwezo

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 6 дней назад +1

    ONGERA TANZANIA , KIMYA KIMYA NA MAMA TUNASOMGA

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 День назад

    ❤❤🇹🇿🇹🇿🤟

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 6 дней назад

    MashaAllah!!!

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 8 часов назад

    Wa/ya kidigitali× wa/ya kidujiti

  • @NPY2024
    @NPY2024 3 дня назад

    Also employ qualified staff/Lecturers to run it once completed. To impart world class knowledge to the youth requires highly skilled teachers who can instill great deal of knowledge to the students.

  • @officialtmark1273
    @officialtmark1273 5 дней назад +2

    KILA KITU DODOMA NA DAR, TUMECHOKA

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 дня назад

      Ndio kwenye wajanja!

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 День назад

      Sasa unataka kijengwe wapi sema tuhamishe dodoma ni makao makuu kumbuka

    • @gosbertireneus5558
      @gosbertireneus5558 13 часов назад

      unataka kijengwe wapi?
      Chato au Kizimkazi????

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 5 дней назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 5 дней назад +1

    Kwamba Nchii ni Dodoma peke yk?

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 15 часов назад

      Dodoma is the Capital City of Tz. Hilo lazima liheshimiwe mzee