ULIZA UJIBIWE NO 25 (2024)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 апр 2024

Комментарии • 12

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 3 месяца назад

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 месяца назад +1

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @AdamHajj-zm6cp
    @AdamHajj-zm6cp 3 месяца назад +1

    Masha allah tabaraka llah

  • @KautharyMwinyi
    @KautharyMwinyi 2 месяца назад

    Mwanamke alieachwa baada ya kujifungua eda yake inakuwaje

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 3 месяца назад +1

    MASHAALLAH

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 месяца назад

    sheikh hawajui vibatali hao😂😂

  • @mohammadabdallahmzee3825
    @mohammadabdallahmzee3825 3 месяца назад +1

    assalaam alaykum sayyidiy. kuna taarifa kupatwa kwa jua tar 8.4.2024 unawanasih nin waislam
    Pia tupate faida je jua au mwezi likipatwa hupatwa ulimweng mzima au baadh ya sehem na km ni baadh je sehem ambayo haikupatwa mwei au jua nao wafanye sunna ya kusuf au khusuf km kufuata mwezi wa kimataifa?

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 3 месяца назад

    Sheikh izudin Alwy mm swali langu nauliza hivi je naweza kufunga sunna ya sita nikimaliza nikafunga swaumu ya Ramadhan ilionipita kwa dharura ya kisheria

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 месяца назад

      Naam unaweza

    • @zeynaaly1948
      @zeynaaly1948 3 месяца назад

      Ahsant kwa kunijuza ila kuna baadhi husema huwez kufunga sunna ya sita mpaka ukamilishe funga ya ramadhan ambazo umepata dharura

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 месяца назад

      @@zeynaaly1948 Naam hao wanakosea, maana siku sita ni siku chache tu na ambazo zipo ndani ya mwezi wa Shawaal peke yake. Lakini kulipa funga ya Ramadhani unaweza kulipa muda wowote hadi ramadhani nyingine ije.