Wimbo unaoelezea KESI iliyopelekea MBARIKIWAKUFUNGWA MIAKA 3. Sikilia ujue mambo yalivyokuwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 313

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa  11 месяцев назад +13

    Kwa wale wanaotaka kutoa pesa kwa ajili ya kukata rufaa, namba ya simu ni +255 769 015 164 (M-pesa), inasoma MBARIKIWA MWAKIPESILE

    • @prosistatarimo6964
      @prosistatarimo6964 11 месяцев назад +1

      Mungu mwenyewe ndie atafanya rufaa. Munamfunga mtumishi wa Mungu mnafikiri Mungu amelala . Mtakiona cha moto.

    • @MalaikaHome
      @MalaikaHome 11 месяцев назад +1

      Liko jambo mungu atatenda ni suala la kusubiri tuu

    • @emmanuelthomas1078
      @emmanuelthomas1078 11 месяцев назад +1

      Kwendreeeeeen zenu huko!Hiyo pesa c ni bora kwenda kuwapa Yatima.

    • @joshuamaduka
      @joshuamaduka 10 месяцев назад +1

      Mtegeme MUNGU kwani yeye ni mweza wa yote utashinda

    • @jehovahelgibortv9252
      @jehovahelgibortv9252 10 месяцев назад

      😢😢Baba kumbuka rehema

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s 11 месяцев назад +6

    Tanzania nchi ya amani,yaani kama hujatendewa utasema tanzania ni nchi ya amani lakini nasema siku Mungu atachukia juu ya nchi ya Tanzania kwa haya mauvo na uenevu unaendelea hapo ndipo utamjua Mungu, pole sana mtumishi wa Mungu naaminiu Mungu yupo upande wako na ichi wanachokifanya hakitawaacha salama watawala.amen

  • @AnnethMbuba-cl4ve
    @AnnethMbuba-cl4ve 11 месяцев назад +1

    Mtumishi soma hapa,,naomba usilalamike Tena,,naomba kubali kifungo na ukaingie na Mungu huko ndipo utaona mkono wa Mungu unavyofanya kazi,, Paul na Sila walifungwa mungu alikuwa pamoja nao,,kubali tu hukumu Yao bila kukataa,,Maadam TU unamwamini mungu

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 11 месяцев назад +1

    Bwana Yesu simama na Mtumishi wako!!
    Kama ni kweli serikali inandimi mbili kazi ipo,ni Mungu mwenyewe asimame kuwapigania watu wake.
    Serikali isipo litizama hili kiundani itapanda uharibifu na siku likilipuka hata hivyo viti wanavyovikalia vitakuwa moto siku Moja.
    Mungu hadhihakiwi

  • @agustinomgonde1573
    @agustinomgonde1573 11 месяцев назад +4

    Kuelekea haki ya ukweli ziipo hatua za kuvuka.hii Ni moja ya hatua.mungu ampe baraka huko aliko.atatoka siku moja akiwa na furaha na amani.

  • @roberttirop8181
    @roberttirop8181 11 месяцев назад +4

    Poleni watumishi Mungu yupo ...tuko pamoja Mungu awaongoze Tanzania ,Kenya tuko pamoja

  • @aimadsanga3733
    @aimadsanga3733 10 месяцев назад +1

    Kama lilivyo jina lako "MBARIKIWA" Hakika Umebarikiwa! Wewe na kikosi kazi cha Injili, pamoja na tukusikiao Kwa nyimbo zako na mahubiri/mafundisho sahihi uyatoayo,ki Ukweli Umekuwa Baraka Sana. Mungu akubariki,akulinde na akutunze popote ulipo, wewe na kikosi kazi.

  • @user-mq9jt2it8q
    @user-mq9jt2it8q 11 месяцев назад +2

    Pole sana mtumishi mwakipesile mungu yupo pamoja nawewe unatoka muda si mrefu

  • @pascalmgaza2230
    @pascalmgaza2230 11 месяцев назад +4

    hii serikali ya kifisadi amebaki Mungu tu kuingilia kati juu ya maonezi yote juu ya watu tena hasa kwa shujaa wetu kiongozi aliekuwa anamulika uovu nakuukemea wazi ktk kristo Yesu watalipa hata kama sio sasa ila watalipa tu kama maandiko yasemavyo.
    🙏🙏

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 месяцев назад +2

    mungu muuazziibu hhuuyu mzznbarr muuzzaa. baandari za. t nganyika akaacha za urithi wa babana babu zake mpe pigo turione kabla ya uchaguzi 2025 tuteendee mungu kwa zuruma hiii

  • @user-nz8wr5rx8g
    @user-nz8wr5rx8g 11 месяцев назад +1

    Mungu akutokee huko derezani kama alivyowashindia Paulo na sila .pia usivunjike moyo hakika mungu hatakuacha

  • @etoabwe3451
    @etoabwe3451 11 месяцев назад +2

    Mungu ndiye mtetezi wako Mtumishi Mwakipesile umefanyika kama vile walivyo fanyiwa Yohana naStefano ila Mungu atakutetea

  • @grolyjepha5771
    @grolyjepha5771 11 месяцев назад +1

    Good song.pole xana mtumixhi Hilo ni jaribu lako ila mungu muumba mbing na nchi atapigana mwenyewe🙏

  • @swigandabila3418
    @swigandabila3418 11 месяцев назад +9

    Mungu akutane nahaja moyo wako👏👏

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 11 месяцев назад +3

    Daaaah Mbalikiwa Mungu akusimamie baba mtumishi wa Bwana

  • @user-sk6ly4oj9c
    @user-sk6ly4oj9c 11 месяцев назад +1

    Rais ni mama mwenye huruma na uchungu.alitazame sana hili watumishi wa mungu hawachezewi. Watanzania tulaan sana tukio hili la kishetan

    • @user-jp8sl3dj6q
      @user-jp8sl3dj6q 11 месяцев назад

      Huruma tena huyoalieka mkimtus mbona mlpokua akimtusi hamkusema Leo ndio amekua mama aende akajifuze huko

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 11 месяцев назад +4

    Mungu yupo pamoja nanyi Mimi ni mwislam lkn imeniuma sana wakristo ila huyo wakili na walio mfanyia hivyo Dua ya Allah ipo naamini hata dumu tupo nyuma yako mchungaji

  • @user-dz3rl1ki6u
    @user-dz3rl1ki6u 11 месяцев назад +2

    Najaribu kuwaza mzigo ulioubeba hata huko gerezani ni kwa namna gani unaweza? Kwa kweli Mungu atabaki kuwa Mungu kifupi kanisa hakuna wakati mnahitaji kuomba kama huu wa leo kimsingi mi naamini iwe mvua iwe jua razima majibu yapatikane kutoka kwa Mungu Jehova sioni Mungu wa Mbingu na nchi akikaa kimya

  • @user-vw4um3oo4b
    @user-vw4um3oo4b 11 месяцев назад +2

    Mungu ana kusudi na wewe ndiyo mana ameruhusu upitie haya kaza mwendo.shujaaa.hata huko magereza mungu yupo atakutetea tu

    • @supendinelao
      @supendinelao 10 месяцев назад

      Mungu akitie nguvu zaidi. Muombee wakofu huko aliko

  • @mackmillan9040
    @mackmillan9040 10 месяцев назад +5

    Mi ninachojua ukwel wote mungu ndo anajua,mimi niwashuhudie tu, mwaka jana mwez 8 nilikosana na mumewangu, kwasababu alikuwa amezidi kunisumbua nikaondoka kwa Asira ,nikaacha watoto wangu 3,nilivyondoka hakuangaika kunitafuta turekebishe tuendelee kulea watoto, Alichofanya baada ya mwez kaowa tena kaolea pale pale ndan kwangu ,niliposkia hvyo niliumia sana nilichofanya nikulia na mungu tu nikiamini mungu yupo na maisha ya mtu anapanga mungu bhas nilipambana na kufunga na kuomba mungu akanifungulia njia mwez 12 tukarudiana kwa ushindi mkubwa yule mwanamke akaondoka sasahivi namshukuru mungu nalea wanangu haikuwa Rahisi ila mungu Alinikumbuka akanifuta machozi,ndugu zake wanasema nimeloga ila nimungu mwenyew, hakuna linalomshinda mungu ,

    • @jonsonmulisa7621
      @jonsonmulisa7621 10 месяцев назад

      Amen

    • @MarySimoni-tz3fm
      @MarySimoni-tz3fm 10 месяцев назад

      Huo ndo ukweli

    • @patrickkyando1705
      @patrickkyando1705 8 месяцев назад

      Mungu ni mwanifu

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 6 месяцев назад

      Pole sana Mack! Kuna michawi inasambaratisha nyumba xa wa2,hilo malaya lililoolewa ndo lilikuwa linakukosanisa na mumeo.Yaani maombi yahahitajika sn kumlinda kume/mke kwani shetwani yuko kaxini kuharibu ndoa xa wa2.

  • @davisnkoba2683
    @davisnkoba2683 11 месяцев назад +4

    😢😢😢😢 Mungu atabaki kuwa Mungu Tu haijalishi watu wake wanapitia yapi. Hakika Mungu YUPO na mapenzi yake na yatimizwe hatutakiwi kukata tamaa. Tuendelee kumshukuru kwa ukuu na UPENDO wake KWETU. Yote tuyapitiayo hakuna ambapo hayupo nasi. Mengine nimazito MNO lkn huja iliajidhihirishe KUWA yeye NI Mungu. Mbarikiwa mma palwangu ulikiketelo. 😢😢😢 Kyala alinako akakuja nako Na nungwe. Kunyuma syepwa, nkyeni itolo Kyala ali Na nungwe.

  • @ngendakuriyotriphose8109
    @ngendakuriyotriphose8109 11 месяцев назад +6

    Shujaaaa kama MAGUFULI. Mungu mbele.

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 11 месяцев назад +1

    Dah poleni sana mungu awatetee tu

  • @justinswati8225
    @justinswati8225 11 месяцев назад +2

    Eeee Mwenyezi Mungu usimpungukieee mtu uyuuu!

  • @mangasachiragi6201
    @mangasachiragi6201 8 месяцев назад

    Mmbarikiwa nakufatiria sana mambo Yako uwa nikikusikiriza sana uwa natokwa na machozi ila kaza moyo yesu yupo njiani maana yeye ndo hakimu wa maakama kuu ya mbinguni

  • @user-nn9cu3pm7u
    @user-nn9cu3pm7u 10 месяцев назад +1

    Mungu akutetee nenda kaendeleze ibada na uhubir kwa moyo wote na imani iliyotukuka,nenda huko Mungu Ana makusudi yake😢😢😢

  • @charlessokoine-qp7uq
    @charlessokoine-qp7uq 11 месяцев назад

    Pole Sana mtumish wa mungu mbarikiwa jua mungu anajibu Kwa mda asio jua mtu kwahiyo tumpe mungu mda wake Mimi najua mungu atajibu tu

  • @peterbarasa4210
    @peterbarasa4210 10 месяцев назад

    Am from Kenya 🇰🇪 but will imtervine with petition mungu shuka gerezani umtue mtumishi wako

  • @GregoryMveyange
    @GregoryMveyange 4 месяца назад +1

    Kaka unatisha mungu atatenda tuwewe pambana watu was mungu huwa wanachukiwa sana mm najua wewe utanyanyuliwa kuwa juu

  • @SAMSONKOIKAI
    @SAMSONKOIKAI 11 месяцев назад +4

    Oh my kind loving God,,help this man of God,let your power be seen in him,,

  • @user-un5ho5jh5k
    @user-un5ho5jh5k 11 месяцев назад

    Hakuna atakae shindanana shauri la Bwana kamanda was yesu mbarikiwa usiogope adonai anajeshi la malaika maelfu elfu atawatuma kukutoa katika mitego yao Nani natamka kwa jina la yesu Bwana aweke hofu ndani ya mioyo ya maadui na watesi wako watafungwa wao amina

  • @user-dd1vi5wb1e
    @user-dd1vi5wb1e 10 месяцев назад

    Mungu ashindwi Paulo na sira waliomba geleza lifunguka na ss tumwombe mchungaji mwakipesile

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 11 месяцев назад +1

    Daah, imeniumiza kwel hii, Machoz haya siku Moja yatalitafuna taifa

  • @emilyguguza8469
    @emilyguguza8469 11 месяцев назад +3

    Nakupenda sana shujaaaaaaa

  • @evaemil856
    @evaemil856 11 месяцев назад +5

    Najua mama Samia atapenda kukutana na huyu baba na kuamuru afutiwe makosa yote aliyosukumiwa. Na haki zake hakika atapewa. Tusubirie.

  • @GregoryMveyange
    @GregoryMveyange 4 месяца назад

    Mungu atajibu tu nahao no wanadamu tu kwa mungu hayo no madogo mungu atabomoa mambo yao kwa damu ya yesu ameni

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 11 месяцев назад +6

    Damu ya wenye haki inalitesa Taifa langu 🇹🇿Mungu mapenzi Yako yatimizwe ....Tutateseka hata kufa lakini hatutaogopa kukuabudu na kusema kweli .....Tuseme Uongo kama Akina Mwijaku tusikuogope wewe ilituwafurahishe wao. Lipi tufanye tuambie Muumba wetu

    • @alphoncejmrema7912
      @alphoncejmrema7912 10 месяцев назад

      Aisee Mungu ni mwema sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 11 месяцев назад +1

    Siku si nyingi majibu yatapatikana, mwenyezi mungu tunusuru watanzania.

  • @Peterkasanga-fp6hd
    @Peterkasanga-fp6hd 11 месяцев назад +3

    Kila jambo na wakati wake, huu ndio wakati ulikuwa umepagwa na Mungu mtumishi wake akawahubilie watu gerezani pigainjili usiludi nyuma.

  • @user-gt7xu3eh4l
    @user-gt7xu3eh4l 10 месяцев назад

    Pole sana mtumishi wa Mungu Zaburi 121:1-2

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 11 месяцев назад

    Kama ninge sikiliza mimi kama mukristo anaye amini injili n'a MUNGU muumba wa mwanadamu n'a bwana wetu YESU KRISTO ninge omba tuwe na muda wa kusifu n'a kushukuru MUNGU kwa kufungwa kwa mbarikiwa sababu amefunzwa kwakutetea injili tu furahi tusifu tu abudu MUNGU ata onekana tukinungunika nakulia adui atapata nafasi kwetu amina

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 11 месяцев назад +3

    Mungu ameruhisu hili kuna kazi gerezani mtumishi nenda ukafanye kazi ya Bwama huko,Mungu wa mbinguni akutie nguvu uitende kazi yake Amen.

    • @user-yn5lk7wk1r
      @user-yn5lk7wk1r 11 месяцев назад

      Bwana kuna kitu atafanya kwa ajili yenu msijali yamkini kuna kitu anataka ufanye na gerezani.ila Mungu ajanyamaza hata hapo Ametenda makuu

    • @josephpima9075
      @josephpima9075 10 месяцев назад

      Wapendwa msilie June kua ameenda kufanya utume gerezan

  • @EunnyNicks
    @EunnyNicks 8 месяцев назад

    Mungu akutendee mema man of God

  • @neemamhagama9393
    @neemamhagama9393 10 месяцев назад

    Bwana MUNGU MAPENZI YAKO YATIMIZWE...Amen... Polen wapendwa MUNGU YUPO ANAWAPIGANIA..AMEN

  • @FaithHozza
    @FaithHozza 3 месяца назад

    Kweli hili ndilo kanisa la Bwana liloamua kujitoa bila kuogopa Mungu awabariki sana😢😢

  • @StelaKiwale
    @StelaKiwale Месяц назад

    Mungu.akubaliki

  • @thomasmchau9862
    @thomasmchau9862 10 месяцев назад

    Hivi Yesu alisajiliwa kwenye nchiardhi yake? Usajili na ujio wa Yesu wapi na wapi?.
    Ile nguvu iliyo ndani mwa Yesu iliwapumbaza wenye hila madarakani.
    “Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?

    - Luka 23:31 (Biblia Takatifu)
    Nguvu busara na upole ni vitu muhimu sana kuwa navyo kabla ya kuingia kazini.
    “Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.

    - Mathayo 10:16 (Biblia Takatifu)

  • @HappyErnest-mk3jk
    @HappyErnest-mk3jk 11 месяцев назад +1

    Daaaaah inauma sana... MUNGU kweli yako na isimame

  • @pst.simonmwakima4990
    @pst.simonmwakima4990 10 месяцев назад

    Yote hutendeka kwa wema mungu hajafunga macho mwangalie mungu afanye anachotaka sasa jipe moyo kanisa

  • @user-be2xx2cl7n
    @user-be2xx2cl7n 9 месяцев назад

    Pole sana mtumish mungu akupe ngu u

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 Месяц назад

    Mungu ulie juu nahitaji majibu yote ninayo jiuliza unujibu wewe bwana na mpe nguvu baba angu na mama angu kwa mapito waliyo pitia 😭😭

  • @mathamwabamba1845
    @mathamwabamba1845 9 месяцев назад

    Daaaaa mungu wetu nimwaminifu .mbalikiwa hawajaw kuwah wala kuchelewa

  • @JosephMwandu-hg1vj
    @JosephMwandu-hg1vj 4 месяца назад

    Pole mtumishi

  • @tilaboymatata3411
    @tilaboymatata3411 9 месяцев назад

    Mungu amtete mtumish

  • @user-zg8xv4eb9u
    @user-zg8xv4eb9u 11 месяцев назад +1

    Mungu ni muweza wa kila jambo,huko gerezani atakusimamia.Walokutendea wanajiona washindi wa hapa duniani lakini ole wao,siku si nyingi watalia na kusaga meno.

    • @zennamtunda6587
      @zennamtunda6587 10 месяцев назад

      Mungu akutie nguvu hata yusufu ili andiko litimie au ndoto ilimlazim atiwe gelezan simama tu mungu hajanyamaza kusudi la mungu lasimama milele

  • @ashantimoleta7798
    @ashantimoleta7798 11 месяцев назад

    Glory to God Glory to God mtumishi M mbarikiwa

  • @agustinogodfrey6583
    @agustinogodfrey6583 11 месяцев назад +7

    Machozi ya mwenye haki hayataenda bure,tusubiri majibu ya Mungu wakati haudanganyi.

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 10 месяцев назад

    Naumia sana katika hili nawezaje kuishi nchi isiyotenda haki Ila Mungu ndiye mtenda haki naamini hutokaa gerezani Bali utatoka tu Kama Paulo na sila walotoka gerezani wewe mbarikiwa ni nani Mungu asikutendee Jambo huko

  • @JAPHETYMADUSA
    @JAPHETYMADUSA 9 месяцев назад

    Anaefiliri anakukomesha, yupo Mungu awkomeshae wote Wenye viburi kama farao. Ipo siku Mungu atakukumbuka nakuwakatilia mbali, wote waliotenda hila kwako katika hili. LAKINI WEWE USIOGOPE USIVUNJIKE MOYO USIKATE TAMAA, MUNGU YUPO PAMOJA NAWE ATAKUSAIDIA TU. SAWA SAWA NA NENO LAKE KATIKA ISAYA 43-1-HADI 26. MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @gwakisamwakatage7722
    @gwakisamwakatage7722 11 месяцев назад +2

    Mungu atabaki Kuwa Mungu

  • @user-uc9fm9we9c
    @user-uc9fm9we9c 11 месяцев назад

    Mweee kamani watumishi wamungu mumeaza kuwafunga kamani ndunia inaenda wapijamani tumeokolewa wengi kupita watumishi wamungu mungu akutie nguvu baba eti pole sana

  • @CHRISTOPHERKIMWAGA
    @CHRISTOPHERKIMWAGA 11 месяцев назад +1

    Kweli mtumishi wewe ni mkweli na watumishi kama wewe ni wachache sana katika nyakati hizi wengi wapi kimasilahi binafu Dio kihuduma mungu yupo

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 11 месяцев назад +1

    Mungu asimame na ww mtumishi wa Bwana.

  • @hassanalfan9395
    @hassanalfan9395 11 месяцев назад +1

    Kafanye kazi ya mungu gerezani mungu anakupenda sanaa😂😂😂😂

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 11 месяцев назад +2

    Mamlaka isicheze na Mungu....Mungu atatoa PiGo

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 8 месяцев назад

      Naomba sana lolote lifanyike kuirejesha Tanzania kwenye mstari.
      Serikali imekuwa kubwa zaidi ya Mungu Tanzania.

  • @PaulethaMalusu-hv2fy
    @PaulethaMalusu-hv2fy 7 месяцев назад

    Jamani mungu ni mwenye haki yote yataisha tuu kwauwezo wa mungu

  • @ruthmkwizu-xc9yy
    @ruthmkwizu-xc9yy 6 месяцев назад

    Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga, wewe Mungu ujibuye kwa moto jitukuze kwa mtumishi wako, ukamlipie kisasi

  • @monicashayo9096
    @monicashayo9096 10 месяцев назад

    poleni sana jaama yake na yeye mwenyewe

  • @geregoniyanizigama6061
    @geregoniyanizigama6061 7 месяцев назад

    Yesu awaonekanie huwa ukweli unashinda siku zote msivungike myoyo huo nimwanzotu wakristo tuombe sana

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 11 месяцев назад

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @Angela-xt1uz
    @Angela-xt1uz 11 месяцев назад

    Naamini Mungu ameruhusu hili kutokea ili amtumie mtumishi wake hata gerezani ili neno lake liwafikie watu wengi. Tuzidi kumuombea tu

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...4967 11 месяцев назад +15

    viongoz wa Nchi wana jidhalilisha sana kuwafunga watumish wa Mungu ,Niombe viombe viongoz wa dini wapige kelele kuhs uonevu wa viongiz wa dini na raia wa nchi hii

    • @NicodemusGasore-xk9kd
      @NicodemusGasore-xk9kd 11 месяцев назад +1

      Hapana, viongoz wa din wameamua kuwa wana siasa, injili siyo siasa

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 11 месяцев назад

      Rais anaingiaje hapo we zwezwe mbona mnapenda kuzusha na kueneza chuki za kiimani bila sababu za msingi! Kwanza lazima mjifunze kuheshim mamlaka, yani RAIS unamtamka kana kwamba ni mwanao! huyo mpuuz wenu ananini chukufuatiliwa na RAIS wa nchi! ebu jaribuni kutumia akili timamu, RAIS ndio cheo cha mwisho na cha kwanza duniani nahivyo mshukuru tu RAIS Samia ni mpole mama wa watu hana makuku ungekua Mimi ndio mwenye mamlaka ya nchi ningesha kunyoosheni wote

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 11 месяцев назад +2

      Kwani siasa imeanza wakati huu soma maandiko ya mungu vyote vilivyoko duniani ni mungu ndiye anatawala .

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 11 месяцев назад +2

      Viongozi wa dini hawawezi igusia kesi la mbarikiwa sababu mbarikiwa amekemea viongozi wa dini n'a viongozi wa serikali njo mana umeona mwanzo mwisho hawakugusia hâta watangazaji wa habari walinyaza sababu amegusia kote mbarikiwa hana rafiki kwenye dini ao kwenye serekali

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 11 месяцев назад +1

      Halafu wa kudunia hawafungwi! Mungu atawapatiliza..🙏🏾

  • @user-bq3gf5di8q
    @user-bq3gf5di8q 8 месяцев назад

    Hao hawana hofu ya Mungu mioyon mwao wewe simama na Mungu tuuu atatenda kwako

  • @user-oh1qs3rx5i
    @user-oh1qs3rx5i 10 месяцев назад +2

    Acha matunda yalioiva yadodoke yenyewe niswala lamuda mutumishi mungu yu pamoja nawe

  • @StephenKalenzi-fg3km
    @StephenKalenzi-fg3km 9 месяцев назад

    Mungu akubariki

  • @MeshackMaduka
    @MeshackMaduka 11 месяцев назад +1

    Mbarikiwa wewe ni shujaa wa kristo nakupenda sana

  • @christinakamwela9368
    @christinakamwela9368 11 месяцев назад +1

    Poleni sana watumishi wa Mungu

  • @zundatv5470
    @zundatv5470 11 месяцев назад +1

    kiukweli taarifa hii imeniuzunisha sana lakini hivi nikwann watu tunacheza na sauti ya mungu?mi naamini mungu ni mungu tu hata hata watu wafanye nini napia kwakua wameamua kuziharibu njia za mungu basi naimani majibu yao yapo njiani

  • @HamfreyAlex-hc4bh
    @HamfreyAlex-hc4bh 11 месяцев назад

    Mtumishi Mungu akutie nguvu sana mtu wa Mungu ilapia dhahabu ili ijulikane vizuri na kungaa sana lazima ipitishwe kwenye moto.

  • @user-wz9xh7io8z
    @user-wz9xh7io8z 6 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo 11 месяцев назад

    Mungu Atakutetea Mtumishi WaMunguHao Hawamjui Mungu Mungu Ndio Kitu.

  • @user-ob6qy8py6l
    @user-ob6qy8py6l 10 месяцев назад

    Pole Kwa mapito

  • @VeronikaJerome-wr8yz
    @VeronikaJerome-wr8yz 10 месяцев назад

    Mimi siyaona koza apo kumfunga mtumishi wa mungu ira serekari aipendi kua mbiwa ukweri

  • @malengamsombwa3115
    @malengamsombwa3115 11 месяцев назад

    Hata huko magerezani mungu akutie nguvu akulinde akutete.

  • @ceciliaomukunda7524
    @ceciliaomukunda7524 Месяц назад

    Let pray for this servant of God.

  • @VotanVotan-gb3hd
    @VotanVotan-gb3hd 11 месяцев назад +4

    Mungu Yu pamoja nawe

  • @kirimiamwakipesile4947
    @kirimiamwakipesile4947 10 месяцев назад

    Amen Mungu yupo

  • @theobaldmbunza3289
    @theobaldmbunza3289 11 месяцев назад +5

    Tunahitaji Amani ya Tanzania bila maneno yanayochochea chuki,Ujue haki na taratibu za kazi

  • @user-hx9ev6rk7o
    @user-hx9ev6rk7o 11 месяцев назад +1

    Mungu akutendee Kama alivyo tendewa Petro akiwa gerezani,😢

  • @user-ec9td8lv7s
    @user-ec9td8lv7s 11 месяцев назад +1

    Mungu yupo utatoka tu

  • @justinayohana6136
    @justinayohana6136 11 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa mungu ,mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe mungu akufanyie wepesi

    • @AminaAmina-mz3mk
      @AminaAmina-mz3mk 10 месяцев назад

      Mwenyewe haki hajawahi kuachwa .duniani nishelia haki ni mbinguni

  • @user-sw1nd2vv2l
    @user-sw1nd2vv2l 10 месяцев назад

    Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba kina Paulo walitupwa gerezan lakin nungu aliwapigania uwe hodari n moyo wa ushujaaaa yesu anaish na atakutetea

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 11 месяцев назад +4

    Hakika mungu hajawahi kumuacha mwenye haki

  • @tumainiwafula9609
    @tumainiwafula9609 7 месяцев назад

    let God give you strength man of God, we are together in prayers 🙏

  • @hildakirui119
    @hildakirui119 7 месяцев назад

    Waaaa this's really painful and sad there's a tunnel at the end of road.

  • @gracebenson1552
    @gracebenson1552 10 месяцев назад

    Tuko pamoja mtumishi wamungu kusema ukweli roho inauma naamini mungu atahukumu kwa haki kwenye kwel mngun

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 11 месяцев назад +2

    Dhahabu njema hupitishwa kwenye moto Mungu akutetee akutunze akutie nguvu kaa na aliyekuteua kumtumikia hatakuacha Paulo na sili walikuta humo lakini aliyewapaka mafuta aliwakumbuka mpaka leo yupo hajapata jikabidhi kwake

  • @SirajiImamu
    @SirajiImamu 9 месяцев назад

    Heee baba mung napmba mtoe uyu mbarkiwa heee munguuuuiii wetuuuuuuu aleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @MalaikaHome
    @MalaikaHome 11 месяцев назад +2

    Mungu yupo na atatenda muujiza wake

  • @MaikeMkenda-qd7yk
    @MaikeMkenda-qd7yk 11 месяцев назад +1

    Paulo na 😊sila nao waliomba