Hjui kupika sivooo mm napika every day nnawafunzii tele kama nn njoo kwenye darasa langu hjatia pilipi boga bilingani huna ujualooo shira au shilaaaa ujue kama huna ujalooo
Huo ubuyu ukisha nunua utie sehemu unaweza kuuponda halafu chagua kamba kamba uzitupe uwe safi sasa unatoa uhuyu weka kando na unga wake utapata unapotoa ubuyu hivyo ndio huwa na fanya mie
@@selinealbert7880 shira ni sukari ambayo ina chemshwa ikiiva huwa ina nata ukiishika kui test kama is ready kuepua msikize vizuri kipimo cha maji na cha. Sukari akichanganya kuchemsha sawa dear
Asante sana nimejaribu kupika imetoka rangi haijakolea kama Yako na ukila mwishoni nakutana na uchachu wa ubuyu
Hili pishi nimelielewa. Asante sana.
Safi sana mwalimu wetu.
Asante sana nauliza naomba kipimo cha maji
Umefundisha vizuri na unamtia moyo mtazamaji kwa kukazia kuwa ni rahisi sana nimependa
Asante sana mpendwa wangu
Nependa pia nimejifunza nashukuru sana
💕💕💕
Ubarikiwe ngoja nik ajaribuu
Karibu
Maji umeweka kiac gan
Asantee ubarikiwe my
Hasina Rashid ur welcome
Hasina Rashid ur welcome
Namelipenda somo na Mimi nataka nifanye biashara hiyo
Mashaalah.M/MUNGU atakulipa ujilah wako kwa mafunzo aya.
Asante sana dear
Thank you very much 😊😘❤️
Ur welcome dear
Asante nimejua mengi
Karibu
Wao wanakausha na mashine lakn awasemi kama una mashine kausha na jua my dear
Nzuri Sana Asante kwa mafunzo ngoja tukapige pesa sasa
Vizur sn
😜😜😜😜😜 mzuriiiiii acheni wivuuuuu
Asante dadah
Abdallah Mboga kribu
Shila inapowa kwanza ndounatiaunga au inakuwaje
Mm unakuwa mkavu kwann?
Asante mpedwa
Mi naomba namba yako
Caro's kitchen Instagram
Kujua kiwango Cha maji ubuyu na sukari
Dada uounga unautoa wapi au mabuyu unayatwanga kwenye kinu
Nadhani ubuyu ukichekecha una unga.
😋😋😋😋
Ika Malle ooooh legend thank you so much for subscribe my channel 🥰🥰
pro trick: you can watch series at Flixzone. Been using it for watching lots of of movies these days.
@Hayes Abdullah yup, I have been watching on Flixzone for since november myself :D
Nahitaji kujifunza mwalimu
Tengeneza vijitabu vya mapishi tutavinunuaa
Nimejaribu kupika ila ubuy unakua mgumu naitaji uwe lain niweke nn
Hajib maswali muhim mbn
Fata recipe kama hiyo ubuyu wako utakuwa sawa umeoika Shira kupiliza
Baking powder kidogo sana
@@CarosKitchenKenya orodha ya mahitaji kipimo ya unga wa mabuyu haionehani imefunikwa na logo hapo chini
oky nekupata vip namba yako.haujaweka.hewani
Iliubuyu wako uwe na chenga nyingi unafanyaje
Anti me nmepika ilah una nata nata haujiachii asa sijui nmezidisha maji au sijui ni nini at sielewi anti
Umezidisha
Me pia nimepika lakini ubuyu wangu umekataa kukauka😢
Umeweka sukari gani ya kawaida au ile ya icrem
Ya kawaida
Dada namba
Utafanyeje ili ubuyu mwingine usiwe mweupe
Asante Mwalimu. Maji kikombe cha ukubwa gani?
Ata cha chupa
@@CarosKitchen jamani mbona sukari yako nyeupe jamani dada
Ipo mbn
Ame
Linafaa
Maji kikombe cha kiasi gani
Kiswahili cha kenya bara
Jaman me nakwama wap mbona kila nkitengeneza naharib
Jaribu kila mara
Mashaallah
Asante
Niunga gani uyo umetumia
Unga wa ubuyu
Yaaan dada mm Kila nikijaribuuu ubuyu unashikana mnooo na mwingne unakuwa mweupe
Linqueen Herman Herman pole dear jaribu kuweka unga wa ubuyu mwingi na shira iwe yakutosha
Hauna group la what's app ili iwe rahis plz my
Linqueen Herman Herman nichek instagram dm caro’’s kitchen
Nitafute no 0789902906
@@CarosKitchen naomba jina la rangi ya ubuyu
Hjui kupika sivooo mm napika every day nnawafunzii tele kama nn njoo kwenye darasa langu hjatia pilipi boga bilingani huna ujualooo shira au shilaaaa ujue kama huna ujalooo
Asante kwa kuangalia
Acha wivu
Umeitwa kujikunza
Na mie nataka niwe mwanafunzi wako
Nashida.nahuo.ubuyu.reja.reja.bei.gani.najumla.bei.gani.tafadhali.nijuze.
Ubuyu usipokauka inakua umekosea nini
Mbona unaonekana mweupe
ashura haonga ni mwekundu
Ubuyu upo mweupe na upo usio kuwa mweupe uko tu colour ya kiza kidogo sawa dear
😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋🤔
Umeukosea
Ivyo vikombo 2 nivya robo robo au nusu nusu au cha kilo
Robo
Nifanyaje ili ubuyu wangu ukauke nikimalza kupka
Shila ndo nn jmn umeniacha hapo
Sukari na maji
@@CarosKitchen sante
huu unga wa ubuyu unautoa wap!!!?
Unaweka ubuyu wako kweny kiroba unaupiga kwa mti utapata ubuyu na unga wake,kama mabuyu utaenda kuyanunua dukani bas nunua na unga wa ubuyu
Y
Huo unga tunaupataje au nao unauzwa sehem ubuyu unaponunuliwa?
Huo ubuyu ukisha nunua utie sehemu unaweza kuuponda halafu chagua kamba kamba uzitupe uwe safi sasa unatoa uhuyu weka kando na unga wake utapata unapotoa ubuyu hivyo ndio huwa na fanya mie
@@rehemashebanikasenge5138 sasa hyo shira ndo nn me kila nkitengeneza ladha haifanani na hyo
@@selinealbert7880 shira ni sukari ambayo ina chemshwa ikiiva huwa ina nata ukiishika kui test kama is ready kuepua msikize vizuri kipimo cha maji na cha. Sukari akichanganya kuchemsha sawa dear
@@rehemashebanikasenge5138 hey
huwezi ubuyu wa zenji labda wa kizaramu huo
Asante kwakuangalia
Kwan wa zenji ukoje mambo ni viungo tu
Nahitaji wa biashara
Unaeza kutengeneza dear
Huo unga dada ni ngano au wa mahindi
Unga wa ubuyu
@@CarosKitchen Asante
Niwa huo ubuyu mwaya unauponda ubuyu wako then unatoa ubuyu unsalia unga chini sio uponde saana
@@rehemashebanikasenge5138 asante mpenz nimeelewa
Mimi nataka nijue jinsi y kupk ubuyu ule wa machenga kokwa zisigandane
Tawhida Mohd nitaweka video dear please subscribe
Hapana huo sio ubuyu wa Zanzibar umekosea shoga