We baba levo ya PDIDY yamepita vipi? Hollywood yote inatikisika mambo ya moto huko.. Haya mambo ya kufanya chochote isimladi pesa iingie inaleta shida.. Penye kijani iwe kijani mtaangamiza vijana kutetea ujinga.. Mkipenda pesa mkubali mnayofanyiwa pia zinakotoka hizo pesa... Kuimba tu washaimba Akina fid Q... Akina nature.. Akina sugu.. Nk Kwa PDIDY Kuna hela lakini 😢😢
Msumari ulimhusu huyo boss wako hahahaa wachezea p Diddy weye
Baba levo na wewe unaenda Marekani tena 😂😂
Hivi anafuatilia kweliii huyuu anasemaje mambo ya didy yamepita wakati inasemekana ndio alimuua 2pac 😎
We baba levo ya PDIDY yamepita vipi?
Hollywood yote inatikisika mambo ya moto huko..
Haya mambo ya kufanya chochote isimladi pesa iingie inaleta shida..
Penye kijani iwe kijani mtaangamiza vijana kutetea ujinga..
Mkipenda pesa mkubali mnayofanyiwa pia zinakotoka hizo pesa...
Kuimba tu washaimba Akina fid Q... Akina nature.. Akina sugu.. Nk
Kwa PDIDY Kuna hela lakini 😢😢