Hata kama hawataacha wote wako waliochoka na kuamua kutafuta biashara na kukosa mitaji ila kwa jina la mwenyezi mungu naamni watafanikiwa,,,,hakuna mkanilifu katika hii dunia na usimyooshee kidole mtoto wa mtu maana tunazaa ee mwenyezi mungu tuepushe na haya na kuwatoa katika hili🙏🙏🙏🙏
Namshukuru sanaaa MUNGU amenipa watoto watatu.... Ilaa wotee nawalea na amenipa Mke na niliwaambia ukweli... Kuhusu Mimi na akukubali na Sasa natarajia kuoa Hivi karibuni.... Kiukweli wanaume ni mbaya Sanaa kuacha watoto kutelekeza mtoto kisa umetarafiana na mpenzi wako.... Achana na mahusiano yako hudumia chako hudumia mtoto wako itafanya Mama apungize stress na awe na Tumaini Utampumguzia huyo mwanamke mzigo Kunawatu wanauwezo na Bado wametelekeza family watoto kwa sababu za mapenzi.... na kipato MUNGU amewajalia Guys this is not fear wanaume wezangu kuweni na huruma kwa watoto usimuangalie Mama sawaa ila angalia dam yako JP njema MUNGU awabariki sanaaa
Yani ninavyo ijua Shiva hakuna hata mmoja hapo Niko kaloleni miaka20 Yani mchongo juu yamchongo Niko pale nafanya biashara ya chips usiku kucha hapo hakuna Malaya
Umalaya ni biashara ya kale zaidi,ilikuwepo tangu karne na karne.. wazungu wameifanya iwe rasmi..wanachukua kodi,unalipa kwa kadi... wapo waliojenga,kusomesha,kupata kazi, uongozi kwa kazi hiyo ya umalaya.. hao waliokuja hapo kwa nabii ni wazee..soko limekata
@@rehemajoel7094 umalaya na wizi havihusiani. Wizi ni kuchukua mali/wazo la mtu bila ridhaa ya mhusika; wakati 'umalaya' ni mtu anayetumia kiungo cha mwili wake kujipatia kipato/maisha..kama wachezaji mpira, wacheza ngumi,mieleka,nk wanavyotumia miili yao kujipatia kipato.
Tatizo mabishoo halafu kujiona PC Kali kwamba hawezi fanya biashara ndogondogo wamebweteka na kuzalau wenzao wanao jituma mitaani lkn hapo hakuna mvovu hata mmoja wakiafya ambaye anahitaki msaada nikwamba mishen town tu hao wanataka uwape hela wakatanue Kama hujui Kama hela Ni nyingi kawapelekee watoto yatima utabaliiiwa zaidi achana nahao wahuni
hao washakuwa Cronick hata uwasidie watarudi hukohuko hicho nikikundi Cha watu wamekusanyana waje wakurubuni lakn ndioishakuwa baishara Yao hawawezi kuacha wote lamda wachache saana
Bora Huyu nabii sadaka anazopokea mwishowasiku anazirudisha tena kwawenye shida Kama hawa na wengineo'siowengine wanabeba sadaka cha ajabu wanakulapekeyao
Serekari wanashindwa kutoa hajila kwa vijana matokeo yake wanakamata makahaba wezi hajila wanapeana watto wa viongoz mala makamba mala kikwete mala mbinyi lkn watto wetu hari ngumu badara wasuruishe wanazid kukandamiza tukikamata fain na jera wao wanazani wanasaidya kumbe ndio wanadidimiza kabsaa?
Sio udhalilishaji maaana hata YESU mwenyewe wakati ana taka kumponya yule kipofu Alimuuliza unataka nikufanyie nn, au unadhan YESU hakujua kuwa yule alikuwa ni kipofu ila alimfanyia ki interview kidogo ili kufaham shida ninini na anahitaji nini so kwa huyo mtumishi hapo sidhan Kama Kuna kitu kibaya amekifanya boss wang😁👊👊
kma hawana akiri ya kubuni biashara itakayowaingizia faida badala yake wanaona ngono do biashara halali kwao utawapa mitaji watailamba na watarund kwny biashara zao
Kwan hapo wame anikwa naww jamani, tena tu wameheshimiwa maana Camera hazija pigwa upande wa usoni ndomana huja fanikiwa kuona sura ya mtu yoyote yule, haya je wange onyeshwa sura zao ungesemaje😢😢 Hilo bichwa lako litumike kufikiria ndugu yangu na sio vingine sawa boss 😂🤸🤸🤸
Walichokikosa mioyoni mwao si pesa bali ni maadili so kama ni ishu ya kuwabadilisha walipaswa kupewa dozi juu ya ubaya wa wanachokifanya kwa mujibu wa maandiko
Hawa tayari meshetani na wamebeba marohoo na mapepo ya kila haina apo wanahitaji mitaji wakale tu kumbuka Jasiri aachi asili yake afu wanawake wasikuiz wanapenda haki sawa na wanaume zao apo ndipo wanapotelekezwa
Sio shida ni umalaya2 naona mapic kal2 ila hamtaki kujituma wadada Kujiuza sio kaz alf unaenda seem ya ibada hapo upo uchi din gani xijui duuh hatari 2nasubir jua kuzama asubuh
Malaya wanafki yanalia kbisa afu ukiyakuta shivas ynaanza kuchekana sijui weww ulikuwa hivi nilikuona sijui ulikuwa vile,. Utayapa mtaji shingap haya malaya yanaingiza wastani wa elfu 90 per day equivalent to 2.1Millions per month. Mbali na hapo Malaya km Malaya hawez kosa mtaji Akiamua labda Imjie akili yakiimani kwamba kufanya biashara Hali mtaji wake umepatikan kwa njia ya Haramu km hyo haitokuwa na manufaa hyo biashara
Sasa watoto wanababa zao napia fanyeni kazi wadada ham hamtaki kujituma Au..Ndy dini biashara mi naona ungese2 kama move 7b sio kazi kujiuza ni umalaya wenu na kuoenda Ufree alf hili dingi Shettan
Serikali kila siku inasema, Tumia mikono, miguu na afya yako nenda shamba kalime na uache kuombaomba. Hvyo ndiyo solution ya kweli na sio kujidhalilisha kwa kuombaomba.
God is my first one
God is my first one 😢😢❤
Hata kama hawataacha wote wako waliochoka na kuamua kutafuta biashara na kukosa mitaji ila kwa jina la mwenyezi mungu naamni watafanikiwa,,,,hakuna mkanilifu katika hii dunia na usimyooshee kidole mtoto wa mtu maana tunazaa ee mwenyezi mungu tuepushe na haya na kuwatoa katika hili🙏🙏🙏🙏
Tunashukuru Sana mtumishi wetu mungu akuongeze nguvu saidi mkuuu wetu
Hongera Sana mtumishi wa mungu kwa kuwasaidia hao wa mama watoke kwenye shida
Mtumishi Nabi Geo Dav God bless you!
Mungu aturehemu, Asante Mungu kwa hii huduma ya kuwasaidie wenye shida.
Mungu Baba wasadiye hayu wa dada asante mungu wannyu
😅😅😅anyie mnaamini huu usenge umeenda kanisani
Tatizo wanawake wengi wa siku hizi ni jeuri Sana hawataki kuwatii wanaume wao kisa wanataka haki sawa wapumbavu kabisa ndo maana wanatelekezwa
Na hawataki kbs kuyasikia hayo uyasemayo ndgu yangu. Wakiskia hvyo ndo kwanza wanazidi kushikwa na viburi
Mungu naomba nisaidie Mungu naomba nisaidie mimi na kizazi changu
Namshukuru sanaaa MUNGU amenipa watoto watatu.... Ilaa wotee nawalea na amenipa Mke na niliwaambia ukweli... Kuhusu Mimi na akukubali na Sasa natarajia kuoa
Hivi karibuni....
Kiukweli wanaume ni mbaya Sanaa kuacha watoto kutelekeza mtoto kisa umetarafiana na mpenzi wako.... Achana na mahusiano yako hudumia chako hudumia mtoto wako itafanya Mama apungize stress na awe na Tumaini
Utampumguzia huyo mwanamke mzigo
Kunawatu wanauwezo na Bado wametelekeza family watoto kwa sababu za mapenzi.... na kipato MUNGU amewajalia
Guys this is not fear wanaume wezangu kuweni na huruma kwa watoto usimuangalie Mama sawaa ila angalia dam yako
JP njema MUNGU awabariki sanaaa
Naomba Mungu awasaidie waache kabisa... waishi maisha ya kawaida...Yesu alikuja kwa ajili yao
Una uhakika yesu alikuja kwajili yao
@@KassimAlly-xp4dz yes... nawewe pia
Haya ndio mambo ambayo Doroth Ngwajima angetakiwa ayafanyie,nasio unafiki wa kujidai Jando Jando bungeni.
Mmmmh,Ee Mungu tusaidie ktk haya maisha Magumu dah😢😢😢
Rohoo ya mateso ikisha kuvaa itakutesa kwa namna yoyote haijalishi unatesekea wapi ila mungu akiamua kukutoa haijalishi anakutoaje
Ngumu sana huiacha hiyo kazi aisee inahitaj ujasiri kweli kweli
HILO HALIMUHUSU NABII MKUU YEYE KATIMIZA KUSUDI LA MUNGU
Mpaka wamekiri wenyewe kanisani bila aibu Mungu ana makusudi ya kuwaponya.
Hao watapewa Mitaji na bado watarudi kwenye kazi yao.
JASIRI HAACHI ASIRI
Wanapenda mboo
😁😁😂😂😂
Walipewa na nani
Wanampenda, wanataka kumpa mzigo...
Mi macho Tu /
Hongera Sana
😭😭😭mungu awasaidiee kwelii inaumiz jmn
Na hii yule msukuma amseme tuone ,Davie ubarikiwe sana
Hawq ndio watu wa Mungu wanaohitajika, sio wale wakuchukulia masikini pesa na kuishia mbele.
Tunashukuru sana❤❤❤❤
Mungu wangu daaaa jamn eee m/mungu jalia family hiz 😢😢
Hawa hawawez kuacha hiyo Kaz kwani tiali ndy mifumo ya Manisha yao hatakama wakipewa mitaji watashindwa kuiendesha kwani hawajazoe
mizigo si haba🔥🔥🔥
Yesu alikuja kwa ajili yao...
Amina. Mungu akubariki mtumishi
Wanawake hupenda kujiuza hata wakipewa hela watajiuza tu
❤
Muongo mbwa wee unajiliza unataka pesa tuu ,huwezi kuukimbia ule,
Mbona katika kulia kwako kote unataja biashara
Nimesikia sauti ya mteja wangu kabisa apo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 we jamaaa
Mmmh jmn
WENYE LAANA WAPO TU HAWAISHAGI
@@rehemajoel7094 utani bn
Yani ninavyo ijua Shiva hakuna hata mmoja hapo Niko kaloleni miaka20 Yani mchongo juu yamchongo Niko pale nafanya biashara ya chips usiku kucha hapo hakuna Malaya
Aiwezi kuwa rahisi ivyo kuacha uzinzi wa ainahiyo ilo nipepo pamoja na umaskini
Umalaya ni biashara ya kale zaidi,ilikuwepo tangu karne na karne.. wazungu wameifanya iwe rasmi..wanachukua kodi,unalipa kwa kadi... wapo waliojenga,kusomesha,kupata kazi, uongozi kwa kazi hiyo ya umalaya.. hao waliokuja hapo kwa nabii ni wazee..soko limekata
HATA WIZI NI KAZI WENGI WAMEJENGA. MAOVU LAZIMA YALAANIWE. WEWE WA WAPI
@@rehemajoel7094 umalaya na wizi havihusiani. Wizi ni kuchukua mali/wazo la mtu bila ridhaa ya mhusika; wakati 'umalaya' ni mtu anayetumia kiungo cha mwili wake kujipatia kipato/maisha..kama wachezaji mpira, wacheza ngumi,mieleka,nk wanavyotumia miili yao kujipatia kipato.
Tatizo mabishoo halafu kujiona PC Kali kwamba hawezi fanya biashara ndogondogo wamebweteka na kuzalau wenzao wanao jituma mitaani lkn hapo hakuna mvovu hata mmoja wakiafya ambaye anahitaki msaada nikwamba mishen town tu hao wanataka uwape hela wakatanue Kama hujui Kama hela Ni nyingi kawapelekee watoto yatima utabaliiiwa zaidi achana nahao wahuni
hao washakuwa Cronick hata uwasidie watarudi hukohuko hicho nikikundi Cha watu wamekusanyana waje wakurubuni lakn ndioishakuwa baishara Yao hawawezi kuacha wote lamda wachache saana
Amesema hata kama amejifunika yeye macho to akimuona atamtambua kwa maana ya akimuona to atamtambua kuwa aliwahi kumnunuaau😢😢
Ni bora kuwasaidia hawa kuliko kuwapa magari wasanii na waigizaji ambao wanacho cha kufanya
Atakae chukua hela hapo na akarudi kujiuza tena amejilaani mwenyewe
Kweli kabisa
Hawawezi acha huyu ana jisbua ww ana thaani kuna wanaume mabwege wangapi washa wai wapa na waka rudi ni kama mkosi
Wataacha wachache hiyo dhambi kuiicha ngumu mpaka Neema ya Mungu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 nacheka kama mazuriii eti baba anauliza ugumu wa kazi upo wapi, Daah
Nacheka Kama Mazuri japo sijajua alikuwa na maana gn kuuliza hilo swali😂😂
Mijitu imenawili kwajili yakujiuza galafu inakuja kukukejeli hapo
Bora Huyu nabii sadaka anazopokea mwishowasiku anazirudisha tena kwawenye shida Kama hawa na wengineo'siowengine wanabeba sadaka cha ajabu wanakulapekeyao
Matukio muhimu mnapost na kufuta huu usnge* mnapost haya mtu kutoka mitaa ya shvs nijuze hakuna wamama wakujiuza
Serekari wanashindwa kutoa hajila kwa vijana matokeo yake wanakamata makahaba wezi hajila wanapeana watto wa viongoz mala makamba mala kikwete mala mbinyi lkn watto wetu hari ngumu badara wasuruishe wanazid kukandamiza tukikamata fain na jera wao wanazani wanasaidya kumbe ndio wanadidimiza kabsaa?
Wengine wakakataa wachumba at si hadhi yake matokeo yake ndo hayo
shida wapi...
Mchungaji asnte. Ila naomba ukiwapa ungewafatili maana wengine hawaliziki wala kupenda kujishughulisha ili kuzalisha zaodi.
Malaya wa shauri moyo hao
hata ingekuwa ndo mimi kwenye mgawo wa hela nitasema chochote ilimradi nipate hizo hela
Tutatoka kimaisha nabii mkuu amesema. Nami nasema AMINA MTUMISHI ASANTE.
Kuendelea kuwahoji ni udhalilishaji tuanzie hapo ndoto zao nini.
Sio udhalilishaji maaana hata YESU mwenyewe wakati ana taka kumponya yule kipofu Alimuuliza unataka nikufanyie nn, au unadhan YESU hakujua kuwa yule alikuwa ni kipofu ila alimfanyia ki interview kidogo ili kufaham shida ninini na anahitaji nini so kwa huyo mtumishi hapo sidhan Kama Kuna kitu kibaya amekifanya boss wang😁👊👊
Hawawezi acha hao waongo
Sasa nyinyi badaa ya kuomba mufanyiwe maombi mnataka mpewe mitaji
hilo la nyuma zigo
Mh!!!! Mungu ni mwema ila zilishaota sugu watarudi tu
😢😢😢😢😅😅😅
🙌🙌🙌🙌 😭😭😭
kwa anaejitambua hatarud kujiuza
🙏🙏🙏🙏🥳
kma hawana akiri ya kubuni biashara itakayowaingizia faida badala yake wanaona ngono do biashara halali kwao utawapa mitaji watailamba na watarund kwny biashara zao
Kama kweli ni msaada kwa nn awaniike c angewasaidia tu co lazma awaniike
Kwan hapo wame anikwa naww jamani, tena tu wameheshimiwa maana Camera hazija pigwa upande wa usoni ndomana huja fanikiwa kuona sura ya mtu yoyote yule, haya je wange onyeshwa sura zao ungesemaje😢😢
Hilo bichwa lako litumike kufikiria ndugu yangu na sio vingine sawa boss 😂🤸🤸🤸
Uzuri pia hakuna aliye lazimishwa kuja so sio point ya uzalilishaji hapo kiongozi 😁🤸🤸🤸
Walichokikosa mioyoni mwao si pesa bali ni maadili so kama ni ishu ya kuwabadilisha walipaswa kupewa dozi juu ya ubaya wa wanachokifanya kwa mujibu wa maandiko
Hawa tayari meshetani na wamebeba marohoo na mapepo ya kila haina apo wanahitaji mitaji wakale tu kumbuka Jasiri aachi asili yake afu wanawake wasikuiz wanapenda haki sawa na wanaume zao apo ndipo wanapotelekezwa
Be positive! Don't judge
@@catholicworshipsfact 💪
Acha tu wasaidiwe
Wakishaacha tutaenda THE PICNIC kaloleni, mbona wamejaa kibao
🤣🤣🤣
Sema ndio😀
MUNGU HATOI MITAJI MUNGU ANATOA MAOMBI ILI TABIA HIYO IKOME
Sio shida ni umalaya2 naona mapic kal2 ila hamtaki kujituma wadada Kujiuza sio kaz alf unaenda seem ya ibada hapo upo uchi din gani xijui duuh hatari 2nasubir jua kuzama asubuh
Mh wanamizigo
Ni hatar kam una iman ndogo unaweza kupat dhambi za bure
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Apo kuna watu roho zinawauma
Waje na vitambulisho vyao
Kesiyatumbili kapelekewa nyani kazikwelikweli huyojamaa hawezi kuwasaidia chochote
dah
😥😥😢😢😢😢😢😢😢😢
duu hatariii
Malaya wanafki yanalia kbisa afu ukiyakuta shivas ynaanza kuchekana sijui weww ulikuwa hivi nilikuona sijui ulikuwa vile,. Utayapa mtaji shingap haya malaya yanaingiza wastani wa elfu 90 per day equivalent to 2.1Millions per month. Mbali na hapo Malaya km Malaya hawez kosa mtaji Akiamua labda Imjie akili yakiimani kwamba kufanya biashara Hali mtaji wake umepatikan kwa njia ya Haramu km hyo haitokuwa na manufaa hyo biashara
Mnhhh😂😂😂😂😂
Mbeee
mbee leloo😂😂
Hapo kwenye kuchoka sasa
Hawaezi acha ata wapewe mtaji wameshaipependa kazi yao
Anaye weza kukuachisha dhambi na kusamehewa ni Mungu2 👌 okoka uone ukuuu wa Mungu atakasaye dhambi kwa wanadamu😮😮😮😮😮
Wachungaji wa Dar nimwendo wa kikanyaga mafuta na na kubariki udongo
😅😅 nacheka Kama Mazuri MUNGU anisamehe🙏, ila daahh ndugu yangu umejua kunifurahisha😂😂
Kwani lazima ufanye kazi hiyo kwani hakuna kazi nyingine shida ni kupenda kulala na wanaume
Hao hawataacha kamwe achana nao hao
Naon comments nyingi ni za mungu wangu hivi vitu vipo sasa mnashangaa nin
Sasa watoto wanababa zao napia fanyeni kazi wadada ham hamtaki kujituma Au..Ndy dini biashara mi naona ungese2 kama move 7b sio kazi kujiuza ni umalaya wenu na kuoenda Ufree alf hili dingi Shettan
Wewe_ulievaa_juba_na_nikabu_sjida_yako_ni_kulidhalilisha_jumba_usione_haya_kujiuza_uje_uone_haya_kamera_Mungu_akusamehe_ila_kama_nia_yako_ni_kudhalilisha_din_Mungu_akudhalilishe_pia
😢😢😅😅
Shida yao kubwa siyo mitaji bali kifungo cha shetani... kazi zote zina changamoto hata wakipewa mtaji
Kweli mana kuna watu Wana mitaji midogo na hawajiuzi
Ety naskia nao wanasem USILETE MAPENZI KAZINI na wanaon kama kaz zingin
Kwani iki kituo hua akina habari za mikoa mingine kila cku ni Arusha tu
Hawa wanajitakia tu kujiuza wamekimbia miji yao
Nyie mmeshazoea hata mkipewa mtaj mtafanya2!
Kuna tako naliona hapo kwa nyuma
😂😂😂😂
@@RahimaMct-ik8mr 😃😃😃
kwani lazima muwatangaze
Hamna lolote nyie wasanii tu
Sasa unawasaidiya au kuwa kejeli t
Wanaigiza hao hakuna malaya hapo
Serikali kila siku inasema,
Tumia mikono, miguu na afya yako nenda shamba kalime na uache kuombaomba.
Hvyo ndiyo solution ya kweli na sio kujidhalilisha kwa kuombaomba.