Zifahamu Kodi Zinazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2023
  • #thechanzo #Habari
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved

Комментарии • 7

  • @maase2023
    @maase2023 2 месяца назад

    Tra wanabambika kodi za uongo kwa raia ! Kwa kweli watanzania tunateseka na hao tra kwa dhuluma zao za wazi na hatuna pa kwenda kulalamika

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5k Месяц назад

    Waandae na ripoti ya Rushwa wanazo waomba wafanyabiashara kwa kuwatengenezea matatizo. Feki na endelevu.

  • @joachimsamwel812
    @joachimsamwel812 27 дней назад

    Yani tax system ni wizi mtupu .ulio halalishwa .. ...yani hata ukiuza nyumba yako mwenyewe bado unatakiwa ulipie kodi.. ...na uliinunua kwa hela ambayo ulishaa ilipia kodi .....duuu hawa nimajambazi kabisa

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Год назад

    Lina mnatufundisha jinsi ya kuelewa huo mfumo?

  • @magokola2376
    @magokola2376 9 месяцев назад

    Tra ni ovyo wameshindwa hata kutuma bill sms

  • @magokola2376
    @magokola2376 9 месяцев назад

    Sasa kama kila kitu ni kodi kuna shida gani kupunguza asilimia za kodi

  • @omaryswalehe1046
    @omaryswalehe1046 Год назад

    😅😅😅