Zifahamu Kodi Zinazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
HTML-код
- Опубликовано: 12 янв 2023
- #thechanzo #Habari
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved
Tra wanabambika kodi za uongo kwa raia ! Kwa kweli watanzania tunateseka na hao tra kwa dhuluma zao za wazi na hatuna pa kwenda kulalamika
Waandae na ripoti ya Rushwa wanazo waomba wafanyabiashara kwa kuwatengenezea matatizo. Feki na endelevu.
Yani tax system ni wizi mtupu .ulio halalishwa .. ...yani hata ukiuza nyumba yako mwenyewe bado unatakiwa ulipie kodi.. ...na uliinunua kwa hela ambayo ulishaa ilipia kodi .....duuu hawa nimajambazi kabisa
Lina mnatufundisha jinsi ya kuelewa huo mfumo?
Tra ni ovyo wameshindwa hata kutuma bill sms
Sasa kama kila kitu ni kodi kuna shida gani kupunguza asilimia za kodi
😅😅😅