Namna ya kuagiza gari kutoka Japan na kujua makadirio ya kodi za forodha za TRA ili kuokoa pesa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 13

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 5 месяцев назад +1

    Asante Kwa darasa hili

  • @goodmorningafrica6409
    @goodmorningafrica6409 6 месяцев назад +1

    Asante kaka, ila nchi yetu Kodi ni kubwa sana bana daaah!!!!

  • @rtp9010
    @rtp9010 9 месяцев назад

    Asante sana mtaalamu, umenisaidia sana mimi binafsi. Aisee nikutie moyo unajua kufundisha haswaaa. Huna papara wala huna confusing language. Ubarikiwe sana

  • @EmmanuelMwakiposa-w4g
    @EmmanuelMwakiposa-w4g 2 месяца назад

    Naomba nambayako tuwasiliane

  • @GGGB2011
    @GGGB2011 Год назад

    Asante kwa elimu nzuri

  • @petromabindo5515
    @petromabindo5515 Год назад

    Ahsante saana

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Месяц назад

    Hapa hata niki nunua bongo sita pigwa sanaa , nitaanza angalia garama za vat plus usajili then na double price after dat nakadiria nichukue kwa shingapi

  • @kelvinwalter5914
    @kelvinwalter5914 Год назад

    Saafi mtaalam, hii elimu ni muhimu sana

  • @shedyclever9014
    @shedyclever9014 Год назад +1

    Aiseee t.r. a wanazngua

  • @twamadgharishkely128
    @twamadgharishkely128 11 месяцев назад

    Tra kodi kubwa sana

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 9 месяцев назад +1

    Yaani TRA bei yao ni kubwa kuliko ya Gari yenyewe🥱

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk 9 месяцев назад

    So japan magari ni used tu