Nimependa jinsi unavofundisha napenda pia urembo me nipo Geita ni aina ipi nzuri ya foundation ambayo anaweza kutumia mtu mweupe au mweusi. Na hata maj ya kunde
Dada nisaidie vifaa vyote nnavyo vile muhim sasa tatizo nikishadefine wanna wang napata tabu kuondoa iyo conciler badala yake ata nkishapaka foundation ile rang ya conciler inaangaza zaid
I admire your work, I watch without even hearing one word. I will start learning Swahili very soon! Keep it up, Queen.
Naombaa nambaaa yako
Dada naomba namba yako
❤ unajua dada
I like this very impressive,nafuatilia mafunzo yenu sana,ningeenda nipate mafunzo saidi
How can I reach you plz
Hongera kazi nzuri .
Mashaallah kzi nzuri sna sisi tulio kenya tutapata vp makeup
Wow naitaji kijifunza ivivi na nitawaungusha ivyo vifaa
Shukurani dada Faridha, Niko Congo niko kwenye Channel yako kuji funza make UP lakini sijuwi vifaa vyakutumikisha lakini pamoja Nawel nita weza
Uko vzr sana,mekap unayotumia ya aina gan?mi ni mweusi
Tufundishe pia how to make fake eye lashes and how to remove them
Jmn mm sijaelewa kwenye kubandika kope yan nmetoka zero kabsaaaaa 🙈🙈
Kweli kabisaa vidio zenu zimenifanya nang'aa Kila siku nafufurahia kazi mnayoifanya
Farida,wewe ni kiboko yao....hongera dada na asante kwa kutujuza
Sante ssnaaa
Samahan hyo laki tatu muda gan
Hongera nimeipenda Sana ningependa kujua vifaa vyote vinavyotumika
Jambo dada frida nafuraiyaka sana mafundisho yako naipenda sana
Mbona sijakuelewa ulivyo bandika izo kope proses ya kubandika kope Tafadhari?
Asante kwa Darasa. Lakn hapo kabla ya kupaka poda ulipaka nini ndio sjaelewa
Nikihitaji vifaa vya make up full itanighalim sh ngap
Nzuri sn hapo kwenye put cableway mbna km imechongeka afu kuna unlock pembeni
Habar yako Dad Farid nilikua naitaji vifaa vya make up simple bei Gani
SETI ya MATUMIZI binafsi??? Piga 0657292650
Mungu akubariki sanaaaa,huna uchoyo ndo maana anazidi kukuinua💪
Kwaiyo laki tatu ni mwaka mzma au mwez
Kazi nzuri Madam, naendelea kujifunza kupitia video zako nyingi,kila siku naingiza kitu kipyaa ❤️❤️
Nimependa Sana ongera kwa mafunzo mazuri
Huu wanja cjauwelewa madam
Mambo mbona hatuonagi mahafali ya chuo chako au wanafunzi wanamaliza tu wanaondoka?
Pleuz naitaji vifaa via mekup aswa fondation sana tu
I wish to know and one day niwe competent about this❤️
Ningependa nijuwe bei ya ivyo vitu kila kipondozi kimoj kimoj ila samahan kwasababu namim napenda san iyo kazi
Waoooo!! Jmn makeup mart sna👌👌
Niko mara nikihitaji vifaa napataje
Nikitaka kujifunza kusuka na makeup ni muda gan hiyo laki3?
Hiyo ni simple make up au full dada
Dada nahitaji kujuwa nisaidiye kwani fondesheni unahipaka uso wote please
Nimeipenda Sana nahitaji kujua namna ya kupangilia had makeup ikamilike
Habibty,i love your work,vipi kuchora piko
Yan adi raha 🥰mm nkijua to saluni watanitamani 😆😆🤣✋
J kama huna hyo foundation inayozba chunus unantmia nn ili kuziba
Kazi mzuri mm nataka iyo sety ya vipambo
Zipo dear Karb snaa 0657292650
Kama nataka ya kupaka me mwenyw tyu nyumbn set sh ngap?
Hiyo foundation inaitwaje?
Kazi nzuri sana nime penda,nili kuwa naomba ushauri wako ,kuna weusi kweny mzunguko wa macho yangu,je nitumie nin kuondoa huwo weusi
Najifunza je vifaa nishingap madamu
M2 mwingine unakutaa hanaa nyeusii mbayaa jmn😌
Nahitaj kujua makeup lakini nipo nje ya dar.whatsap siwez kujifunza????
Da Farida mm naitaj vifaa vya kufanyia make up full
Dada farida me naomba unisaidie kitu nataka kufungua saloon yangu naomba uniolozeshee vifaa vyote ba bei zake samahani kwa usumbufu lkn
Ukisha paka concealer hupaki powder kabla ya eyeshadow ili isije Ika crease?
Na je unafanyaje kuzuia creasing
Vzr Sanaa dadaa naeza pata hivo vifaa
Ayo macho si kulia 😂😂
Napataje hiyo set km nipo mkoani?
Napend san kujifunz make up..naomh uniambie iyo ulokewa kabla y kuwek kope inatwaj na izo foundation zinaitwaje
Mimi nina aidiya yakufanya mekappu Ila nadhishindwa sehemu ndogo sana kujua kinacho aza nachamwisho nikipi
Ukinunua vifaa amna ofa ya kusoma
Hbr ulivotia eye shedow vimeremeto vilivoangukia kwenye mashavu umo umefutia kwa nn
Naomba niunge kwenye group la makeup dada plzz
Mm nataka uniunge na group la makeup
Wanafunzi Kwa mwezi sh.ngapi
Wanna lulu hautumiki kwenye make up
Da farida Mimi nahitaji kujifunza make up tu sh ngap?
Kumlemba mtu hapo saloon kwako ni bei gani Da Farida??
Jinangu latifa na na itaji vifa vya mecapu
Karibu 0657292650
Mimi nataka kujifunza je ni shilingi NGAPI?????
Nimependa jinsi unavofundisha napenda pia urembo me nipo Geita ni aina ipi nzuri ya foundation ambayo anaweza kutumia mtu mweupe au mweusi. Na hata maj ya kunde
Dada Niko kibaha naitaji kujifunza tegeta naona mbali sana unanisaidiaje hamna tawi au office uka kibaha au hata mbezi
Dada nisaidie vifaa vyote nnavyo vile muhim sasa tatizo nikishadefine wanna wang napata tabu kuondoa iyo conciler badala yake ata nkishapaka foundation ile rang ya conciler inaangaza zaid
Nikweli
Unapaka mafuta kabla ya kupaka makeup?
Hi mimi kunabadhii ya vifaa siviele yaani sijui majina
kusomeya ada nishingapi?
Asante sana Dada faa
Dada yangu kazi mzuri Sana Allah akubariki
Samahan uwez kunifundisha kbsa live
Hy mm napenda makeup nataka nijipambe nyumban mm mwenyewe wanza kupaka nini
Fungua na darasa mwanza make me natokea mwanza fanya hivyo please
Waooo nimependa
Nakupenda sanaa dada uko vizuri boss wangu
Naomba nikuulize Madam kama unahitaji kujua kujifunza makeup tuu na siyo kusuka ni shilingi ngapi Madam
Mm kwenye wanja apo sijaelewa
Unafundisha vizuri dear Ila nahitaji kujua hapo juu kwenye rips unaweka nn ili ioneshe shape nzur
Ahsantee sana Mungu akubariki sana
Mie sija elewa
Je ukinunua fondeshen TU ukiomba kuelekezwa kwa siku hiyo hiyo nitafundishwa
Minat ka vifaa nita vipataje
Mm nataka kujifunza dada
Mm pia nataka hiyo plz nko Kenya nitapata aje full set
Natamni kujifunza na mm niadd kwenye group jmni
Nauliza sijawahi kupaka mekap na nataka kujifunza je vifaha yote vinavyotumika vinaitwaje?
Kaka
Mm nataka kujifunza mekap tuu began kusuga najuw
Da farida naomba kufunzwa kuchora wanja
Mm sijaelewa huo uwanja na hauwezi kuzma kimoja kimoja
Asantee dada angu..nitakuja kununua set ya mecap.
Wow....nataka shule niko 🇰🇪
Upo wapi
Kwenye wanja umepaka uwanja gan na napale kat kat ulifuta na nn ulewanja
Mashallah sisi tuliopo zanzibar unapata vip
Eti??
Mashallah kazi nzuri sana na sasa kama wataka hivyo vifaa unapataji mm niko Kenya na taka
Tunatuma dear 📞 0657292650
Sawa na pia naweza kusoma nikiwa huku huku
@@faridaothmanna mbona sikuoni watsp
Mashallah kz nzr
Nimependa ila naitaji vifao sijuwi ntavipata aje??
Kazi mzur dada nataka nijue iyo fandeshen ya 25000 napata ngapi
.tupo mkoani tunapataje hongera xan
Kazi nzr mpnz ila mm cjaelewa kuchora wanja
Upo vizuri
Hello mimi naishi Zambia 🇿🇲 vip naweza kupata vifaa vyote ?
Nimependa sa mna patikana wapi?
Hi in Mary toka malindi Kenya nmpenda sana mafundisho yako na ntapataje hizo vitu toka tzd adi kenya
asante upo vizuri shida yangu wanja kama huo nashindwa kinyosha
Nasindw kuchora wanja
Kazi yako ni nzuri sala swali langu ni nataka makeup set na Niko Kenya Migori nawza pata aje