Zaidi ya familia 23,000 zimeathirika na mvua inayonyesha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Familia zaidi ya 23,000 zimeathirika na mafuriko yanayoendelea kushuhudiwa katika kaunti 22 nchini. Hapa Nairobi, zaidi ya familia elfu sita zimeathirika kutokana na athari za mvua inayonyesha. Na kama Gatete Njoroge anavyoarifu, baadhi ya barabarani hazipitiki huku nyumba pia zikijaa maji

Комментарии • 2

  • @JessyMbithe
    @JessyMbithe 4 месяца назад

    Alafu baada ya miezi mbili tena matangazo iwe "mifugo imefariki kufuatia ukame na kiangazi" na maji ndio hii ambayo government should havest now and store for those mifugo wasikose maji

  • @gashafashi08
    @gashafashi08 4 месяца назад

    😢