JUSTINE KESSY: HAKUNA MCHEZAJI WA SIMBA ANAEANZA YANGA/ MZIZE NI BORA KULIKO ATEBA/AWESU KIUNGO BORA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
    #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate

Комментарии • 27

  • @michaelluziga2709
    @michaelluziga2709 23 часа назад +1

    Tumuogope Mungu, Matusi tusiyape nafasi. Ni mchukizo kwa Mungu.Tuliumbwa kwa mfano wa Mungu alafu unatukana, ni kumfedhesha Mungu na Malipo yake mnayajua. Tubadilike na tufanye toba. Siku njema watu wa Mungu.

  • @ScarsePeter
    @ScarsePeter 20 часов назад

    Hahaha mzize we kichaa kweli msimu huu ana goli ngap uzalendo kweli kwanza ila ateba fund hataki nafasi nane ndo update goli

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 19 часов назад

    Nyie mlisema Chama hawezi pata nafasi Yanga sasa anacheza wapi?acheni kuwachanganya wachezaji. NA WEWE HUJUI MPIRA NDY MAANA WANAKUTUKANA.

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 18 часов назад

    Usimfananishe Ateba na mzizi wewe acha unazi hapo umri wako mpaka Leo hujanuwa kichambua mpira mpaka Leo ukae nyumbani uwaogeshe watoto. Mzize Hana macho

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 23 часа назад +1

    We kessy uko sahihi achana na mashabiki maandazi wasiojua kitu.

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 23 часа назад

    Kesi umeanza kuchanganyiwa maana wenzako wanamtaka mavambo weunaangaika2 tatizo elim

  • @officialjayclassic577
    @officialjayclassic577 10 часов назад

    Anaehoji na anae hojiwa wote mabongolala hakuna anaejielewa

  • @abdullatifushambe4435
    @abdullatifushambe4435 19 часов назад

    Walioachwa Simba ndio yota yangatatizo bahasha inawaponza

  • @SalehFaki-im4nh
    @SalehFaki-im4nh 22 часа назад +1

    Uyu jamaaa kiukweli aseme tu nimshabiki wa timu gani ili tiekane sawa haina haja ya kuumizana kichwa mana anaishi kiushabiki kabisa na sio kimpira mana huwezi kuongea ayo maneno kama wewe ni mwandishi na mchambuzi bora

  • @AliUsi-ms4bm
    @AliUsi-ms4bm День назад +1

    Mm nakukubali mara nyingi, lkn unakosea kuona kwamba mawazo Yako ndio ukweli wote, Amini mawazo yako, usiyachukue na ya wenzako .
    Unalosema ww unamaamisha ndio ukweli halisi? Sivyo kaka.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 19 часов назад

    KWANI ATEBA AMECHEZA MARA NGAPI?NA WEWE MWANDISHI HUNA MAANA KABISA

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 21 час назад

    Kesi wacha unazi zungimza football kaka usiabike utakuja kutafuta la kusema

  • @WistoniMtewele
    @WistoniMtewele 23 часа назад

    Chama anaanza yanga ? Chama hawezi kuanza yanga , unamaanisha k akae nje?

  • @abinaeljuliusmwaikenda8529
    @abinaeljuliusmwaikenda8529 21 час назад

    Tuone baadaye utasemaje

  • @abinaeljuliusmwaikenda8529
    @abinaeljuliusmwaikenda8529 21 час назад

    Wewe upon kundi lipi au ndo ushabiki?

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 22 часа назад

    Chama alifikia bench yanga aka sugua gamondi kampika Kisha amempa nafasi

  • @timotheothadeomgassa4929
    @timotheothadeomgassa4929 11 часов назад

    Dkt. Aliwahasa nyie wachaa mbuuuuzi uchwala walipiwaji wa kodi za chumba na sebure huko uswahilini kwenu ni kwamba, hata kama unamahaba na team fulani especially hapa bongo basi ni vyama ukabalance upambe na uchawa. Ni kwamba yanga wanawachezaji bora kuliko simba ? Aisee wee ni choko kweli kweli.

  • @RamadhanSaidy-q7k
    @RamadhanSaidy-q7k 21 час назад

    Justin mkundu kessy

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 23 часа назад

    Justine mkundu kessy alisema chama hawezi kupata namba ya kucheza yanga, saizi chama anakiwasha yanga so huyu ni mkundu tu

    • @Asia-p5r
      @Asia-p5r 23 часа назад

      Ni rotation tu ndy inayomuanzisha chama yanga in reality mwl akiamua kuanza na first 11 yk chama anaanzia nje ...hwz muweka nje pacome haha iweje

    • @FiniasBugobola
      @FiniasBugobola 23 часа назад

      Wew k tu mechi na pamba chama sialikuwa nje au

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 23 часа назад

      punguza mihemko , wahuni watakumbato

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 23 часа назад

      @@imamhussein1104 tangu umeende kwa pi Diddy hujitambui

    • @calistgwaydamuy8813
      @calistgwaydamuy8813 9 часов назад

      Ni kweli yanga wapo kweny mfumo kwa sahv, lakin kusema eti hakuna mchezaj wa Simba anayeanza pale yanga ni uongo mtupu,, chama ni mchezaji mzr ndo maan viongoz wa yanga walimwona wakamsajili