Yesu ni Mwema: KAPOTIVE Star Singers - Bukoba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 105

  • @charmingramseyramseytz9181
    @charmingramseyramseytz9181 3 года назад +6

    Anae angalia nyimbo hii leo tarehe 1/4 ikiwa imebaki siku mbili kabla ya pasaka like twendde pamoja akika yesu ni mwema , asante wana kagera kwa kaz nzuri

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 3 года назад +6

    Kapotive nawapenda sana Me mkatoliki nyumban Musoma

  • @franciskamau8907
    @franciskamau8907 5 месяцев назад +1

    Barikiweni na Mungu sana WanaKapotive..

  • @hezronmpinge3346
    @hezronmpinge3346 6 лет назад +2

    Ukataka nijipe moyo=.hongera Sana mukasa

  • @MussaLepani-fk9yj
    @MussaLepani-fk9yj 8 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @yassinmohammed9344
    @yassinmohammed9344 7 лет назад +4

    Praz God guys that is a nice song I loved cz inanibariki kwan Kila cku ninaisikiliza

    • @abelmgalla1533
      @abelmgalla1533 7 лет назад

      kapotive singers thanks a lot for nice song stay blessed, keep it up and never give up.

  • @Justin12057
    @Justin12057 12 лет назад +5

    Safi sana wadau.Ni remix iliyotulia na inastaili kuwa remix.Hongereni kwa hatua hii,songeni mbele.Kazi nzuri sana Mukasa, Claudi, Denis, Thed, Edina na wengine wote hapo.A m i n a

    • @mariethapesha2845
      @mariethapesha2845 8 лет назад +1

      yaan niwashukuru je?kwa nyimbo zenu nzuri?naomba nyimbo zingine mlizo ziimba pale rinase nazipenda sana kama kunam2 anazo

  • @ShabanWanje
    @ShabanWanje 11 месяцев назад

    Mungu awabariki nyimbo zenu mzuri sana hongera n sana

  • @machetakazambimatayo6671
    @machetakazambimatayo6671 11 лет назад +2

    ahsante Mungu kwa neema zako, tunabarikiwa kupitia waimabaji hawa. Naomba uendelee kwa kuwapa hekima, busara na maarifa katika utume wao

  • @erickjosephat1038
    @erickjosephat1038 2 года назад +1

    Amina sana koptive choir yesu ni mwema 🙏🙏🙏

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 3 года назад

    Kupitia kapotive najikuta nawapenda wahaya na nataman kuishi Bukoba na kuoa Muhaya

  • @jovinkshumba5035
    @jovinkshumba5035 10 лет назад +6

    MUNGU ni muweza wa yote unapomwimbia katika roho na kweli katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinafanyika na kumbuka MUNGU hukaa katika sifa waimbaji wote wa nyimbo za kumsifu na kumwabudu MUNGU mkijivika unyenyekevu na kumfanya NIKO AMBAYE NIKO yaani YESU kufahamika zaidi yenu ameahidi kuwakweza na kuwavuta wote wafikilie toba lakini mahali popote ulipo kumbuka YESU Yu karibu

  • @greysonmichael4458
    @greysonmichael4458 6 лет назад +3

    hii nyimbo ni zawadi yanii

  • @yohanapaul454
    @yohanapaul454 11 лет назад +1

    Mbarikiwe kwa kuimba vyema na hasa kaka mkasa hongera kwa karama ya uimbaji na utungaji mzuri wa nyimbo za kumtangaza kristo katika jamii inayotuzunguka kwa kweli YESU NI MWEMA SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    • @anodycosmas1454
      @anodycosmas1454 4 года назад

      mungu n mwema kwl ukimtegemea yeye pekee ake .mungu bariki watunzi wa mwimbo huu na,walioufaxilixha kwa hadhira mungu awe nanyi nyote kazi zenu nzuri Sana'a by annody Cosmas seyoya

  • @derickboymetuselajanjalo399
    @derickboymetuselajanjalo399 4 года назад

    Jamani yesu ni mwema ck zote akuna wimbo ninaoupenda kama uu

  • @fatumanaliaka2210
    @fatumanaliaka2210 4 года назад +1

    Kweli Mungu BABA yetu wa mbinguni na azidi kuwainua na na aendelee kuwa bariki Kwa jina la mwanae Yesu Kristo aliye Mwokozi wetu Amen

  • @mussambossa700
    @mussambossa700 2 года назад

    Kuna huyo mama kibonge kidogo ,,,,,,,hakuna mtu aliye barikiwa sauti kama huyo

  • @patricksimon9712
    @patricksimon9712 7 лет назад +3

    from dar es salaam Tanzania l enjoy much da songs from kaportive star singers.May God bless u more&more

  • @medardangelo3585
    @medardangelo3585 10 лет назад +5

    tuimbe tumshukuru mungu kwa kila jambo maana mungu yupo pamoja nasi ushilikiano katika kumtukuza mwenyezi mungu tulinde nyimbo ZA DINI shukrani zi waendee waandaji wote wa nyimbo za dini maana wanatuinjilisha kupitia nyimbo za dini nasema AMINA

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  9 лет назад +1

      Medard Angelo Amina.

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  8 лет назад +1

      +Medard Angelo Asante sana, na ubarikiwe.

  • @lulutrisha
    @lulutrisha 12 лет назад +1

    Sina la kusema ila mtunzi hongera sana na tunaomba utunge zaidi maana hii ndo njia ya kuwavuta wengi kuabudu hata kama hawaendi kanisani.

  • @kevinnjeru5385
    @kevinnjeru5385 3 месяца назад

    ngoma kali sana

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Год назад

    Wimbo huu naupenda sn

  • @franciscamutua5446
    @franciscamutua5446 Год назад

    Wow, kweli Yesu ni mwema

  • @ramlathchacha1310
    @ramlathchacha1310 6 лет назад +1

    kwr nimwema napenda San nyimb zenu

  • @everinagodfrey5264
    @everinagodfrey5264 5 лет назад +1

    Sjawai juta kusema yesu ni mwema

  • @mwezanephta1107
    @mwezanephta1107 7 лет назад +1

    Hongereni saaana Mungu awabariki, hakika Yesu ni mwema

  • @neemasafixanakakamasuka1267
    @neemasafixanakakamasuka1267 4 года назад

    Nazi mzur xanaaaaa

  • @elickykibet3079
    @elickykibet3079 6 лет назад +1

    very inspiring especially when I'm faced with earth challenges may God's anointing and grace be upon you all forever till we see the new Jerusalem.....namsalimu sana huyo mama mkuu mmoja wenu kila nimwonapo kwa nyimbo zenu ni kama namwona mamangu mzazi

  • @feyndunguru6113
    @feyndunguru6113 8 лет назад +4

    Nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo hizi mungu awabariki

  • @mwezanephta1107
    @mwezanephta1107 7 лет назад +1

    Mmenikumbusha ziwa Victoria, nimepamis mno

  • @abelkauzeni5046
    @abelkauzeni5046 6 лет назад

    asanteni kwa wimbo mzr mungu awabrk sana mdumu ktk pendo lake.

  • @marthamnambiye8182
    @marthamnambiye8182 8 лет назад +1

    napenda sana kwaya

  • @philonchimbi07
    @philonchimbi07 3 года назад

    Mbarikiwe sana kapotive wimbo mzuri unaelimisha na unatia moyo sana! This is my all time favorite song!!!!

  • @اسنتاسنيتو
    @اسنتاسنيتو 8 лет назад +5

    my name is Asneth wondurful guy's wow very nice song God bless you indeed kweli YESU NiMWEMA am watching you from Saudia arebia nice song God bless you all indeed be blessed in Jesus name amen I luv u all mmmmwah guy's Eeeeeee .

  • @laurinalaurenti2861
    @laurinalaurenti2861 11 лет назад +2

    NYIMBO ZENU ZINELIMISHA NA KUBURUDISHA ENDELEENI HIVYO HIVYO

  • @impactospace
    @impactospace 6 месяцев назад

    Yesu ni mwema ❤

  • @danielnaibei3244
    @danielnaibei3244 3 года назад

    Ama kweli Yesu Kristo ni mwema

  • @renatusrwegoshora8812
    @renatusrwegoshora8812 11 лет назад +2

    Mungu awatie nguvu.

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 Год назад

    Since standard 7 up to now Tz navy 🙏🙏🙏

  • @edwinmayaba8430
    @edwinmayaba8430 9 лет назад +3

    kwa kweli wimbo huu unapendeza sana. nami sitasita kusema"YESU NI MWEMA"

    • @josephtai4244
      @josephtai4244 4 года назад +2

      Kweli,kaka,huu wimbo wafurahisha nafsi yangu

  • @otiabisah
    @otiabisah 12 лет назад +2

    Good....God bless you and your families..

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822
    @mamatuishi-mamatuondoke8822 8 лет назад +2

    kwa kuwa umeniona asante"aaah nabarikiwa sana nikiwa lebanoni pongenzi kwa watanzania wenzangu:ameeeen

  • @magambojohn5165
    @magambojohn5165 6 лет назад

    Mungu awape maisha marefu na yenye amani, watumishi

  • @elimuhai-tehama9693
    @elimuhai-tehama9693 7 лет назад +3

    Asanteni kwa wimbo bora wa sifa, Mungu awabariki

  • @tosheats2118
    @tosheats2118 4 года назад +1

    Amina Amina Amina yesu ni mwema

  • @OdiliaKamara
    @OdiliaKamara 7 месяцев назад

    Dorosela Amani my schoolmate

  • @ndyeko
    @ndyeko 11 лет назад +2

    Mungu abariki kazi ya mikono yenu

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 3 года назад

    YESU ni mwema

  • @wigantaika3152
    @wigantaika3152 8 лет назад +5

    yesu n mwema kwl kla ck by.....
    simon sendwa

    • @shimbacharz7308
      @shimbacharz7308 5 лет назад

      namushukuru mungu kwa yote sins budi kusema yesu nimwema by shimba t Charles

  • @tukolivetv2023
    @tukolivetv2023 Год назад

    Hii mwaka wa 2023 Yesu ni mwema kwangu.

  • @adelinaadoloph5311
    @adelinaadoloph5311 5 лет назад +1

    hakika yesu ni mwema siku zote

  • @marykalei8147
    @marykalei8147 8 лет назад +3

    I.like all those song's sure

  • @addenthogan9920
    @addenthogan9920 Год назад

    Best song

  • @celyjawanla3282
    @celyjawanla3282 8 лет назад +2

    Surely yesu ni mwema...even satan anamuongopa yesu...thnx so much 4 dat gd track, i like ua song it realy touch my heart...may God grand u en bls my brothers n sisters....Robbie wafula from kenya.

  • @kapelmarygrace8545
    @kapelmarygrace8545 5 лет назад +2

    beautiful thanks giving song. may the Lord bless you all my fellow singers. soo proud of this.

  • @wabulegrace6335
    @wabulegrace6335 2 года назад

    Wonderful choir. Even my daughter visited you in Tanzania from Uganda Nsambya Kampala. Be blessed.

  • @gagagfasasa3586
    @gagagfasasa3586 12 лет назад +2

    god bless africa i wish africa can be happy always.

  • @levocatuslevelian6174
    @levocatuslevelian6174 2 года назад

    Ndolage

  • @dorahnjau9969
    @dorahnjau9969 7 лет назад +2

    Good
    song

  • @marykalei8147
    @marykalei8147 8 лет назад +4

    hii Kenya niwapi mpo

  • @marykalei8147
    @marykalei8147 8 лет назад +2

    surely this kapotive singers how can i get them.to my wedding.pls

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  8 лет назад

      +Mary Kalei Hi, we are based in Bukoba -Tanzania. Please we can communicate via our e.mail: kapotive@yahoo.com, stay blessed.

    • @nassiwanazzaifah6764
      @nassiwanazzaifah6764 8 лет назад

      +KAPOTIVE mi to I want them cuz am to marry Catholic man though am amuslim

  • @emmanuelmdidi9863
    @emmanuelmdidi9863 10 лет назад +4

    Yaani kuna wakati unapata nyimbo unajiuliza 'hivi hawa ni malaika wanaoimba? Ama kweli ni binaadamu mliovuviwa na Roho Mtakatifu kufanya kitu hiki mlichokifanya. Mungu aendelee kuwapa afya njema kabisa muendelee kumtukuza na kutufanya nasi tumtukuze mungu katika kweli.

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  8 лет назад +2

      +Emmanuel Mdidi Amina.

  • @luciusedward3393
    @luciusedward3393 9 лет назад +2

    katonda abebembele ombutume bwanyu

  • @vascoesaumbilinyivascoesau84
    @vascoesaumbilinyivascoesau84 7 лет назад

    hii imeimbwaa na mt kizitoooo makubuliiii sasa niwepiwalioaza kuipigaaaa

  • @elvinahmoraa5988
    @elvinahmoraa5988 3 года назад

    Mungu awatie nguvu sana 👍❤️

  • @muriungigeorge9212
    @muriungigeorge9212 7 лет назад +2

    nyimbo hizo are insipering

  • @ndegepaul5439
    @ndegepaul5439 6 лет назад +1

    Touching song. I appreciate.

  • @emilychepkosgei2275
    @emilychepkosgei2275 8 лет назад +4

    Kapotive singers your songs blesses me so much. where can I buy your DVDs? God bless you so much as you praise the Lord with your beautiful songs.

  • @jacklinamatias9230
    @jacklinamatias9230 Год назад

    Amen

  • @ikkefullmenbeautiful
    @ikkefullmenbeautiful 9 лет назад +9

    Mambo! Ninaitwa Martha na ninatoka Norway. Tafadhali: mtu anaweza kuandika lyrics hapa? Nataka kujifunza wimbo huu, lakini najua kidogo kiswahili tu. Mungu akubariki.

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  8 лет назад +5

      +Martha Ikkefullmenbeautiful
      8. YESU NI MWEMA
      (B. MKASA)
      // Nimetafakari habari zako,
      Nami nashindwa
      kuelewa kabisa,
      Binadamu angenipa
      neema,
      Kesho angechoka
      kunipa zaidi,
      Lakini wewe hauna
      kikomo,
      Wala mvua yako haina
      majira, (Bwana)
      Waonyesha mvua, Bwana
      kwa walio danganya
      Wawasha jua, hata
      bahari (kweli)
      Bwana wewe ni mwema sana,
      // Nitasimulia mimi
      Yesu ni mwema Yesu ni
      mwema,
      Nitahubiri vijiji
      Yesu ni mwema
      Yesu ni mwema.
      III Nitayafafanua haya
      (Yesu ni mwema x 2 /
      Watu wote wapate
      kuyajua (Yesu ni mwema x 2)
      Nitasimulia nchi
      (Yesu ni mwema x 2)
      1. Niliwaza kwa ubinadamu
      mpaka mwisho wa kufikiri,
      Ukataka nijipe moyo
      hisi kitu
      Kwa kuwa humtupi
      anayekutumainia
      Ukataka nijipe moyo
      hisi hofu kitu kamwe.
      Nitasimulia mimi
      …………………………
      2. Uzoefu wa mapito haya
      ukaninyima usingizi
      Ukataka nijipe moyo
      nisihofu kitu
      Adui za Dunia
      zikavunja matumaini
      Ukataka nijipe moyo
      nisihofu kitu kamwe.
      Nitasimulia mimi
      ………………………..
      3. Giza lililotanda mchana likanifunika usoni
      Ukataka nijipe moyo
      nisihofu kitu kamwe.
      Nikapiga keke hofu
      kuu ikanisonga
      Ukataka nijipe moyo
      nisihofu kitu kamwe.
      KIBWAGIZO:
      III Naimba hehe, naimba
      leo x2 mimi ulijua wazi kwamba mimi sikuwa na sitahili,
      Kwa sababu mimi
      mdhaifu mwili na Roho, ukaruhu nifanikiwe juhudi zangu,
      Makusudi ili nione
      ukuu wako, ndugu wanipenda, jamaa waniheshimu, marafiki
      Wanijali, wanisaidie,
      ndio maana leo mimi nakurudia,
      Utukufu ni wako
      milele, sifa na heshima ni vyako daima, wewe peke yako unastahili
      Usifiwe na uhimidiwe,
      III Nakushukuru Bwana (kwa
      kuwa umeniona asante,
      x 2)
      III Nakupa utukufu (kwa
      kuwa umeniona asante)
      III Milele na milele, (kwa
      kuwa umeniona asante)

    • @kastorykinunda3500
      @kastorykinunda3500 6 лет назад

      poa abaliyako

  • @elasmontambuka4529
    @elasmontambuka4529 7 лет назад

    Mmh! Gods able always nothing is best apart Ihave blessed even u2 4r!

  • @arnoldkilaini
    @arnoldkilaini 6 лет назад +1

    AMEN

  • @KAPOTIVE
    @KAPOTIVE  12 лет назад +1

    Asante sana kwa pongezi. Mungu aendelee kutubariki.

  • @KAPOTIVE
    @KAPOTIVE  12 лет назад +3

    @stiven55748 &Justine12057
    Thank you very much for appreciating our work, please continue sharing it with others so that the Word of God reaches everybody. God bless you.

  • @mkoreamovieclips6383
    @mkoreamovieclips6383 3 года назад

    So creative 🔥🔥🔥🙏

  • @annastanciakerubo1419
    @annastanciakerubo1419 6 лет назад

    Very nice mbalikiwe sana

  • @ndjubilant
    @ndjubilant 4 года назад

    Very nice, God Bless

  • @polycarpkaran7970
    @polycarpkaran7970 6 лет назад

    safi

  • @masrenpospori9246
    @masrenpospori9246 9 лет назад +2

    amen

  • @KAPOTIVE
    @KAPOTIVE  12 лет назад +1

    Amen, be blessed too.

  • @greysonmichael4458
    @greysonmichael4458 6 лет назад +1

    hii nyimbo ni zawadi yanii

  • @zainabhamis2881
    @zainabhamis2881 4 года назад

    Yesu ni Mwema