Anae angalia nyimbo hii leo tarehe 1/4 ikiwa imebaki siku mbili kabla ya pasaka like twendde pamoja akika yesu ni mwema , asante wana kagera kwa kaz nzuri
Safi sana wadau.Ni remix iliyotulia na inastaili kuwa remix.Hongereni kwa hatua hii,songeni mbele.Kazi nzuri sana Mukasa, Claudi, Denis, Thed, Edina na wengine wote hapo.A m i n a
MUNGU ni muweza wa yote unapomwimbia katika roho na kweli katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinafanyika na kumbuka MUNGU hukaa katika sifa waimbaji wote wa nyimbo za kumsifu na kumwabudu MUNGU mkijivika unyenyekevu na kumfanya NIKO AMBAYE NIKO yaani YESU kufahamika zaidi yenu ameahidi kuwakweza na kuwavuta wote wafikilie toba lakini mahali popote ulipo kumbuka YESU Yu karibu
Mbarikiwe kwa kuimba vyema na hasa kaka mkasa hongera kwa karama ya uimbaji na utungaji mzuri wa nyimbo za kumtangaza kristo katika jamii inayotuzunguka kwa kweli YESU NI MWEMA SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mungu n mwema kwl ukimtegemea yeye pekee ake .mungu bariki watunzi wa mwimbo huu na,walioufaxilixha kwa hadhira mungu awe nanyi nyote kazi zenu nzuri Sana'a by annody Cosmas seyoya
tuimbe tumshukuru mungu kwa kila jambo maana mungu yupo pamoja nasi ushilikiano katika kumtukuza mwenyezi mungu tulinde nyimbo ZA DINI shukrani zi waendee waandaji wote wa nyimbo za dini maana wanatuinjilisha kupitia nyimbo za dini nasema AMINA
very inspiring especially when I'm faced with earth challenges may God's anointing and grace be upon you all forever till we see the new Jerusalem.....namsalimu sana huyo mama mkuu mmoja wenu kila nimwonapo kwa nyimbo zenu ni kama namwona mamangu mzazi
my name is Asneth wondurful guy's wow very nice song God bless you indeed kweli YESU NiMWEMA am watching you from Saudia arebia nice song God bless you all indeed be blessed in Jesus name amen I luv u all mmmmwah guy's Eeeeeee .
Surely yesu ni mwema...even satan anamuongopa yesu...thnx so much 4 dat gd track, i like ua song it realy touch my heart...may God grand u en bls my brothers n sisters....Robbie wafula from kenya.
Yaani kuna wakati unapata nyimbo unajiuliza 'hivi hawa ni malaika wanaoimba? Ama kweli ni binaadamu mliovuviwa na Roho Mtakatifu kufanya kitu hiki mlichokifanya. Mungu aendelee kuwapa afya njema kabisa muendelee kumtukuza na kutufanya nasi tumtukuze mungu katika kweli.
Mambo! Ninaitwa Martha na ninatoka Norway. Tafadhali: mtu anaweza kuandika lyrics hapa? Nataka kujifunza wimbo huu, lakini najua kidogo kiswahili tu. Mungu akubariki.
+Martha Ikkefullmenbeautiful 8. YESU NI MWEMA (B. MKASA) // Nimetafakari habari zako, Nami nashindwa kuelewa kabisa, Binadamu angenipa neema, Kesho angechoka kunipa zaidi, Lakini wewe hauna kikomo, Wala mvua yako haina majira, (Bwana) Waonyesha mvua, Bwana kwa walio danganya Wawasha jua, hata bahari (kweli) Bwana wewe ni mwema sana, // Nitasimulia mimi Yesu ni mwema Yesu ni mwema, Nitahubiri vijiji Yesu ni mwema Yesu ni mwema. III Nitayafafanua haya (Yesu ni mwema x 2 / Watu wote wapate kuyajua (Yesu ni mwema x 2) Nitasimulia nchi (Yesu ni mwema x 2) 1. Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri, Ukataka nijipe moyo hisi kitu Kwa kuwa humtupi anayekutumainia Ukataka nijipe moyo hisi hofu kitu kamwe. Nitasimulia mimi ………………………… 2. Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi Ukataka nijipe moyo nisihofu kitu Adui za Dunia zikavunja matumaini Ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe. Nitasimulia mimi ……………………….. 3. Giza lililotanda mchana likanifunika usoni Ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe. Nikapiga keke hofu kuu ikanisonga Ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe. KIBWAGIZO: III Naimba hehe, naimba leo x2 mimi ulijua wazi kwamba mimi sikuwa na sitahili, Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na Roho, ukaruhu nifanikiwe juhudi zangu, Makusudi ili nione ukuu wako, ndugu wanipenda, jamaa waniheshimu, marafiki Wanijali, wanisaidie, ndio maana leo mimi nakurudia, Utukufu ni wako milele, sifa na heshima ni vyako daima, wewe peke yako unastahili Usifiwe na uhimidiwe, III Nakushukuru Bwana (kwa kuwa umeniona asante, x 2) III Nakupa utukufu (kwa kuwa umeniona asante) III Milele na milele, (kwa kuwa umeniona asante)
@stiven55748 &Justine12057 Thank you very much for appreciating our work, please continue sharing it with others so that the Word of God reaches everybody. God bless you.
Anae angalia nyimbo hii leo tarehe 1/4 ikiwa imebaki siku mbili kabla ya pasaka like twendde pamoja akika yesu ni mwema , asante wana kagera kwa kaz nzuri
Kapotive nawapenda sana Me mkatoliki nyumban Musoma
Barikiweni na Mungu sana WanaKapotive..
Ukataka nijipe moyo=.hongera Sana mukasa
Amen 🙏🙏🙏🙏
Praz God guys that is a nice song I loved cz inanibariki kwan Kila cku ninaisikiliza
kapotive singers thanks a lot for nice song stay blessed, keep it up and never give up.
Safi sana wadau.Ni remix iliyotulia na inastaili kuwa remix.Hongereni kwa hatua hii,songeni mbele.Kazi nzuri sana Mukasa, Claudi, Denis, Thed, Edina na wengine wote hapo.A m i n a
yaan niwashukuru je?kwa nyimbo zenu nzuri?naomba nyimbo zingine mlizo ziimba pale rinase nazipenda sana kama kunam2 anazo
Mungu awabariki nyimbo zenu mzuri sana hongera n sana
ahsante Mungu kwa neema zako, tunabarikiwa kupitia waimabaji hawa. Naomba uendelee kwa kuwapa hekima, busara na maarifa katika utume wao
Amina sana koptive choir yesu ni mwema 🙏🙏🙏
Kupitia kapotive najikuta nawapenda wahaya na nataman kuishi Bukoba na kuoa Muhaya
MUNGU ni muweza wa yote unapomwimbia katika roho na kweli katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinafanyika na kumbuka MUNGU hukaa katika sifa waimbaji wote wa nyimbo za kumsifu na kumwabudu MUNGU mkijivika unyenyekevu na kumfanya NIKO AMBAYE NIKO yaani YESU kufahamika zaidi yenu ameahidi kuwakweza na kuwavuta wote wafikilie toba lakini mahali popote ulipo kumbuka YESU Yu karibu
hii nyimbo ni zawadi yanii
Mbarikiwe kwa kuimba vyema na hasa kaka mkasa hongera kwa karama ya uimbaji na utungaji mzuri wa nyimbo za kumtangaza kristo katika jamii inayotuzunguka kwa kweli YESU NI MWEMA SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mungu n mwema kwl ukimtegemea yeye pekee ake .mungu bariki watunzi wa mwimbo huu na,walioufaxilixha kwa hadhira mungu awe nanyi nyote kazi zenu nzuri Sana'a by annody Cosmas seyoya
Jamani yesu ni mwema ck zote akuna wimbo ninaoupenda kama uu
Kweli Mungu BABA yetu wa mbinguni na azidi kuwainua na na aendelee kuwa bariki Kwa jina la mwanae Yesu Kristo aliye Mwokozi wetu Amen
Kuna huyo mama kibonge kidogo ,,,,,,,hakuna mtu aliye barikiwa sauti kama huyo
from dar es salaam Tanzania l enjoy much da songs from kaportive star singers.May God bless u more&more
tuimbe tumshukuru mungu kwa kila jambo maana mungu yupo pamoja nasi ushilikiano katika kumtukuza mwenyezi mungu tulinde nyimbo ZA DINI shukrani zi waendee waandaji wote wa nyimbo za dini maana wanatuinjilisha kupitia nyimbo za dini nasema AMINA
Medard Angelo Amina.
+Medard Angelo Asante sana, na ubarikiwe.
Sina la kusema ila mtunzi hongera sana na tunaomba utunge zaidi maana hii ndo njia ya kuwavuta wengi kuabudu hata kama hawaendi kanisani.
ngoma kali sana
Wimbo huu naupenda sn
Wow, kweli Yesu ni mwema
kwr nimwema napenda San nyimb zenu
Sjawai juta kusema yesu ni mwema
Hongereni saaana Mungu awabariki, hakika Yesu ni mwema
Nazi mzur xanaaaaa
very inspiring especially when I'm faced with earth challenges may God's anointing and grace be upon you all forever till we see the new Jerusalem.....namsalimu sana huyo mama mkuu mmoja wenu kila nimwonapo kwa nyimbo zenu ni kama namwona mamangu mzazi
Nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo hizi mungu awabariki
Asante kwa kaz nzur
Mmenikumbusha ziwa Victoria, nimepamis mno
asanteni kwa wimbo mzr mungu awabrk sana mdumu ktk pendo lake.
napenda sana kwaya
Mbarikiwe sana kapotive wimbo mzuri unaelimisha na unatia moyo sana! This is my all time favorite song!!!!
my name is Asneth wondurful guy's wow very nice song God bless you indeed kweli YESU NiMWEMA am watching you from Saudia arebia nice song God bless you all indeed be blessed in Jesus name amen I luv u all mmmmwah guy's Eeeeeee .
Mungu awabarki sana ndugu zangj
NYIMBO ZENU ZINELIMISHA NA KUBURUDISHA ENDELEENI HIVYO HIVYO
Yesu ni mwema ❤
Ama kweli Yesu Kristo ni mwema
Mungu awatie nguvu.
Since standard 7 up to now Tz navy 🙏🙏🙏
kwa kweli wimbo huu unapendeza sana. nami sitasita kusema"YESU NI MWEMA"
Kweli,kaka,huu wimbo wafurahisha nafsi yangu
Good....God bless you and your families..
kwa kuwa umeniona asante"aaah nabarikiwa sana nikiwa lebanoni pongenzi kwa watanzania wenzangu:ameeeen
Mungu awape maisha marefu na yenye amani, watumishi
Asanteni kwa wimbo bora wa sifa, Mungu awabariki
mungu akubariki kupitia wimbk huu.
Amina Amina Amina yesu ni mwema
Dorosela Amani my schoolmate
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
Amina!
YESU ni mwema
yesu n mwema kwl kla ck by.....
simon sendwa
namushukuru mungu kwa yote sins budi kusema yesu nimwema by shimba t Charles
Hii mwaka wa 2023 Yesu ni mwema kwangu.
hakika yesu ni mwema siku zote
I.like all those song's sure
Best song
Surely yesu ni mwema...even satan anamuongopa yesu...thnx so much 4 dat gd track, i like ua song it realy touch my heart...may God grand u en bls my brothers n sisters....Robbie wafula from kenya.
beautiful thanks giving song. may the Lord bless you all my fellow singers. soo proud of this.
Wonderful choir. Even my daughter visited you in Tanzania from Uganda Nsambya Kampala. Be blessed.
god bless africa i wish africa can be happy always.
Ndolage
Good
song
hii Kenya niwapi mpo
+Mary Kalei Tuko Bukoba- Tanzania.
Am not in Kenya for now.soon I wll back
Tanzania bana😊😊
surely this kapotive singers how can i get them.to my wedding.pls
+Mary Kalei Hi, we are based in Bukoba -Tanzania. Please we can communicate via our e.mail: kapotive@yahoo.com, stay blessed.
+KAPOTIVE mi to I want them cuz am to marry Catholic man though am amuslim
Yaani kuna wakati unapata nyimbo unajiuliza 'hivi hawa ni malaika wanaoimba? Ama kweli ni binaadamu mliovuviwa na Roho Mtakatifu kufanya kitu hiki mlichokifanya. Mungu aendelee kuwapa afya njema kabisa muendelee kumtukuza na kutufanya nasi tumtukuze mungu katika kweli.
+Emmanuel Mdidi Amina.
katonda abebembele ombutume bwanyu
Ok
amen yesu ni mwema
hii imeimbwaa na mt kizitoooo makubuliiii sasa niwepiwalioaza kuipigaaaa
Mungu awatie nguvu sana 👍❤️
nyimbo hizo are insipering
Touching song. I appreciate.
Kapotive singers your songs blesses me so much. where can I buy your DVDs? God bless you so much as you praise the Lord with your beautiful songs.
Amen
Mambo! Ninaitwa Martha na ninatoka Norway. Tafadhali: mtu anaweza kuandika lyrics hapa? Nataka kujifunza wimbo huu, lakini najua kidogo kiswahili tu. Mungu akubariki.
+Martha Ikkefullmenbeautiful
8. YESU NI MWEMA
(B. MKASA)
// Nimetafakari habari zako,
Nami nashindwa
kuelewa kabisa,
Binadamu angenipa
neema,
Kesho angechoka
kunipa zaidi,
Lakini wewe hauna
kikomo,
Wala mvua yako haina
majira, (Bwana)
Waonyesha mvua, Bwana
kwa walio danganya
Wawasha jua, hata
bahari (kweli)
Bwana wewe ni mwema sana,
// Nitasimulia mimi
Yesu ni mwema Yesu ni
mwema,
Nitahubiri vijiji
Yesu ni mwema
Yesu ni mwema.
III Nitayafafanua haya
(Yesu ni mwema x 2 /
Watu wote wapate
kuyajua (Yesu ni mwema x 2)
Nitasimulia nchi
(Yesu ni mwema x 2)
1. Niliwaza kwa ubinadamu
mpaka mwisho wa kufikiri,
Ukataka nijipe moyo
hisi kitu
Kwa kuwa humtupi
anayekutumainia
Ukataka nijipe moyo
hisi hofu kitu kamwe.
Nitasimulia mimi
…………………………
2. Uzoefu wa mapito haya
ukaninyima usingizi
Ukataka nijipe moyo
nisihofu kitu
Adui za Dunia
zikavunja matumaini
Ukataka nijipe moyo
nisihofu kitu kamwe.
Nitasimulia mimi
………………………..
3. Giza lililotanda mchana likanifunika usoni
Ukataka nijipe moyo
nisihofu kitu kamwe.
Nikapiga keke hofu
kuu ikanisonga
Ukataka nijipe moyo
nisihofu kitu kamwe.
KIBWAGIZO:
III Naimba hehe, naimba
leo x2 mimi ulijua wazi kwamba mimi sikuwa na sitahili,
Kwa sababu mimi
mdhaifu mwili na Roho, ukaruhu nifanikiwe juhudi zangu,
Makusudi ili nione
ukuu wako, ndugu wanipenda, jamaa waniheshimu, marafiki
Wanijali, wanisaidie,
ndio maana leo mimi nakurudia,
Utukufu ni wako
milele, sifa na heshima ni vyako daima, wewe peke yako unastahili
Usifiwe na uhimidiwe,
III Nakushukuru Bwana (kwa
kuwa umeniona asante,
x 2)
III Nakupa utukufu (kwa
kuwa umeniona asante)
III Milele na milele, (kwa
kuwa umeniona asante)
poa abaliyako
Mmh! Gods able always nothing is best apart Ihave blessed even u2 4r!
AMEN
Hakika yesu Ni mwema
Asante sana kwa pongezi. Mungu aendelee kutubariki.
@stiven55748 &Justine12057
Thank you very much for appreciating our work, please continue sharing it with others so that the Word of God reaches everybody. God bless you.
So creative 🔥🔥🔥🙏
Very nice mbalikiwe sana
I just love your work. It's a true calling from God.
Very nice, God Bless
safi
amen
Amen, be blessed too.
hii nyimbo ni zawadi yanii
Yesu ni Mwema