NIMEONJA PENDO LAKO: KAPOTIVE Star Singers- Bukoba
HTML-код
- Опубликовано: 28 дек 2011
- Nimeonja Pendo lako, is one of the best songs composed by Mr. Bernald Mukasa. It is also among the 8 songs in the YESU NI MWEMA album by KAPOTIVE Star Singers - Bukoba. The song illustrates the love of Jesus Christ to mankind. The singing and dancing is realy attractive and a joy to hear and see.
- Видеоклипы
2024 naona hii nyimbo km imetoka leo 🕊🕊 asante MUNGU kwa kila kitu sintaacha kukushukuru kwasababu umenitoa kwenye matope nakuweza kuniosha mpaka sasa nina ng’ara asante sana MUNGU 🙏 naomba endelea kunitendea mambo makubwa zaidi ili baba mtoto wangu aliyekuwa ana nipiga nakunitukana kwa dharau nakusema sina kwa kwenda ndio maana kila analo nifanyia navumilia lakini MUNGU ulipoamua kunipa ujasiri nikaamua kuondoka kwake na nguo zangu za mwilini tu nakuanza upya japokuwa ilikuwa ngumu ila hukuniacha peke angu na saizi namsomesha mwanangu shule ya milioni 5 nakula ninachotaka yaani sintachoka kumshukuru MUNGU nakushuhudia mambo aliyo nitendea 🙏
MUNGU kwenye shida MUNGU kwenye raha MUNGU kila wakati🙏❤️❤️❤️
kwakweli mshukuru Mungu wako wa mbinguni nami nasikia furaha sana kuona Mungu wetu wa mbinguni anaabudiwa ipasavyo na lishetani linashindwa ktk jina YESU Kristo mwana wa Mungu aliye hai. 🙏
who is here in 2024 after kuacha kanisa lakini ako na mungu?
Return my son return
Whose here today? I love this song and all catholic songs❤❤❤❤🇰🇪
Just heard it again and again from Kiss 💯
Catholics much love from Amsterdam. My catholic brothers and sisters ♡♡♡
Kwel yesu amenitendea mema sana nashukuru
The White Handkerchief on Air as sign of peace and Peaceful Co-existence with All
Watching from ARUSHA - TANZANIA. Congratulations. Hongereni sana.
What i can understand in this song its the chorus, it could be played on Radio Maria every night and I loved it, it's a good song . From Uganda 🇺🇬
Much love from Uganda 🇺🇬 ❤️ the song
Asanten wanakwaya kwa ujumbe we nu mbalikiwe na bwana❤❤❤❤❤😅😅😅😅🎉🎉🎉
Proud catholic enjoying❤❤
Remind me of the moment when I was a refugee in kakuma/kenya. Now l live in United States. Thanks God for every thing you have done in my life.
😢❤❤❤p0qq9kmnayn😊
Lql1qqq1lqqq😊 queen qoo1q😊😊 pl mom 😅
.s. Pl@@leonialorry8821
Same
Wimbo mzuri sanaaa.
Used to sing this song in my childhood days not really knowing what it meant now a a full grown and I now know how far God has brought me.
This song will hit forever.
Nakumbuka nyumbani jamani Bukoba hiyo
Much love ❤ from 🇺🇬
This has made my morning
2024,tuko hapa bado
Protestant but grew up loving this song 20 years later I found it on youtube
Always feel blessed when am listening to this song, wapi wanye wanawatch 2020
Totally encouraged by this song
Nko hapa nawatch 2020
Am here, it reminds me of my primary and high school life
@@evanzousanchez6780 it
I know im randomly asking but does anybody know of a method to log back into an Instagram account..?
I stupidly forgot my account password. I love any help you can offer me
Catholic choir always the best am blssd
Nimeonja pendo lako bwana nimejuwa umwema nitakushukuru nitawainuiwote wakusifuwewe unatulinda kilasiku usikunamchana upewe sifa eebwana ongereni kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yakitume amina
May God bless the choir. God of all creation bless us unworthy human beings
It has made my heart feel better than I was yesterday 🤗🤗🤗🙏🙏
Reminds me of my friends ..i was a muslim but that never mattered tulipendana na my boys wakiimba izi ngoma kwa parade asubui..😀😀
Nimeoja pendo lako2023 barikiwa sana 🎉🎉🎉🎉❤
wimbo mzuri huu wafurahisha Roho yangu
I'm from Michigan, USA, but I stayed in Arusha, Tanzania between 2000-2004. I love the song
Nimeonja pendo lako Yesu ndani ya mwaka 2019🙏
Yes 2019 niko
Yes,Niko ndani sana waja tuparikiwe
It gives more hope to our faith.
Tupo wengi tunaobarikiwa kwa wimbo huu
Hakika Tumshukuru Mungu, Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri.
Dah hii nyimbo namkumbuka adi mama angu
Good voices, this song is very nice and really tourching...keep ur fire burning as our good God lift u to a higher level
Nice song,glory be to God 🎉
Siku zote za maisha yangu nitaziimba fadhili zako Ee Bwana
Glory to God
Nitakushukuru na kuwainua wote wakusifu
Am proud to be Catholic....I always refer to Kenya Catholic music as best Catholic music ever! Love you all the way from Zimbabwe
2022 Niko hapa...nimekumbuka babangu...RIP Dad
🙄🙄and this is a Tanzanian song
@@sherifaali7268 Thanks for the enlightenment
Tunaelekea 2024🎉
So wonderful and powerful song. Am proud to be a Catholic. So encouraging. May God bless you all 🙏
Just kept humming this tune the whole day coz I don't know the words, then I thought to check it out. Didn't know I could find it. I'm so happy it reminds me of my childhood when I was soo religious
Hahaha, you should continue being religious, especially during this period of Easter festivities. Stay blessed!
Wt~t8pvpwppwtwtwtwtpw8wpxtwr
The song was realized when i was living in darkness sining right and left 😭😭 thinking i was ok now i meet Jesus Christ in personal iam here to say Jesus saves thenk you to Jesus who lives in me the way and truth praise LORD JESUS hallelujah
2021 bado nasikilia Imani nimeoja pendo lake 💕💕💕💕who is here with me
I love this song as I first heard it in 2004/5. Bringing some memories of then...
Asante kwa pongezi hizo, na Mungu azidi kutubariki. Usikose pia kuangalia nyimbo zetu nyingine hapahapa youtube.
Ninawaelewa sana nampenda mungu
Tumsifu Yesu Kristo wapendwa lakin mbona zinakataa kudownload? 🙏🙏 Jamani tusaidie
April 2024. Here to thank God for his love and generosity
Same😂 this song is a vibe
Nitakushukuru yesu milele na milele Amina...... Good sorry listening from Bahrain and God bless 🙏
The love of Jesus Christ is the true love,, believe and trust in him
It takes me back when I was in a primary school
I love this song,,,May god bless us
@2023, 15th October feeling blessed
For sure tears are shed when such wonderful Catholic songs are sung.Be
Glory be to God 🙏🙏🙏, still fresh every day
NAIPENDA NYIMBO HII MBARIKIWE SANA
When I. Listen. The song I feel. It
In. My bloodstream
remonds me of my childhood at kanyagia catholic parish nyandarua county.
This song gives me a nostalgic feeling, back then in 2004 when I joined Murungaru primary, Nyandarua for class one. The catholic choir used to sing it in every PPI on Friday
Happy Sunday to all Catholics✨♥️
I remember.waoh.Murungaru our school.
Was in form one by then na we used to sing it daily parade time on Friday after the principal speech
Hakika nyimbo hii njema Mungu awape nguvu zaidi hakika inabariki sana
Ubarikiwe sana. Tafadhali subscribe kwenye youbue channel yetu ili uweze kupata Video zetu mpya ambazo tuta upload hivi karibuni.
2019 October nani mwingine tunaenjoy nae huu wimbo mtamu jameni NIMEONJA PENDO LAKO YESU
ufalume wako ebwana
Mimi Joe
I miss my childhood life. Oh My God! This were the real days
I'll be a catholic forever,, God bless you guys
Proud to be a Catholic. I miss my church back in Kenya. The songs OMG! In Italy very serious no joyous music for our God. Africa the best in praising.
I always shed tears of Joy whenever I listen to this song, pure blessing ❤️
I really love this song because it's my favourite one the Moments I listen for it just feel like Holy Spirit is flowing on my body and I pray for everyone is listening for it may the almighty god fulfill your dreams and give you internal life amen
Amen
Catholic songs always soothes my broken heart.
O
Kweli kabisa bwana yesu, nimeonja pendo lako, sifa na utukufu ni kwako milele na milele, Amina
We used to sing this song in the parade when in early primary school years. It brings back the memories and always make me feel blessed.
lam so touched by Tanzania and Kenya praise songs. God bless,lam from kotido diocese in Uganda.
Q
Q
Ñ
Simply, I have tested your love and found it so sweet, therefore I shall rise up other men to praise you. Amen
i remember when i was missionary dancer ..i cant forget old times..proud catholic.
Such a powerful song, may the Lord continue blessing us all.
Real like kweli mungu yu mwema kila wakati kwakweli wabariki watu wote
The Catholic songs uplifts me when I am down hearted.
Huu wimbo nliujua nikiwa mtoto mdogo sana.hongera.my first time to see this vedio in 2020😄😘😘
This reminds me the year 2005 at liyavo primary school prayer day to kcpe❤❤❤❤❤
wimbo umenikumbusha mbaaali sana Mungu Asante kwa zawadi ya uzima.♥️🙏
Really blesses reminds me of my C.A choir back in high school..KIGUMO BENDERA🇰🇪 2010
Bendera yenu ifate nini kwenye nyimbo za Tanzania mbwa nyinyi weizi wakubwa 😏😏😏
Oooooooh!!! Quelle bonnehr,!!! mes amies il ya 3ans k g cherch la chanson la, Kapotive k Dieu vs benisse, nitakushukuru nitabayinuw woteeeeeeeeeeeeee...
I've tasted your love and new how sweet it is,hakika pendo la Yesu latuhifadhi katika maisha yetu,ndugu Benard Mukasa the talent that God has put in you is really fruitful to His evangelical mission,be blesses sir,'Nimeonja Pendo lako' another good work from this talented songs composer.
Pendo lako eeeh Mungu wangu umenitendea wema wako 🙏🙏
l love Catholic songs
my name is Asneth eee guy's I luv u so much God bless you so much sijui CD zenu ntapata wapi na sauti zenu nzuri mungu awabariki sana indeed
Hii wimbo tukiwa watoto tungeimba xmass na fr tosha from nyamagwa parish😘😘😘
Best choir of decade ina nibariki San mimi
Ukarimu wako Bwana Na huruma yako wewe🙏🙏
This song just makes my heart rejoice and grateful for all that I have. It also takes me back to the days I was in a Catholic school. Kudos to the song writer
i love this song jmn
I really love the song thank you
This song remind my late mom used to sang in the morning as he woke up 🙏🙏🙏
Here we go 2023
mm nimeikubali zaidi Kapotive kwaya
I love this Songs. Lets praise God for his mercy and forgiveness
Amen. Stay blessed.
Powerful
Mungu tusaidie tutembee katika njia ya kweli mubalikiwe watumishi
Who is with me 2021❤️
2020 wagapi twasikiza
nimebarikiwa sana na nyimbo zenu Bwana awe nanyi
Athanas James awe pia nawe
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifi wewe Amen
Mungu awabariki sana Ninyi.nyote mloshiriki
Am proud to be a Catholic
I love the song. God bless you.
Class seven I really danced to this song,Nyamagwa parish