Matumizi ya P2 kwa wanawake | Namna inavyotumika, faida zake na madhara kwa watumiaji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 43

  • @marymuoki5811
    @marymuoki5811 3 года назад +6

    Ukimeza p2 day ya Kwanza unaweza fanya tendo la ndoa before 72 hours kuisha🙏

  • @paskalinanaali1434
    @paskalinanaali1434 3 года назад

    Thanks brother my God bless you

  • @tabithalusenga1183
    @tabithalusenga1183 4 месяца назад +1

    Hiki anachokizungumza doctor ni sahihi mimi ni mhanga nilikuwa natumia kipind nasoma , nimehangaika sana kupata mtoto zaidi ya miaka 8 ya ndoa

  • @stanslaus.
    @stanslaus. 3 года назад +1

    Niiice!!!

  • @sarahedwin9841
    @sarahedwin9841 Год назад

    Iko vzr ila ukikosea kutumia lazima ikusaliti

  • @gladyvictor9094
    @gladyvictor9094 Год назад

    Pow

    • @tabujames
      @tabujames Год назад

      Mbona wanameza kwa xaa moja baada ya tendo na mimba zinatunga hii imekaaje doctor

    • @PrincessMunirah-lb2gf
      @PrincessMunirah-lb2gf 11 месяцев назад

      ᵁⁿᵃⁱᵗᵘᵐⁱᵃʲᵉ ʰʸ ᵖ2 ᵘⁿᵃᵐᵉᶻᵃ ᵏʷᵃ ᵐᵃʲⁱ ᶻᵒᵗᵉ ᵐᵇⁱˡⁱ ᵃᵘ ᵛᵖ

  • @paulinapaulo6750
    @paulinapaulo6750 3 года назад +13

    Me nilitumia ndani ya saa moja baada ya tendo lkn nmeshika mimba

  • @leylarajabushabani4491
    @leylarajabushabani4491 Год назад +2

    Hiyo sauti jaman mliyo iweka nyuma disgusting😏😑😣😖

  • @DorcusKizongona
    @DorcusKizongona 11 месяцев назад +1

    Alaa so hakuna vile p2 inaweza lead to abortion?

  • @user-ko8zc1bv6j
    @user-ko8zc1bv6j 5 месяцев назад

    Icho kisauti kinakela banaa

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 3 года назад +5

    Me hata siijuwi hyo p2 🤔

  • @HaithamMajid
    @HaithamMajid 2 месяца назад

    Tumia na imenisalit maziwa yananiuma yamejaa na mate machungu na nilikunywa kabla ya masaa 72

  • @catherinejabeya4455
    @catherinejabeya4455 3 года назад

    p2 ukimaliza kumeza after tendo la ndoa na siku salama unaweza mbele yake unaweza Fanya tendo la ndoa

  • @misskimaro6495
    @misskimaro6495 3 года назад +1

    Jmn hiyo sauti mnayoiweka kwa nyuma ina kera

  • @ZuhuraAbdallah-bx8nb
    @ZuhuraAbdallah-bx8nb 3 месяца назад

    Inaitwaje ivo vidonge

  • @user-ko8zc1bv6j
    @user-ko8zc1bv6j 5 месяцев назад

    Mnashahur watu kutumia mara ngapi kwa mwaka?

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 3 года назад +1

    Dah, huyo dada kakohoa hapo kanistua sana

  • @user-cv8cz4ff9w
    @user-cv8cz4ff9w 10 месяцев назад

    Zinauzwa 5000

  • @alihacker9453
    @alihacker9453 3 года назад +14

    utajuaje kama inafanya kazi baada ya kuimeza

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 3 месяца назад

      ndo na Mimi nilitaka kujua inatumikaje kazi baada kumeza
      swali kweli inasaidia
      mbona wanaongea kwakuficha maelezo lengine

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 3 года назад

    Kabla swali la Kwanza hajajibu mnauliza swali lingine mbona hamko systematic

  • @user-wx5yk4mq1t
    @user-wx5yk4mq1t 7 месяцев назад

    Utajuaje kuw p2 inafany kaz

  • @estherkiruma
    @estherkiruma Год назад

    Unafa kutokwa na damu wakati umemeza p2

  • @mawezikz6704
    @mawezikz6704 2 года назад

    Zinauzwa bei gani izo p2

  • @kilipa646
    @kilipa646 3 года назад +1

    Good Bro. Keep it up

  • @victoriasitephano2548
    @victoriasitephano2548 3 года назад

    We dada mbonge unaogea Sanaa

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 3 года назад

    Tuleteeni madhara ya kutumia dawa yakupunguza ukubwa wamatiti dawa yakupaka au yakunywa

    • @aminajuma3352
      @aminajuma3352 2 года назад

      Dada unatumia daw ya kupunguza matiti au

  • @emmanuelchama3657
    @emmanuelchama3657 Год назад +1

    sasa inaisha kwamda gani kutumika mwilini nqomba kujua

  • @sarahkijalamboe1109
    @sarahkijalamboe1109 2 года назад

    Hizo dawa unakunywa moja baada ya nyingine ama zote kwa ujumla