GUDE GUDE SONG NDARO 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 133

  • @gudegudetz7970
    @gudegudetz7970  2 месяца назад +51

    Niwaombe samahani washabiki wangu kwakucherewa kwahiikazi mnisamee mashabiki zangu nimatatizo yalitokea kidogo ila namshukulu mungu mpaka reo

    • @NkondoGaliyaya
      @NkondoGaliyaya 2 месяца назад

      Joo upige show itilima tumeku mis

    • @JumaLukanya-h2u
      @JumaLukanya-h2u 2 месяца назад

      Poa

    • @FaidaNyanda
      @FaidaNyanda 2 месяца назад

      uko vizur xana gudegude umenikumbuxha wimbo wa mama neema pamoja ule mikos

    • @Maleyboy
      @Maleyboy 2 месяца назад

      Kaz nzur kamamda ❤❤❤❤

    • @DoganNgongo-ou1cc
      @DoganNgongo-ou1cc 2 месяца назад

      Achiaa na Ile ya shiloti Kaka tunasubiri Kwa hamu sana

  • @Samwel486
    @Samwel486 2 месяца назад +4

    nipo🏳️‍⚧️naisklza wananiulza who this guy nawambia gude gude tajiri wa maluho

  • @abeljackon9183
    @abeljackon9183 2 месяца назад +1

    Hapana shida piga kaz

  • @EdurassLusoka
    @EdurassLusoka 2 месяца назад

    Umetisha

  • @KulwaBundala-h1g
    @KulwaBundala-h1g 2 месяца назад

    Pole sana

  • @First_bornKM
    @First_bornKM 2 месяца назад

    Wakianza kukuelewa wachanganye tena

  • @EdwardPerinali-rs7jc
    @EdwardPerinali-rs7jc 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥💪🙏🙏🙏

  • @Devilinintungwawc2vk
    @Devilinintungwawc2vk 2 месяца назад +1

    I've been scarred by a blotter, please forgive me, I'm begging you to like even one, my brother

  • @rafikiwadiamondplatnumz289
    @rafikiwadiamondplatnumz289 2 месяца назад +4

    Mbona unaimbiwa watu tu changanya nyimbo bhana toa ngoma zako bhana SHILOTI 😢😢 Mwaka huu umetungusha

    • @massanja221
      @massanja221 2 месяца назад

      Nikwel hiz nyimbo so wote wanaozipenda hapo anabagua baadhi ya watu kama mimi na wengine weng

  • @massanja221
    @massanja221 2 месяца назад +1

    Kaanza kuingia kwenye mifumo ya wasanii wanaoshindaga kwenye harusi kuimbia watu but anyway gudegude wewe ni msanii mkubwa kwa sasa wasukuma tunahitaji jadi punguza urafi😂😂😂ukihamia huku kisima atakupiga gape kubwa sana

    • @bonifacehamis4088
      @bonifacehamis4088 2 месяца назад

      Tumemuacha mbali sana KisimaGang🔥🔥🔥

    • @massanja221
      @massanja221 2 месяца назад

      @@bonifacehamis4088 sasa utasemaje umemuacha mbali mtu aliyekuzid subscribers parefu tu me naonaga wote wako sawa tu na ndo wenye wanaleta competition kali kwenye asili kwa sasa mana huyu anamwangalia huy na huy the same but akijikita kwenye nyimbo za harus si wte wanaozipenda sisi ni mashabiki zao na tunatoa maoni tu

  • @SaidNzumbi
    @SaidNzumbi Месяц назад +1

    Komaa jamaa utoboe mpaka wakome

  • @siwemaSylvester
    @siwemaSylvester 2 месяца назад

    Hongera unafanya kazi nzuri sana ila punguza kuimbia watu mara mwananengo mara ndalo kwanza unachanganya watu imbanyimbo za kuelimisha jamii..wewe ni msanii mkubwa sana kikubwa punguza kutangaza biashara za watu kupitia nyimbo zako ushasema mwananengo ametosha.unataka wahame kwa mwanengo waende kwa ndalo tena 😂acha zako bhna.. yapo mengi kuhusu jamii bro achana na hawa watu .

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 месяца назад +2

    Nipe namba yako kaka

  • @MashakaDandu
    @MashakaDandu 2 месяца назад +1

    Hongera sana kijana lkn wapunguze Hawa jamaa komaa na yule mmoj tu mwananengo tushazoea mara Moja Kwa mwaka, lkn Hawa achana nao we msanii sio msanii wa kuimbia harusi au kusifia mtu, nakukubali sana mmi pande za izumba pia karibu

  • @NgoshaJames
    @NgoshaJames 24 дня назад

    pambana jamaa uko vizr. nikihitaji uimbe inshu inayonihusu tuna fanyeje jamaa?

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 месяца назад +2

    Kazi poa sana gude gude tunakuintaji sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @vjamostzv
    @vjamostzv 2 месяца назад

    Samahani pia ile ya lekana nabho mami hiyo ifanyie shooting

  • @MeshakiPbarekele
    @MeshakiPbarekele Месяц назад +1

    Good job my brother

  • @MikaeliNsulwa
    @MikaeliNsulwa 2 месяца назад

    Hata hivyo inajitahidi buloo

  • @IbrahimPambano
    @IbrahimPambano 2 месяца назад

    Toa yankema malays

  • @BrigadierJishosha
    @BrigadierJishosha 2 месяца назад +1

    Toa Ngoma kaka uko vzur

  • @LushingeBulihu
    @LushingeBulihu 2 месяца назад

    Video kali ila audio mmmmm😅

  • @CleophaceJoseph-k1e
    @CleophaceJoseph-k1e 2 месяца назад

    Nipe namba yako kaka

  • @JosephEnosi-id8re
    @JosephEnosi-id8re 2 месяца назад

    Pambana dogo langu

  • @emanuelbuganda269
    @emanuelbuganda269 2 месяца назад

    Pesa zina wenyewe kaka,, kazi nzur Sana japo duniani kote huwez mfurahisha kila mtu hivo focus on what you are doing 💪

  • @ANKOZUBERI881
    @ANKOZUBERI881 Месяц назад

    hongereni

  • @RamadhaniMengi
    @RamadhaniMengi 18 дней назад

    Goodone

  • @SylvesterMaziwa-q7f
    @SylvesterMaziwa-q7f 2 месяца назад +1

    Piga kazi

  • @EdinaPastor
    @EdinaPastor 19 дней назад

    Waooo

  • @OmariOmari-b9z
    @OmariOmari-b9z 2 месяца назад

    Unajua

  • @PetroRaphael-vv4hw
    @PetroRaphael-vv4hw 2 месяца назад +1

    Uhakika kaka from ZANZIBAR

  • @EmmanuelElisafi
    @EmmanuelElisafi Месяц назад

    Mm .Martha napenda nyimbo zako san ❤❤😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ zinakosha san hiv gude unakaa wap

  • @NicodemasDaniel-o8r
    @NicodemasDaniel-o8r 21 день назад

  • @HAMISIZENGO-v6t
    @HAMISIZENGO-v6t 2 месяца назад

    Punguza kuwa chawa broo unapotea kaka tafuta jumbo nzuri na sio kuongerea watu kaka!!!!!!!

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 2 месяца назад +1

    Good talented 👏👍👍 piga kazi Gudegude 🔥🔥

  • @johnonores7412
    @johnonores7412 2 месяца назад

    Nilikuwa shabiki Sana wa nyanda madirisha Toka afe wewe ndio top wa nyimbo za kisukuma piga Kaz karbu dar

  • @PoliceNdizeye-rt2ml
    @PoliceNdizeye-rt2ml 2 месяца назад

    Kazi nzuli gude gude tunakupanda kutoka burundi 🇧🇮

  • @zagalazabuinge3893
    @zagalazabuinge3893 2 месяца назад

    Unatufelisha sana,kuna mambo mengi ya kuimba unatushauri siyo haya ya kuimbia watu

  • @MadukaDeusi
    @MadukaDeusi 2 месяца назад

    Nikawaida2 Kaka halaka halaka hainabalaka nakukubalisana nimm maduka

  • @fikiripaschal8438
    @fikiripaschal8438 2 месяца назад

    Iiii kumbe hivo tena kaka sasa hii isikuumize akili

  • @ChengeNgusa
    @ChengeNgusa Месяц назад

    Ngudengude

  • @MwanzalimaJohn-hd1hq
    @MwanzalimaJohn-hd1hq 2 месяца назад

    Nakukubali sana mzee wa pesaa zinawenyewe..mungu akubaliki sana ❤❤

  • @Ngoshawamkaya
    @Ngoshawamkaya 2 месяца назад

    Kazi kazi kutoka asili yetu ya kahama Fm hapaaaaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @Emmanuelnindwa
    @Emmanuelnindwa 2 месяца назад

    𝐾𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢𝑛𝑖 𝑘𝑖𝑙𝑤𝑎 𝑙𝑖𝑛𝑑𝑖

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 2 месяца назад

    Gudegude Mungu akuongezee amani na salama kwako🎉

  • @Kwetu_burudani_kila_siku
    @Kwetu_burudani_kila_siku 2 месяца назад

    Respect Sana family🎉

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic 2 месяца назад

    Kadoro umejitahd sana

  • @Yangadaily
    @Yangadaily 2 месяца назад

    Kupiga shoo shingap gudegude

  • @KamisingusaKhamisi47
    @KamisingusaKhamisi47 2 месяца назад

    Daaa sawa kaka angu kazi nzul sana pambana

  • @rafikiwadiamondplatnumz289
    @rafikiwadiamondplatnumz289 2 месяца назад

    😢napoteza msanii wangu pole pole

  • @SaidiHasani-n6c
    @SaidiHasani-n6c 2 месяца назад

    Hongela sana kaka mungu akutangulie

  • @SamsonLuhende
    @SamsonLuhende 2 месяца назад

    Mateso video Lin

  • @ShabanCharles-q5n
    @ShabanCharles-q5n 2 месяца назад

    Hii song nimeikubal

  • @drhanda8201
    @drhanda8201 2 месяца назад

    Umetukosea sana kukaa kmy

  • @NuruNswebe
    @NuruNswebe 2 месяца назад

    Toa ngoma nje nakuimba watu

  • @emanuellubago4566
    @emanuellubago4566 2 месяца назад

    Upo sawa kabsa mkuu

  • @JosephAntonia-pw5bz
    @JosephAntonia-pw5bz 2 месяца назад

    Unajua kuimba kaka

  • @JoakimPosiano
    @JoakimPosiano Месяц назад

    Good Brother

  • @Samwel486
    @Samwel486 2 месяца назад

    hapa moto umeuungua

  • @RevocatusDeus-dp8fz
    @RevocatusDeus-dp8fz 2 месяца назад

    Ngoma ya moto sana ❤❤

  • @KulwaBundala-h1g
    @KulwaBundala-h1g 2 месяца назад

    Pole sana

  • @SelemanMayala-us7zb
    @SelemanMayala-us7zb 2 месяца назад

    pamoja sn gd

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 2 месяца назад

    Nice Good Job

  • @MagrathMgwesa
    @MagrathMgwesa 2 месяца назад

    Acha kuimbia watu kaka tunahitaji kazin za kutuelimisha kama zaman. Nakukubari sana bro

    • @GehaShimiyu
      @GehaShimiyu 2 месяца назад +1

      so Kila siku uelimishwee muda mwingnee burudani, Toka uzaliwe unaelimishwaga tuu na Bado huelewagii tuu bas Anza kusali

    • @emanuelbuganda269
      @emanuelbuganda269 2 месяца назад

      Kaka ata nay wa mitego anaimba siasa, elimu, burudan ndio mzk uko hvo huwez imba kitu kimoja daily kuchanganya nyimbo ndio uwezo wenyewe sasa

  • @JosephEdwady
    @JosephEdwady 2 месяца назад

    kwel nmeikubal

  • @emmanuelondoua5358
    @emmanuelondoua5358 2 месяца назад

    Very interest

  • @mussashilinde6444
    @mussashilinde6444 29 дней назад

    @W20tz❤❤

  • @doko_18
    @doko_18 2 месяца назад

    Tumependa❤❤❤

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 2 месяца назад

    Nkwingwa widetela hangi safi gete

  • @ShijaKagoke-oc2zu
    @ShijaKagoke-oc2zu 2 месяца назад

    Nduhu tabhu🤝

  • @mhojafabiani5881
    @mhojafabiani5881 2 месяца назад

    Pamoja sana kaka

  • @Adam-o5o4j
    @Adam-o5o4j 2 месяца назад

    Nakukubali gude

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic 2 месяца назад

    Good jobu

  • @CleophaceJoseph-k1e
    @CleophaceJoseph-k1e 2 месяца назад

    Nimekuelewa kaka

  • @kachelengwa
    @kachelengwa 2 месяца назад

    Kazi nzur sana kakaangu

  • @rashidjuma2050
    @rashidjuma2050 2 месяца назад

    Kazi nzur

  • @JumaLukanya-h2u
    @JumaLukanya-h2u 2 месяца назад

    Kazi bomba sana GD

  • @Adam-o5o4j
    @Adam-o5o4j 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MashaPaschar
    @MashaPaschar 2 месяца назад

    Nakuona mwamba

  • @lameckshija5676
    @lameckshija5676 2 месяца назад

    Keep going

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI 2 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @joelmaulidi256
    @joelmaulidi256 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OnesmoSakila
    @OnesmoSakila 2 месяца назад

    ❤❤

  • @stevenperfect7152
    @stevenperfect7152 2 месяца назад

    Kazi nzuri

  • @Hamisi-dz2hu
    @Hamisi-dz2hu 2 месяца назад

    👍💯

  • @Mwajuma-y8g
    @Mwajuma-y8g 2 месяца назад

    Vizuli saaanaa❤❤❤

  • @KabulaBahati
    @KabulaBahati 2 месяца назад

    Hongera kak

  • @vedastusmedia9227
    @vedastusmedia9227 2 месяца назад

    Kaz zur

  • @alexsonmakejanic7549
    @alexsonmakejanic7549 2 месяца назад

    Nyimbo za mwanzo ni nzuri sana asaivi unaimbia watu tu

    • @EbuelaKabiona
      @EbuelaKabiona 2 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤❤🎉 kanzi ipo kabs

    • @sembiKashepi
      @sembiKashepi 2 месяца назад

      Jamani mziki Ni biashara Sasa Kama kalipwa aimbe aikataee Sasa pesa wakati yumo kwenye utafutaji

  • @StevenAlphonce-p8d
    @StevenAlphonce-p8d 2 месяца назад

    Oky

  • @SelemanMayala-us7zb
    @SelemanMayala-us7zb 2 месяца назад

    pamoja xana best

  • @rosejuliuc
    @rosejuliuc 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉