Kaanza kuingia kwenye mifumo ya wasanii wanaoshindaga kwenye harusi kuimbia watu but anyway gudegude wewe ni msanii mkubwa kwa sasa wasukuma tunahitaji jadi punguza urafi😂😂😂ukihamia huku kisima atakupiga gape kubwa sana
@@bonifacehamis4088 sasa utasemaje umemuacha mbali mtu aliyekuzid subscribers parefu tu me naonaga wote wako sawa tu na ndo wenye wanaleta competition kali kwenye asili kwa sasa mana huyu anamwangalia huy na huy the same but akijikita kwenye nyimbo za harus si wte wanaozipenda sisi ni mashabiki zao na tunatoa maoni tu
Hongera unafanya kazi nzuri sana ila punguza kuimbia watu mara mwananengo mara ndalo kwanza unachanganya watu imbanyimbo za kuelimisha jamii..wewe ni msanii mkubwa sana kikubwa punguza kutangaza biashara za watu kupitia nyimbo zako ushasema mwananengo ametosha.unataka wahame kwa mwanengo waende kwa ndalo tena 😂acha zako bhna.. yapo mengi kuhusu jamii bro achana na hawa watu .
Hongera sana kijana lkn wapunguze Hawa jamaa komaa na yule mmoj tu mwananengo tushazoea mara Moja Kwa mwaka, lkn Hawa achana nao we msanii sio msanii wa kuimbia harusi au kusifia mtu, nakukubali sana mmi pande za izumba pia karibu
Niwaombe samahani washabiki wangu kwakucherewa kwahiikazi mnisamee mashabiki zangu nimatatizo yalitokea kidogo ila namshukulu mungu mpaka reo
Joo upige show itilima tumeku mis
Poa
uko vizur xana gudegude umenikumbuxha wimbo wa mama neema pamoja ule mikos
Kaz nzur kamamda ❤❤❤❤
Achiaa na Ile ya shiloti Kaka tunasubiri Kwa hamu sana
nipo🏳️⚧️naisklza wananiulza who this guy nawambia gude gude tajiri wa maluho
Hapana shida piga kaz
Umetisha
Pole sana
Wakianza kukuelewa wachanganye tena
🔥🔥🔥🔥💪🙏🙏🙏
I've been scarred by a blotter, please forgive me, I'm begging you to like even one, my brother
Mbona unaimbiwa watu tu changanya nyimbo bhana toa ngoma zako bhana SHILOTI 😢😢 Mwaka huu umetungusha
Nikwel hiz nyimbo so wote wanaozipenda hapo anabagua baadhi ya watu kama mimi na wengine weng
Kaanza kuingia kwenye mifumo ya wasanii wanaoshindaga kwenye harusi kuimbia watu but anyway gudegude wewe ni msanii mkubwa kwa sasa wasukuma tunahitaji jadi punguza urafi😂😂😂ukihamia huku kisima atakupiga gape kubwa sana
Tumemuacha mbali sana KisimaGang🔥🔥🔥
@@bonifacehamis4088 sasa utasemaje umemuacha mbali mtu aliyekuzid subscribers parefu tu me naonaga wote wako sawa tu na ndo wenye wanaleta competition kali kwenye asili kwa sasa mana huyu anamwangalia huy na huy the same but akijikita kwenye nyimbo za harus si wte wanaozipenda sisi ni mashabiki zao na tunatoa maoni tu
Komaa jamaa utoboe mpaka wakome
Hongera unafanya kazi nzuri sana ila punguza kuimbia watu mara mwananengo mara ndalo kwanza unachanganya watu imbanyimbo za kuelimisha jamii..wewe ni msanii mkubwa sana kikubwa punguza kutangaza biashara za watu kupitia nyimbo zako ushasema mwananengo ametosha.unataka wahame kwa mwanengo waende kwa ndalo tena 😂acha zako bhna.. yapo mengi kuhusu jamii bro achana na hawa watu .
Nipe namba yako kaka
Hongera sana kijana lkn wapunguze Hawa jamaa komaa na yule mmoj tu mwananengo tushazoea mara Moja Kwa mwaka, lkn Hawa achana nao we msanii sio msanii wa kuimbia harusi au kusifia mtu, nakukubali sana mmi pande za izumba pia karibu
pambana jamaa uko vizr. nikihitaji uimbe inshu inayonihusu tuna fanyeje jamaa?
Kazi poa sana gude gude tunakuintaji sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Samahani pia ile ya lekana nabho mami hiyo ifanyie shooting
Good job my brother
Hata hivyo inajitahidi buloo
Toa yankema malays
Toa Ngoma kaka uko vzur
Video kali ila audio mmmmm😅
Nipe namba yako kaka
Pambana dogo langu
Pesa zina wenyewe kaka,, kazi nzur Sana japo duniani kote huwez mfurahisha kila mtu hivo focus on what you are doing 💪
hongereni
Goodone
Piga kazi
Waooo
Unajua
Uhakika kaka from ZANZIBAR
😂
Mm .Martha napenda nyimbo zako san ❤❤😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ zinakosha san hiv gude unakaa wap
❤
Punguza kuwa chawa broo unapotea kaka tafuta jumbo nzuri na sio kuongerea watu kaka!!!!!!!
Good talented 👏👍👍 piga kazi Gudegude 🔥🔥
Nilikuwa shabiki Sana wa nyanda madirisha Toka afe wewe ndio top wa nyimbo za kisukuma piga Kaz karbu dar
Kazi nzuli gude gude tunakupanda kutoka burundi 🇧🇮
Unatufelisha sana,kuna mambo mengi ya kuimba unatushauri siyo haya ya kuimbia watu
Nikawaida2 Kaka halaka halaka hainabalaka nakukubalisana nimm maduka
Iiii kumbe hivo tena kaka sasa hii isikuumize akili
Ngudengude
Nakukubali sana mzee wa pesaa zinawenyewe..mungu akubaliki sana ❤❤
Kazi kazi kutoka asili yetu ya kahama Fm hapaaaaaa 🔥🔥🔥🔥
𝐾𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢𝑛𝑖 𝑘𝑖𝑙𝑤𝑎 𝑙𝑖𝑛𝑑𝑖
Gudegude Mungu akuongezee amani na salama kwako🎉
Respect Sana family🎉
Kadoro umejitahd sana
Kupiga shoo shingap gudegude
Daaa sawa kaka angu kazi nzul sana pambana
😢napoteza msanii wangu pole pole
Hongela sana kaka mungu akutangulie
Mateso video Lin
Hii song nimeikubal
Umetukosea sana kukaa kmy
Toa ngoma nje nakuimba watu
Upo sawa kabsa mkuu
Unajua kuimba kaka
Good Brother
hapa moto umeuungua
Ngoma ya moto sana ❤❤
Pole sana
pamoja sn gd
Nice Good Job
Acha kuimbia watu kaka tunahitaji kazin za kutuelimisha kama zaman. Nakukubari sana bro
so Kila siku uelimishwee muda mwingnee burudani, Toka uzaliwe unaelimishwaga tuu na Bado huelewagii tuu bas Anza kusali
Kaka ata nay wa mitego anaimba siasa, elimu, burudan ndio mzk uko hvo huwez imba kitu kimoja daily kuchanganya nyimbo ndio uwezo wenyewe sasa
kwel nmeikubal
Very interest
@W20tz❤❤
Tumependa❤❤❤
Nkwingwa widetela hangi safi gete
Nduhu tabhu🤝
Pamoja sana kaka
Nakukubali gude
Good jobu
Nimekuelewa kaka
Kazi nzur sana kakaangu
Kazi nzur
Kazi bomba sana GD
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nakuona mwamba
Keep going
🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
Kazi nzuri
👍💯
Vizuli saaanaa❤❤❤
Hongera kak
Kaz zur
Nyimbo za mwanzo ni nzuri sana asaivi unaimbia watu tu
❤❤❤❤❤❤❤🎉 kanzi ipo kabs
Jamani mziki Ni biashara Sasa Kama kalipwa aimbe aikataee Sasa pesa wakati yumo kwenye utafutaji
Oky
pamoja xana best
🎉🎉🎉🎉🎉