TULIBEBA MAITI YA MTOTO/MISITU YA MSUMBIJI/MAKABURINI KAMA TULIVYOZALIWA
HTML-код
- Опубликовано: 21 окт 2024
- --
#Maisha #Mbanga #Kumbukumbuzinazoishi
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Alhamdulillah sifa zote ziende kwa Allah mola wa viumbe, mrudie allah shekhe ally simama kiiman fanya ibada za usiku, mungu atakusaidia amiin
Allah akupe hitaji la moyo wako😍Ally
Pole Sana kaka wanasema hujafa ujaumbika
Pole sana Ally .. kaombewe kwa jina la Yesu utapona tu ...
Mashallah mashallah Allah qareem ☺️
Pole Sana Ally
Wonderfull man - kijana huyu ni shupavu na jasiri i wish him all the best mashaallah
Matangazaji anajitahidi sana...thumbs up, Pole zimfikie Ally...Mungu wetu ni mwema.
ui
up uut
UuUuuUt7
UUuU
Uuuu YUuuU
Pole sana kk kwa mitihani yote uliyo pitia m.mungu atakufanyia wepesi yote ayo m.mungu ndie mpangaji wa yote ayo uyo anae kukejeli akumbuke kuwa mungu niwetu sote alie mpa yy ndio aloekunyima ww😢
Nikweli my atamimi inaniuma sana watu ambao wanao wanyanyapaa walemavu😢
Da. Nimenjoy na nimefurahi. Kweli nyie wote ni waandishi kamili. Hii interview ni kiwango cha juu mno. Mungu awabariki. Somo limefika. Ila kaka anavituko sana, ntu powa sana kibabe zaidi.👑🙌🙌👍🏽
Hongera sana mtangazi wa kipindi hichi kwa juhudi yako ya kuijuza Jamii kwa udaku wako ambao sio wandishi wengi wanafanya juhudi ya kuwatafuta wanajamii ambao wamepitia changamoto mbalimbali za maisha ambayo sie wanajamii wengine tujue na tujifunze kutokana waliopitia wao. Endelea weye ni mtu muhimu sana.
Pole san kaka Allah akusimamiye
Mungu yupo ipo siku atakup hitaj
lako Ally 🙌🙏
Pole Sana kaka ally piga kazi
Alhamdulila... nothing is impossible under the sun ✊🏾❤️
Amen
Swadakta
Jina la mwanangu kipenzi mungu amjalie amen
Usikate tamaa kunasikum/mungu atakusaidia pole sana ndugu
Pole sana sana ndugu n kuteleza si kuanguka
Atarii mungu awafanyie wepesi
Shukran mungu akupe nguvu naafia
Aisee unajielezea vizuri Sana
Allah atakufanyia wepesi inshallah,wacha na mambo ya waganga, ALLAH ameleta Qur'an ndio dawa na shifa
Hujafa hujaumbika shekhe mola akupe umri mrefu wenye baraka nimempenda huyo kaka yuko very smart tujifunze kutowabagua walemavu
nafuatilia vyema kutoka rockcity nakupata ....Mbaga dar 24
Blind people have a very high level of sensitivity than people with eyes. Their other senses are very hightened.
Aisee Kaka ali nimempenda bure nahongr ndugu mtangazaji kwa kz njema
Dar 24 media .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
Tru story kw ally mm nmekuwa nae
Da!pole kwake kaka Ally,Mungu amponye ampe unafuu ktk kupambana
Pole kak
Mbona story haikuendelea alipoishia pat 1 na yani pat 2 mtangazaji unaongea vitu ambavyo ata sio mwendelezo
Na mbona uyo jamaa wa pili ujamuhoji aendelee alipoishia baada ya kumuacha mwenzake nini kiliendelea???
Mtangazaji umearibu hii stor 😢
Mungu awahifadhi na hali yenu irudi kama mwanzo, Na ukitokelewa na maradhi yasiofahamika waganga watakavyo wadaganya!!! Kiasi kuwakufurisha tu. Yarabbi salama.
Ni kweli kabisa
Ali jamn....😭pole san
Big up ally jamani andika namba yako nikucheki ni siku nyingi toka msasani msalimie maulid nimewamis sana
Hahaha ally umenchekesha sana eti we jamaa mbaya sana kama cabayser
Huyo anauwezo WA kupona haraka sana
Ally pole nitafte maana haya macho yatapona
Huyo bado hajazinduka huyoo, si unasikia uongeaji wake anavyochanganya Madawa?
MUNGU MKUBWA,,,Jali kila mtu tusibaguane mana majira na nyakati za MUNGU zipo maalumu kwa ajili yetu.
Ikisha mtu anasema hamna pesa
Ukiwa na tatizo,,, na ukaliweka kichwan mwako kuwa it's over haliwezekani,,, ATA ukiombewa na viboko ni ngumu kupokea ,,, especial nyie watu hamuamini YESU KRISTO
These paranomal stories are VERY common in your region. The PROBABILITY of a photographic evidence should be VERY high. But, all the years, there is none. I hope you understand my doubts.
Kumbe unaelewa kiswahili, sisi waswahili bwana mzee.
Kumanina kipofu muuwaji hatapona na mwisho motoni
TB Joshua anaweza
Mungu Ndiyo anaweza siyo bwana joshua iman potofu
@@jeskapeter6553 ni kweli lakini Mungu anatusaidia kupitia wapakwa mafuta wake! tangu zama za kale! na ndiyo maana kwenye Biblia aliwatumia mitume manabii na makuhani , waponye wabatize wafundishe na kadhalka na kadhalka!
Kweli nakumbuka old moshi hiyo.shengena 24
Huyo TB joshua ndo MUNGU kwann mnaangamia kwa kukosa maarifa pole sana