TULIBEBA MAITI YA MTOTO/MISITU YA MSUMBIJI/MAKABURINI KAMA TULIVYOZALIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024
  • --
    #Maisha #Mbanga #Kumbukumbuzinazoishi
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 61

  • @jumabillo4521
    @jumabillo4521 3 года назад +9

    Alhamdulillah sifa zote ziende kwa Allah mola wa viumbe, mrudie allah shekhe ally simama kiiman fanya ibada za usiku, mungu atakusaidia amiin

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 3 года назад +11

    Allah akupe hitaji la moyo wako😍Ally

  • @mwanasaid4994
    @mwanasaid4994 3 года назад +5

    Pole Sana kaka wanasema hujafa ujaumbika

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 года назад +4

    Pole sana Ally .. kaombewe kwa jina la Yesu utapona tu ...

  • @mashakiabdulrahman3373
    @mashakiabdulrahman3373 3 года назад +3

    Mashallah mashallah Allah qareem ☺️

  • @faizaboubacar5064
    @faizaboubacar5064 3 года назад +4

    Pole Sana Ally

  • @mjige9088
    @mjige9088 2 года назад

    Wonderfull man - kijana huyu ni shupavu na jasiri i wish him all the best mashaallah

  • @noeljosee8384
    @noeljosee8384 3 года назад +8

    Matangazaji anajitahidi sana...thumbs up, Pole zimfikie Ally...Mungu wetu ni mwema.

  • @sakinamarjebi2206
    @sakinamarjebi2206 3 года назад +7

    Pole sana kk kwa mitihani yote uliyo pitia m.mungu atakufanyia wepesi yote ayo m.mungu ndie mpangaji wa yote ayo uyo anae kukejeli akumbuke kuwa mungu niwetu sote alie mpa yy ndio aloekunyima ww😢

    • @otiliahaule5180
      @otiliahaule5180 3 года назад

      Nikweli my atamimi inaniuma sana watu ambao wanao wanyanyapaa walemavu😢

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 года назад +1

    Da. Nimenjoy na nimefurahi. Kweli nyie wote ni waandishi kamili. Hii interview ni kiwango cha juu mno. Mungu awabariki. Somo limefika. Ila kaka anavituko sana, ntu powa sana kibabe zaidi.👑🙌🙌👍🏽

  • @babawatoto4312
    @babawatoto4312 3 года назад

    Hongera sana mtangazi wa kipindi hichi kwa juhudi yako ya kuijuza Jamii kwa udaku wako ambao sio wandishi wengi wanafanya juhudi ya kuwatafuta wanajamii ambao wamepitia changamoto mbalimbali za maisha ambayo sie wanajamii wengine tujue na tujifunze kutokana waliopitia wao. Endelea weye ni mtu muhimu sana.

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад +2

    Pole san kaka Allah akusimamiye

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 года назад +1

    Mungu yupo ipo siku atakup hitaj
    lako Ally 🙌🙏

  • @deusdedithkitaly8337
    @deusdedithkitaly8337 2 года назад

    Pole Sana kaka ally piga kazi

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 3 года назад +7

    Alhamdulila... nothing is impossible under the sun ✊🏾❤️

  • @kasimally5651
    @kasimally5651 Год назад

    Jina la mwanangu kipenzi mungu amjalie amen

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад

    Usikate tamaa kunasikum/mungu atakusaidia pole sana ndugu

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +1

    Pole sana sana ndugu n kuteleza si kuanguka

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 2 года назад

    Atarii mungu awafanyie wepesi

  • @جنيتكينيا
    @جنيتكينيا 3 года назад

    Shukran mungu akupe nguvu naafia

  • @deusdedithkitaly8337
    @deusdedithkitaly8337 2 года назад

    Aisee unajielezea vizuri Sana

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 года назад +3

    Allah atakufanyia wepesi inshallah,wacha na mambo ya waganga, ALLAH ameleta Qur'an ndio dawa na shifa

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Год назад

    Hujafa hujaumbika shekhe mola akupe umri mrefu wenye baraka nimempenda huyo kaka yuko very smart tujifunze kutowabagua walemavu

  • @sixbertmichael7899
    @sixbertmichael7899 3 года назад +1

    nafuatilia vyema kutoka rockcity nakupata ....Mbaga dar 24

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад +4

    Blind people have a very high level of sensitivity than people with eyes. Their other senses are very hightened.

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 3 года назад +4

    Aisee Kaka ali nimempenda bure nahongr ndugu mtangazaji kwa kz njema

  • @Chemba67
    @Chemba67 2 года назад

    Dar 24 media .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki

  • @bakbyzo5135
    @bakbyzo5135 3 года назад +7

    Tru story kw ally mm nmekuwa nae

    • @venitarugemalila3971
      @venitarugemalila3971 3 года назад

      Da!pole kwake kaka Ally,Mungu amponye ampe unafuu ktk kupambana

  • @pauldaney950
    @pauldaney950 3 года назад

    Pole kak

  • @godfreygeraldmtamani9958
    @godfreygeraldmtamani9958 Год назад +1

    Mbona story haikuendelea alipoishia pat 1 na yani pat 2 mtangazaji unaongea vitu ambavyo ata sio mwendelezo
    Na mbona uyo jamaa wa pili ujamuhoji aendelee alipoishia baada ya kumuacha mwenzake nini kiliendelea???
    Mtangazaji umearibu hii stor 😢

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 года назад

    Mungu awahifadhi na hali yenu irudi kama mwanzo, Na ukitokelewa na maradhi yasiofahamika waganga watakavyo wadaganya!!! Kiasi kuwakufurisha tu. Yarabbi salama.

  • @janethdavid4577
    @janethdavid4577 Год назад

    Ali jamn....😭pole san

  • @rahiminamsangi8558
    @rahiminamsangi8558 3 года назад +1

    Big up ally jamani andika namba yako nikucheki ni siku nyingi toka msasani msalimie maulid nimewamis sana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 3 года назад

    Hahaha ally umenchekesha sana eti we jamaa mbaya sana kama cabayser

  • @vivicagreco7767
    @vivicagreco7767 Год назад

    Huyo anauwezo WA kupona haraka sana

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 3 года назад

    Ally pole nitafte maana haya macho yatapona

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад

    Huyo bado hajazinduka huyoo, si unasikia uongeaji wake anavyochanganya Madawa?

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 3 года назад +1

    MUNGU MKUBWA,,,Jali kila mtu tusibaguane mana majira na nyakati za MUNGU zipo maalumu kwa ajili yetu.

  • @asmamohamedidi585
    @asmamohamedidi585 3 года назад +1

    Ikisha mtu anasema hamna pesa

  • @vivicagreco7767
    @vivicagreco7767 Год назад

    Ukiwa na tatizo,,, na ukaliweka kichwan mwako kuwa it's over haliwezekani,,, ATA ukiombewa na viboko ni ngumu kupokea ,,, especial nyie watu hamuamini YESU KRISTO

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад +2

    These paranomal stories are VERY common in your region. The PROBABILITY of a photographic evidence should be VERY high. But, all the years, there is none. I hope you understand my doubts.

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 3 года назад

      Kumbe unaelewa kiswahili, sisi waswahili bwana mzee.

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 Год назад

    Kumanina kipofu muuwaji hatapona na mwisho motoni

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 3 года назад

    TB Joshua anaweza

    • @jeskapeter6553
      @jeskapeter6553 3 года назад

      Mungu Ndiyo anaweza siyo bwana joshua iman potofu

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 3 года назад

      @@jeskapeter6553 ni kweli lakini Mungu anatusaidia kupitia wapakwa mafuta wake! tangu zama za kale! na ndiyo maana kwenye Biblia aliwatumia mitume manabii na makuhani , waponye wabatize wafundishe na kadhalka na kadhalka!

    • @jameskasela3046
      @jameskasela3046 3 года назад

      Kweli nakumbuka old moshi hiyo.shengena 24

    • @lovenessrobert9815
      @lovenessrobert9815 3 года назад

      Huyo TB joshua ndo MUNGU kwann mnaangamia kwa kukosa maarifa pole sana