"Watu Wenye Utamaduni wa Ushoga Waendelee | Utamaduni Wetu Hauruhusu Ushoga"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2023
  • Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akijibu swali kuhusu tuhuma kuwa anaunga mapenzi ya jinsia moja #Clouds360
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 33

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад

    Shoga iloo

  • @wamangaitv2288
    @wamangaitv2288 Год назад

    Nakubaaaali wokhaya🙏

  • @waxemvulepm
    @waxemvulepm Год назад +1

    kwa Kauli hii anazikhirisha ushoga

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад

    Ww bwana hauko sawa maana hawawatu wanajulikana nausipowawekea shelia kali watazidi kuwa wengi hatimaye tutalipoteza taifa kwakuwa wanajulikana wanatakiwa wakamatwe nawachuliwe hatua kali zakshelia

  • @FatmaAli-el2nv
    @FatmaAli-el2nv Год назад

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuun

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +4

    Na ndiyo waliokulea na ndiyo wanaokutuma watoto wetu waendelee kuharibika mjinga mkubwa weee

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Год назад

      You dont get the point.... watoto washaharibika hao. Tusichanganye mambo...

    • @johnphilipo6760
      @johnphilipo6760 Год назад

      @@manish-fp1fb asee Tz kuelewa tu kiswahili chetu n shida anyway tusubiri...

  • @ahmedmambosasa
    @ahmedmambosasa Год назад +2

    Acha kugeuka geuka

    • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
      @SYLMASVISIONFORSCIENCE Год назад +1

      Anageuka geuka, hata Sasa kabla hajaja alikuwa anamtukana Rais wa awamu ya tano amefika Tanzania akaona upepo huo haukubaliki anatumia sitaha Sana kumsema magufuli

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 Год назад +2

    Jina lenyewe tundu anaanzaje kukataa watu wasiwe na matundu wazi 😂😂😂

  • @user-ss6ey3ge1d
    @user-ss6ey3ge1d 28 дней назад

    Uyu kusema ajaelewa swali sasa ili sio la tamaduni ili ni janga na ni raana atuwezi kuelewa swala hili kulipeleka kwenye tamaduni nikupinga vikali na atua kali ndio jibu sio waendelee nchi gani inatamaduni izo kama sio ushwetwani tu

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 Год назад +2

    Genius Lissu🙌 mda mwngne unahitaji umsikilze alf utulie kdg utafakari ndo umuelewe! Master sana huyu mwamba.

  • @paulokama5534
    @paulokama5534 Год назад

    Ww usahau kuwa rais wa Tz ,mjinga

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Год назад

    Shida, Mheshimiwa Lissu, wanataka sheria iruhusu ushoga! Kama ingekuwa hakuna kelele za kupigiwa debe wala kusingekuwa na shida...
    Wanandoa wanayo faragha na wanafungishwa ndoa kwa mujibu wa sheria... Kwenye ndoa hizi serikali haiingii vyumbani... Lakini sheria ya kuruhusu ushoga kiserikali hapo ni shida

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +1

    Baba mtu mzima akili kisoda mfano mtoto wako awe shoga unaweza mwambia mwanangu endelea na iyo tamaduni yako ya ushoga? Mungu akugeuze mwanamke ujue chungu wa kuzaa afu mtoto unaetegemea kua baba wa familia, baadae wenzie wampige mipini alegee kama ana mbemendo wa utu uzima loo mungu akulaani weye baba unaonekana unataka kuruhusu ushoga

  • @festusjchunya7246
    @festusjchunya7246 Год назад

    Tundu lisu hapo unakosea pia sababu kinachopingwa na wengi sio serikali kuingia vyumbani kuchunguza Bali ni sera za serikali baadhi kutokemea au kuuzipa uhuru na ulinzi kisheria kuhalalisha ushoga!!unapaswa kukataa na kukaa kimya na wazungu hatutaki tamaduni ZAO hizo za kipumbavu ziletwe kwetu!!

  • @swaibuiddy1502
    @swaibuiddy1502 Год назад

    Nilitemea kauliyako inayosema kuwa ata awo wanao nendelea na tamaduni za kishoga uwashaur waache kumbe unawaambia waendeleee unakitu umetuficha tutachuwa sikutukikupa urais wa bahati mbaya

  • @salimahmed236
    @salimahmed236 Год назад

    Ndio ukala kichapo na bado shoga

  • @neliusdidas8749
    @neliusdidas8749 Год назад

    Apo inaonekan kamanda kama vile unaunga mkono ushoga kama serikali hairuhusu ushoga mbona guest mapolisi wanaigia kukagua kama chumbn mmelala jinsia moja wkt ni faragha

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze8377 Год назад

    Uyu nae n shoga

  • @kigomampyatv9209
    @kigomampyatv9209 Год назад +1

    Sikutegemea mzee huyu hajui Tafsiri ya Serikali, SERIKALI NI SISI WOTE SIO POLISI NA MAJESHI.. SERIKALI NI WATU WOTE

    • @mugishagweedwine
      @mugishagweedwine Год назад

      Kwa tulivo fundishwa serikali ni sisi wote lakini kikatiba serikali ni majeshi na uongozi uliopo na ndo maana ata bungeni spika ana sema tunaomba serikali itube jibu la wananchi wetu

    • @nurisahim7898
      @nurisahim7898 Год назад

      Nenda ikulu magogoni kamsalimie mama

    • @wamangaitv2288
      @wamangaitv2288 Год назад

      Na ww nae miaka 9 subscribers 53 em kavue samak bro !!!! Mskilize Jinius lissu umwelewe usikurupuke

  • @deisuchannel963
    @deisuchannel963 Год назад

    Pumbavu kabisa anza kuolewa wewe

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Год назад +1

    Wewe muongo ulisema